Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: SMZ kuwanyanganya vitambulisho vya ukaazi wageni

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Kakke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th December 2010
      Posts : 712
      Rep Power : 572
      Likes Received
      137
      Likes Given
      0

      Default SMZ kuwanyanganya vitambulisho vya ukaazi wageni



      Waziri wa nchi ofisi ya makamo wa pili wa rais Mohammed Aboud

      Serikali ya mapinduzi Zanzibar imesema itawanyanganya vitambulisho vya Uzanzibari Ukaazi watu na wageni waliopewa vitambulisho hivyo kinyume na sheria.

      Waziri wa nchi ofisi ya makamo wa pili wa rais Mohammed Aboud amesema kabla kufikia hatua hiyo serikali itafanya utafiti ili kujua idadi ya watu hao na wageni waliopewa vitambulisho vya ukaazi kinyume na sheria.

      Akijibu suala katika kikao cha baraza la wawakilishi, amesema watendaji waliotoa vitambulisho hivyo kwa kuwapa watu wasiostahiki watachukuliwa hatua kali za sheria kutokana na kutumia madaraka vibaya.

      Amesema baadhi ya wageni waliopatiwa vitambulisho hivyo wamehodhi nafasi za ajira zinazostahiki kupewa wazanzibari kwa kujitambulisha wakaazi.

      Aidha waziri Aboud amesema serikali itaendelea kuwapatia vitambulisho vya ukaazi wazanzibari waliokoseshwa vitambulisho hivyo kwa sababu mbali mbali zikiwemo za kisiasa.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      wagaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 598
      Rep Power : 479
      Likes Received
      123
      Likes Given
      92

      Default re: SMZ kuwanyanganya vitambulisho vya ukaazi wageni

      Zanzibari yetu. Hatutaki wageni labda kama ww ni mwarabu.
      "Tanzania ni ya watanzania, na watanzania wenyewe ndo sisi"

    4. #3
      Amiliki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 1,473
      Rep Power : 765
      Likes Received
      721
      Likes Given
      33

      Default Re: SMZ kuwanyanganya vitambulisho vya ukaazi wageni

      Utafiti kama huo ukifanyika huku Bara, nusu ya wakazi wa Sinza, na Kinondoni hawatukuwepo.
      FJM likes this.
      Huku Magamba wakiendelea kusambaratishwa; Chadema Rahaaa!!!!! Si Rahaa!!!! WOTE: RAHAAAA!!!!!!!!!!

    5. #4
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1844
      Likes Received
      593
      Likes Given
      413

      Default Re: SMZ kuwanyanganya vitambulisho vya ukaazi wageni

      Lakini pia angekumbuka kuwaambia wazanzibari waliopata ajira Tanganyika kwamba wanavunja sheria hali kadhalika...<br>
      <br>
      Ikibidi tubadilishane wavunjaji sheria hao

    6. #5
      majata's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 191
      Rep Power : 476
      Likes Received
      35
      Likes Given
      1

      Default Re: SMZ kuwanyanganya vitambulisho vya ukaazi wageni

      Yap hii nimeipenda, lakini watanganyika nao wafanyehivyohivyo huko bara ili nasisi wazanzibari tupate watu makini wanaong'ang'ania huko tanganyika.

    7. Miaka 50

    8. #6
      kwamwewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2010
      Posts : 856
      Rep Power : 5406
      Likes Received
      99
      Likes Given
      125

      Default Re: SMZ kuwanyanganya vitambulisho vya ukaazi wageni

      Quote By Amiliki
      Utafiti kama huo ukifanyika huku Bara, nusu ya wakazi wa Sinza, na Kinondoni hawatukuwepo.

      Labuda kwa wale wasio na kitu kadogo maana mfanyaji wa huo uchunguzi akili yake yote iko DDC

    9. #7
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,580
      Rep Power : 949
      Likes Received
      693
      Likes Given
      131

      Default Re: SMZ kuwanyanganya vitambulisho vya ukaazi wageni

      Baada ya hapo vitafuata vitambulisho vya uunguja na upemba.
      Chogoless at work!

    10. #8
      Mtu wa Pwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2006
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1491
      Likes Received
      159
      Likes Given
      152

      Default Re: SMZ kuwanyanganya vitambulisho vya ukaazi wageni

      hao ni mamluki waliwapa kwa kuhakikisha ccm inashinda, na waliaambiwa maana kuna hata wamsumbiji, wakenya na wengineo


      sasa nnaona kazi yao imeisha wanatakiwa warudi kwenye status walizokua
      Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown

    11. #9
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,729
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: SMZ kuwanyanganya vitambulisho vya ukaazi wageni

      Wasije wakawa wazanzibara hao.
      Simple life is healthier than egoism.

    12. #10
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 1847
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: SMZ kuwanyanganya vitambulisho vya ukaazi wageni

      Sure!! A nice strategy to deal with Tanganyika citizen.
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"




    13. #11
      Barubaru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2009
      Location : Doha, Qatar
      Posts : 5,745
      Rep Power : 1920
      Likes Received
      1180
      Likes Given
      972

      Default Re: SMZ kuwanyanganya vitambulisho vya ukaazi wageni

      hii ni muhimu sana si tu kwa ajili ya kiusalama lakin vile vile kulinda ajira kwa wazawa na kukuza uchumi wa nchi na kupunguza umasikini kwa jamii.
      Ukiwa mchoyo, usiwe mroho.

      Man Sharaf naf'sahu, fahuwa rasul

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...