Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 57
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,400
      Rep Power : 10870
      Likes Received
      3773
      Likes Given
      426

      Default Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Kiongozi Mkuu wa upinzani nchini na Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM Dr Wilbroad Slaa amesema ameshangazwa na kushtushwa na bajeti ya serikali ya mwaka huu.
      Dr Slaa amesema serikali ya CCM imefikia mwisho wa kufikiri kwa kuomba misaada na mikopo kwa wahisani kwa lengo la kukidhi fungu la matumizi ya serikali.Dr Slaa amesema hakungekuwa na tatizo kama mikopo na misaada ingeelekezwa kwenye maendeleo kama ujenzi wa viwanda nk.Dr Slaa alihoji unakopa ili mlipane mishahara na marupurupu?
      Dr Slaa alishangazwa pia na serikali kutegemea vinywaji kila mwaka katika kuongeza kodi na kusema huko ni kukosa ubunifu.Mbona hawaangalii madini? Alihoji kiongozi huyo.
      Dr Slaa aliponda pia uamuzi wa kuanzisha kodi maalum kwenye plate namba za magari zenye majina ya watu na kusema huko ni kuleta matabaka katika nchi na kuhalalisha mafisadi kutamba na fedha zao haramu.

      Source:Tanzania Daima Jumamosi
      Gerald, Kiwi, muchetz and 1 others like this.

    2. Study Abroad

    3. #2
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,436
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4279
      Likes Given
      952

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Umenena baba,cc imefika mwisho wa kufikiri.

    4. #3
      Mufa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 36
      Rep Power : 393
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Jiandae kuapishwa 2015 mana kwanza tutakupigia kura pili tutalinda kura zetu vituoni mpaka tuhakikishe umeapishwa!
      Jasusi, Sangarara and GEMBESON like this.

    5. #4
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,603
      Rep Power : 1103
      Likes Received
      997
      Likes Given
      750

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Quote By Mufa
      Jiandae kuapishwa 2015 mana kwanza tutakupigia kura pili tutalinda kura zetu vituoni mpaka tuhakikishe umeapishwa!
      hata kabla ya hapo maana b4 2015 anything can happen!
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    6. #5
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,603
      Rep Power : 1103
      Likes Received
      997
      Likes Given
      750

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Ukiona maeneo ambayo hawataki kuelekeza nguvu sana kwenye kukusanya kodi ujue ndiko kwenye maslahi yao! Mfano mikataba ya madini inawanufaisha sana vigogo hivo hawataki kabisa iguswe! Mahoteli ya utalii na vitalu vya uwindaji na makampuni ya utalii ndio kabisaa hayaguswi kwa kuwa wao ndio wamiliki!aibu kwa taifa kama letu kukopa hata pesa ya matumizi ya kawaida!!aibu kwa taifa kutegemea pombe kama chanzo kikuu cha mapato!! hawa tunaowaita wawekezaji mchango wao ni upi kwenye bajeti yetu?? au ndio wale wanafanya shuguli zao bure bila kodi grace period ikikaribia kuisha wanabadili jina la kampuni??KUICHAGUA CCM KWELI LILIKUWA JANGA LA KITAIFA!!!
      Sn2139 and Precise pangolin like this.
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    7. Miaka 50

    8. #6
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,663
      Rep Power : 0
      Likes Received
      536
      Likes Given
      272

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Slaa anajua nini kuhusu bajeti? hivi si vituko waungwana?

    9. #7
      fyddell's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 317
      Rep Power : 437
      Likes Received
      49
      Likes Given
      231

      Default

      Quote By OSOKONI
      Ukiona maeneo ambayo hawataki kuelekeza nguvu sana kwenye kukusanya kodi ujue ndiko kwenye maslahi yao! Mfano mikataba ya madini inawanufaisha sana vigogo hivo hawataki kabisa iguswe! Mahoteli ya utalii na vitalu vya uwindaji na makampuni ya utalii ndio kabisaa hayaguswi kwa kuwa wao ndio wamiliki!aibu kwa taifa kama letu kukopa hata pesa ya matumizi ya kawaida!!aibu kwa taifa kutegemea pombe kama chanzo kikuu cha mapato!! hawa tunaowaita wawekezaji mchango wao ni upi kwenye bajeti yetu?? au ndio wale wanafanya shuguli zao bure bila kodi grace period ikikaribia kuisha wanabadili jina la kampuni??KUICHAGUA CCM KWELI LILIKUWA JANGA LA KITAIFA!!!
      Kaka nikupongezaje kwa uliyonena. I just like it

    10. #8
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,665
      Rep Power : 1908
      Likes Received
      1562
      Likes Given
      676

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Quote By Tume ya katiba
      Slaa anajua nini kuhusu bajeti? hivi si vituko waungwana?
      Zaidi ya kugomea sensa na kuchoma biblia mnafikiri kuna lazaidi mnalolijua?

    11. #9
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,598
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      315
      Likes Given
      894

      Default

      Quote By Tume ya katiba
      Slaa anajua nini kuhusu bajeti? hivi si vituko waungwana?
      Vipi ustaadh kazi ya kulipua makanisa huko kwenu mumeshamaliza mpaka unarukia mambo ya huku?
      kitenuly likes this.

    12. #10
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,400
      Rep Power : 10870
      Likes Received
      3773
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Tume ya katiba
      Slaa anajua nini kuhusu bajeti? hivi si vituko waungwana?
      Uamsho at work

    13. RMA
      #11
      RMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2010
      Posts : 410
      Rep Power : 519
      Likes Received
      87
      Likes Given
      0

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Quote By Tume ya katiba
      Slaa anajua nini kuhusu bajeti? hivi si vituko waungwana?
      Ama kweli!! Mheshimiwa unatoka pori gani wewe? ha! ha! ha! Hapa kinachoongelewa ni hoja na sio mtu!! Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people... (Eleanor Roosevelt).
      sam2000 likes this.

    14. #12
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,400
      Rep Power : 10870
      Likes Received
      3773
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By RMA
      Ama kweli!! Mheshimiwa unatoka pori gani wewe? ha! ha! ha! Hapa kinachoongelewa ni hoja na sio mtu!! Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people... (Eleanor Roosevelt).
      You made my day
      EDOMU likes this.

    15. #13
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,400
      Rep Power : 10870
      Likes Received
      3773
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Precise pangolin
      Zaidi ya kugomea sensa na kuchoma biblia mnafikiri kuna lazaidi mnalolijua?
      Wanalolijua lingine ni kuhesabu idadi ya wakristo serikalini na kusema NECTA inawapendelea watoto wa kikristo

    16. #14
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,400
      Rep Power : 10870
      Likes Received
      3773
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By OSOKONI
      Ukiona maeneo ambayo hawataki kuelekeza nguvu sana kwenye kukusanya kodi ujue ndiko kwenye maslahi yao! Mfano mikataba ya madini inawanufaisha sana vigogo hivo hawataki kabisa iguswe! Mahoteli ya utalii na vitalu vya uwindaji na makampuni ya utalii ndio kabisaa hayaguswi kwa kuwa wao ndio wamiliki!aibu kwa taifa kama letu kukopa hata pesa ya matumizi ya kawaida!!aibu kwa taifa kutegemea pombe kama chanzo kikuu cha mapato!! hawa tunaowaita wawekezaji mchango wao ni upi kwenye bajeti yetu?? au ndio wale wanafanya shuguli zao bure bila kodi grace period ikikaribia kuisha wanabadili jina la kampuni??KUICHAGUA CCM KWELI LILIKUWA JANGA LA KITAIFA!!!
      Umesema vema sana mkuu.

    17. #15
      mopaozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Posts : 2,446
      Rep Power : 757
      Likes Received
      258
      Likes Given
      49

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Bajeti nzuri donge tu na vizabinazabina vyenyu

    18. #16
      Godwinnko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Location : Moshi
      Posts : 484
      Rep Power : 668
      Likes Received
      111
      Likes Given
      64

      Default

      Quote By Tume ya katiba
      Slaa anajua nini kuhusu bajeti? hivi si vituko waungwana?
      Great sinker..!
      Endangered likes this.

    19. #17
      Pendael laizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 945
      Rep Power : 560
      Likes Received
      90
      Likes Given
      5

      Default

      Quote By Tume ya katiba
      Slaa anajua nini kuhusu bajeti? hivi si vituko waungwana?
      wewe unajua nini?manake nawekukuita bongolala maana hata kama unajua huwezi mshinda Dr slaa. Mimi naona unaleta ushabiki tu wa kimagamba na kumuogopa Dr slaa

    20. #18
      Pendael laizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 945
      Rep Power : 560
      Likes Received
      90
      Likes Given
      5

      Default

      Quote By mopaozi
      Bajeti nzuri donge tu na vizabinazabina vyenyu
      wapi ulipopaona kwenye bajeti kuwa ni nzuri?wakati bajeti sijaona kama itamnufaisha mkulima na mlalahoi.

    21. #19
      TEMILUGODA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 954
      Rep Power : 557
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Tume ya katiba
      Slaa anajua nini kuhusu bajeti? hivi si vituko waungwana?
      Elimu yako?

    22. #20
      MNYISANZU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,304
      Rep Power : 2017
      Likes Received
      587
      Likes Given
      76

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Quote By mopaozi
      Bajeti nzuri donge tu na vizabinazabina vyenyu
      Hebu niambie budget hii inamsaidia vipi mlalahoi/mkulima wa Kisiriri, Ndago, Kinampanda, nk. Unafiki ni sera ya magamba.
      " Ni fahari sana kuwa Mkristo "

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...