Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mchungaji Cherehani mweka hazina shupavu wa chadema dmv

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 26
    1. #1
      dmvuno's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th May 2012
      Posts : 69
      Rep Power : 365
      Likes Received
      12
      Likes Given
      3

      Default Mchungaji Cherehani mweka hazina shupavu wa chadema dmv



      Mchungaji Cherehani baada ya kuchaguliwa mweka hazina wa CHADEMA tawi la DMV (Washington D.C, ameonyesha ushupavu wa hali ya juu katika ukusanyaji wa mapato hapa DMV.

      Mchungaji Cherehani ambaye hata kanisa lake linaitwa Kanisa la CHADEMA Washington D.C waumini wanadai kuwa amekuwa anahubiri siasa badala ya dini. Pesa zetu za kanisa zitasalimika? Je siasa na dini vitaenda pamoja?
      Attached Thumbnails  

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,116
      Rep Power : 1387
      Likes Received
      918
      Likes Given
      412

      Default Re: Mchungaji cherehani mweka hazina shupavu wa chadema dmv

      makanisa yataibuka kila siku, lakini kanisa moja tu ndilo litakalosimama. Ni kanisa la KRISTO, alilolianzisha mwenyewe, akawafundisha mitume kulieneza lakini lilipofika rumi likachakachuliwa, wakaanzisha kanisa la irumi kwa kuchukua ya kristo machache na ya kirumi mengi. Tangu hapo kumekuwa na mwendelezo wa kufungua makanisa kila uchwao ambayo siyo ya kristo na wala hayamtangazi kristo katika roho na kweli, bali kristo ni njia ya kupitia kufanikisha malengo ya ofisi zao.

      UNAYEJIITA MKRISTO, usikubali kuyumbishwa, fuatilia kanisa ulilomo liliibuka vipi, baada ya hapo soma 1kor 1:10 ff, utajifunza kuwa kristo ni mmoja na hivyo kanisa linatakiwa kuwa moja tu, yaani KANISA LA KRISTO.
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE

    4. #3
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,674
      Rep Power : 1909
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default Re: Mchungaji cherehani mweka hazina shupavu wa chadema dmv

      Wivu huo mnataka achome Misikiti Kama nyinyi mnavyochoma makanisa?

    5. #4
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,228
      Rep Power : 12570
      Likes Received
      5791
      Likes Given
      754

      Default Re: Mchungaji cherehani mweka hazina shupavu wa chadema dmv

      Naona Chadema wana hazina kubwa ya Wachungaji...Mchungaji Cherehani, Mchungaji Peter Msingwa, Mchungaji Israel Natse.

    6. #5
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 776
      Rep Power : 514
      Likes Received
      156
      Likes Given
      60

      Default Re: Mchungaji cherehani mweka hazina shupavu wa chadema dmv

      Wapo wengi, mwezi ujao tunaanza na masheikh

    7. Miaka 50

    8. #6
      Tewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2008
      Posts : 450
      Rep Power : 670
      Likes Received
      63
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By ritz
      Naona Chadema wana hazina kubwa ya Wachungaji...Mchungaji Cherehani, Mchungaji Peter Msingwa, Mchungaji Israel Natse.
      So what?

    9. #7
      Losomich's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Posts : 370
      Rep Power : 454
      Likes Received
      69
      Likes Given
      45

      Default

      Quote By ntamaholo
      makanisa yataibuka kila siku, lakini kanisa moja tu ndilo litakalosimama. Ni kanisa la KRISTO, alilolianzisha mwenyewe, akawafundisha mitume kulieneza lakini lilipofika rumi likachakachuliwa, wakaanzisha kanisa la irumi kwa kuchukua ya kristo machache na ya kirumi mengi. Tangu hapo kumekuwa na mwendelezo wa kufungua makanisa kila uchwao ambayo siyo ya kristo na wala hayamtangazi kristo katika roho na kweli, bali kristo ni njia ya kupitia kufanikisha malengo ya ofisi zao.

      UNAYEJIITA MKRISTO, usikubali kuyumbishwa, fuatilia kanisa ulilomo liliibuka vipi, baada ya hapo soma 1kor 1:10 ff, utajifunza kuwa kristo ni mmoja na hivyo kanisa linatakiwa kuwa moja tu, yaani KANISA LA KRISTO.
      Mkuu kwa hoja yako hii Imeniguza sana. Mkuu umesema kanisa ni moja, nitawezaje kuwa mshirika wa hilo kanisa la KRISTO.

    10. #8
      harakat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 1,253
      Rep Power : 784
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2

      Default Re: Mchungaji cherehani mweka hazina shupavu wa chadema dmv

      Imeandikwa "anayeijua kweli na asiisimamie anamsononesha mwenyezi mungu" kama chadema wanasimamia ukweli hata mungu wa watanzania anafurahi .

    11. #9
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,116
      Rep Power : 1387
      Likes Received
      918
      Likes Given
      412

      Default Re: Mchungaji Cherehani mweka hazina shupavu wa chadema dmv

      Quote By losomich
      mkuu kwa hoja yako hii imeniguza sana. Mkuu umesema kanisa ni moja, nitawezaje kuwa mshirika wa hilo kanisa la kristo.
      ni sula la kusoma biblia na kujifunza kwa bidii kuelewa nini mungu anataka ufanye na kwa wakati gani. Kuna maelekezo yalitolewa ukiendelea kuyatumia leo, siyo sahihi. Kwa hiyo unahitaji kujifunza kwa bidii mungu alisema hivi akilenga nini na kwa wakati gani basi, utakuwa umesimama.
      Xuma likes this.
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE

    12. #10
      Shinto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2010
      Posts : 1,783
      Rep Power : 678
      Likes Received
      75
      Likes Given
      10

      Default Re: Mchungaji Cherehani mweka hazina shupavu wa chadema dmv

      CHADEMA na UKRISTO, UKRISTO na CHADEMA! Huwezi kutofautisha vitu hivi!

    13. #11
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default Re: Mchungaji cherehani mweka hazina shupavu wa chadema dmv

      Quote By ritz
      Naona Chadema wana hazina kubwa ya Wachungaji...Mchungaji Cherehani, Mchungaji Peter Msingwa, Mchungaji Israel Natse.
      Wote hao wamesoma na wanasifa zote kushika nyazifa... tatizo lenu Shule, puguzen madrasa, watoto wakasome

    14. #12
      Losomich's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Posts : 370
      Rep Power : 454
      Likes Received
      69
      Likes Given
      45

      Default

      Quote By ntamaholo
      ni sula la kusoma biblia na kujifunza kwa bidii kuelewa nini mungu anataka ufanye na kwa wakati gani. Kuna maelekezo yalitolewa ukiendelea kuyatumia leo, siyo sahihi. Kwa hiyo unahitaji kujifunza kwa bidii mungu alisema hivi akilenga nini na kwa wakati gani basi, utakuwa umesimama.
      Mkuu wangu, nimekuelewa, hata hivyo naweza kusoma sana biblia na bado nisiweze kufahamu mambo muhimu. Kwa hiyo ni vyema ufunguke zaidi ili kuiponya roho inayopotea.

    15. #13
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 983
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default Re: Mchungaji Cherehani mweka hazina shupavu wa chadema dmv

      MrsMali Bezuidenhout




      Jiandae kununua gwanda lako!
      Simbamwene likes this.

    16. #14
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,598
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      315
      Likes Given
      905

      Default Re: Mchungaji cherehani mweka hazina shupavu wa chadema dmv

      Quote By ritz
      Naona Chadema wana hazina kubwa ya Wachungaji...Mchungaji Cherehani, Mchungaji Peter Msingwa, Mchungaji Israel Natse.
      Inakuuma eeh!!!!!!!!!!
      NI UTAAHIRA MKUBWA SANA KUIUNGA MKONO CCM

    17. #15
      Losomich's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Posts : 370
      Rep Power : 454
      Likes Received
      69
      Likes Given
      45

      Default

      Quote By free world
      chadema na ukristo, ukristo na chadema! Huwezi kutofautisha vitu hivi!
      sasa hapo cha ajabu ni nini. Hujasikia kuwa ukiristo ni niru, na palipo na nuru giza hukimbia.

    18. #16
      NnyaMbwate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 447
      Rep Power : 522
      Likes Received
      96
      Likes Given
      377

      Default Re: Mchungaji cherehani mweka hazina shupavu wa chadema dmv

      Quote By ritz
      Naona Chadema wana hazina kubwa ya Wachungaji...Mchungaji Cherehani, Mchungaji Peter Msingwa, Mchungaji Israel Natse.
      Na C.C.M nao wapo kina Mchungaji Mwanjali; Mchungaji Dr. Getrude Lwakatare; ..... ongeza wengine!!

    19. #17
      Micro E coli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 552
      Rep Power : 492
      Likes Received
      103
      Likes Given
      88

      Default Re: Mchungaji Cherehani mweka hazina shupavu wa chadema dmv

      udini dini tu hamchoki.

    20. #18
      jogie's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 367
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Free World
      CHADEMA na UKRISTO, UKRISTO na CHADEMA! Huwezi kutofautisha vitu hivi!
      CUF na UISLAM UISLAM na CUF...Nimekuwekea huo mfanano ili utambue hilo uliloandika hapo juu ni propaganda...badili mtazamo wako.

    21. #19
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,468
      Rep Power : 760
      Likes Received
      143
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By ritz
      Naona Chadema wana hazina kubwa ya Wachungaji...Mchungaji Cherehani, Mchungaji Peter Msingwa, Mchungaji Israel Natse.
      Another mkama/lusinde@work

    22. #20
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,468
      Rep Power : 760
      Likes Received
      143
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Free World
      CHADEMA na UKRISTO, UKRISTO na CHADEMA! Huwezi kutofautisha vitu hivi!
      Upandacho huvunacho, usikimbie tu.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...