Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hiki Chama Lazime Kife!!!!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 22
    1. #1
      Bazazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Location : Mzururaji
      Posts : 1,313
      Rep Power : 811
      Likes Received
      338
      Likes Given
      110

      Default Hiki Chama Lazime Kife!!!!

      Wanajamvi! Hii sms ilisambaa sana mwaka 2010 mara baada ya uchaguzi(niliipata 18/11/2010). Lakini kinachonishangaza badala ya chama kufa ndio kinazidi kukua kila siku. Sijui aliyeianzisha anajisikiaje kwa sasa.


      Hebu tujikumbushe

      "Haao walioteuliwa wanasababu zao. Ngoja nikuambie kama hujui:
      Joyce Mukya, G. Kiwelu na L. Nyerere ni wa M/kiti.
      C. Abwao na Anastella Malki ni wa Alf Konjesta.
      Rwamukaza ni wa Baregu.
      R. Kamili, Susan Kiwanga na Paulina Gekul ni wa Slaa.
      Chris Mtinda na Tina Lissu ni wa Lissu.
      M. Msabaha na Raya Hamisi ni wa MM/kiti Znz.
      Muhonga, A. Komu na L.Owenya wametetewa na Zito.
      Muturano, Kaihura na S. Lyimo wametoka BAWACHA .
      Mwanamrisho ni wa naibu Znz.
      Sasa kama huna mtu secretariet hupiti hata E. Matiko amepita kwa uwezo wake na juhudi za K. Mkumbo.

      HABARI NDIO HIYO CHAMA LAZIMA KIFE.
      Bibie! Usijisifu Kuwa Una Mimba: Msifie Aliyekupa Mimba.

    2. Miaka 50

    3. #2
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,749
      Rep Power : 4197
      Likes Received
      1012
      Likes Given
      416

      Default Re: Hiki Chama Lazime Kife!!!!

      Posti nyingine bwana!!

    4. #3
      SJUMAA26's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 327
      Rep Power : 623
      Likes Received
      69
      Likes Given
      2

      Default Re: Hiki Chama Lazime Kife!!!!

      Quote By Bazazi
      Wanajamvi! Hii sms ilisambaa sana mwaka 2010 mara baada ya uchaguzi(niliipata 18/11/2010). Lakini kinachonishangaza badala ya chama kufa ndio kinazidi kukua kila siku. Sijui aliyeianzisha anajisikiaje kwa sasa.


      Hebu tujikumbushe

      "Haao walioteuliwa wanasababu zao. Ngoja nikuambie kama hujui:
      Joyce Mukya, G. Kiwelu na L. Nyerere ni wa M/kiti.
      C. Abwao na Anastella Malki ni wa Alf Konjesta.
      Rwamukaza ni wa Baregu.
      R. Kamili, Susan Kiwanga na Paulina Gekul ni wa Slaa.
      Chris Mtinda na Tina Lissu ni wa Lissu.
      M. Msabaha na Raya Hamisi ni wa MM/kiti Znz.
      Muhonga, A. Komu na L.Owenya wametetewa na Zito.
      Muturano, Kaihura na S. Lyimo wametoka BAWACHA .
      Mwanamrisho ni wa naibu Znz.
      Sasa kama huna mtu secretariet hupiti hata E. Matiko amepita kwa uwezo wake na juhudi za K. Mkumbo.

      HABARI NDIO HIYO CHAMA LAZIMA KIFE.
      Sasa wewe umeileta tena hapa JF ya nini? Masaburi @ work!

    5. #4
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Hiki Chama Lazime Kife!!!!

      mkuu huwa unatumia ile pombe inaitwa ULANZI???

    6. #5
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,533
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Hiki Chama Lazime Kife!!!!

      waste of space
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      MANGUNGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,146
      Rep Power : 620
      Likes Received
      251
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By mtotowamjini
      waste of space
      kingunge ngombalu mwitu bhana!

    9. #7
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1675
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default Re: Hiki Chama Lazime Kife!!!!

      Quote By asigwa
      mkuu huwa unatumia ile pombe inaitwa ULANZI???
      acha kuudhalilisha ulanzi wewe!
      asigwa likes this.
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    10. #8
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Hiki Chama Lazime Kife!!!!

      Quote By Bazazi
      Wanajamvi! Hii sms ilisambaa sana mwaka 2010 mara baada ya uchaguzi(niliipata 18/11/2010). Lakini kinachonishangaza badala ya chama kufa ndio kinazidi kukua kila siku. Sijui aliyeianzisha anajisikiaje kwa sasa.


      Hebu tujikumbushe

      "Haao walioteuliwa wanasababu zao. Ngoja nikuambie kama hujui:
      Joyce Mukya, G. Kiwelu na L. Nyerere ni wa M/kiti.
      C. Abwao na Anastella Malki ni wa Alf Konjesta.
      Rwamukaza ni wa Baregu.
      R. Kamili, Susan Kiwanga na Paulina Gekul ni wa Slaa.
      Chris Mtinda na Tina Lissu ni wa Lissu.
      M. Msabaha na Raya Hamisi ni wa MM/kiti Znz.
      Muhonga, A. Komu na L.Owenya wametetewa na Zito.
      Muturano, Kaihura na S. Lyimo wametoka BAWACHA .
      Mwanamrisho ni wa naibu Znz.
      Sasa kama huna mtu secretariet hupiti hata E. Matiko amepita kwa uwezo wake na juhudi za K. Mkumbo.

      HABARI NDIO HIYO CHAMA LAZIMA KIFE.
      UNAOTA MCHANA WEWE,wewe na magamba wenzi ndo mtakufa.na mtahaha sana mpaka 2015 majibu mtakuwa nayo.gamba zito wewe,

    11. #9
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,497
      Rep Power : 19788
      Likes Received
      4312
      Likes Given
      1263

      Default Re: Hiki Chama Lazime Kife!!!!

      Utasubiri sana

    12. #10
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,421
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      785
      Likes Given
      1799

      Default Re: Hiki Chama Lazime Kife!!!!

      Bazazi hawajakuelewa!! Walijua kitakufa kwa propaganda na kuwatisha tisha matokeo yake kinakaba kila kona!! This is 21st century, those days are over. Kila mmoja yuko huru bado kidogo tutawageuzia kibao wanasiasa watakuwa wanafanya kile tunachokitaka wananchi.
      Bazazi likes this.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    13. #11
      KISAKA MORIS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 367
      Rep Power : 430
      Likes Received
      30
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By Bazazi
      Wanajamvi! Hii sms ilisambaa sana mwaka 2010 mara baada ya uchaguzi(niliipata 18/11/2010). Lakini kinachonishangaza badala ya chama kufa ndio kinazidi kukua kila siku. Sijui aliyeianzisha anajisikiaje kwa sasa.


      Hebu tujikumbushe

      "Haao walioteuliwa wanasababu zao. Ngoja nikuambie kama hujui:
      Joyce Mukya, G. Kiwelu na L. Nyerere ni wa M/kiti.
      C. Abwao na Anastella Malki ni wa Alf Konjesta.
      Rwamukaza ni wa Baregu.
      R. Kamili, Susan Kiwanga na Paulina Gekul ni wa Slaa.
      Chris Mtinda na Tina Lissu ni wa Lissu.
      M. Msabaha na Raya Hamisi ni wa MM/kiti Znz.
      Muhonga, A. Komu na L.Owenya wametetewa na Zito.
      Muturano, Kaihura na S. Lyimo wametoka BAWACHA .
      Mwanamrisho ni wa naibu Znz.
      Sasa kama huna mtu secretariet hupiti hata E. Matiko amepita kwa uwezo wake na juhudi za K. Mkumbo.

      HABARI NDIO HIYO CHAMA LAZIMA KIFE.
      Nishasema na nitasema majungu hayatawasaidia kamwe,' tujenge taifa letu.

    14. #12
      kitero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : Kaskazini
      Posts : 516
      Rep Power : 469
      Likes Received
      98
      Likes Given
      48

      Default Re: Hiki Chama Lazime Kife!!!!

      Wengine wakifanya poa ila CDM ikifanya kosa.

    15. #13
      Bangoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 2,274
      Rep Power : 836
      Likes Received
      371
      Likes Given
      0

      Default Re: Hiki Chama Lazime Kife!!!!

      Umekunywa mnazi!

    16. #14
      KISAKA MORIS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 367
      Rep Power : 430
      Likes Received
      30
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By Bazazi
      Wanajamvi! Hii sms ilisambaa sana mwaka 2010 mara baada ya uchaguzi(niliipata 18/11/2010). Lakini kinachonishangaza badala ya chama kufa ndio kinazidi kukua kila siku. Sijui aliyeianzisha anajisikiaje kwa sasa.


      Hebu tujikumbushe

      "Haao walioteuliwa wanasababu zao. Ngoja nikuambie kama hujui:
      Joyce Mukya, G. Kiwelu na L. Nyerere ni wa M/kiti.
      C. Abwao na Anastella Malki ni wa Alf Konjesta.
      Rwamukaza ni wa Baregu.
      R. Kamili, Susan Kiwanga na Paulina Gekul ni wa Slaa.
      Chris Mtinda na Tina Lissu ni wa Lissu.
      M. Msabaha na Raya Hamisi ni wa MM/kiti Znz.
      Muhonga, A. Komu na L.Owenya wametetewa na Zito.
      Muturano, Kaihura na S. Lyimo wametoka BAWACHA .
      Mwanamrisho ni wa naibu Znz.
      Sasa kama huna mtu secretariet hupiti hata E. Matiko amepita kwa uwezo wake na juhudi za K. Mkumbo.

      HABARI NDIO HIYO CHAMA LAZIMA KIFE.
      Utakufa ukiache kikitawala kizazi chako chote labda uhame nchi.

    17. #15
      mkurugenz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 200
      Rep Power : 400
      Likes Received
      15
      Likes Given
      16

      Default Re: Hiki Chama Lazime Kife!!!!

      no research no right to speake,na wewe ni mjumbe secretariet

    18. #16
      wagaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 598
      Rep Power : 479
      Likes Received
      123
      Likes Given
      92

      Default Re: Hiki Chama Lazime Kife!!!!

      Kweli uelewa wa watu wengine bana ni tatizo!
      Sasa mleta thread anasulubiwa kwa sababu ipi? Mbona yy kaileta ili makamanda waone jinsi CDM ilivyokuwa inatabiriwa mabaya na magwanda 2010 na sasa hali ni tofauti kabisa. Amejaribu kuonyesha kuwa sasa upepo umebadilika na ccm ndo wenye kutabiriwa kifo.
      Tusikimbilie kujibu kabla ya kuelewa kilichoandikwa!
      Bazazi likes this.
      "Tanzania ni ya watanzania, na watanzania wenyewe ndo sisi"

    19. #17
      peter tumaini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Location : DSM
      Posts : 575
      Rep Power : 484
      Likes Received
      86
      Likes Given
      54

      Default Re: Hiki Chama Lazime Kife!!!!

      ah Bazazi!

    20. #18
      Jadi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2011
      Posts : 361
      Rep Power : 467
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default

      Quote By Bazazi
      Wanajamvi! Hii sms ilisambaa sana mwaka 2010 mara baada ya uchaguzi(niliipata 18/11/2010). Lakini kinachonishangaza badala ya chama kufa ndio kinazidi kukua kila siku. Sijui aliyeianzisha anajisikiaje kwa sasa.


      Hebu tujikumbushe

      "Haao walioteuliwa wanasababu zao. Ngoja nikuambie kama hujui:
      Joyce Mukya, G. Kiwelu na L. Nyerere ni wa M/kiti.
      C. Abwao na Anastella Malki ni wa Alf Konjesta.
      Rwamukaza ni wa Baregu.
      R. Kamili, Susan Kiwanga na Paulina Gekul ni wa Slaa.
      Chris Mtinda na Tina Lissu ni wa Lissu.
      M. Msabaha na Raya Hamisi ni wa MM/kiti Znz.
      Muhonga, A. Komu na L.Owenya wametetewa na Zito.
      Muturano, Kaihura na S. Lyimo wametoka BAWACHA .
      Mwanamrisho ni wa naibu Znz.
      Sasa kama huna mtu secretariet hupiti hata E. Matiko amepita kwa uwezo wake na juhudi za K. Mkumbo.

      HABARI NDIO HIYO CHAMA LAZIMA KIFE.
      hivi wewe unaweza kuwapa cheo watu usiowajua?duuuuuh,maajabu hayataisha Tz hii

    21. #19
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,207
      Rep Power : 12014
      Likes Received
      2660
      Likes Given
      1584

      Default Re: Hiki Chama Lazime Kife!!!!

      mkuu acha kuanzisha thread za uchonganishi na ubaguzi. Hata Mungu hapendi. mia

    22. #20
      Bazazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Location : Mzururaji
      Posts : 1,313
      Rep Power : 811
      Likes Received
      338
      Likes Given
      110

      Default Re: Hiki Chama Lazime Kife!!!!

      Quote By wagaba
      Kweli uelewa wa watu wengine bana ni tatizo!
      Sasa mleta thread anasulubiwa kwa sababu ipi? Mbona yy kaileta ili makamanda waone jinsi CDM ilivyokuwa inatabiriwa mabaya na magwanda 2010 na sasa hali ni tofauti kabisa. Amejaribu kuonyesha kuwa sasa upepo umebadilika na ccm ndo wenye kutabiriwa kifo.
      Tusikimbilie kujibu kabla ya kuelewa kilichoandikwa!
      wagaba Uelewa wa wengi ndani ya JF kwa sasa ni mdogo sana. Niliileta sms hiyo ili watu wakumbuke CDM ilivyokuwa inatabiriwa mabaya na wanachama wake wenyewe. Hii sms kama sikosei iliandikwa na aliyekuwa m/kiti (T) wa BAWACHAaliyetimkia NCCR.

      JF kwa kweli hasa jukwaa hili la siasa limevamiwa na watoto wa FB ambao uwezo wako wa ku-"think critically" ni negligible. They just try kuongeza idada ya posts tu bila kujali mantiki. Vijana wetu hao tunaoategemea kupitia CDM waje kutuongoza lakini kufikiria uwezo namba za viatu. Aibu.

      Yes! Ndimi Bazazi!
      Bibie! Usijisifu Kuwa Una Mimba: Msifie Aliyekupa Mimba.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...