Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 43
    1. #1
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 1,004
      Rep Power : 2462
      Likes Received
      194
      Likes Given
      17

      Default Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii

      Mwaka 2005 wakati Jakaya Kikwete anagombea Urais ilijulikana wazi kuwa kama angepata Urais basi Lowassa Ngoyai Edward angekuwa Wazir Mkuu- "YAKATIMIA"

      Au kama Prof Mark Mwandosya angepata Urais basi Dr Harrison Mwakyembe angeukwaa Uwazir mkuu- "HAYAKUTIMIA"

      Ili kutihibitisha hili- Wakati Dr Harrison anakabidhiwa jukumu la kuifatilia sakata lile mpaka tupo njia panda (Richmond) alimwambia Lowasa ajitetee- na Mkuu huyu wakati anajitetea alisema " TATIZO NI HUU UWAZIRI MKUU"

      Hii ni kumaanisha kuwa ilikuwa ni Vita ya Madaraka ya Utendaji mkuu kabisa wa serikali na Lowasa alijiona anaonewa WIVU.

      UHALISIA......
      Kumekuwa na dhana kwa baadhi ya watu kuwa Lowasa ndie suluhisho la MATATIZO ya WATZ na ni mtu mwenye MAAMUZI MAGUMU
      KULIKO KIONGOZI YEYOTE!!

      DR MWAKYEMBE kakabidhiwa Rungu (UWAZIRI KAMILI) anaonyesha uwezo wake wa utendaji kazi kwa kufanya kile kilichokuwa kinafichwa kwa kuwekwa chini ya fulani.

      JE HATUJIONI KUWA SASA NI MUDA MUAFAKA WA KUAMINI NCHI HII INAVIONGOZI WENGI MAHIRI NA WENYE MAAMUZI YENYE TIJA KWA TAIFA NA madailiko hayaletwi na mtu mmoja tu ni SISI SOTE NDIO TUTAIBADLISHA TZ pia yatupasa tubadilishe ule msimamo MGANDO uliopo na FIKRA zetu zilizopo kwenyekijichupa cha MUCOLYNE kuwa Suluhisho ni huyo jamaa - Lowasa..........!!?


    2. #2
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,779
      Rep Power : 19847
      Likes Received
      4407
      Likes Given
      1715

      Default Re: Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii.

      Tatizo ccm imewapaka kinyesi wengi hata wazuri wanaonekana wana harufu ya kinyesi
      UKI likes this.

    3. #3
      twatwatwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th September 2011
      Posts : 881
      Rep Power : 568
      Likes Received
      102
      Likes Given
      3

      Default Re: Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii.

      Sijawai kuona mtu anayeumwa akapewa sumu heti nidawa. Huyo ni FISADI hatuwezi kumpa mgonjwa wetu katu

    4. #4
      Nyetk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 1,049
      Rep Power : 690
      Likes Received
      580
      Likes Given
      600

      Default Re: Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii.

      Sijakuelewa.

    5. #5
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 1,004
      Rep Power : 2462
      Likes Received
      194
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By Nyetk View Post
      Sijakuelewa.
      wapi hujaelewa?


    6. #6
      Janjaweed's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,700
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1416
      Likes Given
      1585

      Default Re: Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii.

      tatizo ni ccm... period!!
      Crashwise likes this.

    7. #7
      Bubona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2011
      Posts : 296
      Rep Power : 453
      Likes Received
      54
      Likes Given
      11

      Default Re: Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii.

      Harakati za Magamba!!!

    8. #8
      Olaigwanani lang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2012
      Posts : 359
      Rep Power : 825
      Likes Received
      56
      Likes Given
      386

      Default Re: Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii.

      Yes we can

    9. #9
      Pendael laizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 945
      Rep Power : 564
      Likes Received
      90
      Likes Given
      5

      Default Re: Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii.

      Magamba hata wamuweke nani hatutaona ubora wowote manake wote ni mafsadi

    10. #10
      mkurugenz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 200
      Rep Power : 404
      Likes Received
      15
      Likes Given
      16

      Default Re: Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii.

      kwa magamba no nerss forever

    11. #11
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 1,004
      Rep Power : 2462
      Likes Received
      194
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By Pendael laizer View Post
      Magamba hata wamuweke nani hatutaona ubora wowote manake wote ni mafsadi
      kweli.

    12. #12
      bibliography's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 271
      Rep Power : 463
      Likes Received
      38
      Likes Given
      2

      Default Re: Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii.

      utakua umetumwa sio bure hivi EL huwa anawalipa shiling ngapi tena kwenye kumnadi?

    13. #13
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 1,004
      Rep Power : 2462
      Likes Received
      194
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By mkurugenz View Post
      kwa magamba no nerss forever
      umenena

    14. #14
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 1,004
      Rep Power : 2462
      Likes Received
      194
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By bibliography View Post
      utakua umetumwa sio bure hivi EL huwa anawalipa shiling ngapi tena kwenye kumnadi?
      hapa anadiwi m2

    15. #15
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1275
      Likes Received
      1314
      Likes Given
      1709

      Default Re: Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii

      Aliyekuambia suruhisho ni Lowasa ni nani? usitake kututoa kwenye mstari, suruhisho letu ni kuiondoa CCM Madarakani period. pumba zako peleka lumumba au chamwino

    16. #16
      Ngongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2008
      Location : Mlima Meru
      Posts : 4,970
      Rep Power : 6859
      Likes Received
      2410
      Likes Given
      3173

      Default Re: Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii

      Dr H Mwakyembe unaweza kumweka katika kundi la mawaziri wachapa kazi tatizo muda wake wa kuishi hapa dunia unawezakuwa umekaribia sana.Mungu akimsaidia akampatia walau miaka mitano si vibaya sana.

    17. #17
      Mnamzelu Miye's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 24
      Rep Power : 361
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii

      u mwehu kwa kumtabiria binadamu mwenzako, una macho huoni, una masikio unajifanya husikii. Mwakyembe "jembe"

    18. #18
      wagaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 600
      Rep Power : 484
      Likes Received
      123
      Likes Given
      92

      Default Re: Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii.

      Quote By bibliography View Post
      utakua umetumwa sio bure hivi EL huwa anawalipa shiling ngapi tena kwenye kumnadi?
      Soma thread vizuri, inaelekea hujamuelewa kabisa Mwea. Mleta mada anawapinga watu wanomtetea EL kuwa ni mchapa kazi na mwenye maamuzi magumu. Ametoa mfano wa Mwakyembe kuwa nae ni jembe na si lazima awe huyo EL pekee.
      "Tanzania ni ya watanzania, na watanzania wenyewe ndo sisi"

    19. #19
      Omonto wa-hene's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 158
      Rep Power : 395
      Likes Received
      42
      Likes Given
      37

      Default Re: Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii

      Eeeeeeeeeeeeeeeee Mola iepushe nchi yetu na gamba huyu EL maana ataifisidi ife kenye kenye. Amen!!!!

    20. #20
      GALIMA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th June 2011
      Posts : 135
      Rep Power : 430
      Likes Received
      21
      Likes Given
      12

      Default Re: Edward Lowassa: tatizo ni uwaziri mkuu, tafadhari isome hii

      gamba gamba tu jamani,hata ulichemshe haliivi.hao wote hawana jipya labda wavue magamba yao

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...