Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

    Report Post
    Page 6 of 16 FirstFirst ... 45678 ... LastLast
    Results 101 to 120 of 315
    1. #1
      Hutaki Unaacha's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 19th September 2010
      Posts : 9
      Rep Power : 457
      Likes Received
      355
      Likes Given
      0

      Default CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

      Wapendwa wanaJF,

      Kwanza niwaombe radhi kwa kukaa kimya kwa muda mrefu baada ya kutoa part II na kuahidi kuendelea kutoa part III ambayo ingekuwa ya mwisho. Ninajisikia vibaya kwa kukaa kimya bila kuwajulisha chochote. Mnisamehe kwa hilo. Ninafahamu wengi mtanielewa nikisema kwamba nimeacha kwa sasa kuendelea na ile series mpaka pale muda mwafaka utakapowadia tena. Kuna mipango mingi ambayo nilitaka kuielezea ya ndani zaidi (hasa kama ningefikia kwa Apson na Edward) ambayo kwa namna moja nyingine ingekuwa na matokeo ya aina mbili tu yaani kutengeneza mwanzo wa njia ya kuelekea kwenye ukombozi wa taifa letu au uvunjifu wa amani kubwa ambayo haikuwahi kutokea katika historia ya nchi yetu (nime-consider taifa kwanza ingawa ya kwangu ni tofauti na intelijensia ya mwema). Muda ukifika nitaleta habari yote ikiwa kamili na kwa hili sitakaa muda mrefu kama ambavyo huwa nafanya. Naomba tena mnielewe kwa hilo na kusema ukweli nawaomba radhi sana tena sana kwa hili.

      Lakini kuna hili ambalo imebidi nisiliache na kwa haraka haraka na mpangilio mbovu naomba nilitoe hasa kwa CHADEMA na rafiki zake. Mimi sio mwanachama wa chama chochote cha siasa. JK anakiri na ameendelea kukiri kwamba EL ameharibu mipango yake mingi sana. Analalamika sana jinsi ambavyo EL ameharibu strategies zake za kumweka mtu wake Ikulu. Kwa bahati mbaya sana JK amekuwa akishinikizwa na baadhi ya “washika dini” kumweka muislam kwenye urais wa 2015 kwa muda mrefu sasa. Niseme wazi kuwa sina shida na Islam na hata wakiongoza consecutively kwa miaka 400. Tatizo naliona pale ambapo dini inakuwa sifa. Na wapo waislamu wengi ambao hawaipendi tabia hii maana baadhi wanasema inawadhalilisha. Najaribu kutoa habari tu. Sitaki tuingie kwenye malumbano ya dini. I love my country. Mtu wa mwisho ambaye EL amemharibu ni Nundu..JK ameumia sana. Sikuwahi kumwona JK akiumia kiasi hiki baada ya mpendwa wake wa 2015 (Nundu) kuharibiwa. Nafahamu wengi watashangaa kumwona JK akihangaika kumweka Nundu 2015 akiwakilisha CCM. Nataka niseme wazi kuwa, yeye ndiye alikuwa anaandaliwa. Ninao ushahidi wa wazi kabisa. Nahodha, Hussein, Asharose (ambaye ame-underperform na “kufukuzwa” na Ban) etc wameonekana hawawezi kushindana na EL ndani ya CCM. Hata Emmanuel, Membe etc ambao labda wangeweza kutumika kushawishi kanisa hawawezi kushindana na EL ndani ya CCM.

      Kwa ufupi sana, ripoti iliyomfikia JK kutoka state department ilimnyong’onyeza JK pale ilipobainika wazi kuwa hakuna mwanaCCM ambaye atamshinda EL 2015. Baada ya kuona hakuna namna nyingine, mwezi uliopita JK na EL wamekutana karibu mara 4 na “kusameheana” ili kujenga mtandao wa kuendelea kuwa na mtu wao 2015 as a president..Katika mkutano ule ambao Rostam hakuhudhuria labda kwa sababu ya ugonjwa wa baba yake mzazi (anamuuguza baba yake kwa sasa), lengo lilikuwa ni kupanga mipango ya nini kifanyike ili CHADEMA wasishinde urais 2015. Katika mikutano yao, imeonekana kwamba, ni vigumu kumshinda Dr Slaa kwa kura (kumbuka huyu katika uchaguzi wa 2010 alipata 47.3% kama matokeo halisi kabla ya uchakachuaji wa kishamba kufanyika). Kwa maana hiyo mambo/alternatives yafuatayo yaliazimiwa (hili ni muhimu sana na ushabiki uwekwe pembeni ili muweze kunusuru chama chenu na mikakati yenu);

      1. Ule mpango wa kuipasua CHADEMA (unaohusisha viongozi wa dini walio karibu na CHADEMA au Slaa na kuratibiwa na idara kwa usiri wa hali ya juu) usitishwe kwa muda ili kuona kama mipango mingine itafaulu.

      2. JK ajiuzulu urais mnamo mwaka 2013 hivi ili chini ya Bilal na kwa muda mfupi mabadiliko makubwa yafanyike na CHADEMA waweze kujumuishwa katika serikali hasa Dr Slaa ili kujipanga kukimaliza CHADEMA kwa urais zaidi. Ingawa JK alihofia hii technique kwa maana ya Bilal but hii naona ina mkono wa “wafanyabiashara” wakubwa wa mataifa Fulani ambao wanataka biashara zao ziende vizuri kama JK ataondoka madarakani kwani akiendelea hataweza kumweka mtu wao ili aendelee kulinda 'maslahi Fulani'

      3. Katiba ijayo iruhusu serikali tatu na by any means ilazimike kuwa EL awe rais wa Tanganyika, Dr Slaa/CHADEMA wa Muungano (asiye na nguvu yoyote) na Shein aendelee Zanzibar.

      4. Moja ya watu wenye nguvu ndani ya CHADEMA ashawishike kugombea kama independent candidate (sio Zitto) na malipo yake yawe competitive na campaign yake 2015 iwe sponsored kwa gharama yeyote ile.

      CHADEMA kuweni makini sana na baadhi ya wajumbe wa kamati kuu ambao wanaweza kuwaharibia your way to 2015. Muda umeniishia kwa leo maana nasafiri muda si mrefu otherwise nikipata muda tena nitawapa updates. Thank you.

    2. Study Abroad

    3. #101
      middo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Posts : 47
      Rep Power : 422
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

      Kama JK akiachia ofis ccm watakua wameprove failure kwao nahiyyo itakua ticket kwawana cdm kuchukua nchi klaini.
      :p:p:p:pnaitamani hyo siku.

    4. #102
      Sir Leem's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 14th March 2008
      Posts : 433
      Rep Power : 657
      Likes Received
      40
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

      Katika habari hii chenye ukweli nacho kifahamu ni kuhusu ugonjwa wa baba ya Rostam anaumwa cancer anatibiwa ufaransa!

    5. #103
      nundaz's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th June 2012
      Posts : 15
      Rep Power : 353
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

      wakuu hapa kuna element flan ukweli so wapenda mabadiliko tusipuuzie hili swla....! mm ni new member ila ni mwanachadema mzuri ni nifanya kazi kubwa kuelimisha wanafunzi wangu kuhusu umuhimu wa m4c katika inchi yetu....!

      Nani anasimamia hatua za kufungua matawa kama 12 ya chadema wilayani korogwe vijijini mambo ni mazuri na mwitikio ni mzuri sana! nisaidieni link za nyuma za bwana hutaki unaacha hizo part 1&2 ili kuongeza maarifa zaidi sababu huwa sina tabia ya kupuuzia kila lisemwalo laweza kuwa habari wana m4c....! am waiting.......!

    6. #104
      Danho's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 54
      Rep Power : 359
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

      Tuombe MUNGU atusaidie na haya matatizo ya hii nchi na viongozi wake.

    7. #105
      Elungata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Posts : 3,659
      Rep Power : 1238
      Likes Received
      411
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

      Hii habari imetoka kama propaganda tu kutaka kugain popularity na kuendeleka kuiweka chadema kwenye headline.

      Mleta habari nna hakika kama habari yake ni kweli anayo access ya kumpata slaa,mbowe etc na kuwapa taarifa bila hata kuileta hapa.
      Nini hasa lengo la kuiweka hapa.kwa mwanachadema wa kawaida anaisoma wanaweza kuinfluence nini kama ni kweli ?.

      Habari haina details....kaokota majina kama apson,edward,rostamu,slaa akaweka na ukweli kidogo kuhusu kuuguza mgonjwa kwa rostam ,uongo wa hapa na pale na kuumba story aafu watu wazima na akili zao wako like....mkuu nimeamini uko jikoni WHICH IS OBVIOUSLY IDIOTIC.

    8. FemaTV & Radio

    9. #106
      Mtagwa lindi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 181
      Rep Power : 398
      Likes Received
      24
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

      hv hawajamaa wanatutafutia nn hasa sisi wa tanzania c watuache tumpate tunayemtaka

    10. #107
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By DOUGLAS SALLU
      Thread hii naiona ni mpango mkakati wa TISS kuipasua Chadema. Kumbukeni kauli ya Wasira kuwa Chadema itaparaganyika kabla ya 2015. Uzi umekaa kimtego saaana,someni kati kati ya mistari. Mimi sijainunua lakini siachi kwani naiona sumu iliyomwagwa itaingia mpaka kwenye uboho na itakuwa ngumu kuiondoa. Du TISS ni janga la nchi hii badala ya kuwa usalama wake.
      ni majimaji yaliyopo ndani ya mfupa.......
      Tuendelee na mada wadau
      DOUGLAS SALLU likes this.

    11. #108
      Mtagwa lindi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 181
      Rep Power : 398
      Likes Received
      24
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Comi
      Hivi jamani laana inachukuaga mda gani mpaka ianze kazi? Maana mhh
      hii umenifurahisha sana japo hujamlizia maana yke

    12. #109
      mtembez's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 357
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default

      Hili nalo neno...

      Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

    13. #110
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default Re: CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

      Hili si la kupuuzwa kama wengine wanavyodai,cha msingi ni kuwa makini na kuchukua tahadhari,kwani wahenga walisema lisemwalo lipo na kama halipo linakuja,
      sina budi kukushukuru mleta mada,
      ukipata muda tumwagie tena habari.

    14. #111
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By mtembez
      Hili nalo neno...

      Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
      Mkuu umeamua kuja na spea?

    15. #112
      Malipo kwamungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 276
      Rep Power : 417
      Likes Received
      41
      Likes Given
      68

      Default Re: CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

      Uzalendo ndio uliofanya tukajenga UJAMAA! Leo wanagawana na watoto wao mali na nguvu za wazalendo. Saa inakuja naam imeshafika ukombozi wa taifa hili ndani ya mfumo wa sirikali wakawepo wanaoasi viapo vyao na kutoa SIRI mlioko katika meza kuu jueni muda wa ukombozi umefika! Mzee Kitine enzi zako jambo hili lingewezekana mmoja wa vijana wako amwage issue nzima hivi?

    16. #113
      Mtagwa lindi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 181
      Rep Power : 398
      Likes Received
      24
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By de'levis
      nenda tena hapo kwenye ka kijiwe kisha uwaulize hao wanywaji wenzao juu ya mahali walipo wale vijana waliomkamata maige mwaka jana pale kibo palace akipokea pesa toka kwa wale jamaa wa vitalu akabanwa na kuulizwa na nani amemtuma kisha akutoboa na kueleza siri nzito juu ya biashara za mkuu wa nchi....wakikujibu waulize tena juu ya watu sita waliopelekwa bulgaria..wamekwenda kufanya nini na kwa nini kinaitwa kikosi maalumu kwa ajili ya kuidhibiti chadema kabla ya 2015?
      asante sikuyapenda majibu yake ngoja aende akatuletee majibu

    17. #114
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 982
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default Re: CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

      Yawezekana kweli!

      Jana nimemwona Dr. Slaa ITV anasakata rumba na Salma Kikwete!

      Naona wanatumia oppotunity zao vema kumlainisha Kamanda Mkuu!

      CDM tukae chonjo!!

    18. #115
      mmbangifingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 2,568
      Rep Power : 857
      Likes Received
      452
      Likes Given
      2906

      Default Re: CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

      Quote By Kaitampunu
      Kwenye hii habari nimenusa ukweli fulani kwani kuna jamaa yangu wa system amenieleza vitu ambavyo havipishani na hiki kilichoandikwa. Stay tuned.
      Jamaa yako wa system nani,wakati we mwenyewe uko kule?
      Who Jah bless, No one Curse!

    19. #116
      Elungata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Posts : 3,659
      Rep Power : 1238
      Likes Received
      411
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

      Post yote ya jamaa kuibandika hapa haijamchukua hata dakika tatu ,kisha anaishia kusema anasafiri WAPI?ukweli ni kwamba hayuko creative anaishiwa mistari ya kutunga ndani ya dakika tatu.huyu anafaa kutuma story zake kwenye magazeti ya lawalawa.
      Kama ni kweli yuko jikoni hawezi kuwa mjinga kiasi cha kujilipua kwamba anasafiri kwani watamtrack down kwa kuwachunguza wanausalama wa karibu na mkuru wanaosafiri today.
      Hata kama ni kweli anayosema mbona kaweka dibaji ama utangulizi badala ya kuweka details angeweza kabisa kutenga hata nusu saa ili kuweka mambo wazi.
      Kama hio haitoshi anaingia na ID nyingine kwenye thread yake ili kukazia hoja..HIVI BULGARIA UNAPELEKA MTU KU?OMEA NINI,bora hata ungesema moscow,ama havana,au soza africa ambazo ccm wako na mahusiano.
      ONLY A FOOL CAN BUY THIS BULLSH#T.
      Godlisten Masawe likes this.

    20. #117
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

      Quote By Precise pangolin
      Sasa unamwambia nani wewe mdini?
      Hutaki unaacha.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    21. #118
      Jembe Ulaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th October 2008
      Posts : 414
      Rep Power : 620
      Likes Received
      95
      Likes Given
      126

      Default Re: CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

      Hii hadithi iwe kweli au uongo haisaidii kitu. Rostam, Lowassa, Karume, Kikwete, Apson and the rest of the gang malumbano yao sanasana yatamchagua mgombea wa CCM. Na huyo mgombea atagaragazwa na mgombea wa CDM. Wananchi ambao wameichoka CCM hawatarudia kosa walilofanya 2010. Mwaka 2015 watapiga kura na kulinda kura. Cha msingi ni CDM kuwa makini, kuendelea actively na mikakati yake na isiyumbishwe na huku "kujipanga" kwa CCM.

      Bado tutasikia hadhithi nyingi sana tu.....
      CHADEMA CHAWEMA CHAWEZA!

    22. #119
      Godlisten Masawe's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th July 2011
      Location : Hapa Hapa
      Posts : 607
      Rep Power : 0
      Likes Received
      220
      Likes Given
      2877

      Default Re: CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

      Quote By Elungata
      Post yote ya jamaa kuibandika hapa haijamchukua hata dakika tatu ,kisha anaishia kusema anasafiri WAPI?ukweli ni kwamba hayuko creative anaishiwa mistari ya kutunga ndani ya dakika tatu.huyu anafaa kutuma story zake kwenye magazeti ya lawalawa.
      Kama ni kweli yuko jikoni hawezi kuwa mjinga kiasi cha kujilipua kwamba anasafiri kwani watamtrack down kwa kuwachunguza wanausalama wa karibu na mkuru wanaosafiri today.
      Hata kama ni kweli anayosema mbona kaweka dibaji ama utangulizi badala ya kuweka details angeweza kabisa kutenga hata nusu saa ili kuweka mambo wazi.
      Kama hio haitoshi anaingia na ID nyingine kwenye thread yake ili kukazia hoja..HIVI BULGARIA UNAPELEKA MTU KU?OMEA NINI,bora hata ungesema moscow,ama havana,au soza africa ambazo ccm wako na mahusiano.
      ONLY A FOOL CAN BUY THIS BULLSH#T.
      Mkuu umeongea yote. Mipasho tupu. Kamanda Mbowe, Dr Slaa endeleni na mapambano, nyeupe na nyekundu haviwezi kufanana kamwe, mamluki wote wenyewe wataomba kushuka njiani. chadema ya leo si chadema ya mwaka 2000, 2005 au 2010, chadema ya leo ni ya wananchi. kama mtu hatabisha nenda popote penye mkusanyiko wa watu au ktk daladala iponde chadema uone reaction ya wananchi.
      Reply With Quote

    23. #120
      Mkono's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Posts : 216
      Rep Power : 502
      Likes Received
      17
      Likes Given
      286

      Default Re: CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

      ni habari za kupuuza! Kikwete anaomba 2015 isifike aendelee kula bata magogoni we umasema 2013 ajiuzulu.Ni rahisi kwa marais wengi wa Afrika kubadili katiba ili waendelee kutawala nchi zao kuliko kujiuzulu ili waokoe wananchi wao.

    24. Miaka 50
    Page 6 of 16 FirstFirst ... 45678 ... LastLast

    LinkBacks (?)


    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...