Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 59
    1. #1
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,972
      Rep Power : 857
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

      Mapambano yanaendelea. Hawa Nghumbi amekata rufaa dhidi ya ubunge wa John Mnyika. sasa ngoma mahakama ya rufaa.

      Tausi Ally na James Magai | Mwananchi | 13 June 2012

      ALIYEKUWA mgombea Ubunge jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hawa Ng’umbi amewasilisha hati ya kusudio la kukata rufaa katika Mahakama ya Rufaa kupinga hukumu ya kesi ya uchaguzi iliyompa ushindi John Mnyika.

      Ngh’umbi, alifungua kesi dhidi ya Mnyika wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akipinga matokeo yaliyompa ushindi kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, akidai kuwa kulikuwa na ukiukwaji wa taratibu kanuni na sheria ya uchaguzi katika uchaguzi huo .

      Lakini Mahakama Kuu katika hukumu yake ilitupilia mbali madai na maombi ya Ngh’umbi na badala yake ikamthibitisha Mnyika kuwa mbunge halali wa jimbo la Ubungo. Katika hukumu hiyo aliyoisoma Mei 24, 2012, Jaji Upendo Msuya alisema kuwa Ngh’umbi alishindwa kuthibitisha madai yake na kuonesha jinsi madai hayo yalivyoathiri matokeo ya uchaguzi huo.

      Baada ya hukumu hiyo Ngh’umbi alielezea kutokuridhika na uamuzi huo na kudai kuwa anakwenda kujadiliana na wakili wake ili kuona ni hatua gani ya kuchukua. Jana Ngh’umbi kupitia kwa wakili wake, Issa Maige, alianza rasmi mchakato wa kupinga hukumu hiyo baada ya aliwasilisha Mahakama ya Rufani hati ya kusudio la kukata rufaa kupinga hukumu hiyo.


      MY TAKE:

      Hivi kweli huyu Mama hakubali tu asubiri mwaka 2015 na kujipanga vizuri??
      DEUS NSHANGE likes this.
      Don't break the LAW, just Bend It!

    2. Miaka 50

    3. #2
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,256
      Rep Power : 31392
      Likes Received
      9620
      Likes Given
      685

      Default re: Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

      Huu upuuzi utaisha lini?

      Halafu huyo wakili naye, duuuuh! Sijui ndiyo kuganga njaa huko....
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    4. #3
      chitalula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 427
      Rep Power : 519
      Likes Received
      88
      Likes Given
      40

      Default re: Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

      magamba bwana, mtahangaika sana, ila inaonekana magamba wameshajiandaa kufanya vitu tofauti hapa haiwezekani mtu na akili zake aendelee na kesi isiyo na kichwa wala miguu
      Mwana Mpotevu likes this.

    5. #4
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,619
      Rep Power : 1128
      Likes Received
      1390
      Likes Given
      1540

      Default re: Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

      Quote By chitalula
      magamba bwana, mtahangaika sana, ila inaonekana magamba wameshajiandaa kufanya vitu tofauti hapa haiwezekani mtu na akili zake aendelee na kesi isiyo na kichwa wala miguu
      kuna kesi za maana na wenye haki hawapati haki, halafu huyu mama anaona ni mwafaka kwenda kuhangaika tena mahakamani

      this is a waste of time and resources....

      tatizo kubwa sana hili
      Mwana Mpotevu likes this.
      Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa....

    6. #5
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,972
      Rep Power : 857
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default re: Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

      Quote By chitalula
      magamba bwana, mtahangaika sana, ila inaonekana magamba wameshajiandaa kufanya vitu tofauti hapa haiwezekani mtu na akili zake aendelee na kesi isiyo na kichwa wala miguu
      mkuu chitalula nakubaliana nawe kwa kiasi kikubwa hapa, huenda wameona baada ya kushindwa plan A, sasa ni zamu ya plan B ambayo lazima watawin. tungoje tuone
      episodes likes this.
      Don't break the LAW, just Bend It!

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,689
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1591
      Likes Given
      676

      Default re: Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

      Anaogopa kulipa gharama za kesi Wakili wake akaona Ngoja amfariji kwa rufaa

    9. #7
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      1001
      Likes Given
      756

      Default re: Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

      Quote By Nyani Ngabu
      Huu upuuzi utaisha lini?

      Halafu huyo wakili naye, duuuuh! Sijui ndiyo kuganga njaa huko....
      Huu si upuuzi ni delaying tactic ya magamba wanataka Mnyika awe muda wote anashugulika na kesi aache kushugulikia maendeleo ya Jimbo lake ili 2015 ajenda yao iwe kuwa mbunge wenu alitumia muda wote kushugulkia kesi ona hakuna maendelo, Magamba hawafanyi kitu bila objective hata kama objective ya kijinga au ya kiovu!!
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    10. #8
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default re: Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

      Hata ukiitishwa uchaguzi leo nani atamchagua?aache ujinga

    11. #9
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      1001
      Likes Given
      756

      Default re: Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

      Quote By Janjaweed
      kuna kesi za maana na wenye haki hawapati haki, halafu huyu mama anaona ni mwafaka kwenda kuhangaika tena mahakamani

      this is a waste of time and resources....

      tatizo kubwa sana hili
      Kama kweli sisi tunaheshimu utawala wa sheria na demokrasia pia lazima tukubali kuwa ni haki yake kikatiba kukata rufaa! Acheni aende huko mahakamani tena haki ndio itapatikana huko! sasa kama mahakama zetu hazipo huru ( kama wengi tunavoamini na tulivoshuhudia segerea et al) basi hilo ni swala jingine la kushugulikia kwenye katiba mpya kwamba tufanyeje ili mahakama ziwe huru zisiwe remote controlled bna wanasiasa walio madarakani??
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    12. #10
      Ghwakukajha's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2008
      Posts : 159
      Rep Power : 600
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default re: Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

      A typical Mary go round scene
      Attached Thumbnails  
      Ndallo likes this.
      I count him braver who overcomes his desires than him who concquers his enemies;For the hardest victory is over self.

      ~Aristotle.

    13. #11
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21341
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default re: Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

      Quote By OSOKONI
      Kama kweli sisi tunaheshimu utawala wa sheria na demokrasia pia lazima tukubali kuwa ni haki yake kikatiba kukata rufaa! Acheni aende huko mahakamani tena haki ndio itapatikana huko! sasa kama mahakama zetu hazipo huru ( kama wengi tunavoamini na tulivoshuhudia segerea et al) basi hilo ni swala jingine la kushugulikia kwenye katiba mpya kwamba tufanyeje ili mahakama ziwe huru zisiwe remote controlled bna wanasiasa walio madarakani??
      Wengi tuliingia kwenye mtego huu wa kila tatizo kuligeuzia kwa katiba mpya lakini tnashindwa fahamu kuwa hata hiyo katiba mpya nayo ni tatizo maana mchakato wa kuunda sheria haukuwa shirikishi, hivyo tusitarajie jipya under the CCM regime. The regime is more about cronyism than serving a country.

      Hawa Ngumbi atakuwa amehemewa na kulipa gharama za kesi baada ya kuona kuwa alifungua kesi ya kupinga kitu kisichokuwepo kwa kufuata ushauri mbaya wa kisiasa aliota Rajabu Makamba (Former katibu wao). Nafikiri watakuwa wamemtosa alipie gharama na njia pekee kaona huenda akate rufaa ki-note cha Ikulu kinaweza tumika kumwepusha na kulipa gharama. Lakini pia anatakiwa kujua kuwa ni bora kulipa gharama za kesi kuliko kuwa na gharama za kuandaa uchaguzi mwingine ambao pasi na shaka CCM itashindwa vibaya tu, maana vijana wameisha gundua formula ni kulinda kura. Kama kulinda kura ni kosa kwa mtazamo wa CCM basi 2015 wajiandae kwa kesi zaidi ya 200 katika majimbo watakayopoteza.
      Mtumishi Wetu likes this.

    14. #12
      S. S. Phares's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2006
      Posts : 3,041
      Rep Power : 1247
      Likes Received
      16
      Likes Given
      106

      Default re: Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

      Quote By precise pangolin
      anaogopa kulipa gharama za kesi wakili wake akaona ngoja amfariji kwa rufaa
      naamini kuwa, hii ndio sababu hasa!!
      mangikule likes this.

    15. #13
      Murrah's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Location : Tarime
      Posts : 191
      Rep Power : 442
      Likes Received
      40
      Likes Given
      9

      Default Re: Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

      Kuna Kutafuta Haki na Kuna kutafuta Upuuzi, Huyu mama sasa ni Upuuzi, Hajali maendeleo ya watu wa Ubungo, kama ana akili angetumia muda mwingi kuwa karibu na wananchi kufanya shughuli za maendeleo na sio kuhamia mahakamani, nadhani she is attention seeker, bahati mbaya she is getting a wrong attention.

    16. #14
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,263
      Rep Power : 3043
      Likes Received
      3054
      Likes Given
      4137

      Default

      Hata uchaguzi ukiitishwa leo tukaweka Hawa na Mbwa,
      Mbwa anashinda kwa kishindo.

    17. #15
      Tewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2008
      Posts : 452
      Rep Power : 670
      Likes Received
      64
      Likes Given
      12

      Default

      Kumbe hawa? We hawa nawe bana kha!

    18. #16
      MANGUNGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,146
      Rep Power : 620
      Likes Received
      251
      Likes Given
      14

      Default Re: Ng'humbi amkatia rufaa Mnyika

      Ataanza kuokota makopo punde!mibange bhana!

    19. #17
      Real Masai's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th October 2011
      Posts : 111
      Rep Power : 407
      Likes Received
      17
      Likes Given
      9

      Default Re: Ng'humbi amkatia rufaa Mnyika

      Amekosa U-DC na Ubunge Lol.Je atapata ulaji wapi, kweli nimeamini hana kazi nyingine anayoweza kufanya zaidi ya hivi vyeo vya kupewa.Aende akalime, si viongozi wengi wanasema vijijini kuna fursa nyingi za Kilimo, aende kijijini kwao akawakomboe ndugu zake kama kauli mbiu ya ma RC na dc (Si alishakuwa DC)

    20. #18
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default Re: Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

      Nadhani hata magamba wenzake wamempuuza,

    21. #19
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2590
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

      Huyu mama hatumtaki ubungo, analazimisha nini? Tena saizi ndio tumeshaelewa uwezo wake mdogo. Anapoteze fedha na muda.
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    22. #20
      Gaspery Lasway's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 1,144
      Rep Power : 619
      Likes Received
      242
      Likes Given
      22

      Default Re: Hawa Nghumbi amrudisha John Mnyika Mahakamani...

      Hii mbinu ya kumuumiza kisaikolojia mnyika kipindi hiki cha bunge lakini ndo inazidi kumwimarisha

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...