Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CCM imebakiwa na wanachama 2,500,000

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 46
    1. #1
      DOMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 658
      Rep Power : 0
      Likes Received
      193
      Likes Given
      1

      Default CCM imebakiwa na wanachama 2,500,000

      Kuna tetesi kuwa magamba tangia yaanze kuvuliwa yametoka kwa wingi zaidi katika vugu vugu la M4C na kupunguza mtaji wa ccm mpaka kufikia wanachama milioni mbili na laki tano hii ni kutokana na wanaccm ambao wamekuwa wakirudisha kadi pasipo mikutano na kuchukua za chadema pamoja na wale wanaorudisha katika mikutano mbali mbali inayoendelea.....

      Mytake
      M4C to the infinity...,....
      MPadmire likes this.


    2. BMT is offline
      BMT
      #2
      BMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 463
      Likes Received
      32
      Likes Given
      24

      Default re: CCM imebakiwa na wanachama 2,500,000

      great thinker hupaswi kuwa muongo kiasi hki,weka statistics hapa,hvi nyie wanaharakati mkoje?umbea tu umewajaa,mnaboa sana

    3. #3
      DOMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 658
      Rep Power : 0
      Likes Received
      193
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By BMT View Post
      great thinker hupaswi kuwa muongo kiasi hki,weka statistics hapa,hvi nyie wanaharakati mkoje?umbea tu umewajaa,mnaboa sana
      sibitisha uongo wangu
      Sangarara likes this.

    4. #4
      NICE LAMECK's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 212
      Rep Power : 406
      Likes Received
      27
      Likes Given
      37

      Default re: CCM imebakiwa na wanachama 2,500,000

      napita nitarudi baadae na nyaraka muhimu.

    5. #5
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 1,031
      Rep Power : 596
      Likes Received
      164
      Likes Given
      2

      Default re: CCM imebakiwa na wanachama 2,500,000

      Twazisubiri


    6. #6
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,542
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      29

      Default re: CCM imebakiwa na wanachama 2,500,000

      haiwezekani
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    7. #7
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,688
      Rep Power : 1278
      Likes Received
      1319
      Likes Given
      1711

      Default re: CCM imebakiwa na wanachama 2,500,000

      Quote By BMT View Post
      great thinker hupaswi kuwa muongo kiasi hki,weka statistics hapa,hvi nyie wanaharakati mkoje?umbea tu umewajaa,mnaboa sana
      sasa ungo ni upi? kwamba wana ccm wanarudisha kadi na kukimbilia CHADEMA au idadi ya wana CCM kubaki 2500000?

    8. BMT is offline
      BMT
      #8
      BMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 463
      Likes Received
      32
      Likes Given
      24

      Default re: CCM imebakiwa na wanachama 2,500,000

      chadema ni janga la kitaifa!wanachama wake wengi ni wahuni tu,wapo wachache wenye kujenga hoja,hekima na busara,wengi wenu humu jf hamna hoja!weka vithibitisho kuwa ccm imebakia na wanachama 250000,pumba tu ndo mnajaza humu,,we sangarara ukiulizwa utaje sera hata moja ya cdm hujui

    9. #9
      DOWN SYNDROME's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th June 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 357
      Likes Received
      6
      Likes Given
      3

      Default Re: CCM imebakiwa na wanachama 2,500,000

      Quote By BMT View Post
      chadema ni janga la kitaifa!wanachama wake wengi ni wahuni tu,wapo wachache wenye kujenga hoja,hekima na busara,wengi wenu humu jf hamna hoja!weka vithibitisho kuwa ccm imebakia na wanachama 250000,pumba tu ndo mnajaza humu,,we sangarara ukiulizwa utaje sera hata moja ya cdm hujui
      CCM ndo janga la kitaifa,wanachama wote wa ccm ni wahuni na majambazi ya mali za umma!

    10. #10
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,353
      Rep Power : 3065
      Likes Received
      3110
      Likes Given
      4232

      Default

      Quote By BMT View Post
      chadema ni janga la kitaifa!wanachama wake wengi ni wahuni tu,wapo wachache wenye kujenga hoja,hekima na busara,wengi wenu humu jf hamna hoja!weka vithibitisho kuwa ccm imebakia na wanachama 250000,pumba tu ndo mnajaza humu,,we sangarara ukiulizwa utaje sera hata moja ya cdm hujui
      Unaonekana mtu wa GPA sana dogo!!
      Angalia nyakati sio lazima iandikwenye journal.

    11. #11
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,353
      Rep Power : 3065
      Likes Received
      3110
      Likes Given
      4232

      Default

      Quote By Sangarara View Post
      sasa ungo ni upi? kwamba wana ccm wanarudisha kadi na kukimbilia CHADEMA au idadi ya wana CCM kubaki 2500000?
      Achana na hilo Bata Maji la Tanzania.

    12. #12
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default Re: CCM imebakiwa na wanachama 2,500,000

      nape atarudisha kinya kimya naye

    13. #13
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,061
      Rep Power : 815
      Likes Received
      186
      Likes Given
      12

      Default Re: CCM imebakiwa na wanachama 2,500,000

      Dah hii ni hatari na nusu, tena nusu nayo ni hatari kamili. Mtu unaleta nyuzi ambazo hazijathibitishwa, au wewe ndiye miongoni mwa viongozi wa Ccm wanaohusika na maswala ya takwimu za wanachama?
      The unseen is illustrated by the seen.

    14. #14
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,061
      Rep Power : 815
      Likes Received
      186
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Saint Ivuga View Post
      nape atarudisha kinya kimya naye
      Ufafanuzi tafadhari hilo neno lililowekewa red hapo juu.
      The unseen is illustrated by the seen.

    15. #15
      Pelekaroho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2010
      Location : Bugula
      Posts : 443
      Rep Power : 533
      Likes Received
      63
      Likes Given
      22

      Default Re: CCM imebakiwa na wanachama 2,500,000

      Quote By BMT View Post
      chadema ni janga la kitaifa!wanachama wake wengi ni wahuni tu,wapo wachache wenye kujenga hoja,hekima na busara,wengi wenu humu jf hamna hoja!weka vithibitisho kuwa ccm imebakia na wanachama 250000,pumba tu ndo mnajaza humu,,we sangarara ukiulizwa utaje sera hata moja ya cdm hujui
      Basi we SISIEM tutajie idadi ya wanachama wenu kwa sasa, itapendeza kama uataweka na na vithibitisho
      Ni Afadhali Vita Inayotafuta Haki na Usawa Kuliko Amani Inayopumbaza na Kudhalilisha Utu wa Mwanadamu-G. Lema

    16. #16
      mpinga shetani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 1,196
      Rep Power : 674
      Likes Received
      247
      Likes Given
      15

      Default Re: CCM imebakiwa na wanachama 2,500,000

      CCM haikuwahi kuwa na wanachama wanaofikia 2.5 m

    17. #17
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 3,032
      Rep Power : 3234
      Likes Received
      1064
      Likes Given
      155

      Default Re: CCM imebakiwa na wanachama 2,500,000

      ondoa na yule mwanachama mfu wa ccm prof lwaitama.

    18. #18
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,535
      Rep Power : 37791
      Likes Received
      4986
      Likes Given
      2348

      Default

      Quote By BMT View Post
      great thinker hupaswi kuwa muongo kiasi hki,weka statistics hapa,hvi nyie wanaharakati mkoje?umbea tu umewajaa,mnaboa sana
      kwa taarifa yako wanachama wa magamba mpaka sasa yana range kwenye zaidi ya 1,800,000. Endelea kudai statistics mkubwa!

    19. #19
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,672
      Rep Power : 806
      Likes Received
      163
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By BMT View Post
      chadema ni janga la kitaifa!wanachama wake wengi ni wahuni tu,wapo wachache wenye kujenga hoja,hekima na busara,wengi wenu humu jf hamna hoja!weka vithibitisho kuwa ccm imebakia na wanachama 250000,pumba tu ndo mnajaza humu,,we sangarara ukiulizwa utaje sera hata moja ya cdm hujui
      another lusinde@ work

    20. #20
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,535
      Rep Power : 37791
      Likes Received
      4986
      Likes Given
      2348

      Default

      Quote By BMT View Post
      great thinker hupaswi kuwa muongo kiasi hki,weka statistics hapa,hvi nyie wanaharakati mkoje?umbea tu umewajaa,mnaboa sana
      kwa taarifa yako magamba yamebakiwa na wanachama zaidi ya 1,800,000. Endelea kudai statistics mkubwa!

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...