Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

    Report Post
    Page 2 of 6 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 119
    1. #1
      satellite's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2010
      Location : HOMELAND SECURITY
      Posts : 546
      Rep Power : 540
      Likes Received
      94
      Likes Given
      60

      Default Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Bajeti ya serikali iliyosomwa na waziri wa fedha inaonesha kuwa baada ya ya serikali kuongeza mishahara(kwa wafanyakazi wake wa serikali)imerevenge kwa kuongeza kodi ya mishahara hii inamaana kuwa mshahara uliongezwa kwa kiasi kidogo ila kodi imeongezwa kwa takribani 30% ss maana yake kuwa mshahara ulioongezwa ni kiini macho tu na kamwe haimsaidii mfanykazi,je ww mtazamo wako ukoje?

      Nawakilisha!

      Quote By KINYAPENYAPE
      Watanzania acheni kujadili na kulalamika kwa kwa kufuata mkumbo, ukweli kuhusu PAYE ni huu hapa:

      Kwa miaka mingi sasa serikali imewafutia kodi hiyo wafanyakazi wake wa kima cha chini kwa mwaka huu unaoishia June mfanyakazi anayepata kima cha chini cha 135,000/= halipi hiyo PAYE hivyo basi kuanzia July 1 mfanyakazi atakayelipwa kuanzia 170,000/= kushuka chini naye hata lipa paye,kwa wachambuzi wa mambo hii inaashiria kwamba kuanzia July kima cha chini kitakuwa 170,000/= hii ni sawa na ongezeko la 25.9%.

      Hivyo nafuu hiyo ataipata kila mfanyakazi bila kujali analipwa sh ngapi kwa mwezi, ijapokuwa mwenye mshahara mkwubwa nafuu hiyo inaonekana ni ndogo.

      Mfano mtumishi anayelipwa 300,000 kwa mwezi, ataktwa kodi kama ifuatavyo:

      300,000-170,000=130,000, hii 130,000 ndiyo itakayopigiwa hesabu ya kodi kwa asilimia 18.

      Hii ndiyo maana yake, japo kuwa hata wabunge walishindwa kuelewa
      Kaa la Moto likes this.

    2. Miaka 50

    3. #21
      samilakadunda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2011
      Posts : 776
      Rep Power : 539
      Likes Received
      98
      Likes Given
      13

      Default re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Daah sasa kihama! tujipe pole sisi walalahoi! Maana watoa kushoto waweka kulia, ombilangu kwa viongozi wetu wa chadema tuliowapa dhamana kubwa ya kututetea na kulinda maisha yetu,tunaomba mtuwakilishe kwa kutoipitisha bajeti hii! Kwani sasa wanatuwaliza kabisa, hadi itakapo fika 2015 chamoto tutakuwa tumekiona.mungu watienguvu(makamanda) wote watakao kwenda kunena juu ya sisi maskini 71% tuliopo vijini tusiejua tofauti ya jana na leo,na ukawalaani wote watakao kwenda kunena kwa unafki juu ya bajeti hii (magamba). Amiina!

    4. #22
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,776
      Rep Power : 792
      Likes Received
      437
      Likes Given
      437

      Default re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Quote By satellite
      Bajeti ya serikali iliyosomwa na waziri wa fedha inaonesha kuwa baada ya ya serikali kuongeza mishahara(kwa wafanyakazi wake wa serikali)imerevenge kwa kuongeza kodi ya mishahara hii inamaana kuwa mshahara uliongezwa kwa kiasi kidogo ila kodi imeongezwa kwa takribani 30% ss maana yake kuwa mshahara ulioongezwa ni kiini macho tu na kamwe haimsaidii mfanykazi,je ww mtazamo wako ukoje?



      Nawakilisha!
      sidhani kama umeelewa

      Adjust PAYE threshold as a result of enhancement of salary scales from Tshs 135,000 to Tshs 170,000.
      Last edited by Uswe; 14th June 2012 at 20:30.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    5. #23
      Challenger's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th September 2007
      Location : Mafinga
      Posts : 53
      Rep Power : 608
      Likes Received
      18
      Likes Given
      8

      Default TZ- Bajeti 2012/2013 Wapi Tumeumizwa

      WanaJF
      Naipenda nchi yangu na ndio maana nachangia kodi kila kina,japokuwa wajanja wanaifuja na kuyafanya maisha yangu na waTanganyika wenzangukuwa hoi, hiyo sijali kwni naishi kwamatumaini kuwa ipo siku na hasa 2015 nitapata unafuu wakati ukombozi utakuwaumepatikana.
      Kila kikija kipindi cha bajeti ya Taifa kichwa huniumain-advance kwani huwa najiuliza safari hii wapi ninareruhiwa. Kwa bahati mbayanikiwa katika miche miche za kimaisha nimechelewa kumsikiliza Mkuu Mgimwa akitemacheche zake za mwaka 2012/2013, na hivyo nimeambulia kupata yale ya mwishoni.
      Nashangaa kwanini (Shinikizo la Damu = BP) halijafanyamawasiliano nami nilipoona Pay As You Earn (PAYE) imeongezwa. Sitaki kusikiamikakati ya nchi kuongeza mapato au sitaki kusikia siasa za kupunguza matumizi (kwani najua huwa hawapunguzi).

      Niachooomba wanaJF waliotuliza mizuka na kuisiliza ilehotuba watuambie hapa sehemu nyingine zipi tumeumizwa?


    6. #24
      kussy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2010
      Posts : 271
      Rep Power : 507
      Likes Received
      29
      Likes Given
      14

      Default

      Kwenye uongezaji za gharama za simu, na kodi za magari

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

    7. #25
      chiwanda's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2011
      Posts : 24
      Rep Power : 416
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      hapa mnatuchanganya jamani,Tunaomba anaejua PAYE inavyopigwa atusaidie.tuelewe maana ya hilo ongezeko.

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      tusichoke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2011
      Posts : 657
      Rep Power : 543
      Likes Received
      77
      Likes Given
      8

      Default re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Nashauri wenye uchungu na wananchi waikatae bajeti ,wabakie wachumia tumbo na kauli mbiu yao ya ndiyoooooo! Lakini wajue cha moto 2015 watakiona kwani tumeshajua kuwa wabunge wote wa CCM wanaenda bungeni kutetea CCM na sio wananchi,kwa hiyo tutaona kati ya wananchi na magamba nani kawapeleka bungeni

    10. #27
      mzeelapa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 537
      Rep Power : 556
      Likes Received
      71
      Likes Given
      70

      Default re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Quote By palalisote
      PAYE ni exponential function hivyo haiwezi kuwa sawa kwa wote hilo lipo miaka yote wenye mishara mikubwa PAYE ni kubwa kuliko wale wa chini.
      Whatever the case, wenye mishahara midogo ndio wanaoumia zaidi na ndio wengi. Solution MGOMO!!

    11. #28
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,728
      Rep Power : 15101
      Likes Received
      7179
      Likes Given
      6846

      Default Re: TZ- Bajeti 2012/2013 Wapi Tumeumizwa

      Quote By kussy
      Kwenye uongezaji za gharama za simu, na kodi za magari

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
      kodi za magari zimekuwaje mkuu wangu.......
      Life is too short to waste time hating anyone.........

    12. #29
      Salary Slip's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 1,335
      Rep Power : 690
      Likes Received
      647
      Likes Given
      380

      Default re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Kama sikosei alichosema ni kuongeza msamaha wa kodi kutoka wale wanaopokea kima cha chini cha sh 130,000 mpaka wale wanaopokea sh 170,000 kwa mwezi.Yaani hawatalipa kodi kabisa.

    13. #30
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,776
      Rep Power : 792
      Likes Received
      437
      Likes Given
      437

      Default Re: TZ- Bajeti 2012/2013 Wapi Tumeumizwa

      PAYE haijaongeza, iko vilevile wamepandisha tu kile kiwango anbacho hakikatwi kutoka 135,000 hadi 170,000 sasa naona inawachanganya watu wanadhani ni PAYE inaongezeka, kimsingi kama income yako ni fixed basi kodi itapungua lakini kidogo sanaaaa kwa sababu taxable amount itapungua kwa sh 35,000
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    14. #31
      satellite's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2010
      Location : HOMELAND SECURITY
      Posts : 546
      Rep Power : 540
      Likes Received
      94
      Likes Given
      60

      Default re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Quote By MJIMPYA
      ndg kama hujaelewa ni vizuri kuuliza kuliko kuwapotosha wengine.
      Amepunguza kima cha chini cha kutoza kodi kutoka 135k to 170k, hii ina maana kila mtu atapata unafuu wa kodi kwa kiasi. Kama unafahamu jinsi paye inavopigwa utakuwa umenielewa.

      Acheni kupotosha watu jamani.


      1. "Adjust PAYE threshold as a result of enhancement of salary scales from Tshs 135,000 to Tshs 170,000"
      MJI MPYA wale wanaopata mshahara chini ya laki 3 ndo wananufaika na hiyo kitu but PAYE (PAY AS YOU EARN)Kadri kwa wenye mshahara zaidi ya laki 3 sahau hiyo kitu kadri mshahara unavyopanda ndiyo makato yanaongezeka,hiyo 135k na 170k ndugu yangu ni matokeo ya jumla,makato ya kodi kwa ss hivi ni 20% ss kuanzia julai kama alivyosema itakua inakaribia 30% ss ukifanya calculation hapo sijui kama hiyo uliyosema hapo juu inaingia akirini

    15. #32
      satellite's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2010
      Location : HOMELAND SECURITY
      Posts : 546
      Rep Power : 540
      Likes Received
      94
      Likes Given
      60

      Default re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Quote By Uswe
      sidhani kama umeelewa

      Adjust PAYE threshold as a result of enhancement of salary scales from Tshs 135,000 to Tshs 170,000.
      Hebu funguka zaidi hapo hueleweki,wenye 135,000 mshahara navyojua hawakwati kodi hadi zaidi ya laki 3 ndo unakatwa kodi ss ww hiyo hesabu yako umeitoa wapi ya laki na 35?

    16. #33
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,361
      Rep Power : 12708
      Likes Received
      2188
      Likes Given
      1819

      Default

      Quote By MJIMPYA
      ndg kama hujaelewa ni vizuri kuuliza kuliko kuwapotosha wengine.
      Amepunguza kima cha chini cha kutoza kodi kutoka 135k to 170k, hii ina maana kila mtu atapata unafuu wa kodi kwa kiasi. Kama unafahamu jinsi paye inavopigwa utakuwa umenielewa.

      Acheni kupotosha watu jamani.


      1. "Adjust PAYE threshold as a result of enhancement of salary scales from Tshs 135,000 to Tshs 170,000"

      Hili ni tatizo la watu wengi hasa ambao hawajui. Kama kiwango kimepanda kutoka 135,000.00 - 170,000.00 tax free ni neema kwa mfanyakazi kuwa kodi imepungua kidogo.

    17. #34
      pkunambi's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Hakuna eneo kwenye budget inayoonyesha nafuu kwa mlala hoiM kilichofanyika ni kama maelezo ya mganga wa chienyeji bAada ya kupiga ramli yaani futi kafutifuti tu.

    18. #35
      Ninaweza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Location : bukonda moyo
      Posts : 2,156
      Rep Power : 867
      Likes Received
      314
      Likes Given
      718

      Default re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      mi mbona siwaelewi?

    19. #36
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: TZ- Bajeti 2012/2013 Wapi Tumeumizwa

      Quote By kussy
      Kwenye uongezaji za gharama za simu, na kodi za magari

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
      Kodi za magari hazijaongezwa, nilivyosikia mimi ni kuwa miaka ya magari chakavu imepunguzwa kutoka 10 hadi minane, maana yake ni kuwa kama kwa sasa tunalipia kodi ya uchakavu 20% kwa magari ya kuanzia miaka 10 na kuendelea, kwa sasa ni miaka 8 na kuendelea. Nadhani hii ni nzuri sana, mwakani wafanye 5 tu.

      Na kingine ni baadhi misamaha ya kodi kwa magari imeondolewa. Nadhani hapa watakuwa wameumia madaktari, waalim na Watanzania wanaorudi baada ya kuishi nje, bunge linavyoendelea tutaelewa zaidi.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    20. #37
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,087
      Rep Power : 14280
      Likes Received
      3980
      Likes Given
      3246

      Default

      Quote By Preta
      kodi za magari zimekuwaje mkuu wangu.......
      utakoma je, uza magari mnne ubakize mbili, na hiyo line tupa ubakize ya tigo au

    21. #38
      al1983's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th June 2009
      Posts : 25
      Rep Power : 512
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Wenye ufahamu na kilichosemwa kwenye bajeti watusaidie tafadhali.

    22. #39
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,131
      Rep Power : 2418
      Likes Received
      936
      Likes Given
      377

      Default re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Serikali ya ccm imekuwa binafsi sana kuwatumia wasomi wasiokuwa ccm wakidhani wanawakomoa kumbe wanajikomoa wenyewe pale wanaposhindwa kufanya maamuzi yasiyoumiza upande mmoja ie wafanyakazi huku wafanya biashara wakipeta!

    23. #40
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,776
      Rep Power : 792
      Likes Received
      437
      Likes Given
      437

      Default re: Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

      Quote By Uswe
      sidhani kama umeelewa

      Adjust PAYE threshold as a result of enhancement of salary scales from Tshs 135,000 to Tshs 170,000.
      Quote By satellite
      Hebu funguka zaidi hapo hueleweki,wenye 135,000 mshahara navyojua hawakwati kodi hadi zaidi ya laki 3 ndo unakatwa kodi ss ww hiyo hesabu yako umeitoa wapi ya laki na 35?
      kwamba zamani ilikua kama mshahara wako ni 1 hadi 135,000 haulipi kodi, ikizidi 135,000 unalipa kodi kwa kile kinachozidi, sasa wameongeza hiki kiasi ambacho hatutakilipia kodi, kiwango kimeongezeka kutoka 135,000 hadi 170,000

      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    24. Study Abroad
    Page 2 of 6 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...