Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Swala la kutega tembo na maboga yenye sumu na kusafirisha twiga wakiwa hai ni kipi ni tatizo kubwa?

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      harakat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 1,253
      Rep Power : 784
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2

      Default Swala la kutega tembo na maboga yenye sumu na kusafirisha twiga wakiwa hai ni kipi ni tatizo kubwa?

      Hapa jana kwenye taarifa ya habari wameonyeshwa washtakiwa wa ujangili waliokamatwa wakiwa wanatega tembo kwa kutumia maboga yenye sumu na hawa watapewa adhabu kali.

      Lakini kuna kashfa ya kusafirisha wanyama hai ambayo haieleweki imeishia wapi na wahusika wamefanywa nini?
      Hapa ni kwamba uhalifu wa Tanzania unapewa uzito kulingana na ni nani ameufanya au uhalifu ni uhalifu tu hata kama mtu aliyeufanya ni Rais?

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,736
      Rep Power : 15103
      Likes Received
      7187
      Likes Given
      6857

      Default Re: Swala la kutega tembo na maboga yenye sumu na kusafirisha twiga wakiwa hai ni kipi ni tatizo kub

      wale watu waliofanya vile ili wazuru tembo.......ni wabaya kuliko wachawi.....
      Life is too short to waste time hating anyone.........

    4. #3
      wagaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 598
      Rep Power : 478
      Likes Received
      123
      Likes Given
      92

      Default Re: Swala la kutega tembo na maboga yenye sumu na kusafirisha twiga wakiwa hai ni kipi ni tatizo kub

      Yote ni makosa makubwa tu. haijalishi ni nani aliyefanya ujangili huo. aidha ni mlala hoi au fisadi.
      Wote hao wapewe sumu.
      Tanzania kwa sasa tunaona kama ni issue ndogo kupoteza hawa wanyama. but once they become extinct (in the near future if this habit will be not contained) tutajua majibu yake while it will be too late.
      PPM likes this.
      "Tanzania ni ya watanzania, na watanzania wenyewe ndo sisi"

    5. #4
      Globu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Location : Giningi
      Posts : 4,842
      Rep Power : 3302
      Likes Received
      536
      Likes Given
      30

      Default

      Quote By wagaba
      Yote ni makosa makubwa tu. haijalishi ni nani aliyefanya ujangili huo. aidha ni mlala hoi au fisadi.
      Wote hao wapewe sumu.
      Tanzania kwa sasa tunaona kama ni issue ndogo kupoteza hawa wanyama. but once they become extinct (in the near future if this habit will be not contained) tutajua majibu yake while it will be too late.
      Ni kweli kabisa Mkuu.

    6. #5
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3141
      Likes Given
      4053

      Default Re: Swala la kutega tembo na maboga yenye sumu na kusafirisha twiga wakiwa hai ni kipi ni tatizo kub

      Quote By wagaba
      Yote ni makosa makubwa tu. haijalishi ni nani aliyefanya ujangili huo. aidha ni mlala hoi au fisadi.
      Wote hao wapewe sumu.
      Tanzania kwa sasa tunaona kama ni issue ndogo kupoteza hawa wanyama. but once they become extinct (in the near future if this habit will be not contained) tutajua majibu yake while it will be too late.
      ni kweli kabisa kwa sababu pia kuzaliana kwa tembo ni interval kubwa sana

    7. Miaka 50

    8. #6
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,450
      Rep Power : 19778
      Likes Received
      4289
      Likes Given
      1187

      Default Re: Swala la kutega tembo na maboga yenye sumu na kusafirisha twiga wakiwa hai ni kipi ni tatizo kub

      Huo ni mchezo wa watu wachache serikalini kwa sababu haiwezekani twiga ana safirishwa bila serikali kujua, huuu ni mchezo.

    9. #7
      hashycool's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2010
      Location : network search....
      Posts : 4,957
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      559
      Likes Given
      141

      Default Re: Swala la kutega tembo na maboga yenye sumu na kusafirisha twiga wakiwa hai ni kipi ni tatizo kub

      kill em' all
      hivi vrusi vya H.I.V na wewe nani mchokozi?

    10. #8
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,736
      Rep Power : 15103
      Likes Received
      7187
      Likes Given
      6857

      Default

      Quote By hashycool
      kill em' all
      who now...them tembo o jangili....?

    11. #9
      eumb's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 116
      Rep Power : 383
      Likes Received
      54
      Likes Given
      3

      Default Re: Swala la kutega tembo na maboga yenye sumu na kusafirisha twiga wakiwa hai ni kipi ni tatizo kub

      Quote By wagaba
      Yote ni makosa makubwa tu. haijalishi ni nani aliyefanya ujangili huo. aidha ni mlala hoi au fisadi.
      Wote hao wapewe sumu.
      Tanzania kwa sasa tunaona kama ni issue ndogo kupoteza hawa wanyama. but once they become extinct (in the near future if this habit will be not contained) tutajua majibu yake while it will be too late.
      U are very right ndugu, kwangu wanyama waliondoka wakiwa hai ni afadhali sana kuliko kile kinachoendelea sasa kwenye hifadhi zetu hapa Tanzania. Bunge, vyombo vya habari na wananchi wanashikia bango hao wanyama mia hivi, waliosafirishwa kwenda nje lakini laiti wangetafuta ukweli kujua wanyama wetu wanamalizwa na nani, ingekuwa afadhali sana. Inaniuma sana kwa jinsi ninavyoshuhudia jinsi wanyama wanvyoteketea kila siku. Leo hii nenda Selous ukashuhudie mizoga ya tembo ilivyo mingi, nenda huko maasai land ushuhudie mizoga ya Twiga ilivyotapakaa, nenda nje kidogo ya Hifadhi ya Tarangire uone simba wanavyomalizwa kwa sumu, jamani sisi tuko kimya tunabaki kupiga kelele kwa wanyama hai waliosafirishwa kwenda nje wakapona na mauaji haya!!?? Nenda Ifakara au Mahenge uliza watu wanatajirika kwa kitu gani? Je ni mchele? Utaambiwa mmhh kidogo sana..!! Kuna madini yamegundulika, mmhh hapa!! Sasa watu wanatoka kivipi wakati nchi nzima inalalamika hali mbaya?? Jibu lipo, na sio zaidi ya mamia ya tembo wanaouwawa kila kukicha huko selous na kusafirishwa kupitia miji hiyo kuja Dar. Hivi umeshajiuliza kwanini serikali haikufuatili zile kontena zilizokamatwa Thailand zikitoka Tanzania zimejaa meno ya ndovu?? Jamani hali ni mbaya sana, wajukuu wa wajukuu zetu watakuja kusoma kwenye historia tuu!!
      wagaba likes this.

    12. #10
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,845
      Rep Power : 6965
      Likes Received
      1991
      Likes Given
      1540

      Default Re: Swala la kutega tembo na maboga yenye sumu na kusafirisha twiga wakiwa hai ni kipi ni tatizo kub

      Quote By harakat
      Hapa jana kwenye taarifa ya habari wameonyeshwa washtakiwa wa ujangili waliokamatwa wakiwa wanatega tembo kwa kutumia maboga yenye sumu na hawa watapewa adhabu kali.

      Lakini kuna kashfa ya kusafirisha wanyama hai ambayo haieleweki imeishia wapi na wahusika wamefanywa nini?
      Hapa ni kwamba uhalifu wa Tanzania unapewa uzito kulingana na ni nani ameufanya au uhalifu ni uhalifu tu hata kama mtu aliyeufanya ni Rais?
      Hatuwezi kuwapa excuse hawa wahalifu kwakuwa tu kuna wahalifu wengine hawakupewa adhabu. hao waliosafirisha wanyama pori wakiwa hai walikamatwa? Mimi nakubaliana na adhabu hiyo waliyopewa hao watega tembo. Maana hatuwezi kuruhusu kosa liendelee kwa kuwa tu wengine walikosea na hawakushughulikiwa.
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    13. #11
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1825
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Swala la kutega tembo na maboga yenye sumu na kusafirisha twiga wakiwa hai ni kipi ni tatizo kub

      wote wamefanya ujangili,adhabu kali zichukuliwe dhidi yao bila upendeleo.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...