Lema, Heche na Mabere Marando kufanya mkutano mkubwa wa hadhara (M4C) Jimbo la Segerea [Jumapili]
CCM haikubaliki tushirikiane kuitokomeza.
Wanachama na wapenzi wa CHADEMA na wananchi wote wa jimbo la segerea na dar es salaam kwa ujumla, baada ya kuitikisa kusini na viunga vyake sasa m4c imeingia katika jimbo la segerea tunaombwa tufike kwenye viwanja vya tabata shule (segerea) siku ya jumapili tar 17/06/2012 kuanzia saa sita mchana kutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara (M4C) ukiongozwa na kamanda godbless lema, john heche na muasisi wa mageuzi nchini kamanda mabere marando wote kwa pamoja watauwasha moto wa M4C wakiwa na makamnda wengine wengi kutoka makao makuu ya chama. Makamanda katika mwendelezo wa M4C watafungua ofisi za kata na kuzindua matawi mbali mbali katika jimbo la segerea na kumalizia na mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya tabata shule. Jiunge na vugu vugu la mabadiliko katika kuandika historia mpya ya Tz.
Ukipata habari hii unaombwa umwambie na mwenzako. Hii sio ya kukosa makamanda. CCM Imezeeka tuitoe. - Moshi katibu BAVICHA (J) Segerea
Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap
Baada ya hapo, Nape anatia timu jpili ya tarehe 24/6/2012.
Nawaomba kina Lema mpatieni Nape ratiba yenu ili nae ajipange. Mnamtesa huyo kijana, najua hapendi surprises, ndo maana anakurupuka sana ktk mikutano yake.
"Tanzania ni ya watanzania, na watanzania wenyewe ndo sisi"
Hata Wakoloni walimwambia Nyerere muda wa Tanganyika kujitawala wenyewe haujafika ukifika tutawapa, walitaka mpaka mwaka 1999 ndio watupe uhuru wetu, lakini watanganyika kwa kushirikiana na Nyerere hawakukubali na mwaka 1961 kikaeleweka. Amka mtanzania acha kujifanya kuwa huna ubongo ila una uji wa ulezi kichwani.
Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap
By Asprin
Hebu wasome watanzania wenzangu hapa chini...
Si Watanzania wote ambao lugha "mama" kwao ni Kiswahili, wengi wao ni lugha ya pili. Mimi lugha mama kwangu ni Kiswahili, kwa hiyo hunambii lolote kuhusu hili, nnajuwa na nna uhakika, regeza mwendo, regeza kamba, regeza kiuno, sio "legeza".
Re: G.lema, heche na mabere marando watafanya mkutano mkubwa wa hadhara (m4c) jimbo la segerea jumap
By zomba
Wewe uliyekurupuka, mimi Kiswahili ni lugha mama kwangu, wewe jee?
Want to know where Regeza Mwendo in Zanzibar Urban, Tanzania is located? Find out here.
Haya turudi kwenye mada.....Kesho makamanda wanakamu Segerea, njoo ujivue Gamba uvae Gwanda.
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '
Follow Us Here