Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Baada ya CHADEMA kwenda kusini CCM nao waende Kaskazini

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 26
    1. #1
      Noti mpya tz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2011
      Posts : 633
      Rep Power : 603
      Likes Received
      106
      Likes Given
      260

      Default Baada ya CHADEMA kwenda kusini CCM nao waende Kaskazini

      Hapa JF kulikuwa na tuhuma kuwa CHADEMA ni chama cha kaskazini tu tena cha kidini lakini baada ya chedema kwenda kusini na kudhihirisha kuwa kimekubalika kila pande ya nchi tuhuma hizo hatuzioni tena hapa JF, watu bila shaka wameona ukweli wa chama hiki na jinsi kinavyopendwa nchi nzima.

      Sasa nawaomba pia CCM waende kaskazini mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara wakafanye mikutano kama walivyofanya Jangwani.

      Waende CHADEMA SQUIRE ya Arusha (NMC) wakashushe swaga pale wawavue watu magwanda na magamba tuone.
      Tanganyika ya are my mamaland no matter where ya are I believe ya'll comeback home very soon.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Baada ya CHADEMA kwenda kusini CCM nao waende Kaskazini

      watapopolewa mawe hao, huwatakii mema ccm
      Noti mpya tz likes this.

    4. #3
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 1,978
      Rep Power : 881
      Likes Received
      245
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By Noti mpya tz
      Hapa JF kulikuwa na tuhuma kuwa CHADEMA ni chama cha kaskazini tu tena cha kidini lakini baada ya chedema kwenda kusini na kudhihirisha kuwa kimekubalika kila pande ya nchi tuhuma hizo hatuzioni tena hapa JF, watu bila shaka wameona ukweli wa chama hiki na jinsi kinavyopendwa nchi nzima.

      Sasa nawaomba pia CCM waende kaskazini mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara wakafanye mikutano kama walivyofanya Jangwani.

      Waende CHADEMA SQUIRE ya Arusha (NMC) wakashushe swaga pale wawavue watu magwanda na magamba tuone.
      Hawawezi,hawataweza.
      Noti mpya tz likes this.

    5. #4
      Hingi Jr's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 374
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Baada ya CHADEMA kwenda kusini CCM nao waende Kaskazini

      CDM majidanganya sana ngojeni CCM imalize chaguzi zake mwezi wa tisa au kumi ndio mtajua kuwa CCM ni chama tawala nchi hii na kipenzi cha watanzania.Nafikiri mtaishia kusema aah wamewatoa kwa mabasi ngorongoro,Babati nk kama mlivyozoea kila CCM inapofanya mikutano yake. CCM ni chama tawala milele.

    6. #5
      S.Liondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Posts : 344
      Rep Power : 478
      Likes Received
      55
      Likes Given
      6

      Default Re: Baada ya CHADEMA kwenda kusini CCM nao waende Kaskazini

      Quote By Hingi Jr
      CDM majidanganya sana ngojeni CCM imalize chaguzi zake mwezi wa tisa au kumi ndio mtajua kuwa CCM ni chama tawala nchi hii na kipenzi cha watanzania.Nafikiri mtaishia kusema aah wamewatoa kwa mabasi ngorongoro,Babati nk kama mlivyozoea kila CCM inapofanya mikutano yake. CCM ni chama tawala milele.
      Hapo penye red umesahau vutu kadhaa: Ubwabwa, Elfu kumi kumi kwa kila bodaboda pamoja na kuwajazia mafura ili wapeperushe bendera za CCM, kofia, vitenge, T-shirt na skafu. Mambo haya siyo uzushi, ndiyo staili halisi ya CCM katika operations zake.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,056
      Rep Power : 811
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By Hingi Jr
      CDM majidanganya sana ngojeni CCM imalize chaguzi zake mwezi wa tisa au kumi ndio mtajua kuwa CCM ni chama tawala nchi hii na kipenzi cha watanzania.Nafikiri mtaishia kusema aah wamewatoa kwa mabasi ngorongoro,Babati nk kama mlivyozoea kila CCM inapofanya mikutano yake. CCM ni chama tawala milele.
      Unataka kusema hata Mbinguni katika ufalme wa Bwana Yesu Kristo watatawala?
      The unseen is illustrated by the seen.
      Noti mpya tz likes this.

    9. #7
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 6,004
      Rep Power : 6482
      Likes Received
      1207
      Likes Given
      509

      Default Re: Baada ya CHADEMA kwenda kusini CCM nao waende Kaskazini

      Quote By Noti mpya tz
      Hapa JF kulikuwa na tuhuma kuwa CHADEMA ni chama cha kaskazini tu tena cha kidini lakini baada ya chedema kwenda kusini na kudhihirisha kuwa kimekubalika kila pande ya nchi tuhuma hizo hatuzioni tena hapa JF, watu bila shaka wameona ukweli wa chama hiki na jinsi kinavyopendwa nchi nzima.

      Sasa nawaomba pia CCM waende kaskazini mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara wakafanye mikutano kama walivyofanya Jangwani.

      Waende CHADEMA SQUIRE ya Arusha (NMC) wakashushe swaga pale wawavue watu magwanda na magamba tuone.
      Toba rabi, waende wapi vile. Waamue kumuiga tembo wapasuke msamba!!
      Noti mpya tz likes this.
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    10. #8
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 12,156
      Rep Power : 31829
      Likes Received
      6029
      Likes Given
      19645

      Default Re: Baada ya CHADEMA kwenda kusini CCM nao waende Kaskazini

      Waende wakirudi watasema yatakayowakutag

    11. #9
      Kaitampunu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : Kwenye Corner
      Posts : 668
      Rep Power : 512
      Likes Received
      138
      Likes Given
      198

      Default Re: Baada ya CHADEMA kwenda kusini CCM nao waende Kaskazini

      Quote By Mamndenyi
      Waende wakirudi watasema yatakayowakutag
      Watarudi kimya kimya kama wanaotoka kuzika.

    12. #10
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Baada ya CHADEMA kwenda kusini CCM nao waende Kaskazini

      naona baba una utani na nape..unataka akatolewe manundu kule??
      kwani yeye hajipendi??
      Noti mpya tz likes this.

    13. #11
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,704
      Rep Power : 1916
      Likes Received
      1597
      Likes Given
      678

      Default Re: Baada ya CHADEMA kwenda kusini CCM nao waende Kaskazini

      Sio kaskazini tu hata kusini hawawezi tena
      Noti mpya tz likes this.

    14. #12
      sanjo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 861
      Rep Power : 607
      Likes Received
      219
      Likes Given
      33

      Default

      Quote By Hingi Jr
      CDM majidanganya sana ngojeni CCM imalize chaguzi zake mwezi wa tisa au kumi ndio mtajua kuwa CCM ni chama tawala nchi hii na kipenzi cha watanzania.Nafikiri mtaishia kusema aah wamewatoa kwa mabasi ngorongoro,Babati nk kama mlivyozoea kila CCM inapofanya mikutano yake. CCM ni chama tawala milele.
      Mkuu kujua somo la historia juu ya tawala mbalimbali za dunia hii ni muhimu sana. Je wajua juu ya Roman empire? Ottoma empire? British empire nk? Ziko wapi hizi empire? Ni muhimu ukakumbuka semi usemao “Nothing is a permanent factor other than change
      Noti mpya tz likes this.

    15. #13
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,754
      Rep Power : 915
      Likes Received
      441
      Likes Given
      440

      Default

      Quote By Hingi Jr
      CDM majidanganya sana ngojeni CCM imalize chaguzi zake mwezi wa tisa au kumi ndio mtajua kuwa CCM ni chama tawala nchi hii na kipenzi cha watanzania.Nafikiri mtaishia kusema aah wamewatoa kwa mabasi ngorongoro,Babati nk kama mlivyozoea kila CCM inapofanya mikutano yake. CCM ni chama tawala milele.
      ...ww na ww cjui wa wapi?eti itatawala milele,hata kutumia akili za kuzaliwa tu unashindwa?....kuna kitu kinachotawala milele hapa duniani?hebu soma hata historia na vitabu vya dini vitakusaidia kujua kuwa hakuna kinachotawala milele......unatia aibu,lol!
      Noti mpya tz likes this.

    16. #14
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By christine ibrahim
      ...ww na ww cjui wa wapi?eti itatawala milele,hata kutumia akili za kuzaliwa tu unashindwa?....kuna kitu kinachotawala milele hapa duniani?hebu soma hata historia na vitabu vya dini vitakusaidia kujua kuwa hakuna kinachotawala milele......unatia aibu,lol!
      Mkuu wengine ni vichaa humu hawaelewi kitu zaidi kukaririshwa na Nape,
      msamehe bure.
      Noti mpya tz likes this.

    17. #15
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,457
      Rep Power : 10882
      Likes Received
      3822
      Likes Given
      426

      Default Re: Baada ya CHADEMA kwenda kusini CCM nao waende Kaskazini

      Subutu yao.....!!

    18. #16
      Chaimaharage's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 108
      Rep Power : 0
      Likes Received
      72
      Likes Given
      0

      Default Re: Baada ya CHADEMA kwenda kusini CCM nao waende Kaskazini

      Quote By Noti mpya tz
      Hapa JF kulikuwa na tuhuma kuwa CHADEMA ni chama cha kaskazini tu tena cha kidini lakini baada ya chedema kwenda kusini na kudhihirisha kuwa kimekubalika kila pande ya nchi tuhuma hizo hatuzioni tena hapa JF, watu bila shaka wameona ukweli wa chama hiki na jinsi kinavyopendwa nchi nzima.

      Sasa nawaomba pia CCM waende kaskazini mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara wakafanye mikutano kama walivyofanya Jangwani.

      Waende CHADEMA SQUIRE ya Arusha (NMC) wakashushe swaga pale wawavue watu magwanda na magamba tuone.
      Jamani Magamba wamekuwa chama cha upinzani kufanya mikutano ya hadhara kila wakati? pale Jangwani hakuna jipya bali mwendelezo ule ule wa ahadi na mipasho. Muda huu siyo wa kutoa ahadi tena, waachie CDM na wapinzani wengine ambao hawajashika dola kufanya kazi hiyo. Waende kaskazini kwa style ya kutekeleza ahadi walizo toa kwenye kampeni na siyo mikutano ya hadhara kwa sababu watu hawahitaji hiyo kwa magamba. Watazidi kuumbuka kama ilivyotokea pale Jangwani kwa kushindwa kumaliza kiu ya wananchi baada ya kutosema wamefanikiwa nini na wamekwama wapi katika ahadi zao. Unajua bado kuna watu hawa amini kuwa magamba wanakufa! Hawana ubunifu bali kuiga kila kitu wanacho fanya CDM.
      Noti mpya tz likes this.

    19. #17
      security guard's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 109
      Rep Power : 278
      Likes Received
      25
      Likes Given
      4

      Default Re: Baada ya CHADEMA kwenda kusini CCM nao waende Kaskazini

      Unachandika bado akiingi akilini ndugu ukweli upo pale pale kuhusu ukabila na udini wa Chadema na siku zinavyozidi kwenda tutakuletea taarifa zaidi,sipendi siasa na sipendi uozo wa CHADEMA.....huku Yombo vituka kuna makundi ya wachaga yanapita kununua mashina yaliyo kuwa ya CUF kwa pesa nyingi....inaonyesha wazi mikakati yao nikuigawa nchi...kingine ni kutokuwa na sera....waelezeni nyie kama nyie mmejiandaa vipi kuongoza nchi na sio kutumia maneno ya kejeli..hao watu sio wajinga mbinu zenu chafu walitumia NCCR- MAGEUZI na CUF wapo wapi?????

    20. #18
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default Re: Baada ya CHADEMA kwenda kusini CCM nao waende Kaskazini

      Quote By Hingi Jr
      CDM majidanganya sana ngojeni CCM imalize chaguzi zake mwezi wa tisa au kumi ndio mtajua kuwa CCM ni chama tawala nchi hii na kipenzi cha watanzania.Nafikiri mtaishia kusema aah wamewatoa kwa mabasi ngorongoro,Babati nk kama mlivyozoea kila CCM inapofanya mikutano yake. CCM ni chama tawala milele.
      Ndio mnavyojidanganya hivi huko magambani!?.

    21. #19
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default Re: Baada ya CHADEMA kwenda kusini CCM nao waende Kaskazini

      CCM ipo kuzimu!

    22. #20
      MANGUNGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,146
      Rep Power : 620
      Likes Received
      251
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By Hingi Jr
      CDM majidanganya sana ngojeni CCM imalize chaguzi zake mwezi wa tisa au kumi ndio mtajua kuwa CCM ni chama tawala nchi hii na kipenzi cha watanzania.Nafikiri mtaishia kusema aah wamewatoa kwa mabasi ngorongoro,Babati nk kama mlivyozoea kila CCM inapofanya mikutano yake. CCM ni chama tawala milele.
      wewe gamba nakujua tangu ukiwa malangali sec iringa,mtu wa kujikoshakosha kwa utawala na mpanda madaraka sasa umemaliza ki-degree chako cha utawala na siasa udsm hauna ajira unabaki kujikoshakosha kwa magamba ili wakupe hata ukuu wa wilaya i think we lost you na magamba wenzio m4c inateketeza mitunguli kusini ya umaskini watu wanaamka,arusha watu hawasombeki kwa maroli watawachuna kama walovyo wafanya arumeru mssivyo na akili

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...