Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 26
    1. #1
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,824
      Rep Power : 1374
      Likes Received
      1095
      Likes Given
      4

      Default MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

      Siku chache zilizopita kumekuwa na tetesi ktk mitandao mabalimbali hapa nchini na mtaani ya kwamba kulikuwa na kikao cha siri kilichofanyika kati ya Mwenyekiti wa CDM taifa(Freeman Mbowe) pamoja na mwenyekiti wa CCM taifa( Rais JK).

      Sasa naomba JJ Mnyika utoe maelezo ya kina kwa sisi wanachama wenu tujue the major theme ya kikao hicho na kwann kimekuwa cha siri? Pia ama uje ukanushe tetesi hizo.

      Maelezo juu ya hili swala yatasaidia kuondoa hofu ambayo ipo mioyoni mwa wanamabadiliko wote hapa nchini ambao wamekuwa wakitatizwa tetesi za kikao hicho cha siri.

      Wako ktk mabadilko
      Shardcole@Tabora1


    2. #2
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,798
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4411
      Likes Given
      1744

      Default re: MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

      Bila shaka kikao kilihusu maendeleo ya chama.

    3. #3
      grndossy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Posts : 243
      Rep Power : 650
      Likes Received
      60
      Likes Given
      116

      Default re: MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

      Ondoeni dhana ya kwamba tofauti ya itikadi za kisiasa ni uadui. Maana yake ukiwa CHADEMA huwezi kusimama wala kuongea na mwana CCM. Hizi fikra ni potofu sana.

      Sasa ikiwa Mbowe na Kikwete walikuwa marafiki toka kabla hawajapata madaraka walio nayo sasa, je watengane simply kwa kuwa wanatofautiana kiitikadi tu za kisiasa. Mbowe kuwa na kikao na Rais Jakaya Kikwete inaweza kuwa katika sura mbili; moja huyu ni Rais wa nchi anaweza kuwa na kikao na mtanzania yeyote anayotaka kuzungumza na huyo mtu ni siri yake na Mbowe akiona ni ya wazi atawaeleza wafuasi wake.

      Pili Mbowe ni Kiongozi wa Kambi ya upinzani Bungeni, Kikwete ni Mwenyekiti wa Chama Tawala, kuna shida gani wakiitana na kuzungumza. Kwani Mbowe ni mtoto mdogo? Tutalinda mpaka lini kiongozi wa CHADEMA asiongee na kiongozi wa CCM. I dont think Mbowe is that cheap.

    4. #4
      tara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 188
      Rep Power : 392
      Likes Received
      61
      Likes Given
      97

      Default re: MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

      Quote By Shardcole View Post
      Siku chache zilizopita kumekuwa na tetesi ktk mitandao mabalimbali hapa nchini na mtaani ya kwamba kulikuwa na kikao cha siri kilichofanyika kati ya Mwenyekiti wa CDM taifa(Freeman Mbowe) pamoja na mwenyekiti wa CCM taifa( Rais JK). Sasa naomba Jj mnyika utoe maelezo ya kina kwa sisi wanachama wenu tujue the major theme ya kikao hicho na kwann kimekuwa cha siri? Pia ama uje ukanushe tetesi hizo.
      Maelezo juu ya hili swala yatasaidia kuondoa hofu ambayo ipo mioyoni mwa wanamabadiliko wote hapa nchini ambao wamekuwa wakitatizwa tetesi za kikao hicho cha siri.

      Wako ktk mabadilko
      Shardcole@Tabora1
      Nafikiri hapa ungeuliza je ameenda kumwona kama mwenyekiti wa chama ama kama mtu binafsi kwa maana mwananchi wa kawaida kwa mambo yake binafsi.....
      Tumaini Makene likes this.

    5. #5
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,579
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      672
      Likes Given
      884

      Default re: MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

      Wanakumbushana lile DISCO la RSVP kabla halijaitwa Mbowe Hotel Dj Kalikali


    6. #6
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,604
      Rep Power : 823
      Likes Received
      278
      Likes Given
      53

      Default re: MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

      nadhani ungemwomba pia na nape naye atoe maelezo sio mnyika peke yake
      Tumaini Makene likes this.
      Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.


    7. #7
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,543
      Rep Power : 6185
      Likes Received
      3103
      Likes Given
      1025

      Default re: MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

      Sijui kama CDM huwa wanatoa taarifa juu ya mikutano ya faragha. Kuna mkutano walishafanya na mkuu wa nchi Dr. Slaa akasema wangetoa taarifa lakini hadi hii leo hakuna taarifa yoyote. Utamuonea tu Mnyika wa watu. Mwache Mnyika atupiganie wana Ubungo tupate maji na barabara badala ya kujikita kujibu masuala ya watu binafsi.

    8. #8
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,211
      Rep Power : 12771
      Likes Received
      6439
      Likes Given
      999

      Default re: MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

      Chadema mtaambiwa baadae kama mlivyoambiwa wakati Chadema walivyokwenda Ikulu...hakuna ubaya wowote JK kukutana na Mbowe siasa sio uadui.

    9. #9
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,824
      Rep Power : 1374
      Likes Received
      1095
      Likes Given
      4

      Default re: MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

      Jamani wakuu niseme kwamba sina maana mbaya lakini ktk harakati hizi inatubidi na ss wananchi tuwe makini na tusiache asilimia zote tufanyiwe na viongozi wetu pia inatupasa kuwa tunahoji mambo ambayo yanatutatza na hiyo ndio demokrasia, tusiamini sana viongozi wetu na kuwapa credibility ya kuwa wakamilifu kama malaika.

    10. #10
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,824
      Rep Power : 1374
      Likes Received
      1095
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Kimbunga View Post
      Sijui kama CDM huwa wanatoa taarifa juu ya mikutano ya faragha. Kuna mkutano walishafanya na mkuu wa nchi Dr. Slaa akasema wangetoa taarifa lakini hadi hii leo hakuna taarifa yoyote. Utamuonea tu Mnyika wa watu. Mwache Mnyika atupiganie wana Ubungo tupate maji na barabara badala ya kujikita kujibu masuala ya watu binafsi.
      mkuu mnyika ndio anahusika na maswala ya habari kama haya, alafu ni wajibu wetu wanachama kupata updates zihusizo chama na viongozi wetu, pia ni lazima tuhoji kama jinsi tulivyohoji miendendo na mahusiano ya Zitto na Jk.

    11. #11
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default

      mkubwa!Hivi kwanza nikuulize,hivi unamjua Mhe,Mbowe vizuri wewe?.kwa taarifa tu Mbowe si mwepesi kama uzaniavyo
      Tumaini Makene likes this.

    12. #12
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default

      Quote By Shardcole View Post
      mkuu mnyika ndio anahusika na maswala ya habari kama haya, alafu ni wajibu wetu wanachama kupata updates zihusizo chama na viongozi wetu, pia ni lazima tuhoji kama jinsi tulivyohoji miendendo na mahusiano ya Zitto na Jk.
      kuna vitu vya kuhoji,lakini si vyote.kwakua kuna vitu vinakua siri kwa kua tupo kwenye uwanja wa mapambano,kuna vitu inapaswa vijulikane kwa viongoz tu tena ngazi ya juu,na ndio maana tunakua chama makini

    13. #13
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default

      Quote By Shardcole View Post
      wananchi tuwe makini na tusiache asilimia zote tufanyiwe na viongozi wetu pia inatupasa kuwa tunahoji hiyo ndio demokrasia, tusiamini sana viongozi wetu.
      Shardcole tulia,chademda ni chama makini kuliko hata wananchi,umakini wao ndio umekufikisha hapo had ukawakubal,lazm uwaamini viongz kwan angalia walipotutoa na wanapotuelekeza twende,kumbuka mwananch wa leo si wa enz zile.nafaham kuna meng viongoz wetu hawa wanakutana nayo na kuyatatua.na ndio maana tuko tusonga mbele

    14. #14
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,838
      Rep Power : 0
      Likes Received
      565
      Likes Given
      295

      Default re: MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

      Quote By Ruhazwe JR View Post
      Shardcole tulia,chademda ni chama makini kuliko hata wananchi,umakini wao ndio umekufikisha hapo had ukawakubal,lazm uwaamini viongz kwan angalia walipotutoa na wanapotuelekeza twende,kumbuka mwananch wa leo si wa enz zile.nafaham kuna meng viongoz wetu hawa wanakutana nayo na kuyatatua.na ndio maana tuko tusonga mbele
      Mkuu @naomba maelezo ya ziada hapo kwenye red.

    15. #15
      Jembe Ulaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th October 2008
      Posts : 414
      Rep Power : 625
      Likes Received
      95
      Likes Given
      127

      Default re: MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

      Ukiambiwa haitakuwa siri tena.
      CHADEMA CHAWEMA CHAWEZA!

    16. #16
      Mgaya D.W's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 691
      Rep Power : 512
      Likes Received
      236
      Likes Given
      574

      Default re: MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

      Kama twamwamini mwkiti wa chama hatuna sababu ya kumtaka atueleze kila anachozungumza na kila mtu, busara ni kuwa na subira, hekima ni kusubiri ufahamishwe unachostahili.

      Pia chama lazima kiwe na mazungumzo na wengine yamkini mwkt wa CCM alipenda kuomba ushauri kutoka kwa mwkt wa cdm,so laweza lisiwe la public au utendaji wake ndo ukawa publicly.

      Usiwe na hofu kama wewe ni mjenzi makini wa taifa.karibu!

    17. #17
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default re: MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

      In politics there is no permanent enemy but permanent interests.

    18. #18
      Advocate Jasha's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th January 2007
      Posts : 720
      Rep Power : 1009
      Likes Received
      162
      Likes Given
      350

      Default re: MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

      Quote By Kimbunga View Post
      Sijui kama CDM huwa wanatoa taarifa juu ya mikutano ya faragha. Kuna mkutano walishafanya na mkuu wa nchi Dr. Slaa akasema wangetoa taarifa lakini hadi hii leo hakuna taarifa yoyote. Utamuonea tu Mnyika wa watu. Mwache Mnyika atupiganie wana Ubungo tupate maji na barabara badala ya kujikita kujibu masuala ya watu binafsi.
      kama mkutano wa faragha yanini kuutolea maelezo.
      nderingosha likes this.

    19. #19
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : Tandhaniya
      Posts : 4,497
      Rep Power : 1291
      Likes Received
      1242
      Likes Given
      1267

      Default re: MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

      hii hoja si ya busara sana kwani si kila kitu baba wa nyumba anaweza kuwaeleza watoto wa familia yake hata kama ni la maslahi yao..tatizo la kuropoka ropoka kila kitu ni la makamba na vuvuzela wake yule dogo wa uenezi

    20. #20
      nderingosha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2011
      Posts : 868
      Rep Power : 1462
      Likes Received
      451
      Likes Given
      130

      Default re: MNYIKA tunaomba utoe fafanuzi kwa niaba ya CHADEMA juu ya hili

      Quote By Advocate Jasha View Post
      kama mkutano wa faragha yanini kuutolea maelezo.
      how do we air this interview man??...for the status quo to get it?...ebu soma hii link upate hii interview ya wizi wa gold yetu unaofanywa na multnational companies....hii hapa soma/sikiliza...PressTV - Western exploitation of Tanzania for gold, moral outcry
      ....real change begins with PEOPLE.......

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...