jamani ni jambo ambalo lipo na litakuwapo bila kupingwa.wanasiasa wanaweza wakawafanya wananchi wakawa na maendeleo au wasiwe na maendeleo.kwa macho ya kawaida espacially hapa tnazania nchini kwangu,wanasiasa ni watu wabaya maana sifa za wizi, dhuluma, uonevu,unyanyasaji,wauaji ni wanasiasa wetu wanaodai wameleta maendeleo.ila wanasiasa ndio viongozi siku zote,nchi bila siasa haipo.the issue is,wanasiasa wetu wapoje???.ukisema maendeleo hayaletwi na wansiasa,mie sikubaliani na wewe,maana wanasisa ndio
1.watawala
2.watunga sera na mipamgo ya maendele
3.wasimamizi wa maendeleo
nk.sasa wewe usiwadanganye wananchi,cha kusema ni kwamba,tunawapambanua vipi hao wanasiasa??
safi sana mamajack yaambie haya ni magamba yanafanya kazi yao!!
Ndugu wananchi maendeleo hayaletwi na vyama vya siasa, maendeleo yanaletwa na watu walioamua kuendelea.
Nchi ikiwa na wananchi walioamua kuendelea itaendelea tu.
Vijana changamkeni tumieni nguvu zenu. Nchi yetu ipo wanasiasa hawataweza hata siku moja kutuletea maendeleo.
Wengine hata mlo mmoja hatuna uhakika nao....halafu unaniambia niipende CCM yaani kwa picha hiyo juu...CCM NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO OOOO
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '
Hauna akili wewe, na hakuna point yoyote uliyoweka hapa, wewe inaonekana unatoka kwenye Familia ya kifukara sana kuanzia babu zako mpaka wewe mwenye na familia zote ambazo ndugu zako wameolewa au kuoa. tukifanya mabadiriko ya katiba wewe unastahili kupewa the lowest class ya uraia, inashangaza sana kwamba na wewe una haki ya kuandika kwenye public kama hii.
wewe daraja lako ni la utumwa. na slave master wako ni Nape.
Poa kwa matusi hayo uliyofundishwa na Mbowe. Ila akilizako hazinafikira na nyiendio mliokuwa mnatupwa kwenye mto kagera wakati wa Amini. Hufai kukaa na watu bali unafaa kukaa na majini, maana ulipata laana kabla ya kuzaliwa ndio maana watu mtaani kwenu hawakupendi, pia ulishaansaliwa adhabu yako moja kwa moja, hataukiomba na kutubu hautasamehewa.
Pole sana
MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI
Yaani nchi hii kila napo ifikilia CCM machozi huwa natamani kulia CCM imeshindwa kabisa kutuongoza wamekalia kushindana kuinyonya nchi hii, kila mtanzania anajua kuwa Mkapa alipewa kipande cha dhahabu tukapiga kelel weeeeeeeeeeee juzi mtoto anae jita mtoto wa mkulima nae kapewa dhahabu eti cheni ya mkewe ******** zenu CCM....
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '
maendeleo yoyote huanzai katika fikra kama wanasiasa na vyama vyao watakuwa kichochezi cha kuamsha fikra basi wao ni muhimu mno kuliko mtu anayemwaga mamilioni mitaani...
Maendeleo yana letwa na wanasiasa kwa kuwa wanakuwa na dhamana toka kwa wananchi, tusifanye makosa uchaguzi ujao kuinusuru tz. Tumchague mtu atakae wajibika kwetu, kweli anauchungu na taifa hili fitna na majungu kwake mwiko, akakuwa tayari kutupa ripoti sisi kwa wakati, atatoa ahadi za kweli na zinazotekelezeka.
Poa kwa matusi hayo uliyofundishwa na Mbowe. Ila akilizako hazinafikira na nyiendio mliokuwa mnatupwa kwenye mto kagera wakati wa Amini. Hufai kukaa na watu bali unafaa kukaa na majini, maana ulipata laana kabla ya kuzaliwa ndio maana watu mtaani kwenu hawakupendi, pia ulishaansaliwa adhabu yako moja kwa moja, hataukiomba na kutubu hautasamehewa.
Pole sana
Naona umeishiwa kama chama chako....CCM haisafishiki ni zaidi ya mavi....
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '
Mkuu ni Tanzania, kutoka mikoa mabayo wana gasi, wanalima korosho, aridhi nzuri kama unavyoiona lakini kuna **** CCM yamewafikisha hapo walipo..kifundi kambi ya CCM iliko kuwa imabaki sasa nako kumenuka subiri mwaka 2015....
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '
sasa kama mimi nataka kujiendeleza kwa kujenga au kuweka biashara kwenye eneo ambalo serikali yangu imeninyang'anya sasa nitaendelea kivipi...hao viongozi wanaplay part kubwa sana kwenye maendeleo ya wananchi
Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde
One man's good fortune is another man's misfortune
Ndugu wananchi maendeleo hayaletwi na vyama vya siasa, maendeleo yanaletwa na watu walioamua kuendelea.
Nchi ikiwa na wananchi walioamua kuendelea itaendelea tu.
Vijana changamkeni tumieni nguvu zenu. Nchi yetu ipo wanasiasa hawataweza hata siku moja kutuletea maendeleo.
Alaaa hivi kuna nchi isiyokuwa na POLICY?... na kama hakuna hizo sera huletwa na kina nani?..
Maendeleo yanaletwa na siasa ktk nchi yeyote duniani ndiyo maana wenzetu wanabadili chama cha siasa kutokana na swra zake na wanaangalia na uwezo wa mgombea kuliko tz tuache siasa za kukomoana na kuchagua viongozi wabadhilifu wasio na uchungu na taifa hili.
Mkuu: Ni kweli kuwa siasa ni moja ya nyanja kuu za maisha, pamoja na tamaduni(kwangu kama msingi mkuu), na uchumi. Vitu hivi havitengani kamwe! Kila mtu ni mwanasiasa, mwanauchumi, na mwanatamaduni katika taifa lake...yaani hizo ni sifa kuu zinazo m-shape binadamu! Tujiulize hapa, ni nani haishi siasa, tamaduni, ama uchumi? Mambo hayo yote hupaswa kusimikiwa mifumo ya kuyaendesha kufikia maendeleo ya watu. Mifumo hiyo ni lazima isadifu (a) MAZINGIRA yaani sura ya nchi na watu wake (b) NYAKATI, yaani mahusiano yaliyopo katika mazingira, yaani baina ya watu na watu, na watu na sura yao ya nchi. ,, Hapo ndipo tunapohoji ufanisi na uzito wa mifumo iliyopo katika kuendesha nyanja hizi za maisha kuleta maendeleo. Je, mifumo hiyo inakidhi haja?
Kisiasa tupo chini ya "demokrasia", kiuchumi tupo chini ya "uchumi huria-free economy" Kitamaduni nako tunasema "uhuru-freedom". Yote hayo yapo chini ya katiba inayoitwa "HAKI ZA BINADAMU-HUMAN RIGHTS"
Tukiruhusu fikra zetu, kufanya upembuzi yakinifu juu ya mifumo iliyopo "HUWEZI KUKATAA KWAMBA, KUAMINI MAENDELEO YATALETWA NA SIASA ILIYOPO NI KUJIDANGANYA"
Ubunifu haujawai kufika mwisho. Tunayo nafasi ya kuutumia!
Mungu wetu anaita!
Mkuu maneno yako ni ya ujenzi sana...Pro-Chadema JF wengi wao wanadhani Chadema wakichukuwa nchi kila mtu atakuwa tajiri.
THIS IS FALLACY.si kweli kuwa watu wanadhani chadema ikichukua madaraka watu wote tutakuwa matajiri ila tunataka! mabadiliko, we know for sure they'll not satisfy everyone ila watatuondoa tulipo, yaani kwaakili kidogo tu wawezajua suala hili halihitaji shule.
THIS IS FALLACY.si kweli kuwa watu wanadhani chadema ikichukua madaraka watu wote tutakuwa matajiri ila tunataka! mabadiliko, we know for sure they'll not satisfy everyone ila watatuondoa tulipo, yaani kwaakili kidogo tu wawezajua suala hili halihitaji shule.
Amani kwa wote Makamanda!
Sikia ndugu yangu Utaedelea kusubiri mkombozi mpaka utachoka. Ndio maana Waisrael mpaka leo wanamsubiri Masia.
Kaka achana na hawa wanasiasa hawawezi kukufanyia chochote tena hawa CHADEMA wakiingia madarakani itakuwa kulipizana kisasi na kukamata kamata watu hovyo.
Wewe angalia tu walivyo na jaziba. Hawataki hatakidogo kukosolewa, kuulizwa.
Play your part usitegemee hawa jamaa hawana lolote.
MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI
Mkuu: Ni kweli kuwa siasa ni moja ya nyanja kuu za maisha, pamoja na tamaduni(kwangu kama msingi mkuu), na uchumi. Vitu hivi havitengani kamwe! Kila mtu ni mwanasiasa, mwanauchumi, na mwanatamaduni katika taifa lake...yaani hizo ni sifa kuu zinazo m-shape binadamu! Tujiulize hapa, ni nani haishi siasa, tamaduni, ama uchumi? Mambo hayo yote hupaswa kusimikiwa mifumo ya kuyaendesha kufikia maendeleo ya watu. Mifumo hiyo ni lazima isadifu (a) MAZINGIRA yaani sura ya nchi na watu wake (b) NYAKATI, yaani mahusiano yaliyopo katika mazingira, yaani baina ya watu na watu, na watu na sura yao ya nchi. ,, Hapo ndipo tunapohoji ufanisi na uzito wa mifumo iliyopo katika kuendesha nyanja hizi za maisha kuleta maendeleo. Je, mifumo hiyo inakidhi haja?
Kisiasa tupo chini ya "demokrasia", kiuchumi tupo chini ya "uchumi huria-free economy" Kitamaduni nako tunasema "uhuru-freedom". Yote hayo yapo chini ya katiba inayoitwa "HAKI ZA BINADAMU-HUMAN RIGHTS"
Tukiruhusu fikra zetu, kufanya upembuzi yakinifu juu ya mifumo iliyopo "HUWEZI KUKATAA KWAMBA, KUAMINI MAENDELEO YATALETWA NA SIASA ILIYOPO NI KUJIDANGANYA"
Ubunifu haujawai kufika mwisho. Tunayo nafasi ya kuutumia!
Mungu wetu anaita!
Jambo la muhimu tunalopaswa kutambua ni kwamba, kila binadamu anafanya makosa lakini hatupaswi kujiridhisha na makosa yetu bila kutumia fikra zetu kutafuta ufumbuzi mkubwa kusahihisha makosa yetu. Ukweli hautaki kupuuzwa hivyo tusijidanganye wenyewe na kujiridhisha kana kwamba matatizo na shida zetu hazihitaji fikra za juu zilizojaa hekima, ubunifu, uadilifu na busara na njia rahisi ni kutenganisha maendeleo, siasa na vyama vya siasa. Kama suala ni MFUMO tutafakari na tudai mabadiliko na mabadiliko haya hayawezi kuja kwa kung'ang'ania mfumo ambao tunahisi unafanya kile unachokiita SIASA iliyopo chini ya DEMOKRASIA.
80 percent of problems are often due to 20 percent of the causes
Follow Us Here