Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 109
    1. #1
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      leo ktk kipindi cha maswali ya papo kwa papo bungeni. Mbunge mmoja wa Zanzibar alivilaumu vyombo vya habari kwa udini uliokithiri alipouliza Mh Pinda kuhusu yaliotokea zanzibar na uripotiaji wa habari hiyo kwa magazeti

      "Mh Waziri Mkuu, Hivi karibuni palitokea Vurugu Zanzibar, Lkn Cha ajabu vyombo vyetu vya habari viliegemea tu Uchomaji Makanisa huku hata baadhi ya misikiti iliharabiwa na baadhi ya watu, Lkn vyombo kwa makusudi vilificha HABARI HIYO.
      jee Mh unashauri nini kuhusu vyombo vyetu vya habari kwa kubase zaidi Upande mmoja huku matokeo kama hayo ya Vyombo vya habari ndivyo vilivyosababisha mauji ya Kenya na Rwanda?

      MY TAKE.SIPENDI UDINI LKN KWA MTITIRIKO HUU KWELI VYOMBO VYETU HAVITAKUWA BIAS?
      JAMBO LEO
      Muhariri Mkuu: Willy Edward (mkiristo)
      Muhariri wa habari: Julian Msacky (mkiristo)
      TZDAMA
      muhariri Mkuu:Absolume Kibanda (Mkiristo)Ambae pia ndio Mwenyekiti wa JUKWAA LA HABARI
      Muhariri Msaidizi: Albert Ngurumo (mkiristo)
      MWANANCHI
      Muhariri Mkuu: Theophil Makunga (mkiristo)
      MAJIRA:
      muhariri mkuu mkiristo)
      MTANZANIA
      muhariri mkuu (Mkiristo)
      Habarileo: John (Mkiristo)
      Daily news
      Mhariri mtendaji wa gazeti la the guardian on sunday, Richard Mgamba
      . Mhariri Mtendaji wa gazeti la Nipashe, Jose Kwayu
      JEE HAWA WANAWEZA KUONA KASORO HIYO?
      Mwenyekiti wa MOAT, Reginald Mengi : hivi karibuni amekabidhiwa PHD ya Biblia
      .Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga
      Last edited by Malaria Sugu; 14th June 2012 at 15:40.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Utendaji wa watendaji wengi wa wenzetu wabase zaidi ya dini yao, na sio nchi yao

    4. #3
      Kasimba G's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 852
      Rep Power : 592
      Likes Received
      252
      Likes Given
      265

      Default re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Kumbe kuna msikiti uliharibiwa? Mbona habari mpya? Hamna gazeti wala tv wala hata jf yenyewe walireport!
      mkomatembo likes this.

    5. #4
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,141
      Rep Power : 12552
      Likes Received
      5722
      Likes Given
      739

      Default re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Tanzania hakuna waandishi wa habari wengi wao ni makanjanja...umeishaona wapi muandishi wa habari mkereketwa wa chama cha siasa.
      Hofstede, Ngongo and mkomatembo like this.

    6. #5
      mkomatembo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2011
      Location : Bweleo
      Posts : 1,018
      Rep Power : 637
      Likes Received
      228
      Likes Given
      1266

      Default re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Quote By Kasimba G
      Kumbe kuna msikiti uliharibiwa? Mbona habari mpya? Hamna gazeti wala tv wala hata jf yenyewe walireport!
      Msikiti ULIPIGWA MABOMU NA POLICE tena kwa MAKUSUDI, lakini habari hii ilifichwa , Tanzania sijui inaelekea wapi!
      Ninaweza likes this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1254
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Quote By Kasimba G
      Kumbe kuna msikiti uliharibiwa? Mbona habari mpya? Hamna gazeti wala tv wala hata jf yenyewe walireport!
      Majungu tu hayo...ni mbunge wa cuf nini?

    9. #7
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1254
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Quote By mkomatembo
      Msikiti ULIPIGWA MABOMU NA POLICE tena kwa MAKUSUDI, lakini habari hii ilifichwa , Tanzania sijui inaelekea wapi!
      Collateral damage...

    10. FJM
      #8
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,167
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5317
      Likes Given
      4585

      Default re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar nayo ilisahu kutaja misikiti iliyochomwa?

      Pia huyo mbunge wa Zanzibar akumbuke uchomaji wa makanisa upo tangu mwaka 2001! Mbona hatukusikia chochote kutoka kwake au kwa sababu this time UAMSHO walichemsha?
      Ninaweza likes this.

    11. #9
      mabhuimerafulu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th May 2012
      Posts : 89
      Rep Power : 368
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Ni kweli, mimi ni Mkristo lakini sikufurahishwa na jinsi vyombo vyetu vya habari vilivyosambaza habari za vurugu za Zanzibar. Hivi waandishi wetu wakoje? Ni rahisi sana kumgundua mwandishi shabiki wa CCM, CDM, Yanga, Simba na pengine hata kabila lake. Ingawa bado kuna watanzania wanafurahishwa na habari za aina hii (za upendeleo) kama vyombo hivi havitadhibitiwa vitaleta maafa. Lazima
      PORIKWAPORI likes this.

    12. #10
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Uamsho waliposema Tunisian Serikali kuwasaka wote waliofanya fujo walikuwa na maana yao, mapunguani wengi hawajawaelwa kwa kuwa tu wanasoma magazeti ya makanjanja.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    13. #11
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Quote By fjm
      serikali ya umoja wa kitaifa zanzibar nayo ilisahu kutaja misikiti iliyochomwa?

      Pia huyo mbunge wa zanzibar akumbuke uchomaji wa makanisa upo tangu mwaka 2001! Mbona hatukusikia chochote kutoka kwake au kwa sababu this time uamsho walichemsha?
      leo kweli wahahariri wameumbuka. Mbunge ameuliza hivi hawa wahahariri wanadhani watz ni wale 90 kwamba kanisa ndio tz?

    14. #12
      Globu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Location : Giningi
      Posts : 4,825
      Rep Power : 3299
      Likes Received
      535
      Likes Given
      30

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Ni kweli kabisa hayo aliyosema Mbunge. Na ni kweli kuna Misikiti ilipigwa mabomu, lakini habari zake zilifichwa kwa makusudi. Wapi tunaelekea Watanzania?

    15. #13
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By ritz
      Tanzania hakuna waandishi wa habari wengi wao ni makanjanja...umeishaona wapi muandishi wa habari mkereketwa wa chama cha siasa.
      kwa mara ya kwanza kusikia huu msamiat ni kwenye hotuba ya JK wakat akizindua TBC,alimaanisha na ni kweli MAKANJANJA WAPO TELEEEE

    16. #14
      Hute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 1,402
      Rep Power : 710
      Likes Received
      354
      Likes Given
      23

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Quote By mkomatembo
      Msikiti ULIPIGWA MABOMU NA POLICE tena kwa MAKUSUDI, lakini habari hii ilifichwa , Tanzania sijui inaelekea wapi!
      hivi kwa akili yako msikiti kupigwa bomb na polisi, na kanisa kuchomwa na waislam unauna ni vitu vinavyoelekeana?....kwani hao askari wa zenji si waislam karibia wote?...unajua wazanzibari akili zao ni mgando hawatakuja wapate akili ya kufikiri hata siku moja, yaani hata ukitaka kumharibu mtoto wako mpeleke shule yeyote ya zenji, atarudi akili zote ameziacha amekuwa kopo..hata waelimike namna gani, akili inabaki palepale...mbumbuumbu....
      Kama huna meno,usile bisi, kula Bwimbwi yaani kimbugi. Uongozi ukikushinda waachie wanaoweza!

    17. #15
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 582
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Quote By nipo hapa
      leo ktk kipindi cha maswali ya papo kwa papo bungeni. Mbunge mmoja wa Zanzibar alivilaumu vyombo vya habari kwa udini uliokithiri alipouliza Mh Pinda kuhusu yaliotokea zanzibar na uripotiaji wa habari hiyo kwa magazeti

      "Mh Waziri Mkuu, Hivi karibuni palitokea Vurugu Zanzibar, Lkn Cha ajabu vyombo vyetu vya habari viliegemea tu Uchomaji Makanisa huku hata baadhi ya misikiti iliharabiwa na baadhi ya watu, Lkn vyombo kwa makusudi vilificha HABARI HIYO.
      jee Mh unashauri nini kuhusu vyombo vyetu vya habari kwa kubase zaidi Upande mmoja huku matokeo kama hayo ya Vyombo vya habari ndivyo vilivyosababisha mauji ya Kenya na Rwanda?
      mbo shein alipokuwa akiongea hakuongelea kama kunamisikiti iliharibiwa,hata jeshi la polisi halikusema habari ya misikit.au nao ni vyombo vya habari???
      sweke34 likes this.

    18. #16
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,291
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      1551

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Quote By mkomatembo
      Msikiti ULIPIGWA MABOMU NA POLICE tena kwa MAKUSUDI, lakini habari hii ilifichwa , Tanzania sijui inaelekea wapi!
      Kama ni Police ndio walipiga mabomu msikiti basi hakukuwa na haja ya kureport, sababu tulichokuwa tunapaswa kufahamu ni athari zilizosababishwa na raia ambao ndio walikuwa chanzo, Kama maelezo yako ni kweli, sababu wewe nae sikuamini amini, basi mbunge huyo ndio atakuwa ana tatizo la udini, sababu anafikiri kwamba kama ingerepotiwa basi ingekuwa rahisi sana kujustify kwamba makanisa hayakuchomwa na waislamu, bahati nzuri vyombo vya habari havikuingia kwenye mtego huo.

    19. #17
      MAKAWANI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 95
      Rep Power : 374
      Likes Received
      27
      Likes Given
      21

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Waziri Mkuu alijibu nn?

    20. #18
      samstevie's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Posts : 195
      Rep Power : 419
      Likes Received
      31
      Likes Given
      14

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Mbona rais wa Zanzibar alipoadress juu ya machafuko Zanzibar hakutaja msikiti ulioharibiwa naye anapendelea upande mmoja tu?
      '' The socialism I believe in is everyone working for each other, everyone having a share of the rewards. It's the way I see football, the way I see life.'' By Bill Shankly

    21. #19
      Ileje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2011
      Posts : 1,017
      Rep Power : 577
      Likes Received
      381
      Likes Given
      106

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Makanisa yalichomwa na wana Uamsho kwa minajiri ya kuwaadhibu wakristo na kuhimiza kuvunjwa muungano na msikiti ulipigwa na polisi kutuliza ghasia! Huoni tofauti hapo?
      Never give up your right!

    22. #20
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21340
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Quote By ritz
      Tanzania hakuna waandishi wa habari wengi wao ni makanjanja...umeishaona wapi muandishi wa habari mkereketwa wa chama cha siasa.
      Mkuu umeongea jambo ambalo wengi hawalioni. Unapoongelewa habari maana yake ni kuandika matukio kama yanavyotokea. Lakini waandishi wengi kwa uvivu wamekuwa ni watu wa kuandika na kutangaza OPINIONS zao. Utamkuta mwandishi wa habari anashadadia chama cha siasa katika presentation zake kuliko kitu chochote. Mchezo huu upo kwa vyama vyote japo CCM wanaongoza hasa kwa kutumia TBC1. Kitendo cha JK kuchukua wanahabari na kuwazawadia ukuu wa wilaya kinafanya wengi wao waone njia pekee ya kufikia ndoto kama hiyo ni kujipendekeza kwa watoa MAFUPA ili nao wanaweza kutupiwa siku moja.

      Hii dhana ya OPINION as NEWS imeodoa kabisa dhana ya habari Tanzania, wengine hata hawatumwi wala kuombwa ila utawasikia wanatoa povu kutetea CCM. Mi siku hizi naangalia CNN, BBC, Aljazeera na vyombo ambavyo at least vinaonesha impartiality kwenye taarifa zao. Japo hawa nao kwenye vita huwa waongoooo!.

    23. Study Abroad
    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...