Re: CCM imebakiwa na wanachama 2,500,000

By
BMT
chadema ni janga la kitaifa!wanachama wake wengi ni wahuni tu,wapo wachache wenye kujenga hoja,hekima na busara,wengi wenu humu jf hamna hoja!weka vithibitisho kuwa ccm imebakia na wanachama 250000,pumba tu ndo mnajaza humu,,we sangarara ukiulizwa utaje sera hata moja ya cdm hujui
Basi we SISIEM tutajie idadi ya wanachama wenu kwa sasa, itapendeza kama uataweka na na vithibitisho
Ni Afadhali Vita Inayotafuta Haki na Usawa Kuliko Amani Inayopumbaza na Kudhalilisha Utu wa Mwanadamu-G. Lema
Follow Us Here