Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bajeti Tanzania

    Report Post
    Results 1 to 2 of 2
    1. #1
      muchetz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th August 2010
      Posts : 237
      Rep Power : 496
      Likes Received
      62
      Likes Given
      1257

      Lightbulb Bajeti Tanzania

      Kwa yeyote ambaye anaufahamu wa mambo ya bajeti/uchumi naomba kuuliza.

      Kwa mujibu wa bajeti yetu ya mwaka huu (na miaka iliyopita zinafanana), tunatumia 70% kufanaya maendeleo ya 30%(kwa mkopo). Percent zinatofautiana kidogo kutoka mwaka hadi mwaka.
      Maswali

      1. Kwa staili ya bajeti hii sio kwamba tuko kwenye mzunguko "cycle" usioisha wa kukopa ili kufanikisha matumizi kwajili ya maendeleo ambayo hatufanyi sababu kila bajeti tunalipia madeni kwajili ya matumizi ya bajeti iliyoisha?

      2. Kwanini bajeti zetu zisiwe mfano 40% matumizi ya kufanyia maendeleo 60%? kwanini uwiano unakuwa kinyume? Ni lazima (requirement) ya kiuchumi au?

      3. Kwenye hizo bajeti za matumizi ya serikali wanalipia nini (hiyo 70%) iwapo maendeleo wanayotarajia kufanya ni 30% pekee? Mfano nataka kuzalisha shs 20 logic ya kutumia shs 60 kutengeneza shs 20 inakuwa justified vipi?

      Kwa machache hayo mwenye kujua mambo hayo ya bajeti naomba anipe ufafanuzi kidogo.


    2. #2
      Precise pangolin's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,761
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1609
      Likes Given
      684

      Default Re: Bajeti Tanzania

      Mkuu mimi nasubiri bajeti yangu jumatatu kutoka kwa mheshimiwa zito

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...