Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

    Report Post
    Page 2 of 11 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 210
    1. #1
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Nimepata tabu kwa muda ili kujaribu kufikiri na kupata sababu na jibu la maana la waislamu kususia hesabu ya watu nchini yaani sensa. Bado sijaelewa idadi ya watu, ama hesabu ya watu inahusiana vipi na imani za kidini wakati wanaohesabiwa ni watanzania wenye dini mbali mbali walionea na kusambaa nchini kwetu.

      Je! Serikali ikichakachua idadi kamili ya watu wa dini fulani na kutoa idadi tofati kutakuwa na faida gani? Je! idadi ndogo ya waumini inasababisha kupungua imani ya watu kwa dini yao? Ukiwa na imani unaweza kuwa na dini yako peke yako, au ya watu sita tu na bado ikawa dini bila ya halaiki ya watu.

      Au lengo letu ni kushindana idadi na watu wa imani nyingine? Hiyo itakuwa na faida gani kwetu.

      Ikiwa ni hivyo, ushauri wangu ni huu.

      Tuiache sensa ya serikali ifanye kazi yake, tukubali kuhesabiwa. Baada ya hapo tufanye sensa yetu ya waislamu tu. Nina hakika kila mtaa haukosi kuwa na shekhe ambaye anaweza kupita na kujua idadi ya waislamu walio katika mtaa wake, ndani ya kipindi kifupi tunaweza kupata majibu kwa kupitia sensa yetu ya uhakika. Maustadhi na mashekhe wetu mbona mengi mnayapigania na kufanikiwa? Je, sensa maalumu kwa ajili ya waislamu tu, itawashinda?

      Hakuna sababu ya kutaka kujua idadi yetu kwa kubebwa na sensa ya serikali wakati uwezo tunao watu wakihamasishwa. Huo ndio ushauri wangu, isije ikawa tunafanya mambo kinyume na demokrasia na matakwa ya jamii inayotuzunguuka.
      August, Kinyungu, Pasco and 16 others like this.
      NI FAHARI KUMFUKUZA SIMBA AKAKIMBIA, LAKINI NI HATARI KUFUATA NYAYO ZAKE


    2. #21
      manucho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Posts : 562
      Rep Power : 473
      Likes Received
      79
      Likes Given
      0

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Haya, Waislam wako 98.6953% of the total population iliyobaki ni hizo dini nyingine. Waislam wenzangu nadhani tumemaliza. Tuangalie mambo mengine bajeti vp mnaionaje waislam wenzangu
      DEMBA likes this.

    3. #22
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,217
      Rep Power : 12772
      Likes Received
      6442
      Likes Given
      999

      Default

      Quote By Jumakidogo View Post
      Nimepata tabu kwa muda ili kujaribu kufikiri na kupata sababu na jibu la maana la waislamu kususia hesabu ya watu nchini yaani sensa. Bado sijaelewa idadi ya watu, ama hesabu ya watu inahusiana vipi na imani za kidini wakati wanaohesabiwa ni watanzania wenye dini mbali mbali walionea na kusambaa nchini kwetu.

      Je! Serikali ikichakachua idadi kamili ya watu wa dini fulani na kutoa idadi tofati kutakuwa na faida gani? Je! idadi ndogo ya waumini inasababisha kupungua imani ya watu kwa dini yao? Ukiwa na imani unaweza kuwa na dini yako peke yako, au ya watu sita tu na bado ikawa dini bila ya halaiki ya watu.

      Au lengo letu ni kushindana idadi na watu wa imani nyingine? Hiyo itakuwa na faida gani kwetu.

      Ikiwa ni hivyo, ushauri wangu ni huu.

      Tuiache sensa ya serikali ifanye kazi yake, tukubali kuhesabiwa. Baada ya hapo tufanye sensa yetu ya waislamu tu. Nina hakika kila mtaa haukosi kuwa na shekhe ambaye anaweza kupita na kujua idadi ya waislamu walio katika mtaa wake, ndani ya kipindi kifupi tunaweza kupata majibu kwa kupitia sensa yetu ya uhakika. Maustadhi na mashekhe wetu mbona mengi mnayapigania na kufanikiwa? Je, sensa maalumu kwa ajili ya waislamu tu, itawashinda?

      Hakuna sababu ya kutaka kujua idadi yetu kwa kubebwa na sensa ya serikali wakati uwezo tunao watu wakihamasishwa. Huo ndio ushauri wangu, isije ikawa tunafanya mambo kinyume na demokrasia na matakwa ya jamii inayotuzunguuka.
      Huu ushauri wako wa bure bora ukaenao utakusaidia mbeleni.

    4. #23
      mikonomiwili's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 119
      Rep Power : 451
      Likes Received
      27
      Likes Given
      201

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By Sideeq View Post
      Na kutambulika officially Kiserikali
      then what . kwani sasa serikali hai watambui kama watanzania . Kunanini mpaka serikiali iwatambue nyie tu officially ?

      Kwamtu mwenye busara haina maana yeyote

    5. #24
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 911
      Rep Power : 537
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By Sideeq View Post
      Sawa! lakini itambulike officially na Serikali.
      Na kama serikali inaweza kugharimia ufanyaji wa sensa , vilevile hawa Masheikh watakaofanya hii kazi wagharimiwe na Serikali.
      Tambua kua idadi ya watu katika dini yoyote haina manufaa kwa serikali ya Tanzania, hivyo haiwezi kugharimia sensa yoyote ya kidini hata siku moja. Kitu kidogo tu kama mnataka jua mko wangapi kila MSIKITI ulete idadi ya waumini wake na mjumlishe. Sisi hatutaki hata kujua mko wangapi coz haina mantiki kimaendeleo ya Tanzania yetu.

    6. #25
      Komeo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2011
      Location : Mlangoni
      Posts : 972
      Rep Power : 606
      Likes Received
      363
      Likes Given
      107

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By Sideeq View Post
      Sawa! lakini itambulike officially na Serikali.
      Na kama serikali inaweza kugharimia ufanyaji wa sensa , vilevile hawa Masheikh watakaofanya hii kazi wagharimiwe na Serikali.
      Makubwa! Kumbe kelele zoooooote, mnataka posho tu! Idadi yenu itambulike vp na Serikali wakati Serikali haizihitaji takwimu hizo? Jihesabuni wenyewe kwa afya zenu na kwa gharama zenu. Wenzenu Wakristo wa Roma wako so organised, kuanzia ngazi ya Jumuiya ndogo ndogo(mitaa) - Kigango - Parokia - Jimbo - Taifa. Kila mwaka huhesabiana bila gharama yoyote, ni kiasi cha tamko tu kuwa leteni idadi ya waumini inapelekwa within one week imeshafika kwa Mwadhama Kardinali Pengo na kujulikana wako wangapi bila gharama yoyote, ambaye naye huwasilisha Vatican kwa ajili ya takwimu ya Waroma wote duniani. Acheni kuendekeza ugonjwa wa wanasiasa wa posho, na kutaka "msaada kwenye tuta" baada ya kudandia madodoso yasiyo yenu, ambayo hata hivyo hamchelewi kudai yamechakachuliwa. Jihesabuni wenyewe kule masjidi kwa swadaka zenu bana.
      muchetz and sister like this.
      LIWALO NA LIWE - PINDA.


    7. #26
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1259
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By Free World View Post
      Juma Salaam,
      Kwanza sina shaka juu ya uislamun wako kama wengine humu JF, wanaojifanya waislamu kumbe ni makafiri wazuri.
      Kimsingi hata mimi binafsi siathiriki na sensa na matokeo yake.
      lakini unapaswa kuangalia mbali zaidi ya hoja zako hapo juu. Wakristo wanataka Waislamu wafikiri kama wewe ulivyofanya, kwa hiyo itawahakikishia dhulma bila bughdha
      1. Madai ya msingi ya Waislamu ni kuwa Wakristo kwa kuwa ndio wengi serikalini na kwenye ufanyaji maamuzi wanatumia mwanya wa kutokuwa na takwimu sahihi kuhalalisha wao kuwa wengi kila mahali.
      2. kama idadi ya watu wa dini fulani sio issue, kwa nini izungumzwe ile ya makadirio?
      3. Kama kuna haja ya kuwa na makadirio (estimates) kwanini kusiwe na real data?
      4. Pia kuna confusion inayotokana na records za nyuma, mwanzo waislamu walikuwa majority TZ, leo kwa nini wawe 35%?

      Mwisho KWA NINI TUNAOGOPA KUPIMWA? wakati tunasisitiza watu wakapimwe ukimwi! Hapa tunaogopa ukweli?
      Mtaandika sana, mtapayuka sana...mwisho wa siku matahesabiwa kama watanzania wengine bila kuwepo kigezo cha dini kwenye sensa..Iweke hii post kama kumbukumbu tutairejea baada ya zoezi la sensa...

    8. #27
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 911
      Rep Power : 537
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By Free World View Post
      Juma Salaam,
      Kwanza sina shaka juu ya uislamun wako kama wengine humu JF, wanaojifanya waislamu kumbe ni makafiri wazuri.
      Kimsingi hata mimi binafsi siathiriki na sensa na matokeo yake.
      lakini unapaswa kuangalia mbali zaidi ya hoja zako hapo juu. Wakristo wanataka Waislamu wafikiri kama wewe ulivyofanya, kwa hiyo itawahakikishia dhulma bila bughdha
      1. Madai ya msingi ya Waislamu ni kuwa Wakristo kwa kuwa ndio wengi serikalini na kwenye ufanyaji maamuzi wanatumia mwanya wa kutokuwa na takwimu sahihi kuhalalisha wao kuwa wengi kila mahali.
      2. kama idadi ya watu wa dini fulani sio issue, kwa nini izungumzwe ile ya makadirio?
      3. Kama kuna haja ya kuwa na makadirio (estimates) kwanini kusiwe na real data?
      4. Pia kuna confusion inayotokana na records za nyuma, mwanzo waislamu walikuwa majority TZ, leo kwa nini wawe 35%?

      Mwisho KWA NINI TUNAOGOPA KUPIMWA? wakati tunasisitiza watu wakapimwe ukimwi! Hapa tunaogopa ukweli?
      Kuhusu kuwepo wakristu wengi serikalini ni kwamba ile iahitaji Elimu Dunia, ambayo wengi wetu waislamu hatukuitilia maanani na kubaki kuimba na kukariri elimu Ahera. Hapo tu ndo tulichezea shilingi chooni.

    9. #28
      Komeo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2011
      Location : Mlangoni
      Posts : 972
      Rep Power : 606
      Likes Received
      363
      Likes Given
      107

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By ritz View Post
      Waislam wana haki kama Watanzania na wanalipa kodi ni haki yao kuhesabiwa na serikali hakuna tatizo.
      Aliyewakataza wasihesabiwe au wasihesabiane ni nani?
      LIWALO NA LIWE - PINDA.

    10. #29
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,217
      Rep Power : 12772
      Likes Received
      6442
      Likes Given
      999

      Default

      Quote By Komeo View Post
      Aliyewakataza wasihesabiwe au wasihesabiane ni nani?
      Serikali, lakini ninachofurahi Chadema wote wamerudi CCM.

    11. #30
      Chatumkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Location : DOM
      Posts : 1,384
      Rep Power : 978
      Likes Received
      184
      Likes Given
      166

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By Kabembe View Post
      Taabu ya hawa wenzetu hata ukiwapa uongozi wa nchi,yaani Rais,makamu,waziri mkuu na mawaziri wote,makatibu wote,wakurugenzi wa idara wote,wakuu wa mikoa,wilaya wote,wakurugenzi wa mashirika ya umma wote na kadha wa kadha bado hawa jamaa zetu wataendelea kulalamika na kudai mfumo kristo unatawala,frankly is very hard to deal with these characters,they are funny and useless!
      Punguza chuki uongeze siku za kuishi mkuu.

    12. #31
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 911
      Rep Power : 537
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By ritz View Post
      Waislam wana haki kama Watanzania na wanalipa kodi ni haki yao kuhesabiwa na serikali hakuna tatizo.
      HAYA ni mawazo ya kipimbi na mafupi kama maisha ya funza. Jichangisheni tu kama mnataka kujua mko wangapi sio serikali itumike kwa mabo yasiyo na msingi katika maendeleo. Una haki ya kujihesabu pia sio upewe hela ya kujihesabu.....

    13. #32
      Kakubilo Kasota's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th March 2012
      Posts : 166
      Rep Power : 400
      Likes Received
      53
      Likes Given
      21

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By Sideeq View Post
      Sawa! lakini itambulike officially na Serikali.
      Na kama serikali inaweza kugharimia ufanyaji wa sensa , vilevile hawa Masheikh watakaofanya hii kazi wagharimiwe na Serikali.
      Mkuu, sasa ndo nimeelewa kwanini mnataka kwenye sensa hii serikali iweke kipengere cha dini, kumbe issue hapa mnataka kujua mko wangapi kwa gharama za serikali? Nyie wenyewe hamna kabisa mbinu mbadala za kujuana, mbona wakristo wanaweza? Niliwahi kumsikia askofu 1 wa kanisa la walokole la EAGT mahali fulani akitaja idadi ya waumini wa kanisa analo liongoza nchini Tanzania, Burundi, Zambia na Rwanda, hivi naye alisaidiwa na serikali kujua hayo? Uvivu mwingine bana, siku nyingine mtakuja kudai serikali iwawekee akili kichwani kama Wakristo, mnadai hata visivyo daiwa!

    14. #33
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,217
      Rep Power : 12772
      Likes Received
      6442
      Likes Given
      999

      Default

      Quote By sweke34 View Post
      Mtaandika sana, mtapayuka sana...mwisho wa siku matahesabiwa kama watanzania wengine bila kuwepo kigezo cha dini kwenye sensa..Iweke hii post kama kumbukumbu tutairejea baada ya zoezi la sensa...
      Naona Chadema wote wamerudi nyumbani CCM halafu useme mtaitoa CCM madarakani thubutu! Saizi nyie Chadema mnafuata amri ya Wassira kuhusu sensa na nyie ndio mnapambana kweli, chezea CCM wewe.

    15. #34
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By Free World View Post
      Juma Salaam,
      Kwanza sina shaka juu ya uislamun wako kama wengine humu JF, wanaojifanya waislamu kumbe ni makafiri wazuri.
      Kimsingi hata mimi binafsi siathiriki na sensa na matokeo yake.
      lakini unapaswa kuangalia mbali zaidi ya hoja zako hapo juu. Wakristo wanataka Waislamu wafikiri kama wewe ulivyofanya, kwa hiyo itawahakikishia dhulma bila bughdha
      1. Madai ya msingi ya Waislamu ni kuwa Wakristo kwa kuwa ndio wengi serikalini na kwenye ufanyaji maamuzi wanatumia mwanya wa kutokuwa na takwimu sahihi kuhalalisha wao kuwa wengi kila mahali.
      2. kama idadi ya watu wa dini fulani sio issue, kwa nini izungumzwe ile ya makadirio?
      3. Kama kuna haja ya kuwa na makadirio (estimates) kwanini kusiwe na real data?
      4. Pia kuna confusion inayotokana na records za nyuma, mwanzo waislamu walikuwa majority TZ, leo kwa nini wawe 35%?

      Mwisho KWA NINI TUNAOGOPA KUPIMWA? wakati tunasisitiza watu wakapimwe ukimwi! Hapa tunaogopa ukweli?
      Ndugu yangu, sensa, wala idadi ya watu si suluhu ya matatizo ya waislamu. Wala sensa si mkombozi wa waislamu. Hata kama tungekuwa wengi ambao tunawazidi wakristo mara sita au kumi. Kama hatuna elimu na wasomi wa kutosha katika dini yetu bado tutalalamika.

      Cha msingi ni kuamka sasa na kuanza kutafuta tatizo lilianzia wapi, chanzo kilikuwa nini mpaka tumeathirika kwa kiasi kikubwa na kutokuwa na elimu dunia.

      Nadhani historia iko wazi tangu zamani watoto wa kislamu hawakushiriki kwa karibu sana elimu dunia. Yatupasa tubadilike sasa, elimu ya ahera kwa dunia ya sasa haimsaidii sana mtu. Tuangalie namna ya kubadili mfumo wa elimu yetu waislamu. Hiyo itatusaidia kwenda sambamba na dunia ya sasa bila kulalamika,
      sweke34 likes this.
      NI FAHARI KUMFUKUZA SIMBA AKAKIMBIA, LAKINI NI HATARI KUFUATA NYAYO ZAKE

    16. #35
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : Tandhaniya
      Posts : 4,497
      Rep Power : 1291
      Likes Received
      1242
      Likes Given
      1267

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      tatizo ni elimu baba kwa wengi wa viongozi wa hii dini... leo watasusi sensa...kesho watatusia mchakato wa katiba..kesho kutwa watasusia uchaguzi mkuu mwisho wa siku wataanza kususiana wao kwa wao na kutafuta nani mchawi wa mabo yao "KIPOFU HAWEZI KUMUONGOZA KIPOFU MWENZI..WOTE WATATUMBUKIA SHIMONI"~ maneno ya YESU haya bwana

    17. #36
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,798
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4412
      Likes Given
      1744

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Juma umetoa ushauri mzuri ningekuwa na huwezo we ungekuwa sheikh mkuu tanzania.
      sweke34 likes this.

    18. #37
      Kishili's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 248
      Rep Power : 486
      Likes Received
      35
      Likes Given
      21

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By Sideeq View Post
      Sawa! lakini itambulike officially na Serikali.
      Na kama serikali inaweza kugharimia ufanyaji wa sensa , vilevile hawa Masheikh watakaofanya hii kazi wagharimiwe na Serikali.
      Kuna dini zingine fahari yake ulalamishi na masononeko, mbona wapagani kila siku wakitukanwa na hizi dini zenu za kuletwa na wakoloni (waalabu na wazungu) lakini hawajawahi kunyanyua midomo yao kulalamika wala hawana wasiwasi na uwingi wala uchache wao! lakini kila siku utasikia wakristo wakisema hawa wapagani wanaamini mashetani na waislamu nao wakiwaita makhafir Achaneni na dini za kasumba za kikoloni ndiyo maana hamjiamini, ni infiliority complex hiyo. wapagani watakubali kgharamia sensa ya waumini wenu wakati mwawatukana kila siku?
      babuwaloliondo likes this.

    19. #38
      Kikwebo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2006
      Posts : 323
      Rep Power : 720
      Likes Received
      42
      Likes Given
      20

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By ritz View Post
      Naona Chadema wote wamerudi nyumbani CCM halafu useme mtaitoa CCM madarakani thubutu! Saizi nyie Chadema mnafuata amri ya Wassira kuhusu sensa na nyie ndio mnapambana kweli, chezea CCM wewe.
      Mkuu umeona enhe! hapa Wassira ni bonge la kiongozi mbele ya Wahafidhina wa CDM! ama kweli ni vigumu kutofautisha kati ya CDM, kanisa na CCM ! (pole Ritz).

      Kikwebo.

    20. #39
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,621
      Rep Power : 960
      Likes Received
      707
      Likes Given
      131

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Quote By Sideeq View Post
      Sawa! lakini itambulike officially na Serikali.
      Na kama serikali inaweza kugharimia ufanyaji wa sensa , vilevile hawa Masheikh watakaofanya hii kazi wagharimiwe na Serikali.

      Then ikitambulika na serikali ili iwaje? Zijengwe barabara, hospitali, shule kwa ajili ya waislam tu? Zitungwe sharia za waislamu tu? Ianzishwe mikoa ya waislam tu? Hapa hii ni sensa ya serikali kwa watu wake (na nyie mkiwepo).
      Tatizo mnafikiria kwa kutumia masaburi na kutafuta sababu za kupigana! Mkitaka hayo nendeni somalia mkachapane!

    21. #40
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 4,063
      Rep Power : 1239
      Likes Received
      257
      Likes Given
      41

      Default Re: Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

      Ficha ujinga wako kuliko kujifanya muislamu kumbe kaf...r mkubwa weye.Kawa danganye wajinga wenzio lazima kipengele cha dini kiwepo

    Page 2 of 11 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...