Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa hili waziri wa nishati na madini hakuwa sawa

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      saliel's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 65
      Rep Power : 424
      Likes Received
      15
      Likes Given
      6

      Default Kwa hili waziri wa nishati na madini hakuwa sawa

      Bungeni leo asubuhi waziri akijibu swali la nyiongeza alilouliza Mh. Tundu lisu alisema kuwa co kweli kwamba japani wamefunga vinu vyao vya umeme vinavyoengeshwa kwa nguvu za nuclear...na pia ujerumani haina mpango wa kuvifunga vinu vyake vya umeme vya nuclear..
      1 kwa taarifa za DW ujerumani inaompango wa kuvifunga vinu vyake vya Nuclear mpango ambao ulipitishwa na bunge la ujerumani hii ilitokana na ma2kio ya japani..ambapo asilimia kubwa ya wajerumani waliliunga mkono pendekezo hilo. Ila kwanza wanatafuta njia mbadala ya kupata umeme wa uhakika ambao hautakua na madhara.source DW swahili.
      Kutokana na sababu hizo wataalmu wa maswala ya Nuclear wako kwenye utafiwa wa kuya2mia madini ya uranium kwa ajili ya zalishia mafuta ambayo yatakuwa na uwezo wa ku2mika kama source ya nishati. HIVYO BASI SOKO LA URANIUM LITAKUWA PALE PALE HATA VINU VIKIFUNGWA.
      NA HILI NDILO JIBU AMBALO MH. WAZIRI ALITAKIWA KUMPATIA MBUNGE NA SI KEJELI KAMA ALIVYOLIJIBU LEO BUNGENI
      CTAKI KUAMINI KUWA WAZIRI WE2 AMESHAKUWA MWANASIASA GHAFLA HIVI. NIHAYO 2 WAUNGWANA
      Oluoch and FJM like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      RUTARE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th December 2011
      Posts : 149
      Rep Power : 405
      Likes Received
      30
      Likes Given
      108

      Default Re: Kwa hili waziri wa nishati na madini hakuwa sawa

      Hata mimi nimemshangaa prof. ameshakuwa mwanasiasa

    4. #3
      mgeni wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 1,157
      Rep Power : 890
      Likes Received
      578
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili waziri wa nishati na madini hakuwa sawa

      Ukishakuwa nyinyiem ka ulongo maneno mengi na blah blah blah Lazima

    5. #4
      Davie S.M's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 633
      Rep Power : 550
      Likes Received
      140
      Likes Given
      44

      Default

      Huu ni *PachikatusiLaSizeyaKati* kufanyana watoto

      Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

    6. #5
      BONGOLALA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 4,851
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1002
      Likes Given
      128

      Default Re: Kwa hili waziri wa nishati na madini hakuwa sawa

      Wajerumani ifikapo 2020 vinu vyote vya nuclear watakua wamevifunga!wameshaanza kuvifunga

    7. Miaka 50

    8. #6
      Gokona's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Posts : 62
      Rep Power : 482
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Kwa hili waziri wa nishati na madini hakuwa sawa

      Tatizo wewe ni kilaza kama Tindu lissu ,Prof mtu wa research na data Lissu alitaka kujaribu amekumbana na kisiki cha taaluma na siasa zake za maji taka.




      Quote By saliel
      Bungeni leo asubuhi waziri akijibu swali la nyiongeza alilouliza Mh. Tundu lisu alisema kuwa co kweli kwamba japani wamefunga vinu vyao vya umeme vinavyoengeshwa kwa nguvu za nuclear...na pia ujerumani haina mpango wa kuvifunga vinu vyake vya umeme vya nuclear..
      1 kwa taarifa za DW ujerumani inaompango wa kuvifunga vinu vyake vya Nuclear mpango ambao ulipitishwa na bunge la ujerumani hii ilitokana na ma2kio ya japani..ambapo asilimia kubwa ya wajerumani waliliunga mkono pendekezo hilo. Ila kwanza wanatafuta njia mbadala ya kupata umeme wa uhakika ambao hautakua na madhara.source DW swahili.
      Kutokana na sababu hizo wataalmu wa maswala ya Nuclear wako kwenye utafiwa wa kuya2mia madini ya uranium kwa ajili ya zalishia mafuta ambayo yatakuwa na uwezo wa ku2mika kama source ya nishati. HIVYO BASI SOKO LA URANIUM LITAKUWA PALE PALE HATA VINU VIKIFUNGWA.
      NA HILI NDILO JIBU AMBALO MH. WAZIRI ALITAKIWA KUMPATIA MBUNGE NA SI KEJELI KAMA ALIVYOLIJIBU LEO BUNGENI
      CTAKI KUAMINI KUWA WAZIRI WE2 AMESHAKUWA MWANASIASA GHAFLA HIVI. NIHAYO 2 WAUNGWANA

    9. #7
      Userne's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 458
      Rep Power : 493
      Likes Received
      49
      Likes Given
      22

      Default

      Quote By Gokona
      Tatizo wewe ni kilaza kama Tindu lissu ,Prof mtu wa research na data Lissu alitaka kujaribu amekumbana na kisiki cha taaluma na siasa zake za maji taka.
      mmh! research au ramli? Siku mitambo hiyo ikifungwa?

    10. #8
      saliel's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 65
      Rep Power : 424
      Likes Received
      15
      Likes Given
      6

      Default Re: Kwa hili waziri wa nishati na madini hakuwa sawa

      Quote By Gokona
      Tatizo wewe ni kilaza kama Tindu lissu ,Prof mtu wa research na data Lissu alitaka kujaribu amekumbana na kisiki cha taaluma na siasa zake za maji taka.
      hapa czungumzii siasa ni uhalisia wa jambo kudanganyana kumepitwa na wakati taarifa nje nje vyombo vya habari lukuki inakuaje mshindwe kupata habari za uhakika na kujibu kwa swaga sio dili wa2 wanataka ukweli cio blaa blaairimradi ucfiwe

    11. #9
      Bhbm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2009
      Posts : 649
      Rep Power : 615
      Likes Received
      151
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili waziri wa nishati na madini hakuwa sawa

      Kwa ccm hamna msomi wala kilaza, wote huwaza sawa. It's very useless political part.

    12. #10
      Wambugani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2007
      Posts : 1,239
      Rep Power : 832
      Likes Received
      142
      Likes Given
      169

      Default Re: Kwa hili waziri wa nishati na madini hakuwa sawa

      Quote By RUTARE
      Hata mimi nimemshangaa prof. ameshakuwa mwanasiasa
      Profesa kachemsha: Soma hapa:

      TAGS: Ecology, Global economy

      German energy firms are suing the government for €15 billion in damages over the decision to shut down all the country’s nuclear reactors by 2022.

      *The country's largest power utility E.ON is demanding 8 billion euros for the enforced shutdown of its nuclear power stations, the German daily Frankfurter Allgemeine Zeitung reported. The company expects the German constitutional court would prevail, E.ON’s spokesman said.

      The German government already faces a series of lawsuits against its policy to abandon atomic energy. The country’s second biggest power company RWE has also filed a complaint against nuclear exit decision, arguing it violated the company’s proprietary rights. Last year RWE sued the Government over a nuclear-fuel tax, saying it would cost RWE between €300 million and €400 million per year.

      Swedish energy provider Vattenfall is also considering a suit, according to FAZ. Vattenfall has a 66.7% stake in the Brunsbüttel nuclear plant, and 50% of the Kruemmel nuclear plant, both near Hamburg.

      Energy companies say their complaints were not about the nuclear energy exit as it is largely supported in Germany, but about the lack of compensation for the companies affected by the “green’ shift in Germany’s energy policy.

      Germany decided to switch off its eight oldest reactors in March 2011 after the Fukushima disaster in Japan. The other nine rectors currently operating are expected to be closed by 2022. The shift to green energy is estimated to cost German taxpayers as much as 20 billion euros over the next decade, according to the study presented by the country’s electricity distribution operators last month."
      Wars are caused by undefended wealth - Ernest Hemingway, famous American writer

    13. #11
      Makucha's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 179
      Rep Power : 468
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili waziri wa nishati na madini hakuwa sawa

      Hata hivyo kisiasa alifaulu kutoa a temporal response which saved him from further questions leaving him to prepare himself better. This is politically acceptable.

    14. #12
      Kijana leo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 405
      Rep Power : 440
      Likes Received
      58
      Likes Given
      29

      Default Re: Kwa hili waziri wa nishati na madini hakuwa sawa

      nashukuru kwa taifa, naona hawa jamaa bado wanajua tuna radio 1 tu, na walivyomshangilia wagonga meza, eti kisa prof, kwani ndo anjua kila ki2?

    15. #13
      umumura's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 57
      Rep Power : 371
      Likes Received
      11
      Likes Given
      5

      Default Re: Kwa hili waziri wa nishati na madini hakuwa sawa

      mimi nafikiri, wazirii alitakiwa kutoa maelezo kwamba, tanzania inamkakati gani wa rasilimali hiyo kutukima kuzalisha umeme utakao tumika hapa nchini, na sio madini yasafirishwe kwenad kutimika marekani na ulaya. Wantazania watafaidi nini katika uzalishaji huo, zaidi ya ajira mbazo zitawapelekea kufa haraka kutokana na mionzi ya madini yenyewe.

    16. #14
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,596
      Rep Power : 22054
      Likes Received
      992
      Likes Given
      771

      Default Re: Kwa hili waziri wa nishati na madini hakuwa sawa

      Ivi mmesahau kuwa Tundu alikuwa Japan last month?
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...