Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lema, Heche na Mabere Marando kufanya mkutano mkubwa wa hadhara (M4C) Jimbo la Segerea [Jumapili]

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 56
    1. #1
      Mendelian Inheritanc's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th December 2011
      Posts : 86
      Rep Power : 395
      Likes Received
      11
      Likes Given
      14

      Default Lema, Heche na Mabere Marando kufanya mkutano mkubwa wa hadhara (M4C) Jimbo la Segerea [Jumapili]

      CCM haikubaliki tushirikiane kuitokomeza.

      Wanachama na wapenzi wa CHADEMA na wananchi wote wa jimbo la segerea na dar es salaam kwa ujumla, baada ya kuitikisa kusini na viunga vyake sasa m4c imeingia katika jimbo la segerea tunaombwa tufike kwenye viwanja vya tabata shule (segerea) siku ya jumapili tar 17/06/2012 kuanzia saa sita mchana kutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara (M4C) ukiongozwa na kamanda godbless lema, john heche na muasisi wa mageuzi nchini kamanda mabere marando wote kwa pamoja watauwasha moto wa M4C wakiwa na makamnda wengine wengi kutoka makao makuu ya chama. Makamanda katika mwendelezo wa M4C watafungua ofisi za kata na kuzindua matawi mbali mbali katika jimbo la segerea na kumalizia na mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya tabata shule. Jiunge na vugu vugu la mabadiliko katika kuandika historia mpya ya Tz.

      Ukipata habari hii unaombwa umwambie na mwenzako. Hii sio ya kukosa makamanda. CCM Imezeeka tuitoe. - Moshi katibu BAVICHA (J) Segerea
      escober and Taja like this.


    2. #2
      Mendelian Inheritanc's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th December 2011
      Posts : 86
      Rep Power : 395
      Likes Received
      11
      Likes Given
      14

      Default Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap

      Ni heri vita inayotafuta Usawa na haki Duniani, kuliko amani inayopumbaza na kudhalilisha utu wa mwanadamu. Mtanzania usikate tamaa tukutane pale viwanja vya tabata shule tutafakari kwa pamoja mustakabali wa kupigika kwetu

    3. #3
      Godwinnko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Location : Moshi
      Posts : 511
      Rep Power : 679
      Likes Received
      128
      Likes Given
      64

      Default Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap

      m4c with no apology..!
      Taja and Mendelian Inheritanc like this.

    4. #4
      KISAKA MORIS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 367
      Rep Power : 434
      Likes Received
      30
      Likes Given
      47

      Default

      Pamoja sana kiongozi, waliopo pande hizo lazima watafika maana sisi tunakubalika na jamii inahitaji mabadiliko ya kweli yatakayoletwa na CHADEMA.

    5. #5
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 4,085
      Rep Power : 1237
      Likes Received
      988
      Likes Given
      247

      Default Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap

      I will be there if GOD wishes, 'cause i know without my suport ccm will think i'm on their side.


    6. #6
      chitalula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 438
      Rep Power : 524
      Likes Received
      88
      Likes Given
      40

      Default Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap

      Pamoja sana na kila la kheri m4c

    7. #7
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,045
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2093

      Default Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap

      Nasikia Kusini, Mwenyekiti na Katibu nusura wazipige kavu-kazu. Kwi kwi kwi teh teh teh. Mmoja anataka watu wake wabakie mmoja anataka waondolewe wawekwe wake.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    8. #8
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,756
      Rep Power : 1930
      Likes Received
      1609
      Likes Given
      684

      Default Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap

      Quote By zomba View Post
      Nasikia Kusini, Mwenyekiti na Katibu nusura wazipige kavu-kazu. Kwi kwi kwi teh teh teh. Mmoja anataka watu wake wabakie mmoja anataka waondolewe wawekwe wake.
      Nasikia baada ya kusikia pilau litakuwepo kwenye zoezi la sensa mmeanza kulegeza Uzi
      Asprin and asigwa like this.

    9. #9
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,045
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2093

      Default Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap

      Quote By Precise pangolin View Post
      Nasikia baada ya kusikia pilau litakuwepo kwenye zoezi la sensa mmeanza kulegeza Uzi
      Mie nilisikia biriani ya ndizi ndiyo itakuwepo. Kaskazini hawataki kushindwa nasikia siku hizi kuna biriani ya ndizi.

      Kiswahili sahihi ni Kuregeza sio "kulegeza".
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    10. #10
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,756
      Rep Power : 1930
      Likes Received
      1609
      Likes Given
      684

      Default Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap

      Quote By zomba View Post
      Mie nilisikia biriani ya ndizi ndiyo itakuwepo. Kaskazini hawataki kushindwa nasikia siku hizi kuna biriani ya ndizi.

      Kiswahili sahihi ni Kuregeza sio "kulegeza".
      Mbona sisi sensa tumeipokea kwa mikono miwili nyie mnagomea hata suala la maendeleo mkuu?

    11. #11
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,860
      Rep Power : 23488
      Likes Received
      1525
      Likes Given
      638

      Default Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap

      Hapa ni M4C mpk kieleweke

      kudadekiiiiiiiiii!!!!

      Wakimaliza hapo ni moja kwa mpaka W/Arusha vijijini yani Arumeru Magharibi zamani, Kata ya Kisongo,Tarafa ya Mkulat na Kata zote ndani ya Wilaya!

      Mabadiliko yanawezekana hakikaaaaaaa!

    12. #12
      gnsulwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Posts : 94
      Rep Power : 377
      Likes Received
      3
      Likes Given
      7

      Default Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap

      cdm bado wanajifunza kutawala nchi. Muda ukifika tutawapa kutawala kwa ss bado sana

    13. #13
      Mendelian Inheritanc's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th December 2011
      Posts : 86
      Rep Power : 395
      Likes Received
      11
      Likes Given
      14

      Default Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap

      Quote By gnsulwa View Post
      cdm bado wanajifunza kutawala nchi. Muda ukifika tutawapa kutawala kwa ss bado sana
      Magamba yanaruka na kukanyagana tu haa haah haaa kweli nimeamini “Mtu anaweza kuzini kwa siri lakini hawezi kuugua ukimwi kwa siri” Serikali na Chama cha Mapinduzi kimepuuza watu na haki zao kwa muda mrefu,na sasa kimezeeka na sera zake ndio zimeharibu Tanzania yetu. lakini wakati umefika ambapo wananchi hatutapuuzwa tena hata hivyo kwa kauli yako hii naamnini hujatumia ubongo kufikiri ila umetumia Nyongo n dat's the problem. subiri 2015 uone moto wake


    14. #14
      Mendelian Inheritanc's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th December 2011
      Posts : 86
      Rep Power : 395
      Likes Received
      11
      Likes Given
      14

      Default Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap

      Quote By zomba View Post
      Nasikia Kusini, Mwenyekiti na Katibu nusura wazipige kavu-kazu. Kwi kwi kwi teh teh teh. Mmoja anataka watu wake wabakie mmoja anataka waondolewe wawekwe wake.
      Magamba at work, teh teh we endelea kuskia si tunasonga mbele CDM ni kama mvua, huwezi kuzuia mvua ikiamua kunyesha inanyesha tu, the fact is Nyinyiem haikubaliki Tushirikiane Kuitokomeza coz imeleta jehanamu Tanzania. nenda kachukue 2000 yako kwa kazi yako usepe

    15. #15
      AMARIDONG's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2010
      Posts : 2,489
      Rep Power : 953
      Likes Received
      53
      Likes Given
      47

      Default Re: Lema, Heche na Mabere Marando kufanya mkutano mkubwa wa hadhara (M4C) Jimbo la Segerea [Jumapili

      Ali zenji;ali shababu;ali kaeda wamegomea sensa eti mpaka ubwabwa uwepo;sisi pipozz tunasonga m4c daima

    16. #16
      Mendelian Inheritanc's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th December 2011
      Posts : 86
      Rep Power : 395
      Likes Received
      11
      Likes Given
      14

      Default Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap

      Quote By Precise pangolin View Post
      Nasikia baada ya kusikia pilau litakuwepo kwenye zoezi la sensa mmeanza kulegeza Uzi
      teh teh hizi ni dalili ya Utapiaubongo na Kwashiorkor ya akili ukiuendekeza utakusababishia ugumba wa mawazo na mwisho utasa wa akili.

    17. #17
      Mendelian Inheritanc's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th December 2011
      Posts : 86
      Rep Power : 395
      Likes Received
      11
      Likes Given
      14

      Default Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap

      Quote By gnsulwa View Post
      cdm bado wanajifunza kutawala nchi. Muda ukifika tutawapa kutawala kwa ss bado sana
      Hata Wakoloni walimwambia Nyerere muda wa Tanganyika kujitawala wenyewe haujafika ukifika tutawapa, walitaka mpaka mwaka 1999 ndio watupe uhuru wetu, lakini watanganyika kwa kushirikiana na Nyerere hawakukubali na mwaka 1961 kikaeleweka. Amka mtanzania acha kujifanya kuwa huna ubongo ila una uji wa ulezi kichwani.

    18. #18
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default Re: Lema, Heche na Mabere Marando kufanya mkutano mkubwa wa hadhara (M4C) Jimbo la Segerea [Jumapili

      Habari njema sana hii. Ngoja niwataarifu na wengine.

    19. #19
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 1,031
      Rep Power : 596
      Likes Received
      164
      Likes Given
      2

      Default Re: Lema, Heche na Mabere Marando kufanya mkutano mkubwa wa hadhara (M4C) Jimbo la Segerea [Jumapili

      Kwa watakao kuwepo naombeni feed back maana mi niko huku kwenye chimbuko la mabadiliko AT

    20. #20
      Adharusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2012
      Location : Mtwara
      Posts : 652
      Rep Power : 504
      Likes Received
      82
      Likes Given
      298

      Default Re: Lema, Heche na Mabere Marando kufanya mkutano mkubwa wa hadhara (M4C) Jimbo la Segerea [Jumapili

      Vipi Lindi tulishamaliza..si tulisitisha kwa sbb ya msiba au

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...