Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: MP Dr Hamis Kigwangallah, UPDATES PLEASE!

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      Ilulu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd March 2008
      Location : Vibwende (Kwa babu)
      Posts : 163
      Rep Power : 603
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default MP Dr Hamis Kigwangallah,HONGERA KUFANYA MKUTANO!

      Leo Jumamosi tarehe 16/06/2012 ndiyo siku Mh. Kigwangallah (MB) anafanya maandamano na mkutano ndani ya Jimbo lake la Nzega, na kwa maelezo yake akiungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaomuunga mkono katika hoja yake ya msingi iliyomsukuma kufanya maandamano na mkutano.

      Hata hivyo nimeona kimya kingi, tangu asubuhi nimekuwamo humu jamvini bila updates zozote juu ya shughuli hii.
      Kwa yeyeote yule aliyepo eneo la tukio, Isungangwanda, Nzega Ndogo au maeneo hayo, tuhabarisheni ili tuweze kupima matokeo ya tukio ili.

      Itakuwa vyema kama tunaweza kupata na picha za mkusanyiko huo. Maandamano ni watu na Mkutano pia ni watu

      UPDATES:
      • Mh. Kigwangallah amefanikiwa kufanya mkutano kama dhamira yake ilivyomsukuma
      • Hakukuwa na mshirika hata mmoja kati ya wale aliojinasibu kuwa wangemuunga mkono (wabunge)
      • Askari walikuwa wengi, maudhurio ya raia/wapiga kura ni hafifu lakini alipata wasikilizaji
      • Kama kawa fuso zilisomba watu
      • waandishi wa habari walikuwa, tutarajia mengi toka kwao
      • Naambiwa kanguruma vilivyo, najua ni member hapa jamvini na atakuja kutujuvya.
      Last edited by Ilulu; 16th June 2012 at 19:56. Reason: Updates

    2. Miaka 50

    3. #2
      Hute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 1,410
      Rep Power : 713
      Likes Received
      354
      Likes Given
      23

      Default Re: MP Dr Hamis Kigwangallah, UPDATES PLEASE!

      mimi niko Natal, nikienda town badae nitakuambia nini kimeendelea.
      Kama huna meno,usile bisi, kula Bwimbwi yaani kimbugi. Uongozi ukikushinda waachie wanaoweza!

    4. #3
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,705
      Rep Power : 1917
      Likes Received
      1597
      Likes Given
      678

      Default Re: MP Dr Hamis Kigwangallah, UPDATES PLEASE!

      Labda yupo dodoma pale chako ni chako anatafuna vipande vya kuku
      Kigogo likes this.

    5. #4
      Ilulu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd March 2008
      Location : Vibwende (Kwa babu)
      Posts : 163
      Rep Power : 603
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default Re: MP Dr Hamis Kigwangallah, UPDATES PLEASE!

      Hute, jitahidi tafadhali, mimi nimeharibikiwa katikati ya Mambali na Bukene nilikuwa nawahi kufanya coverage ya hii event

    6. #5
      i pad3's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2012
      Posts : 1,363
      Rep Power : 656
      Likes Received
      337
      Likes Given
      152

      Default Re: MP Dr Hamis Kigwangallah, UPDATES PLEASE!

      anatafuta umaarufu huyu hana lolote . kwa nini asianadam,ane kimya kimya
      Mola awe nanyi


    7. #6
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,602
      Rep Power : 1073
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      262

      Default Re: MP Dr Hamis Kigwangallah, UPDATES PLEASE!

      Alisema wananchi kwanza chama baadaye, akitenda kinyume na hapo tutamuona naye ni VuVuZela kama Nape

    8. #7
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,286
      Rep Power : 3572
      Likes Received
      3079
      Likes Given
      465

      Default Re: MP Dr Hamis Kigwangallah, UPDATES PLEASE!

      Quote By Ilulu
      Leo Jumamosi tarehe 16/06/2012 ndiyo siku Mh. Kigwangallah (MB) anafanya maandamano na mkutano ndani ya Jimbo lake la Nzega, na kwa maelezo yake akiungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaomuunga mkono katika hoja yake ya msingi iliyomsukuma kufanya maandamano na mkutano.

      Hata hivyo nimeona kimya kingi, tangu asubuhi nimekuwamo humu jamvini bila updates zozote juu ya shughuli hii.
      Kwa yeyeote yule aliyepo eneo la tukio, Isungangwanda, Nzega Ndogo au maeneo hayo, tuhabarisheni ili tuweze kupima matokeo ya tukio ili.

      Itakuwa vyema kama tunaweza kupata na picha za mkusanyiko huo. Maandamano ni watu na Mkutano pia ni watu
      BELOW PLEASE FIND THE UPDATE



    9. #8
      Ilulu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd March 2008
      Location : Vibwende (Kwa babu)
      Posts : 163
      Rep Power : 603
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default Re: MP Dr Hamis Kigwangallah, UPDATES PLEASE!

      Hatimaye napata taarifa kuwa muda mchache ulipita Mh. Kigwangallah ameonekana maeneo ya NATA (Kijiji) akiamasisha watu kuanza maandamano

    10. #9
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,602
      Rep Power : 819
      Likes Received
      278
      Likes Given
      52

      Default Re: MP Dr Hamis Kigwangallah, UPDATES PLEASE!

      Quote By Ilulu
      Hatimaye napata taarifa kuwa muda mchache ulipita Mh. Kigwangallah ameonekana maeneo ya NATA (Kijiji) akiamasisha watu kuanza maandamano
      intelejensia ya polisi inasemaje kuhusu hayo maandamano
      Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.


    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...