Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

    Report Post
    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 109
    1. #1
      Malaria Sugu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th July 2009
      Posts : 2,408
      Rep Power : 0
      Likes Received
      247
      Likes Given
      18

      Default Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      leo ktk kipindi cha maswali ya papo kwa papo bungeni. Mbunge mmoja wa Zanzibar alivilaumu vyombo vya habari kwa udini uliokithiri alipouliza Mh Pinda kuhusu yaliotokea zanzibar na uripotiaji wa habari hiyo kwa magazeti

      "Mh Waziri Mkuu, Hivi karibuni palitokea Vurugu Zanzibar, Lkn Cha ajabu vyombo vyetu vya habari viliegemea tu Uchomaji Makanisa huku hata baadhi ya misikiti iliharabiwa na baadhi ya watu, Lkn vyombo kwa makusudi vilificha HABARI HIYO.
      jee Mh unashauri nini kuhusu vyombo vyetu vya habari kwa kubase zaidi Upande mmoja huku matokeo kama hayo ya Vyombo vya habari ndivyo vilivyosababisha mauji ya Kenya na Rwanda?

      MY TAKE.SIPENDI UDINI LKN KWA MTITIRIKO HUU KWELI VYOMBO VYETU HAVITAKUWA BIAS?
      JAMBO LEO
      Muhariri Mkuu: Willy Edward (mkiristo)
      Muhariri wa habari: Julian Msacky (mkiristo)
      TZDAMA
      muhariri Mkuu:Absolume Kibanda (Mkiristo)Ambae pia ndio Mwenyekiti wa JUKWAA LA HABARI
      Muhariri Msaidizi: Albert Ngurumo (mkiristo)
      MWANANCHI
      Muhariri Mkuu: Theophil Makunga (mkiristo)
      MAJIRA:
      muhariri mkuu mkiristo)
      MTANZANIA
      muhariri mkuu (Mkiristo)
      Habarileo: John (Mkiristo)
      Daily news
      Mhariri mtendaji wa gazeti la the guardian on sunday, Richard Mgamba
      . Mhariri Mtendaji wa gazeti la Nipashe, Jose Kwayu
      JEE HAWA WANAWEZA KUONA KASORO HIYO?
      Mwenyekiti wa MOAT, Reginald Mengi : hivi karibuni amekabidhiwa PHD ya Biblia
      .Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga
      Last edited by Malaria Sugu; 14th June 2012 at 15:40.


    2. #41
      petrol's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 140
      Rep Power : 443
      Likes Received
      45
      Likes Given
      0

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Mengi ya magazeti hayo ni mali ya watu binafsi - waislamu kwa wakristu, wagoa kwa waswahili. Katika hili sasa tufanyeje?

    3. #42
      joely's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 346
      Rep Power : 506
      Likes Received
      89
      Likes Given
      16

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      mkristo ni mtu anayeyaishi mafundisho ya mwana wa mungu yesu kristo sio mtu mwenye jina la kibantu au kimagharibi,
      hapa juhudi inayofanyika ni ya kutaka kuficha ukweli tu ila walengwa wa yale machafuko bandia walikuwa ni wakristo


      Quote By nipo hapa View Post
      leo ktk kipindi cha maswali ya papo kwa papo bungeni. Mbunge mmoja wa zanzibar alivilaumu vyombo vya habari kwa udini uliokithiri alipouliza mh pinda kuhusu yaliotokea zanzibar na uripotiaji wa habari hiyo kwa magazeti

      "mh waziri mkuu, hivi karibuni palitokea vurugu zanzibar, lkn cha ajabu vyombo vyetu vya habari viliegemea tu uchomaji makanisa huku hata baadhi ya misikiti iliharabiwa na baadhi ya watu, lkn vyombo kwa makusudi vilificha habari hiyo.
      Jee mh unashauri nini kuhusu vyombo vyetu vya habari kwa kubase zaidi upande mmoja huku matokeo kama hayo ya vyombo vya habari ndivyo vilivyosababisha mauji ya kenya na rwanda?

      My take.sipendi udini lkn kwa mtitiriko huu kweli vyombo vyetu havitakuwa bias?
      Jambo leo
      muhariri mkuu: Willy edward (mkiristo)
      muhariri wa habari: Julian msacky (mkiristo)
      tzdama
      muhariri mkuu:absolume kibanda (mkiristo)ambae pia ndio mwenyekiti wa jukwaa la habari
      muhariri msaidizi: Albert ngurumo (mkiristo)
      mwananchi
      muhariri mkuu: Theophil makunga (mkiristo)
      majira:
      Muhariri mkuumkiristo)
      mtanzania
      muhariri mkuu (mkiristo)
      habarileo: John (mkiristo)
      daily news
      mhariri mtendaji wa gazeti la the guardian on sunday, richard mgamba
      . mhariri mtendaji wa gazeti la nipashe, jose kwayu
      mwenyekiti wa moat, reginald mengi .
      NAIPINGA CCM SI KWA SABABU NAICHUKIA BALI KWA SABABU NATAKA KUFAIDI NEEMA ZILIZOWEKWA NA MUNGU KATIKA TANZANIA YETU.

    4. #43
      Malaria Sugu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th July 2009
      Posts : 2,408
      Rep Power : 0
      Likes Received
      247
      Likes Given
      18

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Quote By Iramba Junior View Post
      Je kwa hili nalo hapa chini linalozunguka kwenye simu tutafika?
      Katika ukusanyaji wa maoni yakatiba mpya wajibu wetu kama waislam ni: -
      · Mapumziko siku ya ijumaa
      · Kuondoa ushuru wa misaada yawaislam inayoingia nchini
      · Mahakama ya kadhi
      · Waislamu TZ waruhusiwe kujiungana umoja wa nchi za kiislam OIC
      Nakuomba tuma SMS hii kwawaislam wote Tanzania nzima.
      mKUU USIPINDISHE THREAD

    5. #44
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,887
      Rep Power : 946
      Likes Received
      471
      Likes Given
      440

      Default

      Quote By Hute View Post
      hivi kwa akili yako msikiti kupigwa bomb na polisi, na kanisa kuchomwa na waislam unauna ni vitu vinavyoelekeana?....kwani hao askari wa zenji si waislam karibia wote?...unajua wazanzibari akili zao ni mgando hawatakuja wapate akili ya kufikiri hata siku moja, yaani hata ukitaka kumharibu mtoto wako mpeleke shule yeyote ya zenji, atarudi akili zote ameziacha amekuwa kopo..hata waelimike namna gani, akili inabaki palepale...mbumbuumbu....
      Duh!kazi ipo ha ha ha

    6. #45
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,887
      Rep Power : 946
      Likes Received
      471
      Likes Given
      440

      Default

      Quote By Ileje View Post
      Makanisa yalichomwa na wana Uamsho kwa minajiri ya kuwaadhibu wakristo na kuhimiza kuvunjwa muungano na msikiti ulipigwa na polisi kutuliza ghasia! Huoni tofauti hapo?
      .......asante mkuu,umemaliza!


    7. #46
      Malaria Sugu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th July 2009
      Posts : 2,408
      Rep Power : 0
      Likes Received
      247
      Likes Given
      18

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Quote By christine ibrahim View Post
      Duh!kazi ipo ha ha ha
      sio ndogo

    8. #47
      Malaria Sugu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th July 2009
      Posts : 2,408
      Rep Power : 0
      Likes Received
      247
      Likes Given
      18

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Quote By christine ibrahim View Post
      .......asante mkuu,umemaliza!
      Leo wahahariri wameumbuka. kumbe wadini?

    9. #48
      Malaria Sugu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th July 2009
      Posts : 2,408
      Rep Power : 0
      Likes Received
      247
      Likes Given
      18

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Quote By christine ibrahim View Post
      .......asante mkuu,umemaliza!
      Mwenyekiti wa MOAT, Reginald Mengi : hivi karibuni amekabidhiwa PHD ya Biblia
      .Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga (mkiristo)
      UNADHANI HAWA WATAYAONA HAYA?

    10. #49
      Malaria Sugu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th July 2009
      Posts : 2,408
      Rep Power : 0
      Likes Received
      247
      Likes Given
      18

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Nchi hii ni yakufirika

    11. #50
      Ngongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2008
      Location : Mlima Meru
      Posts : 4,965
      Rep Power : 6858
      Likes Received
      2407
      Likes Given
      3170

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Hii nimekutana nayo jana kuna jamaa alimtumia rafiki yangu akidhani ni MuIslam kumbe inazunguka kila mahali udini utaliangamiza taifa.

      Quote By Iramba Junior View Post
      Je kwa hili nalo hapa chini linalozunguka kwenye simu tutafika?
      Katika ukusanyaji wa maoni yakatiba mpya wajibu wetu kama waislam ni: -
      · Mapumziko siku ya ijumaa
      · Kuondoa ushuru wa misaada yawaislam inayoingia nchini
      · Mahakama ya kadhi
      · Waislamu TZ waruhusiwe kujiungana umoja wa nchi za kiislam OIC
      Nakuomba tuma SMS hii kwawaislam wote Tanzania nzima.

    12. #51
      Lucas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2011
      Location : Ng'whani
      Posts : 2,137
      Rep Power : 14972
      Likes Received
      931
      Likes Given
      481

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Mimi niliwahi kusoma na mtu mmoja alikuwa na uwezo wa kujiumiza makusudi ili akutengenezee tuhuma... hao walioharibu msikiti ni kina nani? kama ni polisi, polisi nao ni wakristo? kwa mujibu wa encarta 90% ya wazanzibari ni muslims, yaan ktk wazanzibari 10, tisa ni waislamu, who was that much confident kuharibu msikiti wao wanamuangalia tu?! ningeelewa iwapo huyo mbunge ange declare kuwa PRO-UAMSHO

    13. #52
      Eddi's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Kwa nini tuanze kuangalia nani mhariri wa gazeti gani kwa jina???? Huo ni ukosefu wa upeo, na kuwa na mawazo mgando yasiyokuwa na mwisho mzuri. Je unafahamu ni kwa nini majina kama yenu hayaonekani? Bila shaka ni kwa sababu pengine ham-qualify kwenye hizo post au mpo vizuri kwa upande mwingine wa `Dini zaidi`..... Wengi wetu tunashinda madrasa 24/7 kwa siku 365...... sasa hapo unaweza kuwa mwamdishi kweli???????????????/

    14. #53
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,445
      Rep Power : 980
      Likes Received
      373
      Likes Given
      1822

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      Quote By mkomatembo View Post
      Msikiti ULIPIGWA MABOMU NA POLICE tena kwa MAKUSUDI, lakini habari hii ilifichwa , Tanzania sijui inaelekea wapi!
      Quote By mabhuimerafulu View Post
      Ni kweli, mimi ni Mkristo lakini sikufurahishwa na jinsi vyombo vyetu vya habari vilivyosambaza habari za vurugu za Zanzibar. Hivi waandishi wetu wakoje? Ni rahisi sana kumgundua mwandishi shabiki wa CCM, CDM, Yanga, Simba na pengine hata kabila lake. Ingawa bado kuna watanzania wanafurahishwa na habari za aina hii (za upendeleo) kama vyombo hivi havitadhibitiwa vitaleta maafa. Lazima
      Bado sijawaelewa na hii hali mnayotaka kuipeleka Tanzania.

      Kwa hiyo mna maana huko ZNZ waandishi wote ni Wakristo, mbona huwa nasikia Waislamu wengi tu au ni majina yale lakini wamebatizwa???

      Kama wote ni wabatizwa!!! basi Yesu yu karibu kuja na ataikuta Dunia yote in amani kama aliyoiacha.



      MIZAMBWA
      NABII MTARAJIWA!!!
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    15. #54
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,887
      Rep Power : 946
      Likes Received
      471
      Likes Given
      440

      Default

      Quote By TUKUTUKU View Post
      Labda kwa kuwa yeye si mwana uamsho!Waislamu mbona mnatapatapa wakati huu ni mwanzo tu wa mapambano ya kidni mliyoyaasisi nyinyi wenyewe?
      ...ndo hapo ss

    16. #55
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,791
      Rep Power : 1368
      Likes Received
      1093
      Likes Given
      4

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      "Religion is the opium of the people" by karl max.

      Naona harufu ya udini taaratibu inaingia bungeni...

    17. #56
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,887
      Rep Power : 946
      Likes Received
      471
      Likes Given
      440

      Default

      Quote By Eddi View Post
      Kwa nini tuanze kuangalia nani mhariri wa gazeti gani kwa jina???? Huo ni ukosefu wa upeo, na kuwa na mawazo mgando yasiyokuwa na mwisho mzuri. Je unafahamu ni kwa nini majina kama yenu hayaonekani? Bila shaka ni kwa sababu pengine ham-qualify kwenye hizo post au mpo vizuri kwa upande mwingine wa `Dini zaidi`..... Wengi wetu tunashinda madrasa 24/7 kwa siku 365...... sasa hapo unaweza kuwa mwamdishi kweli???????????????/
      ...asante mkuu!

    18. #57
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,887
      Rep Power : 946
      Likes Received
      471
      Likes Given
      440

      Default

      Quote By Ngongo View Post
      Hii nimekutana nayo jana kuna jamaa alimtumia rafiki yangu akidhani ni MuIslam kumbe inazunguka kila mahali udini utaliangamiza taifa.
      ..na hiki ndo wanachokitaka,hayo mengine ni longolongo 2!..kweli kazi mnayo

    19. #58
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1259
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      By Iramba Junior
      Je kwa hili nalo hapa chini linalozunguka kwenye simu tutafika?
      Katika ukusanyaji wa maoni yakatiba mpya wajibu wetu kama waislam ni: -
      · Mapumziko siku ya ijumaa
      · Kuondoa ushuru wa misaada yawaislam inayoingia nchini
      · Mahakama ya kadhi
      · Waislamu TZ waruhusiwe kujiungana umoja wa nchi za kiislam OIC
      Nakuomba tuma SMS hii kwawaislam wote Tanzania nzima.
      mhh...

    20. #59
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,887
      Rep Power : 946
      Likes Received
      471
      Likes Given
      440

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      itafahamika tu,lets go!

    21. #60
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default Re: Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

      mbona shein rais wao naye hakuongelea wala kulaani kuchomwa kwa misikiti..? ina maana rais wao naye ni mkristo?
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...