Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Fedha za safari za JK zaibwa na watendaji

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 88
    1. #1
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,438
      Rep Power : 974
      Likes Received
      367
      Likes Given
      1807

      Default Fedha za safari za JK zaibwa na watendaji

      Fedha za safari za JK zaibwa

      MAOFISA watano wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kuiba fedha zilizotengwa “kwa ajili ya safari za rais,” MwanaHALISI limeelezwa.

      Taarifa za uhakika zilizopatikana ndani ya ikulu na wizara hiyo, zimesema kwamba maofisa hao, akiwemo Mkuu wa Itifaki, walifanikiwa kuchota Sh. 3 bilioni “kutoka benki moja nchini.”


      .............................. .............................. ............

      Source: Gazeti la Mwanahalisi:
      Saint Ivuga likes this.
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    2. Miaka 50

    3. #2
      mkandaboy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 171
      Rep Power : 404
      Likes Received
      32
      Likes Given
      23

      Default Re: JAMANI wizi HADI IKULU!!!

      Duuuh!!!!!! Tanzania zaidi ya uijuavyo....

    4. #3
      Mu-sir's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 1,261
      Rep Power : 689
      Likes Received
      322
      Likes Given
      342

      Default Re: JAMANI wizi HADI IKULU!!!

      Sio mchezo mkuu hata wao wanaona jinsi 'VASCO DA GAMMA' anavyozichota hadi wanapata hasira.
      Yabisi and rodrick alexander like this.
      Dont BREAK the Law Just Bend it.

    5. #4
      andrewk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2010
      Posts : 2,225
      Rep Power : 908
      Likes Received
      283
      Likes Given
      59

      Default Re: JAMANI wizi HADI IKULU!!!

      ndio raha ya safari za JK hizooooooo

    6. #5
      MAKAWANI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 95
      Rep Power : 374
      Likes Received
      27
      Likes Given
      21

      Default Re: JAMANI wizi HADI IKULU!!!

      Taarifa zinasema walisimamishwa kazi wiki mbili zilizopita, but kati ya hao waliosimamishwa kuna ambao wapo Nje ya nchi (Brazil) kikazi mpaka sasa. Kuna haja ya kujua namna transaction ya kutoa fedha za matumizi serikalini inavyofanyika coz haiwezekani Katibu wa wizara asijue dili kama hilo! Si ajabu hata TAKUKURU wamepata taarifa hizi kupitia Mwanahalisi!
      mizambwa, FJM and Mokerema like this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Kizamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th September 2011
      Posts : 389
      Rep Power : 466
      Likes Received
      97
      Likes Given
      3

      Default Re: JAMANI wizi HADI IKULU!!!

      Ayayaya, huko ndiko madudu yamejaa.
      mizambwa likes this.

    9. #7
      Gwankaja Gwakilingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Location : Masoko Busisya
      Posts : 1,199
      Rep Power : 608
      Likes Received
      326
      Likes Given
      32

      Default Re: Jamani wizi hadi Ikulu!!!

      Bilion 3 kwa ajili ya safari tu! Baba zetu na watoto kule Isman wanalala njaa maji km 30 kuyafuata,lukuv anakenua meno tu bungeni,mlioiba nenden basi Isman mkachimbe hata kakisima kamoja tu
      N-handsome, mizambwa and Cha Moto like this.
      kwa pamoja ni lazima twende mbali zaidi ya maneno yetu...........039.mac

    10. #8
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,677
      Rep Power : 10167
      Likes Received
      5654
      Likes Given
      12666

      Default Re: Jamani wizi hadi Ikulu!!!

      IKulu leo ama kesho itakuja na waraka kukanusha haya madai
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    11. #9
      Igabiro's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Location : Mbinguni
      Posts : 231
      Rep Power : 493
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default Re: Jamani wizi hadi Ikulu!!!

      Quote By mizambwa
      Fedha za safari za JK zaibwa

      MAOFISA watano wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kuiba fedha zilizotengwa “kwa ajili ya safari za rais,” MwanaHALISI limeelezwa.
      Taarifa za uhakika zilizopatikana ndani ya ikulu na wizara hiyo, zimesema kwamba maofisa hao, akiwemo Mkuu wa Itifaki, walifanikiwa kuchota Sh. 3 bilioni “kutoka benki moja nchini.”
      .............................. .............................. .............................. ........

      Source: Gazeti la Mwanahalisi:
      Na hizo ni chache jamaa uwa wanapiga sana za kutosha, hii inatokana na matumizi yote kukosa serious auditing...ukiuliza unaambiwa katumia mheshimiwa.....then nani mwenye ubavu wa kwenda kumuuliza mheshimiwa? Kazi badi tunayo kweli....
      mizambwa and muonamambo like this.

    12. #10
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default Re: Jamani wizi hadi Ikulu!!!

      Mmkulu atasalimika? Riz Moja nae vipi hajahusika
      mizambwa likes this.

    13. #11
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 880
      Likes Received
      243
      Likes Given
      19

      Default

      Hiyo ndio sifa yetu watanzania,tumechoka kusikia haya mambo ya wizi kila kukicha 2015 ufisadi basi ktk sanduku la kura

    14. #12
      Ndallo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : LaRusa
      Posts : 4,116
      Rep Power : 6361
      Likes Received
      1478
      Likes Given
      409

      Default Re: Jamani wizi hadi Ikulu!!!

      Jamani Mkapa alivyoondoka Ikulu aliacha pesa mingi mno!
      Mupirocin likes this.
      '' Mtu ni Utu sio Kitu''

    15. #13
      bornagain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Location : Nyakanazi - Biharamulo
      Posts : 1,606
      Rep Power : 690
      Likes Received
      437
      Likes Given
      318

      Default Re: Jamani wizi hadi Ikulu!!!

      Mi naona wamechukua kidogo sana, kwa nini wasingechukua nyingi ili ziara hizi ziahirishwe kwa muda.Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake so to me is bravo
      muonamambo and Mupirocin like this.
      There is a saying in aviation "You haven't crashed until you've crashed. Until then, keep flying the plane".

    16. #14
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 983
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default Fedha za safari za JK zaibwa

      MAOFISA watano wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kuiba fedha zilizotengwa “kwa ajili ya safari za rais,” MwanaHALISI limeelezwa.

      Taarifa za uhakika zilizopatikana ndani ya ikulu na wizara hiyo, zimesema kwamba maofisa hao, akiwemo Mkuu wa Itifaki, walifanikiwa kuchota Sh. 3 bilioni “kutoka benki moja nchini.”

      Zaidi Soma Mwanahalisi!


    17. #15
      sk2000's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 111
      Rep Power : 375
      Likes Received
      14
      Likes Given
      16

      Default Re: Jamani wizi hadi Ikulu!!!

      Quote By mizambwa
      Fedha za safari za JK zaibwa

      MAOFISA watano wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kuiba fedha zilizotengwa “kwa ajili ya safari za rais,” MwanaHALISI limeelezwa.

      Taarifa za uhakika zilizopatikana ndani ya ikulu na wizara hiyo, zimesema kwamba maofisa hao, akiwemo Mkuu wa Itifaki, walifanikiwa kuchota Sh. 3 bilioni “kutoka benki moja nchini.”


      .............................. .............................. ............

      Source: Gazeti la Mwanahalisi:
      Labda waliona safari zimezidi na manufaa kwa nchi hakuna wakaona bora wanufaike wao.

    18. #16
      Makupa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 2,175
      Rep Power : 810
      Likes Received
      249
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mkandaboy
      Duuuh!!!!!! Tanzania zaidi ya uijuavyo....
      Wana jf kuna kitu kinaitwa 'cash cow'

    19. #17
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Jamani wizi hadi Ikulu!!!

      ukisikia jambazi kapigwa roba na kibaka ndio hapo sasa.
      mizambwa, Mazingira and muonamambo like this.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    20. #18
      Cha Moto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Location : Kijijini
      Posts : 937
      Rep Power : 586
      Likes Received
      131
      Likes Given
      247

      Default Re: Jamani wizi hadi Ikulu!!!

      na bado tutaona na kusikia mengi tu
      Tanzania nakupenda sana
      mizambwa likes this.
      “Mtu anaweza kuzini kwa siri lakini hawezi kuugua ukimwi kwa siri”

    21. #19
      MpigaFilimbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2008
      Location : Uvunguni
      Posts : 1,089
      Rep Power : 781
      Likes Received
      127
      Likes Given
      76

      Default Re: Jamani wizi hadi Ikulu!!!

      ...kwa jinsi mambo yanavyoenda nchi hii inasikitisha sana...sasa tutegemee kweli tutaendelea? watu wanawaza kuiba tu, waajiriwa wapya wanawaza kuwa watapata dili la kuiba, wanaokaribia kustaafu wanaona walichelewa kuiba. Nchi haiendeshwi kwa sheria na kanuni bali kwa utashi wa kiongozi. Ukiwa karibu na kiongozi wewe unaweza kufanya lolote. Mbwa wa mkubwa ni mkubwa wa mbwa wote....
      "If you are going through HELL, keep going..."-W.Churchill

    22. #20
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,601
      Rep Power : 22056
      Likes Received
      995
      Likes Given
      777

      Default Re: Fedha za safari za JK zaibwa

      Kama ni kweli watakuwa wamefanya jambo la maana mkuu abaki nchini for a while maana amezidi
      Dotworld likes this.
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...