Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ninyi mawaziri wa ccm,lini mtaacha kutudanganya watz?

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      Masakata's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd January 2011
      Posts : 146
      Rep Power : 454
      Likes Received
      37
      Likes Given
      51

      Default Ninyi mawaziri wa ccm,lini mtaacha kutudanganya watz?

      1.Toka siku ya J4,wiki hii sehemu kubwa ya wakazi wa DSM tunaotegemea maji toka mtambo wa Ruvu chini, hatuna maji kabisa hadi muda huu navyotuma hii post,licha ya tangazo la Mh.Maghembe kupitia taarifa ya habari ITV,siku ya Ijumaa saa 2 usiku kwamba maji yataanza kutoka baada ya saa 12(nadhani toka tangazo hilo litoke)cha ajabu,sasa saa karibu 50 zimeshapita hakuna cha Maji wala Upepo,khali ni mbaya sana hasa maeneo ya huku Kawe naTangi bovu,nadhani kipindupindu nacho hakipo mbali,
      2.Waziri wa zamani wa Fedha nae alilidanganya bunge juu ya uuzwaji wa kiwanja cha CHC,nadhani kamati ya Mh.Zitto watamshughulikia huyu Mr.Mkullo
      Sasa nawauliza ninyi mawaziri wa Magamba hivi uwongo mtaacha lini? au ndio kibri cha madaraka au kwa kuwa ninyi familia zenu hamjui mgawo wa maji..kama hii wizara nayo imekushinda Mh.Maghembe achia ngazi..MNAKERA SANA!

    2. Miaka 50

    3. #2
      Ndinani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Posts : 2,950
      Rep Power : 1532
      Likes Received
      745
      Likes Given
      237

      Default Re: Ninyi mawaziri wa ccm,lini mtaacha kutudanganya watz?

      Mkapa kama Rais alikuwa na mapungufu yake lakini huyu mkweree kweli kazi imemshinda kakalia kutuibia tu mpaka MwanaAsha sasa ananatutukana kwenye facebook kuwa ukoo wao sasa UMASKINI NDIO BASI; RICH FOREVER!!!

    4. #3
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,056
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By Ndinani
      Mkapa kama Rais alikuwa na mapungufu yake lakini huyu mkweree kweli kazi imemshinda kakalia kutuibia tu mpaka MwanaAsha sasa ananatutukana kwenye facebook kuwa ukoo wao sasa UMASKINI NDIO BASI; RICH FOREVER!!!
      Acha wawatukane maana waTz mmezidi kwa uoga na kubaki kusemea yaliyo moyoni mwenu katika mitandao.
      The unseen is illustrated by the seen.

    5. #4
      Tripo9's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2009
      Posts : 1,623
      Rep Power : 818
      Likes Received
      255
      Likes Given
      459

      Default Re: Ninyi mawaziri wa ccm,lini mtaacha kutudanganya watz?

      Quote By Masakata
      1.Toka siku ya J4,wiki hii sehemu kubwa ya wakazi wa DSM tunaotegemea maji toka mtambo wa Ruvu chini, hatuna maji kabisa hadi muda huu navyotuma hii post,licha ya tangazo la Mh.Maghembe kupitia taarifa ya habari ITV,siku ya Ijumaa saa 2 usiku kwamba maji yataanza kutoka baada ya saa 12(nadhani toka tangazo hilo litoke)cha ajabu,sasa saa karibu 50 zimeshapita hakuna cha Maji wala Upepo,khali ni mbaya sana hasa maeneo ya huku Kawe naTangi bovu,nadhani kipindupindu nacho hakipo mbali,
      2.Waziri wa zamani wa Fedha nae alilidanganya bunge juu ya uuzwaji wa kiwanja cha CHC,nadhani kamati ya Mh.Zitto watamshughulikia huyu Mr.Mkullo
      Sasa nawauliza ninyi mawaziri wa Magamba hivi uwongo mtaacha lini? au ndio kibri cha madaraka au kwa kuwa ninyi familia zenu hamjui mgawo wa maji..kama hii wizara nayo imekushinda Mh.Maghembe achia ngazi..MNAKERA SANA!
      Mkuu tafadhali nitake radhi kwa kusema unakosa maji kipindi hiki na wakati mimi kila siku nanunua maji. Kwa mwezi kama laki na ushee hivi. Tabata segerea.
      "Smile though your heart is aching"...Me says

    6. #5
      Mercyless's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 450
      Rep Power : 450
      Likes Received
      90
      Likes Given
      583

      Default Re: Ninyi mawaziri wa ccm,lini mtaacha kutudanganya watz?

      Quote By Masakata
      1.Toka siku ya J4,wiki hii sehemu kubwa ya wakazi wa DSM tunaotegemea maji toka mtambo wa Ruvu chini, hatuna maji kabisa hadi muda huu navyotuma hii post,licha ya tangazo la Mh.Maghembe kupitia taarifa ya habari ITV,siku ya Ijumaa saa 2 usiku kwamba maji yataanza kutoka baada ya saa 12(nadhani toka tangazo hilo litoke)cha ajabu,sasa saa karibu 50 zimeshapita hakuna cha Maji wala Upepo,khali ni mbaya sana hasa maeneo ya huku Kawe naTangi bovu,nadhani kipindupindu nacho hakipo mbali,
      2.Waziri wa zamani wa Fedha nae alilidanganya bunge juu ya uuzwaji wa kiwanja cha CHC,nadhani kamati ya Mh.Zitto watamshughulikia huyu Mr.Mkullo
      Sasa nawauliza ninyi mawaziri wa Magamba hivi uwongo mtaacha lini? au ndio kibri cha madaraka au kwa kuwa ninyi familia zenu hamjui mgawo wa maji..kama hii wizara nayo imekushinda Mh.Maghembe achia ngazi..MNAKERA SANA!
      Rais mwenyewe mwongo, waziri mkuu mwenyewe alishashutumiw bungeni kwa uongo na mpaka leo hakuna taarifa zozote kuhusu ushahidi uliotolewa na Mh. Godbless Lema (Spika anapotezea ili kumuokoa Waziri mkuu). Sasa unategemea waziri ataogopa kudanganya kama mabosi wake wanadanganya mchana kweupe?

    7. RukaaJuu Final

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...