Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwakyembe: Sikusinzia...

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 95
    1. #1
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,802
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      1048
      Likes Given
      164

      Default Mwakyembe: Sikusinzia...

      Waziri wa Uchukuzi Dr.Harrison Mwakyembe amesema kuwa hakupata kusinzia njia nzima, wakati akisafiri kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma kwa treni, kwakuwa anafanya utafiti wake.

      Waziri Mwakyembe amesema kuwa hakuweza kusinzia kwakuwa alihitaji kujiridhisha na hali ya usafiri wa treni na pia kujionea hali halisi ya wananchi wa Tanzania sehemu ambapo treni linapita.

      'Nimejifunza mengi sana;ya Wizara yangu na Wizara nyinginezo' alisema Dr.Mwakyembe. 'Nitatumia niliyoyaona kwa maslahi ya Taifa' aliongeza.

      Chanzo: Mimi mwenyewe niliyeambatana naye kwenda Dodoma kwa treni...
      zomba, Wambugani, Mbwambo and 2 others like this.
      Uongo huonekana na kuaminiwa haraka.Ukweli ndio mwisho wa yote!


    2. #2
      Mohamed Ngwasu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th May 2011
      Posts : 171
      Rep Power : 445
      Likes Received
      27
      Likes Given
      70

      Default Re: Mwakyembe: Sikusinzia...

      kuku mlipiga njiani?

    3. #3
      Mohamed Ngwasu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th May 2011
      Posts : 171
      Rep Power : 445
      Likes Received
      27
      Likes Given
      70

      Default Re: Mwakyembe: Sikusinzia...

      mlitumia masaa mangapi
      Quote By VUTA-NKUVUTE View Post
      Waziri wa Uchunguzi Dr.Harrison Mwakyembe amesema kuwa hakupata kusinzia njia nzima,wakati akisafiri kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma kwa treni, kwakuwa anafanya utafiti wake.Waziri Mwakyembe amesema kuwa hakuweza kusinzia kwakuwa alihitaji kujiridhisha na hali ya usafiri wa treni na pia kujionea hali halisi ya wananchi wa Tanzania sehemu ambapo treni linapita.'Nimejifunza mengi sana;ya Wizara yangu na Wizara nyinginezo' alisema Dr.Mwakyembe. 'Nitatumia niliyoyaona kwa maslahi ya Taifa' aliongeza.

      Chanzo: Mimi mwenyewe niliyeambatana naye kwenda Dodoma kwa treni...

    4. #4
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,695
      Rep Power : 1280
      Likes Received
      1322
      Likes Given
      1711

      Default Re: Mwakyembe: Sikusinzia...

      Ile sumu bado inamsumbua huyu.

    5. #5
      Black Bat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Abbottabad
      Posts : 2,574
      Rep Power : 9603
      Likes Received
      698
      Likes Given
      575

      Default Re: Mwakyembe: Sikusinzia...

      Quote By Sangarara View Post
      Ile sumu bado inamsumbua huyu.
      kwa nini?
      ukipenda niite double biiiiiii!! tchao


    6. #6
      Saharavoice's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 30th August 2007
      Posts : 2,204
      Rep Power : 1043
      Likes Received
      411
      Likes Given
      496

      Default Re: Mwakyembe: Sikusinzia...

      Quote By Sangarara View Post
      Ile sumu bado inamsumbua huyu.
      Sijaona ubaya wa Mwakyembe kusafiri kwa treni.
      Hivi utawezaje kuhubiri ubaya wa pombe wakati hujawahi hata kuionja? tusubiri matokeo ya utafiti wake ndipo tuje na kejeri za namna hii.
      Tshala, Bazazi, Sn2139 and 6 others like this.
      A conclusion is the place where you got tired of thinking



    7. FJM is offline
      FJM
      #7
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default Re: Mwakyembe: Sikusinzia...

      Imemchukua muda gani kufika Dodoma?

      Ningetaka sana kusikia mambo ya msingi aliyogundua. Usafiri wa Treni ni muhimu kushinda maelezo kama tunataka kukumboa hili taifa. Barabara zinaharibika vibaya kutokana na malori mazito.
      Saharavoice, Kaizer and Maundumula like this.

    8. #8
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By VUTA-NKUVUTE View Post
      Waziri wa Uchunguzi Dr.Harrison Mwakyembe amesema kuwa hakupata kusinzia njia nzima,wakati akisafiri kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma kwa treni, kwakuwa anafanya utafiti wake.Waziri Mwakyembe amesema kuwa hakuweza kusinzia kwakuwa alihitaji kujiridhisha na hali ya usafiri wa treni na pia kujionea hali halisi ya wananchi wa Tanzania sehemu ambapo treni linapita.'Nimejifunza mengi sana;ya Wizara yangu na Wizara nyinginezo' alisema Dr.Mwakyembe. 'Nitatumia niliyoyaona kwa maslahi ya Taifa' aliongeza.

      Chanzo: Mimi mwenyewe niliyeambatana naye kwenda Dodoma kwa treni...
      hahahahaaa,,,,haya mwakyembe

    9. #9
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By FJM View Post
      Imemchukua muda gani kufika Dodoma?

      Ningetaka sana kusikia mambo ya msingi aliyogundua. Usafiri wa Treni ni muhimu kushinda maelezo kama tunataka kukumboa hili taifa. Barabara zinaharibika vibaya kutokana na malori mazito.
      wenye malori unadhan wanataka kusikia abt rail???thubutuuuuu

    10. #10
      Avanti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2010
      Posts : 706
      Rep Power : 589
      Likes Received
      107
      Likes Given
      263

      Default Re: Mwakyembe: Sikusinzia...

      Quote By VUTA-NKUVUTE View Post
      Waziri wa Uchunguzi Dr.Harrison Mwakyembe amesema kuwa hakupata kusinzia njia nzima,wakati akisafiri kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma kwa treni, kwakuwa anafanya utafiti wake.Waziri Mwakyembe amesema kuwa hakuweza kusinzia kwakuwa alihitaji kujiridhisha na hali ya usafiri wa treni na pia kujionea hali halisi ya wananchi wa Tanzania sehemu ambapo treni linapita.'Nimejifunza mengi sana;ya Wizara yangu na Wizara nyinginezo' alisema Dr.Mwakyembe. 'Nitatumia niliyoyaona kwa maslahi ya Taifa' aliongeza.

      Chanzo: Mimi mwenyewe niliyeambatana naye kwenda Dodoma kwa treni...
      Kazi ya siasa ngumu!
      Kiherehere likes this.

    11. #11
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Mohamed Ngwasu View Post
      kuku mlipiga njiani?
      kuku singida mdau,,,,,,

    12. FJM is offline
      FJM
      #12
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default Re: Mwakyembe: Sikusinzia...

      Quote By Bajabiri View Post
      wenye malori unadhan wanataka kusikia abt rail???thubutuuuuu

      Huo ni mtihani mgumu sana.

    13. #13
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,695
      Rep Power : 1280
      Likes Received
      1322
      Likes Given
      1711

      Default Re: Mwakyembe: Sikusinzia...

      Quote By Black Bat View Post
      kwa nini?
      Inakuingia Akilini mwako kwamba Mtu ambaye amekuwa kiongozi katika serikali na mashirika yetu ya UMA kwa muda mrefu Kama mwakyembe analazimika kufanya safari ya namna hii ili kujifunza au kujionea mwenyewe ama matatizo ya usafiri wa treni au ya wananchi huko treni inakopita kama anavyoropoka huyu jamaa.

      Maisha ya hao wananchi hao yanatofauti gani na yale ya wananchi wa Jimboni kwake Kyela? Majuzi alisema amepanda daladala kutoka mwenge kwenda tegeta na anadai kwamba tatizo pekee aliloliona na gharama kubwa ya nauli, matatizo ya wanaotumia usafiri wa daladala yanatofauti gani na wale wanaotumia treni?

      Ni tatizo gani la usafiri wa treni mwakyembe amejifunza kupitia safari hiyo? alienda kuona kama kweli injini inazima zima? haya sasa siku hiyo haikuzima, kwa hiyo ametoka na picha gani hapo? kwamba habari za kuzima zima kwa injini za treni na hujuma za kishenzi zinazofanywa za kung'oa mataruma ya reli ni za uongo?

      Give me a break.
      JokaKuu and Kiwalani like this.

    14. #14
      Adrian Stepp's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2011
      Posts : 1,584
      Rep Power : 719
      Likes Received
      441
      Likes Given
      2683

      Default Re: Mwakyembe: Sikusinzia...

      Quote By VUTA-NKUVUTE View Post
      Waziri wa Uchunguzi Dr.Harrison Mwakyembe amesema kuwa hakupata kusinzia njia nzima,wakati akisafiri kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma kwa treni, kwakuwa anafanya utafiti wake.Waziri Mwakyembe amesema kuwa hakuweza kusinzia kwakuwa alihitaji kujiridhisha na hali ya usafiri wa treni na pia kujionea hali halisi ya wananchi wa Tanzania sehemu ambapo treni linapita.'Nimejifunza mengi sana;ya Wizara yangu na Wizara nyinginezo' alisema Dr.Mwakyembe. 'Nitatumia niliyoyaona kwa maslahi ya Taifa' aliongeza.

      Chanzo: Mimi mwenyewe niliyeambatana naye kwenda Dodoma kwa treni...
      Ni wizara mpya nini?? maana zumbukuku hakawii kulala na kuamka na kuanzisha wizara mpya..
      wagaba likes this.
      Watu wakimya wamejaliwa busara, ufahamu na midomo inayonuka!

    15. #15
      Saharavoice's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 30th August 2007
      Posts : 2,204
      Rep Power : 1043
      Likes Received
      411
      Likes Given
      496

      Default Re: Mwakyembe: Sikusinzia...

      Quote By FJM View Post
      Imemchukua muda gani kufika Dodoma?

      Ningetaka sana kusikia mambo ya msingi aliyogundua. Usafiri wa Treni ni muhimu kushinda maelezo kama tunataka kukumboa hili taifa. Barabara zinaharibika vibaya kutokana na malori mazito.
      Ni kweli reli ni muhimu sana, nchi nyingi zilizoendelea duniani hazijatelekeza reli. tunalalamika mifumuko ya bei za bidhaa kila siku wakati sababu mojawapo ni mfumo wa usafirishaji wa bidhaa hizo.
      A conclusion is the place where you got tired of thinking



    16. #16
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,802
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      1048
      Likes Given
      164

      Default Re: Mwakyembe: Sikusinzia...

      Quote By anders batta View Post
      Ni wizara mpya nini?? maana zumbukuku hakawii kulala na kuamka na kuanzisha wizara mpya..
      Samahani Mkuu,ni Wizara ya Uchukuzi.It was just a slip of the keyboard.MODS tafadhali nirekebishieni...
      Uongo huonekana na kuaminiwa haraka.Ukweli ndio mwisho wa yote!

    17. #17
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 3,055
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      652

      Default Re: Mwakyembe: Sikusinzia...

      Mbona anafanya kazi kwa kutaka coverage kubwa sana ya media? anamaanisha nini

    18. #18
      Sn2139's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2010
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 805
      Rep Power : 2871
      Likes Received
      237
      Likes Given
      1400

      Default Re: Mwakyembe: Sikusinzia...

      Quote By Sangarara View Post
      Inakuingia Akilini mwako kwamba Mtu ambaye amekuwa kiongozi katika serikali na mashirika yetu ya UMA kwa muda mrefu Kama mwakyembe analazimika kufanya safari ya namna hii ili kujifunza au kujionea mwenyewe ama matatizo ya usafiri wa treni au ya wananchi huko treni inakopita kama anavyoropoka huyu jamaa.

      Maisha ya hao wananchi hao yanatofauti gani na yale ya wananchi wa Jimboni kwake Kyela? Majuzi alisema amepanda daladala kutoka mwenge kwenda tegeta na anadai kwamba tatizo pekee aliloliona na gharama kubwa ya nauli, matatizo ya wanaotumia usafiri wa daladala yanatofauti gani na wale wanaotumia treni?

      Ni tatizo gani la usafiri wa treni mwakyembe amejifunza kupitia safari hiyo? alienda kuona kama kweli injini inazima zima? haya sasa siku hiyo haikuzima, kwa hiyo ametoka na picha gani hapo? kwamba habari za kuzima zima kwa injini za treni na hujuma za kishenzi zinazofanywa za kung'oa mataruma ya reli ni za uongo?

      Give me a break.
      Sangarara, na wewe unaongea (unaandika ?) tu kwa vile una hiyo fursa ya kuandika ama kuongea. Bila maneno meeengi nakuuliza kuwa: Unamfaham yule jamaa aliyekuwa akifanya experiment yake kwa kuwasha torch mchana kweupe? Je, aligunduwa nini? Je, alikuwa kichaa au? Ukiweza kujibu hayo masuali utamuunga mkono Dr Mwakyembe.
      Consigliere and Red Giant like this.
      the fool collects facts, the wise selects them

    19. #19
      Bundewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Location : Kazuramimba
      Posts : 375
      Rep Power : 575
      Likes Received
      122
      Likes Given
      117

      Default Re: Mwakyembe: Sikusinzia...

      Quote By Bajabiri View Post
      kuku singida mdau,,,,,,
      Kuku Salanda mwana!
      Everyone wants to go to Heaven ...but no body wants to die!

    20. #20
      mwakaboko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 660
      Rep Power : 576
      Likes Received
      146
      Likes Given
      908

      Default Re: Mwakyembe: Sikusinzia...

      natamani reli ifanye kazi kwa ufanisi ili bei za vitu ikiwa ni pamoja na chakula ishuke

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...