Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 52
    1. #1
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,695
      Rep Power : 0
      Likes Received
      371
      Likes Given
      455

      Default CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nani zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      Nimekuwa nikifuatilia mikutano ya chadema kwa karibu sana na kugundua kuwa hujaa watu wengi sana kwa sababu ndio wanaonekana kimbilio pekee la watanganyika , lakini kwa mbali namuona huyu Nnape anakuja kwa kasi sana na anafanya kazi bila kulala, yaani kama Dr SlAA ataenda mtwara basi nape yuko bomba mbili songea.

      Sikatai CCM wamebaki na watu wachache sana wanaoweza kuwashawishi wananchi, lakini katika hao wachache namuona huyu nape ni sawa na makamanda kumi wa chadema, nina maana nape mmoja ni sawa na MBOWE, SLAA, ZITTO, LISU, LEMA, MNYIKA, MSIGWA, SUGU, MDEE NA YULE DOMO KUBWA SHIBUDA

      Mie sina chama ila nawapenda chadema lakini tuwe tunaangalia kwa wapinzani wetu nani tishio,
      Wakati Chadema wanazunguka tanzania nzima full squad, NAPE ANAZUNGUKA PEKE YAKE NA MIKUTANO YAKE INAJAA KAMA YA FULL SQUAD YA CHADEMA.

      Mie binafsi namuona nape kama marehemu HORACE KOLIMBA, kijana ni mkali kisiasa na ndio hazina kubwa ya CCM. anayepinga na aseme
      Last edited by Chilisosi; 16th June 2012 at 13:59.

    2. Miaka 50

    3. #21
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,573
      Rep Power : 946
      Likes Received
      691
      Likes Given
      131

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      Quote By chilisosi
      Kaka kwani ni kosa kumsifia mtu, mbona wewe unawasifia chadema sisemi unajitukana, kumbuka uhuru wa maoni. Usiwe sawa na mshabiki wa yanga akiona unaisifia simba kwa kucheza vizuri mashindano ya nje anakuona kama unajitukana kwa sababu na wewe ni yanga

      Ahaa kumbe unaongea kisa ni uhuru wa maoni? No comment on that.
      Ile edit heading basi maani nana zaidi haieleweki Chilisosi aka kiungo cha chips.

    4. #22
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,695
      Rep Power : 0
      Likes Received
      371
      Likes Given
      455

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      hahah, nimekusoma kaka

    5. #23
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,689
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1591
      Likes Given
      676

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      Quote By zomba
      Huyohuyo ndiye anaewahenyesha, jumuia yetu au yenu? "mpaka kieleweke" Sheikh Farid - Uamsho Zanzibar.
      Tuwe na jumuiya kwenye Nchi ya watu?

    6. #24
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 963
      Rep Power : 578
      Likes Received
      156
      Likes Given
      2

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      Nakubaliana na wewe asimilia 100 maana wale wote wanaozunguka naye wanapata allowance ambazo ni jasho letu, anagharamikia usafiri na kuwapa watu posho ili wahudhurie hivyo mikutano yake ni ajira za watu wengine, anagawa khanga,kofia,fulana

      chadema ni mwananchi mwenyewe anajitegema hadi uwanjani,hakuna cha allowance wala nini,

      wewe nenda kachukue mshahara wako wa wiki

    7. #25
      Alonick Antony's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th March 2012
      Posts : 58
      Rep Power : 373
      Likes Received
      5
      Likes Given
      1

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      Indoctrination

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      gnsulwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Posts : 93
      Rep Power : 373
      Likes Received
      3
      Likes Given
      7

      Default

      Quote By chilisosi
      Asante kwa kunisoma kaka,
      Mara nyingi watu wenye potential huwa hawakubaliki kwao, hata YESU wayahudi walimkataa
      Yep, unaona mbali sana chilisosi. Wa2 wengi ni myopic, wanaona hapo wanapokanyaga tu au pengine ni wavivu wa kufikiria sana. Nakupongeza vile umeweza kuona mbali sana. Ni kweli mtume siku zote hakubaliki
      Nyumbani.

    10. #27
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,244
      Rep Power : 962
      Likes Received
      606
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      Mimi simjui NAPE kama kuna mwenye picha yake pls atuwekee hapa.

    11. #28
      RICARDO KAKA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th May 2012
      Posts : 236
      Rep Power : 399
      Likes Received
      72
      Likes Given
      39

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      kumfananisha NAPE na CHADEMA ni sawa na kufananisha kiwango cha JOHN BOKO(nape) na LIONE MESSI(chadema)

    12. #29
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,480
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1248

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      Huu ni utoto.

    13. #30
      KASHOROBANA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,463
      Rep Power : 687
      Likes Received
      233
      Likes Given
      86

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      nape hana jipya lolote analofanya zaidi ya kufanya uzululaji uku akiongea na wanaCCM walioko huko,
      Nape hakisaidii chama chake kwa lolote, zaidi anapofika huko anakutana na wanachama wenzake, wala hakuna lolote jipya analofanya juu ya kuongeza idadi ya wanachama wapya zaid anabeza tu wanachama wao waliowahama.
      hivyo si tija wala busara kumfananisha Nape na aya majembe yaliyoko chadema

    14. #31
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,480
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1248

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      Fikra za kitoto

    15. #32
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,695
      Rep Power : 0
      Likes Received
      371
      Likes Given
      455

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      Quote By ruttashobolwa
      Fikra za kitoto
      Dduh!
      kwa hiyo nikimsifia shibuda ndio utaniona mtu mzima iwee!

    16. #33
      Emergence sumu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th November 2011
      Posts : 12
      Rep Power : 381
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nani zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      Quote By chilisosi
      Nimekuwa nikifuatilia mikutano ya chadema kwa karibu sana na kugundua kuwa hujaa watu wengi sana kwa sababu ndio wanaonekana kimbilio pekee la watanganyika , lakini kwa mbali namuona huyu Nnape anakuja kwa kasi sana na anafanya kazi bila kulala, yaani kama Dr SlAA ataenda mtwara basi nape yuko bomba mbili songea.

      Sikatai CCM wamebaki na watu wachache sana wanaoweza kuwashawishi wananchi, lakini katika hao wachache namuona huyu nape ni sawa na makamanda kumi wa chadema, nina maana nape mmoja ni sawa na MBOWE, SLAA, ZITTO, LISU, LEMA, MNYIKA, MSIGWA, SUGU, MDEE NA YULE DOMO KUBWA SHIBUDA

      Mie sina chama ila nawapenda chadema lakini tuwe tunaangalia kwa wapinzani wetu nani tishio,
      Wakati Chadema wanazunguka tanzania nzima full squad, NAPE ANAZUNGUKA PEKE YAKE NA MIKUTANO YAKE INAJAA KAMA YA FULL SQUAD YA CHADEMA.

      Mie binafsi namuona nape kama marehemu HORACE KOLIMBA, kijana ni mkali kisiasa na ndio hazina kubwa ya CCM. anayepinga na aseme
      Giza (CCM) na nuru (chadema) vina ushirika gani? TOENI GIZA KATIKATI YA NURU! YOU CANT COMPARE ****** WITH FULL MINDED! Jioni njema wanaJF.

    17. #34
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 880
      Likes Received
      244
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By chilisosi
      Nimekuwa nikifuatilia mikutano ya chadema kwa karibu sana na kugundua kuwa hujaa watu wengi sana kwa sababu ndio wanaonekana kimbilio pekee la watanganyika , lakini kwa mbali namuona huyu Nnape anakuja kwa kasi sana na anafanya kazi bila kulala, yaani kama Dr SlAA ataenda mtwara basi nape yuko bomba mbili songea.

      Sikatai CCM wamebaki na watu wachache sana wanaoweza kuwashawishi wananchi, lakini katika hao wachache namuona huyu nape ni sawa na makamanda kumi wa chadema, nina maana nape mmoja ni sawa na MBOWE, SLAA, ZITTO, LISU, LEMA, MNYIKA, MSIGWA, SUGU, MDEE NA YULE DOMO KUBWA SHIBUDA

      Mie sina chama ila nawapenda chadema lakini tuwe tunaangalia kwa wapinzani wetu nani tishio,
      Wakati Chadema wanazunguka tanzania nzima full squad, NAPE ANAZUNGUKA PEKE YAKE NA MIKUTANO YAKE INAJAA KAMA YA FULL SQUAD YA CHADEMA.

      Mie binafsi namuona nape kama marehemu HORACE KOLIMBA, kijana ni mkali kisiasa na ndio hazina kubwa ya CCM. anayepinga na aseme
      Umejiuliza swali na kujijibu mwenyewe,hapo tu inaonyesha ulivyo mweupe kwa kumfananisha Nape na Chadema.Rudi barabarani huko ulikoelekea siko

    18. #35
      Imany John's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 2977
      Likes Received
      471
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By chilisosi
      Nimekuwa nikifuatilia mikutano ya chadema kwa karibu sana na kugundua kuwa hujaa watu wengi sana kwa sababu ndio wanaonekana kimbilio pekee la watanganyika , lakini kwa mbali namuona huyu Nnape anakuja kwa kasi sana na anafanya kazi bila kulala, yaani kama Dr SlAA ataenda mtwara basi nape yuko bomba mbili songea.

      Sikatai CCM wamebaki na watu wachache sana wanaoweza kuwashawishi wananchi, lakini katika hao wachache namuona huyu nape ni sawa na makamanda kumi wa chadema, nina maana nape mmoja ni sawa na MBOWE, SLAA, ZITTO, LISU, LEMA, MNYIKA, MSIGWA, SUGU, MDEE NA YULE DOMO KUBWA SHIBUDA

      Mie sina chama ila nawapenda chadema lakini tuwe tunaangalia kwa wapinzani wetu nani tishio,
      Wakati Chadema wanazunguka tanzania nzima full squad, NAPE ANAZUNGUKA PEKE YAKE NA MIKUTANO YAKE INAJAA KAMA YA FULL SQUAD YA CHADEMA.

      Mie binafsi namuona nape kama marehemu HORACE KOLIMBA, kijana ni mkali kisiasa na ndio hazina kubwa ya CCM. anayepinga na aseme
      Mtoa mada unakwama.
      Cdm inafungua raia kutoka utumwa wa fikra,nape anawalisha raia kiapo cha kuwa wajinga milele.

    19. MTK
      #36
      MTK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 935
      Rep Power : 4497
      Likes Received
      303
      Likes Given
      331

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nani zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      Quote By chilisosi
      Nimekuwa nikifuatilia mikutano ya chadema kwa karibu sana na kugundua kuwa hujaa watu wengi sana kwa sababu ndio wanaonekana kimbilio pekee la watanganyika , lakini kwa mbali namuona huyu Nnape anakuja kwa kasi sana na anafanya kazi bila kulala, yaani kama Dr SlAA ataenda mtwara basi nape yuko bomba mbili songea.

      Sikatai CCM wamebaki na watu wachache sana wanaoweza kuwashawishi wananchi, lakini katika hao wachache namuona huyu nape ni sawa na makamanda kumi wa chadema, nina maana nape mmoja ni sawa na MBOWE, SLAA, ZITTO, LISU, LEMA, MNYIKA, MSIGWA, SUGU, MDEE NA YULE DOMO KUBWA SHIBUDA

      Mie sina chama ila nawapenda chadema lakini tuwe tunaangalia kwa wapinzani wetu nani tishio,
      Wakati Chadema wanazunguka tanzania nzima full squad, NAPE ANAZUNGUKA PEKE YAKE NA MIKUTANO YAKE INAJAA KAMA YA FULL SQUAD YA CHADEMA.

      Mie binafsi namuona nape kama marehemu HORACE KOLIMBA, kijana ni mkali kisiasa na ndio hazina kubwa ya CCM. anayepinga na aseme
      Reading your post between the lines inanionyesha kwamba capacity yako ya kuchambua na kunyumbulisha mambo na elimu yako ya mizania ni duni sana ndio maana unalinganisha CDM; TAASISI na Nape; INDIVIDUAL, jambo ambalo si sahihi kabisa kwa hiyo linakuumbua unaonekana wazi kwamba wewe ni CCM tofauti na kauli yako kwamba huna chama na kwa hiyo inabainisha wazi kwamba ajenda yako ni kuidhalilisha CDM; kitu ambacho hutaweza maisha yako. kauli zinaumba kijana!! kwa hiyo kabla ya kupost chochote hapa kindly engage your gray matter first.

    20. #37
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      Quote By Precise pangolin
      Tuwe na jumuiya kwenye Nchi ya watu?

      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    21. #38
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,689
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1591
      Likes Given
      676

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      Quote By zomba

      Kwi! Kwi! Kwi! CCM na nape

    22. #39
      CHEMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : A TOWN
      Posts : 369
      Rep Power : 1932
      Likes Received
      58
      Likes Given
      19

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      Nape kama anauwezo wa kufwata nyayo aje arusha..ck akitia mguu arusha basi na mm natakubali kwel ana uwezo

    23. #40
      mwakaboko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 633
      Rep Power : 566
      Likes Received
      140
      Likes Given
      858

      Default Re: CHADEMA V/S NAPE NNAUYE nana zaidi???? NAPE mkali kisiasa kama marehemu KOLIMBA nani anabisha???

      Quote By chilisosi
      Asante kwa kunisoma kaka,
      Mara nyingi watu wenye potential huwa hawakubaliki kwao, hata YESU wayahudi walimkataa
      Naomba uwe na busara usimfananishe Nape na YESU, the guy does not have that sifa.

      Nape namheshimu kama kiongozi, lkn sifa zake sio kubwa kiasi hicho. Huwezi kumlinganisha na Dr. Slaa. hata kiumri, kielimu, busara, hekima nk hawezi linganishwa na Dr. Slaa.

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...