Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nape na waalimu Mafinga

    Report Post
    Results 1 to 20 of 20
    1. #1
      Gizakuu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Posts : 39
      Rep Power : 363
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Nape na waalimu Mafinga

      Nashauri si busara kabisa kubeza hizi juhudi za magamba za kurudisha imani ya watu mbalimbali nchini kwao. Leo Mafinga Nape amekutana na waalimu zaidi ya 360 na amekuwa na amzungumzo nao kwa muda mrefu sanaaa! Juhudi hizi zitaturudisha nyuma sana kwenye ukombozi wa nchi tuwe macho na huyu.dogo!
      Attached Thumbnails  

    2. Miaka 50

    3. #2
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,705
      Rep Power : 1917
      Likes Received
      1597
      Likes Given
      678

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      Mkuu Hana hela ya kuwalipa malimbikizo Yao sana sana atawaahidi uongo ndio wazidi kujichimbia kaburi

    4. #3
      UmkhontoweSizwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2008
      Posts : 2,022
      Rep Power : 936
      Likes Received
      556
      Likes Given
      319

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      Wamekuja kwa hiari yao au wamelazimishwa na mwajiri wao kuja kuongea naye? Nadhani ni kinyume cha taratibu za ajira kwa mwajiri kutumia uwezo wake kushinikiza waajiriwa wake kwenda kusikiliza au kuongea na wanasiasa au viongozi wa chama fulani cha siasa. Hata kama yeye Nape ndo anawalipa posho na pesa ya kujikimu, bado siyo sahihi kwa mwajiri wao kutumiwa na wanasiasa.
      "Power tends to corrupt, and absolute power corrupts absolutely." (Lord Acton, 1887)

    5. #4
      Gizakuu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Posts : 39
      Rep Power : 363
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      Niliwaulimuuliza mmoja wa waalimu kama wameshinikizwa kuhudhuria mazungumzo hayo, akaanza kwa kunishangaa...." hivi mtu mzima anaweza lazimishwa kuja hapa?!! Sisi watu wazima TUMEOMBA WENYEWE KUKUTANA NA MWENYE SERIKALI AMBAYE NI CHAMA TAWALA, TUMWELEZE YANAYOTUKERA... hakuna aliyelazimishwa"

    6. #5
      Bhbm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2009
      Posts : 650
      Rep Power : 617
      Likes Received
      151
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      Tatizo asilimia kubwa ya walimu bongo ni valaza. Kama unamchukua mtu aliyeshindwa kufaulu mtihani then ndio akawe mwalimu unategemea nini hapo. Walimu makini wanaojua haki zao ni wale wenye degree, but hao wa chini yaani certificates na diploma, ni vilaza sana wengi wao na ndiyo wanaotuangusha. We kama huamini oa mwalimu then utathibitisha haya nisemayo.
      nyamemba likes this.


    7. #6
      JAPHETtumpa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th February 2012
      Posts : 64
      Rep Power : 378
      Likes Received
      11
      Likes Given
      6

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      mimi ni mwalimu najaribu kufikiria sababu ya hao walimu kukusanyika hapo nakosa sioni sana naona jinsi hao walimu walivyokosa uelewa wa mambo.haiwezekani lipo tatizo kwenye uelewa wa walimu hao.kwa sababu walimu wenye akili tulisha ona nini cha kuwafundisha watoto na maendeleo sio mabaya saana. Kama serikali haisikilisi tunajua cha kufanya .sasa hao walimu wa mafinga wanaishi tanzania gani, napata mashaka na uelewa wao.
      nyamemba likes this.

    8. #7
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 963
      Rep Power : 579
      Likes Received
      156
      Likes Given
      2

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      Watanzania sio wa hivyo,wameshajua hiyo ni janja ya nyani,hata wafanye nini bado tutapambana nao tu.
      Changes 4 new generation

    9. #8
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      tulisha sema hatuna haja ya kura za waalimu...

      leo mmewakumbuka sio??

      ila kwa sababu ya vinjaanjaa vyao watawasamehe bbwana..si unajua tena ualimu ni wto na sio ajiraa

    10. #9
      Makala Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 1,677
      Rep Power : 727
      Likes Received
      351
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      Hao waalimu wajinga-wajinga wafukuzwe mara moja.Nasema ni wajinga kwa sababu naamini katika mkataba wao wa ajira hakuna sehemu pameainishwa kwamba Waalimu wakiwa na matatizo watakaa vikao na viongozi wa vyama vya siasa.Ina maana kwamba wizara ya elimu haina connection yoyote na watumishi wake? Au wizara inamtumia NAPE kama communication tool then,ina maana kwamba mwalimu asipokuwa na mahusiano ya karibu na ccm matatizo yake hayatashughulikiwa. Siasa na utumishi ni lazima vitenganishwe.Tatizo ninaloliona ni namna baadhi ya masomo yanayotolewa ni yale yanayomuandaa mtu kuwa zezeta,mwoga na anaeshindwa kujua network ya kutatua matatizo.Kwa vitendo hivyo vya waalimu wasiojitambua je,tutegemee idadi ya wanafunzi wenye kusimamia mambo kutokea? Siku ya mei mosi,1996:mwalimu Nyerere aliwakumbusha wakulima na wafanyakazi kazi kwamba BABA YAO NI UMOJA.

    11. #10
      Sting's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2011
      Location : Mafichoni
      Posts : 690
      Rep Power : 539
      Likes Received
      136
      Likes Given
      51

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      Hao walimu wanakutana na Nape Kama nani??
      Naamini maneno ya wachangiaji hapo juu kua ni vilaza wa kutupwa!!

    12. #11
      Dabudee's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 129
      Rep Power : 377
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      Haya ndiyo matokeo ya "UALIMU PASIPO ELIMU". Sasa kutoka kwa mbumbumbu kama hawa utegemee elimu gani.

    13. #12
      kanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 737
      Rep Power : 571
      Likes Received
      292
      Likes Given
      410

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      Walimu wamejidhalilisha pamoja na DED,DEO na viongozi wa Halmshauri yao.Hivi kama hapo Walimu wakitoa malalamiko na maazimio nani anatekeleza wakati NEPI ni third party.Wote naamini ni vilaza siyo NEPI na walimu na viongozi wao wa Halmashauri.Ujinga kama wao huo hawezi kuondoa taifa ili katka utapiamlo wa maendeleo.

    14. #13
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,207
      Rep Power : 2625
      Likes Received
      3000
      Likes Given
      13672

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      mbwa tunayemjua jina hawezi kutusumbua kamwe.

    15. #14
      peter tumaini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Location : DSM
      Posts : 575
      Rep Power : 484
      Likes Received
      86
      Likes Given
      54

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      huenda anawandaa pindi pesa zao zikilipwa za malimbikizo aseme ilikuwa juhudi zake.

    16. #15
      kapotolo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th September 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 2,409
      Rep Power : 1196
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      392

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      Quote By Gizakuu
      Niliwaulimuuliza mmoja wa waalimu kama wameshinikizwa kuhudhuria mazungumzo hayo, akaanza kwa kunishangaa...." hivi mtu mzima anaweza lazimishwa kuja hapa?!! Sisi watu wazima TUMEOMBA WENYEWE KUKUTANA NA MWENYE SERIKALI AMBAYE NI CHAMA TAWALA, TUMWELEZE YANAYOTUKERA... hakuna aliyelazimishwa"
      Umejiuliza na kujijibu mwenyewe gamba
      Kiongozi shupavu hawezi kutumia mabavu kuongoza, ni kiongozi dhaifu tu ndio atatumia mabavu kuficha udhaifu wake - Jenerali Ulimwengu

    17. #16
      Kaitampunu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : Kwenye Corner
      Posts : 668
      Rep Power : 512
      Likes Received
      138
      Likes Given
      198

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      Kwa mwendo huu matatizo ya walimu hayatapata suluhisho, ktk hili nape ni nani? Masikini walimu! Ok wameongea na huyo kilaza leo, kesho watahitwa na mkama wataenda, kesho kutwa watahitwa na wasira na wengineo maana orodha ni ndefu, mwisho wa siku matatizo ni pale pale! Ninacho kiona hapo hawajajua mkombozi wao ni nani.

    18. #17
      Malata Junior's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th November 2011
      Posts : 134
      Rep Power : 404
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      Quote By Gizakuu
      Nashauri si busara kabisa kubeza hizi juhudi za magamba za kurudisha imani ya watu mbalimbali nchini kwao. Leo Mafinga Nape amekutana na waalimu zaidi ya 360 na amekuwa na amzungumzo nao kwa muda mrefu sanaaa! Juhudi hizi zitaturudisha nyuma sana kwenye ukombozi wa nchi tuwe macho na huyu.dogo!
      kukutana na walimu ni kitu kingine na kumuelewa ni kitu kingine.arumeru walikutana makundi mbalimbali ikiwemo walimu kila moja kwa wakati wake lakini siku ya mwisho walitoa hukumu,wenyewe mnaijua!

    19. #18
      RICARDO KAKA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th May 2012
      Posts : 236
      Rep Power : 400
      Likes Received
      72
      Likes Given
      39

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      Labda Nape kaoa mwalimu, sasa hapo alikuwa anaongea na shemeji zake. otherwise no logic......!!!!!!!!!!!!!!!

    20. #19
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,210
      Rep Power : 2098
      Likes Received
      1236
      Likes Given
      313

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      Nape hajui anachofanya sasa anaongea na waalimu ili iwe nini?
      ______________________________ _
      Niko tayari kufa huku nimesimama kuliko kuishi huku nimepiga magoti....

    21. #20
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,964
      Rep Power : 30234
      Likes Received
      4726
      Likes Given
      3477

      Default Re: Nape na waalimu Mafinga

      Itakuwa anaongea nao kuhusu umuhimu wa sensa, kwani kuna mtu hapo!? Nape na hao walimu ni sawa na mbwa kala mbwa!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...