Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

    Report Post
    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 119
    1. #1
      satellite's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2010
      Location : HOMELAND SECURITY
      Posts : 546
      Rep Power : 540
      Likes Received
      94
      Likes Given
      60

      Default Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Bajeti ya serikali iliyosomwa na waziri wa fedha inaonesha kuwa baada ya ya serikali kuongeza mishahara(kwa wafanyakazi wake wa serikali)imerevenge kwa kuongeza kodi ya mishahara hii inamaana kuwa mshahara uliongezwa kwa kiasi kidogo ila kodi imeongezwa kwa takribani 30% ss maana yake kuwa mshahara ulioongezwa ni kiini macho tu na kamwe haimsaidii mfanykazi,je ww mtazamo wako ukoje?

      Nawakilisha!

      Quote By KINYAPENYAPE
      Watanzania acheni kujadili na kulalamika kwa kwa kufuata mkumbo, ukweli kuhusu PAYE ni huu hapa:

      Kwa miaka mingi sasa serikali imewafutia kodi hiyo wafanyakazi wake wa kima cha chini kwa mwaka huu unaoishia June mfanyakazi anayepata kima cha chini cha 135,000/= halipi hiyo PAYE hivyo basi kuanzia July 1 mfanyakazi atakayelipwa kuanzia 170,000/= kushuka chini naye hata lipa paye,kwa wachambuzi wa mambo hii inaashiria kwamba kuanzia July kima cha chini kitakuwa 170,000/= hii ni sawa na ongezeko la 25.9%.

      Hivyo nafuu hiyo ataipata kila mfanyakazi bila kujali analipwa sh ngapi kwa mwezi, ijapokuwa mwenye mshahara mkwubwa nafuu hiyo inaonekana ni ndogo.

      Mfano mtumishi anayelipwa 300,000 kwa mwezi, ataktwa kodi kama ifuatavyo:

      300,000-170,000=130,000, hii 130,000 ndiyo itakayopigiwa hesabu ya kodi kwa asilimia 18.

      Hii ndiyo maana yake, japo kuwa hata wabunge walishindwa kuelewa
      Kaa la Moto likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,873
      Rep Power : 1690
      Likes Received
      1348
      Likes Given
      277

      Default

      Quote By zomba
      Kodi za magari hazijaongezwa, nilivyosikia mimi ni kuwa miaka ya magari chakavu imepunguzwa kutoka 10 hadi minane, maana yake ni kuwa kama kwa sasa tunalipia kodi ya uchakavu 20% kwa magari ya kuanzia miaka 10 na kuendelea, kwa sasa ni miaka 8 na kuendelea. Nadhani hii ni nzuri sana, mwakani wafanye 5 tu.

      Na kingine ni baadhi misamaha ya kodi kwa magari imeondolewa. Nadhani hapa watakuwa wameumia madaktari, waalim na Watanzania wanaorudi baada ya kuishi nje, bunge linavyoendelea tutaelewa zaidi.
      kwa hiyo mgomo wa madaktari umepewa tiketi rasmi

    4. #42
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: TZ- Bajeti 2012/2013 Wapi Tumeumizwa

      Quote By Jackbauer
      kwa hiyo mgomo wa madaktari umepewa tiketi rasmi
      Mgomo wa madaktari hauhusiani na kodi za magari. Badala ya kodi watapatiwa kila mmoja VX 8 walipe shillingi 10,000/= kila mwezi. Wakifa kabla ya deni kwisha wanasamehewa.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    5. #43
      TIQO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 4,565
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1030
      Likes Given
      131

      Default Re: TZ- Bajeti 2012/2013 Wapi Tumeumizwa

      Serikali inayo tegemea kukusanya kodi kutoka kwa wanywaji ni mfilisi kabisa wakisusa kunywa serikali itashindwa kujihudumia yenyewe bure kabisa.

    6. #44
      Danniair's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2011
      Posts : 361
      Rep Power : 490
      Likes Received
      55
      Likes Given
      44

      Default Re: TZ- Bajeti 2012/2013 Wapi Tumeumizwa

      kila kilichotangazwa ktk bajeti ni maumivu. Unapotenga 30% ya bajeti kwenda kwenye
      uzalishaji na hakuna viwanda ila huduma tu. Ngoma ipo kwa wasomi wetu. watakwenda wapi
      wanasayansi wetu. Ambao siku hizi wanapewa mitihani rahisi ili wafaulu vizuri zaidi ya 'arts'?

      Kilimo chetu hakijapewa kipaumbele cha umwagiliaji kama alivyokuwa akipiga kampeni rais wetu.
      Kodi nyingi zimeongezwa lakini si uzalishwaji uliotazamwa. Watoto wetu watafanya nini? Mikoa
      kibao. Matumizi juu sana, uzalishaji kidogo.Bajeti tunashauri iwe ya mikoa kushindana na kupewa tuzo pia.

    7. #45
      Mzee wa Usafi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th April 2008
      Posts : 235
      Rep Power : 613
      Likes Received
      47
      Likes Given
      0

      Default re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Hivi kuna watu bado wanapata mshahara wa 170000/=? unatosha nini sasa .....Mtu yeyote anayepata mshahara wa zaidi ya 1m anakatwa PAYE sawa sawa na miezi 3.4 kwa mwaka mzima,wakati wengine wote kutoa kima cha chini wanaifanyia serikali kwa muda wa miezi 2. Hivyo hiyo nafuu haijasaidia kitu chochote

    8. Study Abroad

    9. #46
      Muangila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2010
      Posts : 809
      Rep Power : 630
      Likes Received
      185
      Likes Given
      496

      Default re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Quote By palalisote
      PAYE ni exponential function hivyo haiwezi kuwa sawa kwa wote hilo lipo miaka yote wenye mishara mikubwa PAYE ni kubwa kuliko wale wa chini.
      kumbuka haya makato yanakatwa kwa asilimia hivyo maumivu ni yale yale hata wenye mishahara mikubwa ni maumivu matupu hasa kwa sekta binafsi tunaumia sana

    10. #47
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,728
      Rep Power : 15101
      Likes Received
      7179
      Likes Given
      6846

      Default Re: TZ- Bajeti 2012/2013 Wapi Tumeumizwa

      Quote By Crashwise
      utakoma je, uza magari mnne ubakize mbili, na hiyo line tupa ubakize ya tigo au
      ha ha ha......halafu ikawaje tena bana..........

      Life is too short to waste time hating anyone.........

    11. UNO
      #48
      UNO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 170
      Rep Power : 402
      Likes Received
      16
      Likes Given
      18

      Default Re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi(paye)kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwa wafanyakazi?

      Quote By satellite
      Bajeti ya serikali iliyosomwa na waziri wa fedha inaonesha kuwa baada ya ya serikali kuongeza mishahara(kwa wafanyakazi wake wa serikali)imerevenge kwa kuongeza kodi ya mishahara hii inamaana kuwa mshahara uliongezwa kwa kiasi kidogo ila kodi imeongezwa kwa takribani 30% ss maana yake kuwa mshahara ulioongezwa ni kiini macho tu na kamwe haimsaidii mfanykazi,je ww mtazamo wako ukoje?



      Nawakilisha!
      Sasa ikiongezwa asilimia 30% inakuwaje? kwa sasa hivi nalipa PAYE 26% ina maana kodi yangu itakuwa more than 40%, weka VAT, kila kitu ninachonunua kina VAT, ina maana nitalipa serikalini kodi almost 60%, hapo sijakatwa 10% ya NSSF. Nabakiwa na nini?? Wafanyakazi lets fight for our rights. This is too much. Yale matrilioni yanayosamehewa wameongeleaje?

    12. #49
      rmashauri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Location : Ng'wanza Sukuma
      Posts : 2,860
      Rep Power : 1200
      Likes Received
      350
      Likes Given
      680

      Default Re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Quote By MJIMPYA
      ndg kama hujaelewa ni vizuri kuuliza kuliko kuwapotosha wengine.
      Amepunguza kima cha chini cha kutoza kodi kutoka 135k to 170k, hii ina maana kila mtu atapata unafuu wa kodi kwa kiasi. Kama unafahamu jinsi paye inavopigwa utakuwa umenielewa.

      Acheni kupotosha watu jamani.


      1. "Adjust PAYE threshold as a result of enhancement of salary scales from Tshs 135,000 to Tshs 170,000"
      Hata mimi sijwamwelewa huyu mleta mada. Nimeisoma bajeti yote ambayo iko hapa jamvini sijaona mahali waziri wa fedha ametangaza kuongeza PAYE kwa wafanyakazi. May be nimeruka kama anacho kipengele hicho atuwekee hapa vinginevyo mods waondoe huu uzi maana unapotosha watu.
      Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)

    13. UNO
      #50
      UNO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 170
      Rep Power : 402
      Likes Received
      16
      Likes Given
      18

      Default Re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi(paye)kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwa wafanyakazi?

      Hivi wabunge na Rais wanalipa kodi?? inawezekana hapana, Watakuwa na ubavu wakutetea wafanyakazi? Its high time hili liingie kwenye katiba. Kwa nini watu wengine wasilipe kodi-PAYE. Kwani hawatumii services za nchi hii? Kwa nini wafanyiwe na wengine???

    14. #51
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,388
      Rep Power : 1264
      Likes Received
      1208
      Likes Given
      1253

      Default Re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      hii ndo bongo wewe..wakati kuna wakwepa kodi wanaitia serikali zaidi ya trillion 1 kwa mwaka

    15. #52
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 2,054
      Rep Power : 2036
      Likes Received
      927
      Likes Given
      3819

      Default Re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Quote By rmashauri
      Hata mimi sijwamwelewa huyu mleta mada. Nimeisoma bajeti yote ambayo iko hapa jamvini sijaona mahali waziri wa fedha ametangaza kuongeza PAYE kwa wafanyakazi. May be nimeruka kama anacho kipengele hicho atuwekee hapa vinginevyo mods waondoe huu uzi maana unapotosha watu.
      hata mimi namshangaa sijui kaitoa wapi. mathalani mwenye kima cha chini cha Tsh 170,000 PAYE yake ni Tsh 0 sasa hiyo 30% inatoka wapi?

    16. #53
      mkurugenz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 200
      Rep Power : 399
      Likes Received
      15
      Likes Given
      16

      Default Re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      pia mimi nimeelewa kuwa kiwango kati ya 135000-170000 haitakatwa kodi. kwangu naona kama ni mchezo wa kuigiza kwa sababu serikalini anaepata kiwango hicho ni yule asie kuwa na ujuzi na kazi anayoifanya kwani kuanzia certificate mshara ni zaidi ya kiwango hicho.

    17. #54
      Mtu Mzima's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Loliondo
      Posts : 360
      Rep Power : 666
      Likes Received
      70
      Likes Given
      28

      Default Re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Quote By MJIMPYA
      ndg kama hujaelewa ni vizuri kuuliza kuliko kuwapotosha wengine.
      Amepunguza kima cha chini cha kutoza kodi kutoka 135k to 170k, hii ina maana kila mtu atapata unafuu wa kodi kwa kiasi. Kama unafahamu jinsi paye inavopigwa utakuwa umenielewa.

      Acheni kupotosha watu jamani.


      1. "Adjust PAYE threshold as a result of enhancement of salary scales from Tshs 135,000 to Tshs 170,000"
      wewe ndio unataka kupotosha watu.

      Hiyo statement imewekwa kuficha hali halisi. Kama unataka ukweli subiri muswada uone moto wake.

      Hiyo sentensi haina tofauti na ile inayosema mfanyakazi analipa kodi 15% wakati ki-ukweli kuna wanaolipa 30% ya mshahara.

      Kwa hiyo yale madai ya kupunguza kodi toka 15% hadi 9% haimaanishi kwamba wafanyakazi wote wanalipa kodi ya 15% kwa sasa ingawa hakuna anayetaka kusema hilo kwamba kuna wafanyakazi wanalipa 30% ya mapato yao ya mwezi
      Connect the dots...

    18. #55
      katwe's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 360
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default Re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      mjimpya yuko sawa. Mleta uzi hakujua anachoongelea zaidi ya kupotosha watu humu. Kama hukuelewa ungeuliza badala ya kupotosha wewe mleta mada.

    19. #56
      Mtumpole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2010
      Location : Dreamland
      Posts : 519
      Rep Power : 545
      Likes Received
      93
      Likes Given
      327

      Default Re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Quote By rmashauri
      Hata mimi sijwamwelewa huyu mleta mada. Nimeisoma bajeti yote ambayo iko hapa jamvini sijaona ............mods waondoe huu uzi maana unapotosha watu.
      Kama wewe ni mfanyakazi subiria mshahara wa mwezi wa 7 ndio utamwelewa huyo mleta mada.
      Mwenye dhambi hana raha

    20. #57
      Tikerra's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2008
      Location : Morogoro
      Posts : 1,588
      Rep Power : 863
      Likes Received
      100
      Likes Given
      3

      Default

      Huu ni wizi wa mchana kweupe.Haingii akilini mwangu kwamba wachangiaji wakubwa wa kodi Tanzania wawe wafanyakazi,wakati tuna makampuni makubwa ya uchimbaji wa madini,viwanda,makampuni ya simu nk.This is typical of freemason governments.Kutoa dimbwini kupeleka baharini. kupeleka
      Quote By satellite
      Bajeti ya serikali iliyosomwa na waziri wa fedha inaonesha kuwa baada ya ya serikali kuongeza mishahara(kwa wafanyakazi wake wa serikali)imerevenge kwa kuongeza kodi ya mishahara hii inamaana kuwa mshahara uliongezwa kwa kiasi kidogo ila kodi imeongezwa kwa takribani 30% ss maana yake kuwa mshahara ulioongezwa ni kiini macho tu na kamwe haimsaidii mfanykazi,je ww mtazamo wako ukoje?



      Nawakilisha!

    21. #58
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,155
      Rep Power : 24268
      Likes Received
      4668
      Likes Given
      2294

      Default

      Quote By Communist
      Yaani nimeichukia, ila naogopa Mungu tu, hawa jamaa na wabunge wao! Ngoja 2015.
      haihitaji kusubiri 2015 jamani hebu tuamue tu!

    22. #59
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,245
      Rep Power : 887
      Likes Received
      759
      Likes Given
      1432

      Default Re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Quote By Tume ya katiba
      Mkuu KODI ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa lolote, mgogoro pekee upo kwenye jinsi gani kodi inatumiwa na taifa husika. Tatizo la TZ ni kodi kupelekwa sehemu kusiko sahihi.
      kodi ni muhimu kwa maendeleo ya Taifa lakini logic hapa ni unapandisha mshara kisha unapandisha na kodi, kwa asiejua hesabu atafurahi mshahara kuongezeka lakini mwisho wa siku kama net pay ilikuwa ni laki tatu itabaki laki tatu ileile

    23. #60
      Adharusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2012
      Location : Mtwara
      Posts : 467
      Rep Power : 463
      Likes Received
      62
      Likes Given
      295

      Default Re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      jamaa wanatucholesha tu
      Vox populi,Vox dei

    24. Miaka 50
    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...