Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

    Report Post
    Page 4 of 11 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 210
    1. #1
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1177
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Nimepata tabu kwa muda ili kujaribu kufikiri na kupata sababu na jibu la maana la waislamu kususia hesabu ya watu nchini yaani sensa. Bado sijaelewa idadi ya watu, ama hesabu ya watu inahusiana vipi na imani za kidini wakati wanaohesabiwa ni watanzania wenye dini mbali mbali walionea na kusambaa nchini kwetu.

      Je! Serikali ikichakachua idadi kamili ya watu wa dini fulani na kutoa idadi tofati kutakuwa na faida gani? Je! idadi ndogo ya waumini inasababisha kupungua imani ya watu kwa dini yao? Ukiwa na imani unaweza kuwa na dini yako peke yako, au ya watu sita tu na bado ikawa dini bila ya halaiki ya watu.

      Au lengo letu ni kushindana idadi na watu wa imani nyingine? Hiyo itakuwa na faida gani kwetu.

      Ikiwa ni hivyo, ushauri wangu ni huu.

      Tuiache sensa ya serikali ifanye kazi yake, tukubali kuhesabiwa. Baada ya hapo tufanye sensa yetu ya waislamu tu. Nina hakika kila mtaa haukosi kuwa na shekhe ambaye anaweza kupita na kujua idadi ya waislamu walio katika mtaa wake, ndani ya kipindi kifupi tunaweza kupata majibu kwa kupitia sensa yetu ya uhakika. Maustadhi na mashekhe wetu mbona mengi mnayapigania na kufanikiwa? Je, sensa maalumu kwa ajili ya waislamu tu, itawashinda?

      Hakuna sababu ya kutaka kujua idadi yetu kwa kubebwa na sensa ya serikali wakati uwezo tunao watu wakihamasishwa. Huo ndio ushauri wangu, isije ikawa tunafanya mambo kinyume na demokrasia na matakwa ya jamii inayotuzunguuka.
      August, Kinyungu, Pasco and 16 others like this.
      NI FAHARI KUMFUKUZA SIMBA AKAKIMBIA, LAKINI NI HATARI KUFUATA NYAYO ZAKE

    2. Miaka 50

    3. #61
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,257
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Sideeq
      Sawa! lakini itambulike officially na Serikali.
      Na kama serikali inaweza kugharimia ufanyaji wa sensa , vilevile hawa Masheikh watakaofanya hii kazi wagharimiwe na Serikali.
      why Govt? Hakuna msaada wa serikali ambao unatolewa kwa imani ya dini. Kama ni nguruwe hata wasabato hawali

    4. #62
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,257
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By mikonomiwili
      Nasema tena kama serikali itawasikiliza na ikaweka kipengele cha dini .Nasis wasukuma lazima tutaungana tukatae mapka kiwekwe kipengele cha ukabila ili na sisi tujue tuko wasukuma wangapi. kwani wafikiri sis ndo hatupendi kujua wasukuma ni wangapi hapa bongo ?

      Na hizo kazi zauongozi zigawie kuendana na idadi asilimia ya makabila kila kabila lenye watu wengi kue na viongozi wengi

      ala usione kimya hata sisi twapenda jua tupo wangapi
      na sisi Waha twataka jua kama tunaongoza kwa kukimbia mkoa wetu wa Kigoma na kama tumewazidi wachaga kwenye biashara ndogo ndogo! Full stop

    5. #63
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,257
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Free World
      Juma Salaam,
      Kwanza sina shaka juu ya uislamun wako kama wengine humu JF, wanaojifanya waislamu kumbe ni makafiri wazuri.
      Kimsingi hata mimi binafsi siathiriki na sensa na matokeo yake.
      lakini unapaswa kuangalia mbali zaidi ya hoja zako hapo juu. Wakristo wanataka Waislamu wafikiri kama wewe ulivyofanya, kwa hiyo itawahakikishia dhulma bila bughdha
      1. Madai ya msingi ya Waislamu ni kuwa Wakristo kwa kuwa ndio wengi serikalini na kwenye ufanyaji maamuzi wanatumia mwanya wa kutokuwa na takwimu sahihi kuhalalisha wao kuwa wengi kila mahali.
      2. kama idadi ya watu wa dini fulani sio issue, kwa nini izungumzwe ile ya makadirio?
      3. Kama kuna haja ya kuwa na makadirio (estimates) kwanini kusiwe na real data?
      4. Pia kuna confusion inayotokana na records za nyuma, mwanzo waislamu walikuwa majority TZ, leo kwa nini wawe 35%?

      Mwisho KWA NINI TUNAOGOPA KUPIMWA? wakati tunasisitiza watu wakapimwe ukimwi! Hapa tunaogopa ukweli?
      mwanzo upi unaosemea wewe eti waislamu walikuwa wengi? Unaijua Tanzania wewe? Vijiji vya ndani kabisa hakuna uislam ila kanisa katoliki lipo. Unafikiri Tanzania ni Dar, Pwani, Tanga

    6. #64
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,257
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Jumakidogo
      Ndugu yangu, sensa, wala idadi ya watu si suluhu ya matatizo ya waislamu. Wala sensa si mkombozi wa waislamu. Hata kama tungekuwa wengi ambao tunawazidi wakristo mara sita au kumi. Kama hatuna elimu na wasomi wa kutosha katika dini yetu bado tutalalamika.

      Cha msingi ni kuamka sasa na kuanza kutafuta tatizo lilianzia wapi, chanzo kilikuwa nini mpaka tumeathirika kwa kiasi kikubwa na kutokuwa na elimu dunia.

      Nadhani historia iko wazi tangu zamani watoto wa kislamu hawakushiriki kwa karibu sana elimu dunia. Yatupasa tubadilike sasa, elimu ya ahera kwa dunia ya sasa haimsaidii sana mtu. Tuangalie namna ya kubadili mfumo wa elimu yetu waislamu. Hiyo itatusaidia kwenda sambamba na dunia ya sasa bila kulalamika,
      nadhani wanazuoni wa kiislamu wanasoma hapa. Ukweli thabiti

    7. #65
      Chakaza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2007
      Location : everywhere
      Posts : 3,563
      Rep Power : 1479
      Likes Received
      893
      Likes Given
      530

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Mwisho mtataka sensa hiyo ionyeshe wa Sunni wangapi na Shia wangapi.Hamtaishia hapo bali mpaka idadi ya wenye madevu na wangapi wananyoa au waislamu wanawake wangapi hawavai hijab.Amkeni ndugu!mjue wako wenzenu wengi wanakereka sana na madai yenu yasiyo msingi huku mkijifanya mnawakilisha uislamu.


    8. #66
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,257
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Mzinga
      Ficha ujinga wako kuliko kujifanya muislamu kumbe kaf...r mkubwa weye.Kawa danganye wajinga wenzio lazima kipengele cha dini kiwepo
      Nahisi we hujui kuwa hujui

    9. #67
      Mch Kasimbazi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th January 2012
      Posts : 15
      Rep Power : 374
      Likes Received
      24
      Likes Given
      1

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By ritz
      Waislam wana haki kama Watanzania na wanalipa kodi ni haki yao kuhesabiwa na serikali hakuna tatizo.
      Sensa ya ukweli ni watu wamrudie muumba na kumheshimu katika maisha yao kama ni waislamu au wakristo. hata mtu akihesabiwa kama mwenye dini fulani lakini moyoni mwake yuko mbali na Mungu itasaidia nini?

    10. SMU
      #68
      SMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Location : Mavurunza
      Posts : 4,534
      Rep Power : 3811
      Likes Received
      1312
      Likes Given
      1916

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Hivi hoja yao ya tatizo la mfumo kristo/katoliki imeishia wapi? Maana kama suala ni mfumo, suala la kujua idadi halitasaidia!

    11. #69
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,257
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By babayah67

      Mhh nina wasiwasi na uwezo wako wa kuangalia mambo na kupata uhalisia wake. Tatizo la waislamu si kutaka kupewa, Urais, au ukuu wa wilaya kama unavyosema, tatizo ni mfumo gani unamuweka mtu fulani mahali gani. Je ni mfumo wa haki??? Hili ndilo tatizo. Angalia kilichotokea juzijuzi tu baraza la mtihani, na aina ya majibu tuliyopata baada ya waislam kulalamikia matokeo ya mtihani, na baadaye majibu yaliyofuatia!!! Hii ni katika somo moja tu, je nani anajua nini kinaendelea katika masomo mengine???. Sioni kwa nini Serikali ikatae kuweka kipengele cha kumtambua mtu dini yake??
      islamic knowledge au bible knowledge haimsaidii mtu kuingia chuo kikuu! Wala kwenda form 5

    12. #70
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,672
      Rep Power : 977
      Likes Received
      584
      Likes Given
      10

      Default

      Nyakageni. Hawa jamaa hawaijui Tanzania. Ukiondoa mkoa wa Tabora na maeneo ya mijini huku bara ni maeneo kama Ujiji,Mwanga,Kondoa na sehemu chache vijijini utawakuta Waislamu wengi. Hiyo mikoa ya pwani ukiondoa Tanga na Dsm iliyobakia ni kati ya mikoa yenye wakaazi wachache ktk Tanzania. Sasa hao Waislamu wengi kuliko wakristo wako wapi?
      Quote By Nyakageni
      mwanzo upi unaosemea wewe eti waislamu walikuwa wengi? Unaijua Tanzania wewe? Vijiji vya ndani kabisa hakuna uislam ila kanisa katoliki lipo. Unafikiri Tanzania ni Dar, Pwani, Tanga

    13. #71
      mlaizer's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 225
      Rep Power : 466
      Likes Received
      39
      Likes Given
      90

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By Dumelang
      Mmehangaika sana jamani kujibishana na watu wa hii Dini, moslems will not change till the second coming of jesus! unajua kwanini? lililoandikwa katika Biblia ni lazima litimie. Baba wa uslam ni ish-mael yule mtoto wa Ibrahimu aliyemzaa na mjakazi wake mmisri, HAJIRI. [FONT=Georgia]Mungu liandika hivi: KATIKA MWANZO 16:12[/FONT]

      He will be a wild donkey of a man; his hand will be against everyone and everyone's hand against him, and he will live in hostility toward all his brothers." (QUOTED FROM ENGLISH STANDARD VERSION)

      KWA BIBLIA ZA KISWAHILI ANASEMA: naye atakuwa kama punda mwitu kati ya watU, Mkono wake utakuwa juu ya watu wote na mkono wa watu wote utakuwa juu yake, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote

      sasa katika kiswahili Maana imepotea angalia neno lenye rangi nyekundu kwenye kingreza "hostility" kwa tafsiri nzuri ni 1. a hostile (very unfriendly) disposition 2. a state of deep-seated ill-will
      3. the feeling of a hostile person 4. violent action that is hostile and usually unprovoked


      Sasa kwa tafsri hizo unaweza usiwalaumu hawa waislam, neno la mungu ni lazima litimie, angalia mataifa ya kiislam yanavyoishi na mataifa wanayoyaita yana wakristo, matendo wayafanyayo duniani. NK
      NISIWACHOSHE REFERENCE ZA BIBLE NI NYINGI WAACHENI WAISLAM WANAITIMIZA MISTARI YA BIBLIA
      mbona hiyo nukuu yako haisemi kizazi cha Ishi-mael kitakuwa cha kiislamu?nadhani ulitakiwa kuweka mistari mingine zaidi otherwise kwa hapo umetudanganya..............

    14. #72
      Eberhard's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Posts : 192
      Rep Power : 465
      Likes Received
      61
      Likes Given
      95

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By Jumakidogo
      Nimepata tabu kwa muda ili kujaribu kufikiri na kupata sababu na jibu la maana la waislamu kususia hesabu ya watu nchini yaani sensa. Bado sijaelewa idadi ya watu, ama hesabu ya watu inahusiana vipi na imani za kidini wakati wanaohesabiwa ni watanzania wenye dini mbali mbali walionea na kusambaa nchini kwetu.

      Je! Serikali ikichakachua idadi kamili ya watu wa dini fulani na kutoa idadi tofati kutakuwa na faida gani? Je! idadi ndogo ya waumini inasababisha kupungua imani ya watu kwa dini yao? Ukiwa na imani unaweza kuwa na dini yako peke yako, au ya watu sita tu na bado ikawa dini bila ya halaiki ya watu.

      Au lengo letu ni kushindana idadi na watu wa imani nyingine? Hiyo itakuwa na faida gani kwetu.

      Ikiwa ni hivyo, ushauri wangu ni huu.

      Tuiache sensa ya serikali ifanye kazi yake, tukubali kuhesabiwa. Baada ya hapo tufanye sensa yetu ya waislamu tu. Nina hakika kila mtaa haukosi kuwa na shekhe ambaye anaweza kupita na kujua idadi ya waislamu walio katika mtaa wake, ndani ya kipindi kifupi tunaweza kupata majibu kwa kupitia sensa yetu ya uhakika. Maustadhi na mashekhe wetu mbona mengi mnayapigania na kufanikiwa? Je, sensa maalumu kwa ajili ya waislamu tu, itawashinda?

      Hakuna sababu ya kutaka kujua idadi yetu kwa kubebwa na sensa ya serikali wakati uwezo tunao watu wakihamasishwa. Huo ndio ushauri wangu, isije ikawa tunafanya mambo kinyume na demokrasia na matakwa ya jamii inayotuzunguuka.
      Shida nyinyi wenzetu mnachotaka ukorofi tu. Kila kukicha ukorofi. Rais akiwa mkristo mnagomba. Rais akiwa muislamu mnagomba. Je dini hii imetoka kwa Mungu? Duniani kote tabia ya kiislamu iko wazi wakiwa wachache wanadahi haki wakiwazidi wanawanyonga. Pkia mkitakampate kazi nzuri si muende shule mkasome? Hiyo idadi inawasaidia nini? Hata kwenye katiba mpya nyinyi hamzungumzii mambo ya taifa bali kaziyenu ni dini na kuonewa tu. Yahani nyinyi mnatisha.

    15. #73
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1177
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By Nyakageni
      nadhani wanazuoni wa kiislamu wanasoma hapa. Ukweli thabiti
      Tuna bahati mbaya ya kutokukubaliana na ukweli kwa sababu ya imani ya dini na hofu ya kuchomwa moto ambao hatuna uhakika kama upo kweli au la. Shida nyingine inatokana na wale walioipokea dini, kwa bahati mbaya sana nao hawakuwa na elimu dunia hata kidogo. Wakawa wamekariri mambo ya ahera tu ambayo waliwarithisha na vizazi vyao vilivyofuata. Kuna nchi ambozo wamenza kusoma elimu dunia tangu kale, mfano Misri. Wako wapi leo ki maendeleo, wamepiga hatua. Irani ni mfano mzuri, ni nchi ya kiislamu lakini mfumo wa elimu dunia wameuthamini tangu kale. Leo wanatengeneza maroketi na zana za hatari. Bado akili zetu zina ukungu ndani yetu. Tunahitaji mageuzi thabiti.
      sister and TELO like this.

    16. #74
      sanga malua's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th December 2011
      Posts : 226
      Rep Power : 421
      Likes Received
      46
      Likes Given
      54

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      dini mtu anaweza kubadilisha leo ni mwislam kesho akawa msabato mbona wengi tu wanabadili dini zao.kikubwa ni kulinda na kuheshimu utaifa wetu,amani na utulivu.kiongozi yeyote mwenye nia nzuri na waislamu atawahimi waqpende kusoma na kuitafuta elimu kwa nguvu zote ili siku moja watu wanaopata kazi serikalini wawe wengi.

    17. #75
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By Free World
      Juma Salaam,
      Kwanza sina shaka juu ya uislamun wako kama wengine humu JF, wanaojifanya waislamu kumbe ni makafiri wazuri.
      Kimsingi hata mimi binafsi siathiriki na sensa na matokeo yake.
      lakini unapaswa kuangalia mbali zaidi ya hoja zako hapo juu. Wakristo wanataka Waislamu wafikiri kama wewe ulivyofanya, kwa hiyo itawahakikishia dhulma bila bughdha
      1. Madai ya msingi ya Waislamu ni kuwa Wakristo kwa kuwa ndio wengi serikalini na kwenye ufanyaji maamuzi wanatumia mwanya wa kutokuwa na takwimu sahihi kuhalalisha wao kuwa wengi kila mahali.
      2. kama idadi ya watu wa dini fulani sio issue, kwa nini izungumzwe ile ya makadirio?
      3. Kama kuna haja ya kuwa na makadirio (estimates) kwanini kusiwe na real data?
      4. Pia kuna confusion inayotokana na records za nyuma, mwanzo waislamu walikuwa majority TZ, leo kwa nini wawe 35%?

      Mwisho KWA NINI TUNAOGOPA KUPIMWA? wakati tunasisitiza watu wakapimwe ukimwi! Hapa tunaogopa ukweli?
      Itaanza na waislamu wachache serikalini, baadae itakuja watu wa kusini ni wachache, itafuatia watu wa tanga na hatimae wasukuma, loo! matokeo yake ni ya hatari sana. Musio na macho hamuoni zaidi ya visingizio hivi mnavyovitoa. Naamini kwa kuwa nia zenu ni uovu, hamtafanikiwa kamwe. Walaaniwe wanaotumia fikra zenu kwa manufaa yao ya kisiasa.

    18. #76
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,257
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By timbilimu
      Nyakageni. Hawa jamaa hawaijui Tanzania. Ukiondoa mkoa wa Tabora na maeneo ya mijini huku bara ni maeneo kama Ujiji,Mwanga,Kondoa na sehemu chache vijijini utawakuta Waislamu wengi. Hiyo mikoa ya pwani ukiondoa Tanga na Dsm iliyobakia ni kati ya mikoa yenye wakaazi wachache ktk Tanzania. Sasa hao Waislamu wengi kuliko wakristo wako wapi?
      kutembea ni kujifunza. Kweli mkuu watu wako Dar wanafikiri wao ndo think la nchi

    19. #77
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,257
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Jumakidogo
      Tuna bahati mbaya ya kutokukubaliana na ukweli kwa sababu ya imani ya dini na hofu ya kuchomwa moto ambao hatuna uhakika kama upo kweli au la. Shida nyingine inatokana na wale walioipokea dini, kwa bahati mbaya sana nao hawakuwa na elimu dunia hata kidogo. Wakawa wamekariri mambo ya ahera tu ambayo waliwarithisha na vizazi vyao vilivyofuata. Kuna nchi ambozo wamenza kusoma elimu dunia tangu kale, mfano Misri. Wako wapi leo ki maendeleo, wamepiga hatua. Irani ni mfano mzuri, ni nchi ya kiislamu lakini mfumo wa elimu dunia wameuthamini tangu kale. Leo wanatengeneza maroketi na zana za hatari. Bado akili zetu zina ukungu ndani yetu. Tunahitaji mageuzi thabiti.
      kweli kabisa mkuu. Wakipatikana kumi kama wewe tutasonga

    20. #78
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By Kishili
      Kuna dini zingine fahari yake ulalamishi na masononeko, mbona wapagani kila siku wakitukanwa na hizi dini zenu za kuletwa na wakoloni (waalabu na wazungu) lakini hawajawahi kunyanyua midomo yao kulalamika wala hawana wasiwasi na uwingi wala uchache wao! lakini kila siku utasikia wakristo wakisema hawa wapagani wanaamini mashetani na waislamu nao wakiwaita makhafir Achaneni na dini za kasumba za kikoloni ndiyo maana hamjiamini, ni infiliority complex hiyo. wapagani watakubali kgharamia sensa ya waumini wenu wakati mwawatukana kila siku?
      Asante sana kwa kutambua uwepo wetu!

    21. #79
      sambamba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 162
      Rep Power : 392
      Likes Received
      23
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By iron2012
      naamini ktk tz hakuna sensa ya waumini wa dini fulani ambayo imefanywa na serikali bali kwa wakristu huwa ni kawaida kufanya sensa yao ili kujua active members na non active members kila mwaka sasa kwa nini na wengine wasiige mfano huo? mfano kanisa Katoliki kuna jumuiya ndogondogo ambazo hukutana kimtaa na jumla yao injulikana ukijumlisha jumuiya zote katika parokia unapata idadi kamili ya waumini ktk parokia husika, sensa kama hiyo haihitaji mpaka serikali itoe pesa hata kanisa lenyewe halitoi pesa ila ni utaratibu tu Mungu amewapa uwezo wa kufikiri akawatunikia na akili kwa nini hamvitumii? kila kitu serikali iwafanyie aibu hiyo
      hecko mtu wa mungu...ushauri wako ni mzuri viongozi hawa wa dini wakae chini kwan hawana mikakati yao waliojiwekea yakutambua waumini wao wako wangap kwa killa mtaa, hatimae mikoa na taifa kwa ujumla? Amken amken serikali'haina dini nyie.

    22. FJM
      #80
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,182
      Rep Power : 2570
      Likes Received
      5331
      Likes Given
      4587

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By Jumakidogo
      Kwani lengo ni kuwaonyesha wengine kuwa sisi ni wengi kuwazidi?
      Jumakidogo, nakubalina na wewe kabisa. Serikali ya Tanzania inataka kujua idadi ya "raia" sio "waumini". Anayetaka kujua idadi ya waumini wa dini yake ruksa lakini kwa gharama zake. Very simple.

    Page 4 of 11 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...