Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tukubali kuwatetea wazanzibar wanaoishi Tanganyika kwa kuiuwa Zanzibar kumezwa na muungano?

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      Kakke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th December 2010
      Posts : 731
      Rep Power : 579
      Likes Received
      138
      Likes Given
      0

      Default Tukubali kuwatetea wazanzibar wanaoishi Tanganyika kwa kuiuwa Zanzibar kumezwa na muungano?

      Mimi hushangazwa sana na viongozi wetu wa Smz kusema kuwa Muungano ukivunjika Wazanzibar waloko Tanganyika waatapata tabu.

      Viongozi wenye mawazo haya hawafai kabisa kuwa viongozi wa Serekali ya watu wa Zanzibar na nizaaifu kiuongozi.

      Hivi kweli tukubali kuwatetea Wale waloko ugenini huku wandani ya nchi na nchi yao ikipotea kwa visingizio visivyo na Machiko? Maneno haya yamezoweleka na hata kufika hadi viongozi wa Tanganyika kuona ndio kisingizio cha kulinda Muungano na kutula kwa matonge.

      Hivi kweli inaingia akilini kuza nchi yetu kwa kisingizio cha wenzetu waloko ugenini au viongozi kuekeza Tanganyika na kuwa na nyumba kule?

      Mimi nahisi hichi sio kigezo sahihi cha kuto kulivua hili Jindamizi la Muungano kwa kisingizio cha kiongozi kaekeza miradi yake kule au Wazanzibar wenye kuishi kule, kwani chakujiuliza wenye kuishi Tanganyika ni Wazanzibar tu ndio wageni wa Muungano?.

      Jee Muungano ukivunjika ni Wazanzibar tu ndio walengwa, kuna nchi nyingi ziliungana na bada ya kuona Muungano haukizi mahitajio yao na kuamua kuuvunja, mfano Senegali/Gambia, Syria/Egypt, Cheko/Slovakia, South Korea/North Korea etc.

      Jee wachina, Wahindi, Walebanoni, Wasouthafrica, Wazambia na nchi jirani za Bara la Tanganyika Muungano ukivunjika hao vipi? Kwani kuna tatizo gani Wazanzibar kuishi Tanganyika na kufuataa sheria zote kama vile wageni wengine wachina na wengine walio Pakana na Tanganyika?.

      Ikiwa viongozi wa Tanganyika wamekuwa wakitumia kigezo na ngao ya Kuvunjika kwa Muungano na Wazanzibar waloko Tanganyika, jee nyuma ya upande wa shilingi tukibiruza Watanganyika waloko Zanzibar vipi?

      Nashindwa kuona viongozi wa Smz wakijizalilisha kwa kusema Wazanzibar walioko Tanganyika tu na kusahau Watanganyika waloko Zanzibar.

      Tuangalie Faida na hasara za Wazanzibar walioko Tanganyika na Watanganyika waloko Zanzibar pindipo Muungano ukivunjika.

      Wazanzibar walioko Tanganyika wengi wao ni wafanya biashara na wanaingiza pato kubwa katika Serekali ya Tanganyika kwa kulipa kodi.

      Sasa tuangalie Watanganyika na biashara zao za Karanga, Dawa ya Panya na biashaza nyengi wazifanyazo Zanzibar zinaingiza pato gani katika Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar?.


    2. #2
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,692
      Rep Power : 2910
      Likes Received
      3888
      Likes Given
      12456

      Default Re: Tukubali kuwatetea wazanzibar wanaoishi Tanganyika kwa kuiuwa Zanzibar kumezwa na muungano?

      Kwa taarifa yako Watanganyika walioko Zanzibar ni wachache kulinganishwa na Wazanzibari walioko bara. Tafakari.
      BAK likes this.

    3. #3
      Globu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Location : Giningi
      Posts : 5,083
      Rep Power : 3354
      Likes Received
      566
      Likes Given
      36

      Default Re: Tukubali kuwatetea wazanzibar wanaoishi Tanganyika kwa kuiuwa Zanzibar kumezwa na muungano?

      Zanzibar kuna viongozi au makanjanja, wachumia tumbo?

    4. #4
      rodrick alexander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 729
      Rep Power : 516
      Likes Received
      172
      Likes Given
      341

      Default Re: Tukubali kuwatetea wazanzibar wanaoishi Tanganyika kwa kuiuwa Zanzibar kumezwa na muungano?

      kama nyinyi hamuwataki watu wa bara kwanini mtulazimishe na sisi tukae na wazanzibar kwani hizo bar mnazochoma moto mnajua zinaingiza kodi kiasi gani kama wazanzibar wanaoishi bara wanachangia kodi kubwa ni heri warudi kwao ili waijenge nchi yao.Nyinyi ni sawasawa na mtu anayeendesha gari halafu likamgonga mwenyewe muungano una mazuri na mabaya yake lakini tukiyaweka kwenye mizani kuna mazuri zaidi kuliko mabaya nyinyi anzeni sisi tutamaliza
      Jasusi and Ukoo Flani like this.

    5. #5
      Black Bat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Abbottabad
      Posts : 2,566
      Rep Power : 9602
      Likes Received
      698
      Likes Given
      575

      Default Re: Tukubali kuwatetea wazanzibar wanaoishi Tanganyika kwa kuiuwa Zanzibar kumezwa na muungano?

      mke anaililia talaka


    6. #6
      Ukoo Flani's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st September 2011
      Location : Everywhere
      Posts : 73
      Rep Power : 408
      Likes Received
      15
      Likes Given
      28

      Default Re: Tukubali kuwatetea wazanzibar wanaoishi Tanganyika kwa kuiuwa Zanzibar kumezwa na muungano?

      Jamani eeeeeeh si mtoke tu kwenye huo Muungano kwani mmefungwa minyororo na watanganyika? Kila siku wimbo uleule zanzibaaar zanzibaaaarr hadi na wenyewe umekuwa Kero nyingine ya Muungano. Waambieni akina Dr. Bilal waachie nyadhifa zao kwenye Serikali ya Muungano warudi huko muijenge nchi yenu. Hakuna mantiki yoyote kuendelea kuwatukana watanganyika ambao zaidi ya 75% hawajawahi kukanyaga ardhi ya Zanzibar na wala hawafaidiki kwa namna yoyote ile na aina hii ya Muungano. Wakomalieni viongozi wenu mjitoe hata kesho.

    7. #7
      angedizzle's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th August 2011
      Posts : 110
      Rep Power : 420
      Likes Received
      27
      Likes Given
      25

      Default Re: Tukubali kuwatetea wazanzibar wanaoishi Tanganyika kwa kuiuwa Zanzibar kumezwa na muungano?

      ndo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia?,aliekwambia wa-bara tunautaka muungano nani?.......mkafie mbele,eboooo

    8. #8
      Ukoo Flani's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st September 2011
      Location : Everywhere
      Posts : 73
      Rep Power : 408
      Likes Received
      15
      Likes Given
      28

      Default

      Quote By angedizzle
      ndo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia?,aliekwambia wa-bara tunautaka muungano nani?.......mkafie mbele,eboooo
      Hahhah, naona mdau alikuja kuPost tu!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...