Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

    Report Post
    Page 1 of 14 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 268
    1. #1
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Post Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

      Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
      Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
      Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

      Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
      Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

      CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

      na hii ni hatari sana.
      MziziMkavu, chama and Ritz like this.
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mwanaukweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2007
      Posts : 1,693
      Rep Power : 2920
      Likes Received
      642
      Likes Given
      177

      Default Re: Unataka kujua CHADEMA? Angalia hapa

      c r a p and cheap! to say the least.

    4. #3
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 983
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default Re: Unataka kujua CHADEMA? Angalia hapa

      Ujinga mwingine!
      Dawa kuchanana tu likes this.

    5. #4
      Asnam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2012
      Location : Yutong
      Posts : 2,618
      Rep Power : 11181
      Likes Received
      1634
      Likes Given
      1170

      Default Re: Unataka kujua CHADEMA? Angalia hapa

      rejea signature yako ina majibu ya post yako.
      "Quality is always better than quantity. That's why the people I call true are few."

    6. #5
      harakat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 1,253
      Rep Power : 784
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2

      Default Re: Unataka kujua CHADEMA? Angalia hapa

      pole sana

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      mashami's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 168
      Rep Power : 388
      Likes Received
      23
      Likes Given
      1

      Default Re: Unataka kujua CHADEMA? Angalia hapa

      kwashakoo ya ubongo@work
      tedo likes this.

    9. #7
      Ileje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2011
      Posts : 1,025
      Rep Power : 580
      Likes Received
      399
      Likes Given
      106

      Default Re: Unataka kujua CHADEMA? Angalia hapa

      Haya tupe ukweli mjuzi wa mambo!
      Never give up your right!

    10. #8
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,314
      Rep Power : 1199
      Likes Received
      1183
      Likes Given
      1560

      Default Re: Unataka kujua CHADEMA? Angalia hapa

      Kwani tatizo la Ubepari ni nini? usijekuwa unatokwa na povu bila sababu za msingi.

    11. #9
      Iramba Junior's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 82
      Rep Power : 376
      Likes Received
      21
      Likes Given
      1

      Default Re: Unataka kujua CHADEMA? Angalia hapa

      Quote By Annael
      Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
      Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
      Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

      Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
      Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

      CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

      na hii ni hatari sana.
      Pole sana ndugu yangu, kama unataka kuijua vizuri CDM waulizwe akina Membe watakwambia CDM ni nani?
      Propoganda hizi zimepitwa na wakati, anyway, kachukue posho yako.
      JUST and Nyakwec's Bro like this.

    12. #10
      Black Bat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Abbottabad
      Posts : 2,479
      Rep Power : 9580
      Likes Received
      682
      Likes Given
      575

      Default Re: Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

      masa aka buri
      ukipenda niite double biiiiiii!! tchao

    13. #11
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Unataka kujua CHADEMA? Angalia hapa

      Quote By Sangarara
      Kwani tatizo la Ubepari ni nini? usijekuwa unatokwa na povu bila sababu za msingi.
      Ubepari tatizo lake ni kwamba mwenyenacho ndie anayepata na siye nacho ataendelea kuwa mnyonge.

      Ni tofauti kabisa na mfumo wa kijamaa.
      Jaribu kujikumbusha Uraia au siasa darasa la tatu shule ya msingi.
      rodrick alexander likes this.
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    14. #12
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,184
      Rep Power : 590
      Likes Received
      136
      Likes Given
      0

      Default Re: Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

      iwe ubepari au ukabaila 2015 mtaipata
      tedo and Dawa kuchanana tu like this.

    15. #13
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6851

      Default Re: Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

      ubepari ni bora kuliko ujamaa wa kiini macho huku vigogo walikamua kila kitu
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    16. #14
      Baba Collins's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2011
      Location : Naabi Gate
      Posts : 455
      Rep Power : 478
      Likes Received
      74
      Likes Given
      269

      Default Re: Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

      Quote By Annael
      Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
      Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
      Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

      Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
      Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

      CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

      na hii ni hatari sana.
      Ni nani aliyekuambia kuwa wanadaiana?
      'Mwoga hana makovu'

    17. #15
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,122
      Rep Power : 14288
      Likes Received
      4009
      Likes Given
      3270

      Default Re: Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

      Ccm inapata kiasi gani kwa wahisani? Je mnazilipaje?..chadema imeshaliona tatizo la kuomba omba ndiyo maana tunataka chama chetu kiendeshwe na kwa pesa za watanzania tena walala hoi, nyie endeleeni kuwategemea wa marekani na hivi siku hivi wana bariki ndoa ya jinsia moja tutamuona yle jamaa bingwa wa kuhongwa suti na kulipiwa gesti kama atazidi kukimbilia huko..

    18. #16
      samstevie's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Posts : 195
      Rep Power : 419
      Likes Received
      31
      Likes Given
      14

      Default Re: Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

      Aaaagh....Peleka kule kwa magamba wenzako hivi unafahamu misingi mikuu ya upepari wewe... Kisha wafahamu Tanzania ya sasa ipo pia katika mfumo huo? For your info. Mkapa kesha tuingiza katika mfumo huo kwa kuanza na sera zake za ubinafsishaji na uwekezaji tena wao wameiba raslimali za nchi hii. Haya tueleze Mkapa alitoka chama gani. Upunguani mwingine msituletee humu. Siku nyingine kabla hujaposti kitu chochote fanya yafuatayo:
      • Uhakika wa kitu unachokizungumza.
      • Upembuzi/uchanganuzi wa kina
      • Mifano halisi wa unachokizungumzia kutokana na data ulizokusanya.

      Vinginevyo sijaona kitu cha msingi hapa ni pumba pumba tu umezileta and I think you are not even a little thinker.
      '' The socialism I believe in is everyone working for each other, everyone having a share of the rewards. It's the way I see football, the way I see life.'' By Bill Shankly

    19. #17
      kanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 729
      Rep Power : 568
      Likes Received
      288
      Likes Given
      409

      Default Re: Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

      Annael, Tatizo siyo wewe ni kichwa kuwa na ubongo wa mende kuishi na kula mavi chooni.,Hivi chenge ni kiongozi wa chama na serikali ipi ? mbona ana fedhwa kuliko hata idara ya serikali yeye anaumini siasa za wapi?.Acha kutumika vibaya zaidi ya condom.
      tedo and Nyakwec's Bro like this.

    20. #18
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1176
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default Re: Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

      Nyerere aliwahi kusema upepari ni mnyama. Katika dunia ya leo kila kitu kinaendeshwa ki bepari bepari kwa hiyo tunaishi ki unyama unyama. CCM unyama unyama tu, hata CHADEMA nao ni unyama unyama. Iliyobaki hata watu wa kawaida tuishi ki unyama unyama tu.

    21. #19
      Kassim Awadh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 587
      Rep Power : 480
      Likes Received
      108
      Likes Given
      785

      Default Re: Unataka kujua CHADEMA? Angalia hapa

      Quote By Annael
      Ubepari tatizo lake ni kwamba mwenyenacho ndie anayepata na siye nacho ataendelea kuwa mnyonge.

      Ni tofauti kabisa na mfumo wa kijamaa.
      Jaribu kujikumbusha Uraia au siasa darasa la tatu shule ya msingi.
      Kuna tofauti yoyote na ilivo katika ccm na serikali yake leo?

    22. #20
      LexAid's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 994
      Rep Power : 597
      Likes Received
      288
      Likes Given
      598

      Default Re: Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

      Haki ya mu... Nilikua siamini kama kuna watu wana akili za Samaki. Annael, You have proven ma wrong! Pole sana.

    Page 1 of 14 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...