Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Maji Marefu CHUPU CHUPU

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 24
    1. #1
      MAKOLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 422
      Rep Power : 452
      Likes Received
      109
      Likes Given
      105

      Default Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Uvumi ulioenea kuwa Mbunge wa Korogwe Vijijini Steven Ngonyani a.k.a. Prof. Maji Marefu (C.C.M) amefariki dunia
      Sio wa kweli baada ya yeye mwenyewe kutembelea baadhi ya mitaa kuuthibitishia uma kuwa bado anahema.

      Habari zinasema kuwa, uvumi huo uliwashtua wengi na kutokana na simu pamoja na watu wengi kufika nyumbani kwake ilimpasa mbunge huyo kutembea na Lap top yake ili kwa kadri alivyoweza-awaonyeshe watu kile kilichofanyika akiwa nchini India kwa matibabu.

      Hata hivyo, shuhuda mmoja anasema kuwa hali ya mbunge huyo bado haiko sawa na ndio maana hayupo kwenye kikao kinachoendelea sasa DODOMA.

      source: Wadau kutoka eneo la tukio. Korogwe

    2. Miaka 50

    3. #2
      ndomyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 1,790
      Rep Power : 727
      Likes Received
      179
      Likes Given
      0

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Profesa wa kusafiri na bundi,. Cafe tu watu tuyagaragaze magamba tena kama kule arumeru tulivoyagaragaza nkapa na migulu

    4. #3
      Ndechumia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2011
      Posts : 772
      Rep Power : 551
      Likes Received
      136
      Likes Given
      304

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Quote By MAKOLE
      Uvumi ulioenea kuwa Mbunge wa Korogwe Vijijini Steven Ngonyani a.k.a. Prof. Maji Marefu (C.C.M) amefariki dunia
      Sio wa kweli baada ya yeye mwenyewe kutembelea baadhi ya mitaa kuuthibitishia uma kuwa bado anahema.

      Habari zinasema kuwa, uvumi huo uliwashtua wengi na kutokana na simu pamoja na watu wengi kufika nyumbani kwake ilimpasa mbunge huyo kutembea na Lap top yake ili kwa kadri alivyoweza-awaonyeshe watu kile kilichofanyika akiwa nchini India kwa matibabu.

      Hata hivyo, shuhuda mmoja anasema kuwa hali ya mbunge huyo bado haiko sawa na ndio maana hayupo kwenye kikao kinachoendelea sasa DODOMA.

      source: Wadau kutoka eneo la tukio. Korogwe
      sijakuelewa hapo

    5. #4
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,837
      Rep Power : 6963
      Likes Received
      1989
      Likes Given
      1535

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Huyu si ndiyo Lusinde alisema anawachanja watu hadi .... ili waishi? Kivipi tena yeye mwenyewe afya yake mshike mshike? Nilidhani kamaa anaponya wengine basi yeye hakuna ugonjwa unaomgusa!
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    6. #5
      STIDE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2011
      Posts : 800
      Rep Power : 554
      Likes Received
      268
      Likes Given
      0

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Duh!! Katucheleweshea jimbo!! Mungu ampe maisha marefu!

    7. Study Abroad

    8. #6
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,650
      Rep Power : 715
      Likes Received
      289
      Likes Given
      36

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Hakuna sababu ya kuzusha Kila mtu ata kufa 2 haikwepeki ikifika imefika

    9. #7
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,665
      Rep Power : 1908
      Likes Received
      1562
      Likes Given
      676

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Wala huko bungeni haitajiki kwani wagonga meza waliopo wanatosha tena na bora wengine wapungue

    10. #8
      MD25's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Location : Mugumu, Serengeti
      Posts : 1,890
      Rep Power : 895
      Likes Received
      534
      Likes Given
      64

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Muda si mrefu atamfuata ndugu yake shekh yahya hussein, inapendeza sana mchawi anapokufa...

    11. #9
      STIDE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2011
      Posts : 800
      Rep Power : 554
      Likes Received
      268
      Likes Given
      0

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Mchawi hafi ki-rahisi aisee!!
      Daudi Mchambuzi likes this.

    12. #10
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,229
      Rep Power : 1536
      Likes Received
      764
      Likes Given
      52

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Wishing him quick recovery!

    13. #11
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,361
      Rep Power : 12708
      Likes Received
      2188
      Likes Given
      1819

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Mimi naomba Pro. Maji Marefu apate afya njema. Kuhusu suala la eti akifa jimbo litaangukia mikononi mwa CDM hilo kwa wilaya ya Korogwe vijijini bado maana wakazi wa kule ni wazigua ambao wamelishwa limbwata na CCM.

      Ukianzia vijiji vyote vya Kwalokonge Magamba, Kweisewa, Masimbani, Toronto n.k bado muamko ni mdogo sana mpaka labda vuguvugu lipite kwanza.

    14. #12
      Jembe Ulaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th October 2008
      Posts : 414
      Rep Power : 620
      Likes Received
      95
      Likes Given
      126

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Maji marefu, kina kifupi.
      CHADEMA CHAWEMA CHAWEZA!

    15. #13
      MAKOLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 422
      Rep Power : 452
      Likes Received
      109
      Likes Given
      105

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Quote By Mzee wa Rula
      Mimi naomba Pro. Maji Marefu apate afya njema. Kuhusu suala la eti akifa jimbo litaangukia mikononi mwa CDM hilo kwa wilaya ya Korogwe vijijini bado maana wakazi wa kule ni wazigua ambao wamelishwa limbwata na CCM.

      Ukianzia vijiji vyote vya Kwalokonge Magamba, Kweisewa, Masimbani, Toronto n.k bado muamko ni mdogo sana mpaka labda vuguvugu lipite kwanza.
      Jimbo lake sehemu kiubwa ni wasambaa mkubwa. Labda ungezungumzia ni makabila mchanganyiko ya wasambaa na wazigua. Ila hayo maeneo uliyoyataja ni ka sehemu kadogo sana ka Kor-vijijini

    16. #14
      Las Mas Bobos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 890
      Rep Power : 527
      Likes Received
      292
      Likes Given
      82

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Zimeenea wapi, mbona mimi sijasikia mganga yeyote kafa?

      Sisi tupo macho, tunasikilizia jimbo
      Daniel Anderson likes this.

    17. #15
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,706
      Rep Power : 4188
      Likes Received
      989
      Likes Given
      410

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Quote By STIDE
      Mchawi hafi ki-rahisi aisee!!
      Nani kasema mchawi huyo, alikuwa akiganga njaa kuwatoa upepo walionazo.
      Sasa njaa yke kaipeleka bungeni, Tanzania bana!!!
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    18. #16
      Hute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 1,402
      Rep Power : 710
      Likes Received
      354
      Likes Given
      23

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      angeondoka tu, mchawi mkubwa.
      Kama huna meno,usile bisi, kula Bwimbwi yaani kimbugi. Uongozi ukikushinda waachie wanaoweza!

    19. #17
      Mwanandani's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 152
      Rep Power : 0
      Likes Received
      29
      Likes Given
      0

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Kumbe na yeye anaweza kufa!sasa kwanini hua ana watishia wenzake na uchawi wake!Sisi makamanda atuogopi kufa sababu ata tukiogopa kufa niwajibu wakila mtu,pia atuogopi kuuliwa sababu ata tukiogo tutakufa ata namalaria,ata uyo atakae tuua na atakufa ata ishi milele.kwaiyo Makamanda wote tusonge mbele kulikomboa taifa letu atakae kufu ana fukiwa walio baki nikusonga mbele awawezi kutu ua wote,atuwezi pewa uhuru wa kweli kama zawadi lazima tupambane natu kubali kufa.

    20. #18
      Nambombe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 155
      Rep Power : 382
      Likes Received
      12
      Likes Given
      6

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      Quote By Hute
      angeondoka tu, mchawi mkubwa.
      pole prof

    21. #19
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,388
      Rep Power : 1264
      Likes Received
      1207
      Likes Given
      1253

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      KILA NAFSI ITAONJA MAUTI...hakuna cha proffesaa au docta maji mafupi

    22. #20
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,175
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default Re: Maji Marefu CHUPU CHUPU

      huo mda wa kuzunguka mtaani kuwaambia wananchi kuwa hajafa angeutumia kuzunguka katika jimbo hilo kufatilia matatizo yanayowakabili wananchi.
      Daniel Anderson likes this.

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...