Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.
Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.
CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.
Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.
CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.
na hii ni hatari sana.
Pole sana ndugu yangu, kama unataka kuijua vizuri CDM waulizwe akina Membe watakwambia CDM ni nani?
Propoganda hizi zimepitwa na wakati, anyway, kachukue posho yako.
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.
Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.
CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.
Ccm inapata kiasi gani kwa wahisani? Je mnazilipaje?..chadema imeshaliona tatizo la kuomba omba ndiyo maana tunataka chama chetu kiendeshwe na kwa pesa za watanzania tena walala hoi, nyie endeleeni kuwategemea wa marekani na hivi siku hivi wana bariki ndoa ya jinsia moja tutamuona yle jamaa bingwa wa kuhongwa suti na kulipiwa gesti kama atazidi kukimbilia huko..
Aaaagh....Peleka kule kwa magamba wenzako hivi unafahamu misingi mikuu ya upepari wewe... Kisha wafahamu Tanzania ya sasa ipo pia katika mfumo huo? For your info. Mkapa kesha tuingiza katika mfumo huo kwa kuanza na sera zake za ubinafsishaji na uwekezaji tena wao wameiba raslimali za nchi hii. Haya tueleze Mkapa alitoka chama gani. Upunguani mwingine msituletee humu. Siku nyingine kabla hujaposti kitu chochote fanya yafuatayo:
Uhakika wa kitu unachokizungumza.
Upembuzi/uchanganuzi wa kina
Mifano halisi wa unachokizungumzia kutokana na data ulizokusanya.
Vinginevyo sijaona kitu cha msingi hapa ni pumba pumba tu umezileta and I think you are not even a little thinker.
'' The socialism I believe in is everyone working for each other, everyone having a share of the rewards. It's the way I see football, the way I see life.'' By Bill Shankly
Annael, Tatizo siyo wewe ni kichwa kuwa na ubongo wa mende kuishi na kula mavi chooni.,Hivi chenge ni kiongozi wa chama na serikali ipi ? mbona ana fedhwa kuliko hata idara ya serikali yeye anaumini siasa za wapi?.Acha kutumika vibaya zaidi ya condom.
Nyerere aliwahi kusema upepari ni mnyama. Katika dunia ya leo kila kitu kinaendeshwa ki bepari bepari kwa hiyo tunaishi ki unyama unyama. CCM unyama unyama tu, hata CHADEMA nao ni unyama unyama. Iliyobaki hata watu wa kawaida tuishi ki unyama unyama tu.
Follow Us Here