Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

    Report Post
    Page 3 of 3 FirstFirst 123
    Results 41 to 57 of 57
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,448
      Rep Power : 10880
      Likes Received
      3817
      Likes Given
      426

      Default Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Kiongozi Mkuu wa upinzani nchini na Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM Dr Wilbroad Slaa amesema ameshangazwa na kushtushwa na bajeti ya serikali ya mwaka huu.
      Dr Slaa amesema serikali ya CCM imefikia mwisho wa kufikiri kwa kuomba misaada na mikopo kwa wahisani kwa lengo la kukidhi fungu la matumizi ya serikali.Dr Slaa amesema hakungekuwa na tatizo kama mikopo na misaada ingeelekezwa kwenye maendeleo kama ujenzi wa viwanda nk.Dr Slaa alihoji unakopa ili mlipane mishahara na marupurupu?
      Dr Slaa alishangazwa pia na serikali kutegemea vinywaji kila mwaka katika kuongeza kodi na kusema huko ni kukosa ubunifu.Mbona hawaangalii madini? Alihoji kiongozi huyo.
      Dr Slaa aliponda pia uamuzi wa kuanzisha kodi maalum kwenye plate namba za magari zenye majina ya watu na kusema huko ni kuleta matabaka katika nchi na kuhalalisha mafisadi kutamba na fedha zao haramu.

      Source:Tanzania Daima Jumamosi
      Gerald, Kiwi, muchetz and 1 others like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #41
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 963
      Rep Power : 578
      Likes Received
      156
      Likes Given
      2

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Hivi viongozi walee wa .......... Wanasomeaga uchumi,philosophy n.k? Au ni kiarabu tu? Maana Tume ya katiba kakazana padri padri, unajua alipokuwa o level au a level alisomea nini au unajua upadri unaupata hata ukiwa chekechea kama wewe?

    4. #42
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,330
      Rep Power : 12591
      Likes Received
      5858
      Likes Given
      775

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Tatizo la Slaa siku zote anaongea kama mwanaharakati kazi kukosoa tu, Slaa unatakiwa useme mie tafanya A.B.C.D.

      Slaa, sijui anaishi dunia ya wapi unashangaa serikali kuanzisha kodi maalum kwenye plate namba za magari eti unasema ni kuhalalisha mafisadi kutamba, Slaa huu utaratibu upo dunia nzima hata huku Ulaya na Marekani kwa wafadhili wenu wanatumia huo utaratibu tena serikali wamechelewa sana.

      Tatizo la Slaa mtu akiishi maisha mazuri kwake ni fisadi weka wazi tujue sera zako kuhusu migodi Chadema wakichukuwa nchi watataifisha migodi yote au mtafanyaje.

    5. #43
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,448
      Rep Power : 10880
      Likes Received
      3817
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By ritz
      Tatizo la Slaa siku zote anaongea kama mwanaharakati kazi kukosoa tu, Slaa unatakiwa useme mie tafanya A.B.C.D.

      Slaa, sijui anaishi dunia ya wapi unashangaa serikali kuanzisha kodi maalum kwenye plate namba za magari eti unasema ni kuhalalisha mafisadi kutamba, Slaa huu utaratibu upo dunia nzima hata huku Ulaya na Marekani kwa wafadhili wenu wanatumia huo utaratibu tena serikali wamechelewa sana.

      Tatizo la Slaa mtu akiishi maisha mazuri kwake ni fisadi weka wazi tujue sera zako kuhusu migodi Chadema wakichukuwa nchi watataifisha migodi yote au mtafanyaje.
      Mkuu hii bajeti ya mwaka huu ni mbovu kuwahi kushuhudiwa Tanzania na ndio maana mbunge wa Kisesa CCM ameapa kuipinga kwa nguvu zote na yuko tayari kufukuzwa CCM kuliko kuunga mkono alichokiita uchafu.

    6. #44
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,704
      Rep Power : 1916
      Likes Received
      1596
      Likes Given
      678

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Quote By Molemo
      Mkuu hii bajeti ya mwaka huu ni mbovu kuwahi kushuhudiwa Tanzania na ndio maana mbunge wa Kisesa CCM ameapa kuipinga kwa nguvu zote na yuko tayari kufukuzwa CCM kuliko kuunga mkono alichokiita uchafu.
      Ameona ujinga ngoja awekeze kwa wananchi

    7. #45
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 963
      Rep Power : 578
      Likes Received
      156
      Likes Given
      2

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Rutz,tume ya uchaguzi kwa hali ilivyo hamtaweza kuingia darasa la kwanza itabidi tuwahamishie baby class kulingana na upeo wenu ulivyo

    8. Miaka 50

    9. #46
      Chakaza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2007
      Location : everywhere
      Posts : 3,559
      Rep Power : 1477
      Likes Received
      893
      Likes Given
      530

      Default

      Quote By Tume ya katiba
      Bsc (UD),MSC(pretoria univ.) na ya kwako mkuu?
      Kama hii ni kweli basi eitha una laana au umerukwa akili. Huwezikuwa unauona ukweli kisha unaukana waziwazi.
      Nyunyu and sam2000 like this.

    10. #47
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,330
      Rep Power : 12591
      Likes Received
      5858
      Likes Given
      775

      Default

      Quote By Molemo
      Mkuu hii bajeti ya mwaka huu ni mbovu kuwahi kushuhudiwa Tanzania na ndio maana mbunge wa Kisesa CCM ameapa kuipinga kwa nguvu zote na yuko tayari kufukuzwa CCM kuliko kuunga mkono alichokiita uchafu.
      Mkuu inawezekana bajeti ikawa mbovu lakini Slaa, mbona uwa asemi mie nikichukuwa nchi tawafanyia haya Watanzania A.B.C.D. ambayo CCM wameshindwa kuwafanyia Watanzania, sio kukosoa tu kama mwanaharakati, Slaa, ebu tuambie Chadema wakichukuwa nchi watavunja mikataba yote ya madini na kutaifisha migodi yote ya dhahabu na Almasi au utafanyaje Watanzania wanataka kujua sera zako mapema.

    11. #48
      Baba Collins's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2011
      Location : Naabi Gate
      Posts : 455
      Rep Power : 478
      Likes Received
      74
      Likes Given
      269

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Quote By Tume ya katiba
      Slaa anajua nini kuhusu bajeti? hivi si vituko waungwana?
      Anajua kwa kuwa alishawahi kuwa mbunge,acha mawazo mgando hayo!
      'Mwoga hana makovu'

    12. #49
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,267
      Rep Power : 967
      Likes Received
      612
      Likes Given
      0

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Dr slaa waambie,kwa mara nyingine kura yangu inakusubiri 2015 na nakuahidi nitailinda kwa garama yeyote!ccm akili imewaishia hadi wanakopa.

    13. #50
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,448
      Rep Power : 10880
      Likes Received
      3817
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Marire
      Dr slaa waambie,kwa mara nyingine kura yangu inakusubiri 2015 na nakuahidi nitailinda kwa garama yeyote!ccm akili imewaishia hadi wanakopa.
      Mkuu umenena

    14. #51
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 526
      Rep Power : 10615
      Likes Received
      153
      Likes Given
      119

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Quote By ritz
      Mkuu inawezekana bajeti ikawa mbovu lakini Slaa, mbona uwa asemi mie nikichukuwa nchi tawafanyia haya Watanzania A.B.C.D. ambayo CCM wameshindwa kuwafanyia Watanzania, sio kukosoa tu kama mwanaharakati, Slaa, ebu tuambie Chadema wakichukuwa nchi watavunja mikataba yote ya madini na kutaifisha migodi yote ya dhahabu na Almasi au utafanyaje Watanzania wanataka kujua sera zako mapema.
      Kichwa ni kisahaulifu namna hii, ndo maana mnaahidi lakini hamtekelezi kwa sababu ya usahaulifu wenu. Rudia ahadi zake zote.Aseme leo wakati alikwisha kukueleza toka 2010 na wewe ukachakachua kura zake.nenda zako na ujinga wenu.
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle

    15. #52
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,402
      Rep Power : 1286
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Molemo
      Kiongozi Mkuu wa upinzani nchini na Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM Dr Wilbroad Slaa amesema ameshangazwa na kushtushwa na bajeti ya serikali ya mwaka huu.
      Dr Slaa amesema serikali ya CCM imefikia mwisho wa kufikiri kwa kuomba misaada na mikopo kwa wahisani kwa lengo la kukidhi fungu la matumizi ya serikali.Dr Slaa amesema hakungekuwa na tatizo kama mikopo na misaada ingeelekezwa kwenye maendeleo kama ujenzi wa viwanda nk.Dr Slaa alihoji unakopa ili mlipane mishahara na marupurupu?
      Dr Slaa alishangazwa pia na serikali kutegemea vinywaji kila mwaka katika kuongeza kodi na kusema huko ni kukosa ubunifu.Mbona hawaangalii madini? Alihoji kiongozi huyo.
      Dr Slaa aliponda pia uamuzi wa kuanzisha kodi maalum kwenye plate namba za magari zenye majina ya watu na kusema huko ni kuleta matabaka katika nchi na kuhalalisha mafisadi kutamba na fedha zao haramu.

      Source:Tanzania Daima Jumamosi
      heshima mkuu Molemo!
      Nimeipenda sana hii" KIONGOZI MKUU WA UPINZANI NCHINI-dr slaa"

    16. #53
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,376
      Rep Power : 16493
      Likes Received
      4301
      Likes Given
      5491

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Quote By ritz
      Tatizo la Slaa siku zote anaongea kama mwanaharakati kazi kukosoa tu, Slaa unatakiwa useme mie tafanya A.B.C.D.

      Slaa, sijui anaishi dunia ya wapi unashangaa serikali kuanzisha kodi maalum kwenye plate namba za magari eti unasema ni kuhalalisha mafisadi kutamba, Slaa huu utaratibu upo dunia nzima hata huku Ulaya na Marekani kwa wafadhili wenu wanatumia huo utaratibu tena serikali wamechelewa sana.

      Tatizo la Slaa mtu akiishi maisha mazuri kwake ni fisadi weka wazi tujue sera zako kuhusu migodi Chadema wakichukuwa nchi watataifisha migodi yote au mtafanyaje.
      Siyo kila kitu anachofanya mfadhili wako basi na wewe unafanya,ungejisikiaje kama Matonya na uomba omba wake,anunue benzi ili awe sawa na wafadhili wake?
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    17. #54
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,448
      Rep Power : 10880
      Likes Received
      3817
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Shardcole
      heshima mkuu Molemo!
      Nimeipenda sana hii" KIONGOZI MKUU WA UPINZANI NCHINI-dr slaa"
      Mkuu huo ndio ukweli wenyewe

    18. #55
      Dr Amri Mabewa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 62
      Rep Power : 372
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      inasikitisha sana pale ambapo unakopa ili ule,ina maana wewe ni tegemezi,kuisifia bajeti hii ya tz ni kusifia utegemezi

    19. #56
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,448
      Rep Power : 10880
      Likes Received
      3817
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Dr Amri Mabewa
      inasikitisha sana pale ambapo unakopa ili ule,ina maana wewe ni tegemezi,kuisifia bajeti hii ya tz ni kusifia utegemezi
      Na ndicho kilichotufikisha hapa tulipo

    20. #57
      sam2000's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 153
      Rep Power : 424
      Likes Received
      38
      Likes Given
      113

      Default Re: Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

      Quote By RMA
      Ama kweli!! Mheshimiwa unatoka pori gani wewe? ha! ha! ha! Hapa kinachoongelewa ni hoja na sio mtu!! Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people... (Eleanor Roosevelt).
      Weighted answer to a hollow comment!

    Page 3 of 3 FirstFirst 123

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...