Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 41
    1. #1
      Mikael P Aweda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 1,866
      Rep Power : 6555
      Likes Received
      2462
      Likes Given
      2266

      Default Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      Nimeanza kazi ya kuajiriwa miaka 7 iliyopita. Jana jioni nikakwama kwenye foleni masaa mengi sana nikafika nyumbani saa 3 usiku. nikaanza kuwaza mgawanyo wa masaa yangu baada ya kukaa kwenye foleni. Nikaanza kutafakari kama ifuatavyo:

      MUDA NILIOKA NJIANI.
      Kwa siku napoteza masaa 4; Asubuhi 2 na jioni 2. Hii inatokana na foleni. Kama siyo foleni nisingetumia muda huo. Siku 6 za wiki natumia masaa hayo kwenda kazin na kurudi, kwa kuwa nafanya hadi jumamosi. Ni jumapili tu ndo siendi kazini.

      Kwa hiyo, Ktk siku 30 nafanya kazi siku 26 za mwezi ( toa jumapili tu). Hivyo, masaa 4 kwa siku * 26 siku za mwezi ni sawa masaa 104 kwa mwezi zinapotea njiani.

      Kwa mtazamo huo huo, Masaa 104 kwa mwezi ni sawa na masaa 1248 kwa mwaka.

      Kwa mantiki hiyo, kwa miaka 7 niliyoajiriwa,muda niliokaa kwenye foleni ni swa na masaa 1248 (ya mwaka * miaka 7 = masaa 8736 kwa miaka 7.

      Baada ya hapo nikataka kujua masaa haya 8736 ni miaka mingapi. Nikagundua kuwa masaa 8736 nikagawa kwa 24 (masaa kwa siku) ninapata siku 364. Mwaka una siku 365/366.

      Hiyo ni kusema Dr Slaa nimekaa njiani (ndani ya daladala + gari binafsi) kwenda kazini au kurudi nyumbani muda wa mwaka moja kasoro siku moja ( 364). Je, una mawazo mapya ya kunisaidia?

      MUDA NILITUMIA OFISI
      Kwa siku nafanya kazi masaa 8 (Mara mbili ya muda niliokaa njiani) Kwa hiyo kwa mwezi natumia masaa 208 Ofisini (8 ya siku * siku 26 za mwezi toa jumapili). Kwa mwaka natumia masaa 2496 ofisini. Kwa miaka 7 nimetumia masaa 17,472 ofisini. Nikigawa kwa saa 24 ( idadi ya maasa kwa siku) ninapata siku 728 ambazo ni wastani wa miaka 2.

      Kwa hiyo ndani miaka 7. Nimefanya kazi miaka 2 nimekaa njiani (dala dala au gari binafsi) mwaka 1 . Masaa yaliyobaki ni ya kulala, kupumpizika kazi nyinginezo ikiwepo kujenga Chadema nk.

      Je, mgawanyo huu unaweza kunitoa ktk umaskini na kuniletea Maendeleo nikawa na malori na vituo vya mafuta Rizi1?. Mimi naona hapana ndio maana nihitaji ushauri wako.

      Hoja yangu ni kuwa siwezi kukaa barabarani masaa manne (Mwaka1 ktk miaka 7) kila siku halafu nikategemea maendelea. Ninahitaji mawazo mapya ya kunitoa hapa. Dr Slaa unanishaurije?

      Gharama.
      Rafiki yangu anakaa Kibamba na anafanya kazi mjini. Anatumia Tsh 7,000 Kila siku kama gharama ya ziada ya foleni. Bila foleni angetumia 10,000 kwa gari yake ndogo. Lakini kutokana na foleni kwa siku anatumia 17,000/=

      Ziada ya 7,000/= anayoingia rafiki yangu ni hasara ya Tsh ngapi ktk miaka 11 aliyofanya kazi? Je, WanaDar es Salaam wote wanapata hasara ya muda + pesa ya kiasi gani kwa siku, mwezi na mwaka?

      Je,Dr Slaa ungenisaidiaje kama ungekuwa umeingia ikulu 2010? Na kama umechakachuliwa kura unanipa ushauri gani? Maana hata muda wa Kufanya kazi za Chadema niko bara barani.

      Mawazo yangu tu yaliyonikuta kwenye foleni ya Jana.
      Mikael P Aweda 0784 583 330
      Elimu kwanza

    2. Miaka 50

    3. #21
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,591
      Rep Power : 1747
      Likes Received
      698
      Likes Given
      386

      Default Re: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      Eti dr slaa! Ondoa hayo mawazo mgando, foleni ya Dar haiwezi kuondolewa na mtu mmoja.

    4. #22
      Mikael P Aweda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 1,866
      Rep Power : 6555
      Likes Received
      2462
      Likes Given
      2266

      Default Re: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      Quote By Kasimba G
      Ideal nzuri ila hata dr akijibu hilo swali la kufirika majibu yake nayo yatakuwa ya kufikirika mi naona asijibu tuu!
      Kisimba G,
      Kitu cho chote kinachotendwa lazima kwanza ianze na kufikiri hata kusema inaanza fikra ndo unaongea au unatenda. Suluhisho la tatizo lo lote lazima liwe dabated kwanza kwa njia ya fikra sahihi then utekelezaji wa jambo hilo unaanza. Kwa mantiki hiyo, tukitaka suluhisho la foleni tuanze na mjadala mzito wa fikra kwanza ndo tutekekeleze kile tunachodhani kinatekelezeka.
      Mikael P Aweda 0784 583 330
      Elimu kwanza

    5. #23
      Imany John's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 2978
      Likes Received
      471
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Mikael P Aweda
      Na ifahamike kuwa nikikokotoa hasara inayotokana na muda tunaopoteza njiani sote tuanaofanya kazi ktk jiji la Dsm, Ni sawa na kujiingiza ktk umasikini usio na sababu kwa makusudi. Huku tunasherehekea miaka 50 ya uhuru kwa kutumia BIL karibu 70. Tafakari.
      Halaiki inasemekana iliandaliwa na wakufunzi kutoka china.
      Mikael P Aweda likes this.

    6. #24
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,439
      Rep Power : 975
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1811

      Default Re: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      Quote By Mzee
      Eti dr slaa! Ondoa hayo mawazo mgando, foleni ya Dar haiwezi kuondolewa na mtu mmoja.
      Foleni za DSM na mikoa mingine zinasababishwa na miundombinu mibovu inayoletwa na Serikali legelege ya CCM.


      MIZAMBWA
      NABII MTARAJIWA!!!
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    7. #25
      POMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 3,036
      Rep Power : 1192
      Likes Received
      1121
      Likes Given
      649

      Default Re: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      Quote By Mikael P Aweda
      Dr Slaa anaweza kujibu au asijibu. Majibu yako na wengine ndo lengo la makala yangu. Ingewa personal kwa Dr Slaa ningempigia simu au kumtumia yeye binafsi. Mjadala unaendelea kwenye uzi huu ndio lengo lenyewe. Kufikirisha watu na kuwaamsha ili wajue kwa undani hasara ya foleni.
      "Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?" HIKI SI NI KISWAHILI MKUU, AMA MIE NDIO SIELEWE? ok umeifanya personal sana kamanda, anyway premises na conclusion haviendani plus majibu yako. siyo mbaya ukijipanga Upya kwenye hiyo title yako.
      "Tumefika hapa kutokana na UDHAIFU wa Rais Jakaya Kikwete.." J.J. Mnyika, Bungeni,June,2012.

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      Mikael P Aweda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 1,866
      Rep Power : 6555
      Likes Received
      2462
      Likes Given
      2266

      Default Re: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      Quote By POMPO
      "Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?" HIKI SI NI KISWAHILI MKUU, AMA MIE NDIO SIELEWE? ok umeifanya personal sana kamanda, anyway premises na conclusion haviendani plus majibu yako. siyo mbaya ukijipanga Upya kwenye hiyo title yako.
      Mkuu kwa mtazamo wangu naona Premises na conclusion ziko sahihi na zina match.Heading nayo ni sahini. Mkuu kwenye kichwa cha habari huwa tunaandika kihabari.

      Tz daima ya Leo inasema ' WAZIRI MEMBE AIKOROGA CCM' Kiuandishi ambao nimeusomea kidogo kwa hiyo ni sahihi pia. Unawezaje kuikoroga ccm? CCM inakorogeka kama unga kwenye maji? Kama gazeti la Tz daima wamekosea na mimi nimekosea. Ila kwa ujumla sote mimi na Tz daima tuko sahihi.

      Mkuu pompo kwa ujumla tuko pamoja kaka.
      Last edited by Mikael P Aweda; 13th June 2012 at 13:49.
      Mikael P Aweda 0784 583 330
      Elimu kwanza

    10. #27
      muonamambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Posts : 554
      Rep Power : 553
      Likes Received
      164
      Likes Given
      938

      Default Re: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      Good analysis... too bad that you wont get feedback from JK, his part and his team... what happen that for the past 50 years nothing has been done by them to overcome this?????. Good move that you need Dr. slaa comments has he aspire for the presidential seat....we are waiting!!!!
      Mikael P Aweda likes this.

    11. #28
      Bazazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Location : Mzururaji
      Posts : 1,313
      Rep Power : 811
      Likes Received
      338
      Likes Given
      110

      Default Re: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      Dr SLAA hebu jitokeze ujibu hoja za Mdau. Ni muhimu kwako binafsi au kupitia katibu wa uenezi JJ Mnyika akakusaidia lakini kupitia maelekezo yako. Hii ni fursa ya kuujuza umma wa Watanganyika hasa wa DSM ungewasaidiaje kupunguza adha ya foleni?

      Ndimi Bazazi!
      Bibie! Usijisifu Kuwa Una Mimba: Msifie Aliyekupa Mimba.

    12. #29
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,439
      Rep Power : 975
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1811

      Default Re: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      Quote By Bazazi
      Dr SLAA hebu jitokeze ujibu hoja za Mdau. Ni muhimu kwako binafsi au kupitia katibu wa uenezi JJ Mnyika akakusaidia lakini kupitia maelekezo yako. Hii ni fursa ya kuujuza umma wa Watanganyika hasa wa DSM ungewasaidiaje kupunguza adha ya foleni?

      Ndimi Bazazi!
      Lakini tukiangalia kwa undani zaidi swali hili ilipaswa kuulizwa Kikwete na Serikali yake.

      Dr. Slaa hana uwezo wa kusema neno ha[a zaidi kama tunataka atuletee Siasa tu.


      MIZAMBWA
      NABII MTARAJIWA!!!
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    13. #30
      Bazazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Location : Mzururaji
      Posts : 1,313
      Rep Power : 811
      Likes Received
      338
      Likes Given
      110

      Default Re: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      Quote By mizambwa
      Lakini tukiangalia kwa undani zaidi swali hili ilipaswa kuulizwa Kikwete na Serikali yake.

      Dr. Slaa hana uwezo wa kusema neno ha[a zaidi kama tunataka atuletee Siasa tu.

      NABII MTARAJIWA!!!
      MIZAMBWA
      mizambwa! Ni kweli lakini aje tupime hoja zake kama kweli zingefanikiwa kupunguza kama sio kuondoa msongamano wa magari.

      Unajua mizambwa kuna mambo mengi ya kufanya ili kupungua foleni.
      1. Acha kuendelea kujenga maghorofa katikati ya mji.
      2. Punguza ofisi za serikali zilizoko katikati ya mji
      3. Anzisha miji ndani ya mji iliyokamilika. Jiulize angalau Mlimani city kumepunguza watu wangapi wa kuingia kariakoo na posta?
      4. Fungua njia zingine za kutoka katikati ya mji. Mfano fungua njia ya kutokea K'ndoni makaburini toka maeneo ya mahakama ya kisutu.
      5. Nk, nk, nk, nk, nk, nk, nk

      Ndimi Bazazi!
      Mikael P Aweda likes this.
      Bibie! Usijisifu Kuwa Una Mimba: Msifie Aliyekupa Mimba.

    14. #31
      thereitis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Location : Arusha
      Posts : 237
      Rep Power : 480
      Likes Received
      24
      Likes Given
      60

      Default Re: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      Quote By Mikael P Aweda
      Mkuu kwa mtazamo wangu naona Premises na conclusion ziko sahihi na zina match. Heading nayo ni sahini. Mkuu kwenye kichwa cha habari huwa tunaandika kihabari.
      Kubali ukweli mkuu uzi huu umeelekezwa kwa mtu mmoja dr. slaa. kama vipi edit uzi ili tuchangie

    15. #32
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,439
      Rep Power : 975
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1811

      Default Re: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      Quote By Bazazi
      MIZAMBWA
      mizambwa! Ni kweli lakini aje tupime hoja zake kama kweli zingefanikiwa kupunguza kama sio kuondoa msongamano wa magari.

      Unajua mizambwa kuna mambo mengi ya kufanya ili kupungua foleni.
      1. Acha kuendelea kujenga maghorofa katikati ya mji.
      2. Punguza ofisi za serikali zilizoko katikati ya mji
      3. Anzisha miji ndani ya mji iliyokamilika. Jiulize angalau Mlimani city kumepunguza watu wangapi wa kuingia kariakoo na posta?
      4. Fungua njia zingine za kutoka katikati ya mji. Mfano fungua njia ya kutokea K'ndoni makaburini toka maeneo ya mahakama ya kisutu.
      5. Nk, nk, nk, nk, nk, nk, nk

      Ndimi Bazazi!

      Bazazi
      Hawa CCM kutwa hawana sera wameshaishiwa hawana mpya. Hivyo wao wana-copy & paste tu.

      Yaani hapa naona mnataka tumsumbue Mh. Slaa kuumiza kichwa chake ili CCM watumie michango yake na kisha mwaka 2015, mjigambe kuwa mmefanikiwa kumbe ikiwa CCM vichwa vimeingia maji tayari.

      Kwa kuwa tulipewa nafasi mwaka 2010 kuchagua Rais wa kuongoza na sisi wananchi tukamchagua Kikwete; Basi tusubiri hadi mwaka 2015 tufanye maamuzi mapya.

      Sioni sababu ya kumlazimisha muheshimiwa wangu aje hapa kujibu hii hoja kuhusu suala ambalo linapaswa kutekelezwa na Serikali. Je, kwani Dr. Slaa ana nafasi gani katika Serikali ya Tanzania ??


      MIZAMBWA
      NABII MARAJIWA!!!
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    16. #33
      Don The Great's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 15
      Rep Power : 417
      Likes Received
      8
      Likes Given
      5

      Default Re: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      Nakubaliana na wadau wote waliotoa maoni yao, ila na mimi ninachukizwa na hili swala la kujenga magorofa kati kati ya mji bila parking,hii inatokana na sera mbovu na uongozi legelege.

      1. Barabara za katikati ya mji hazipitiki kwa sababu ya watu wanapark magari yao baabarani kwa kukosa parking (Barabara ya maktaba kutoka maktaba mpaka kwenye ule mnara wa askari ni double road lakini imegeuka kuwa single road kwa sababu ya kugeuzwa parking (Na jiji na maaskari wao ambao hawafanyi kazi yao kwa maadili).

      Pili, barabara ya samora kuelekea stesheni,nayo ina kashikashi hizo. Hii inatokana na watenjaji wetu kutowajibika.Hawajui majukumu yao kuyasimamia.Ningekuwa mimi,hizo barabara zote za katikati ya jiji zingebakia kuwa wazi kama barabara na sio parking.

    17. #34
      Rohombaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 346
      Rep Power : 468
      Likes Received
      52
      Likes Given
      40

      Default Re: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      Quote By Bazazi
      MIZAMBWA
      mizambwa! Ni kweli lakini aje tupime hoja zake kama kweli zingefanikiwa kupunguza kama sio kuondoa msongamano wa magari.

      Unajua mizambwa kuna mambo mengi ya kufanya ili kupungua foleni.
      1. Acha kuendelea kujenga maghorofa katikati ya mji.
      2. Punguza ofisi za serikali zilizoko katikati ya mji
      3. Anzisha miji ndani ya mji iliyokamilika. Jiulize angalau Mlimani city kumepunguza watu wangapi wa kuingia kariakoo na posta?
      4. Fungua njia zingine za kutoka katikati ya mji. Mfano fungua njia ya kutokea K'ndoni makaburini toka maeneo ya mahakama ya kisutu.
      5. Nk, nk, nk, nk, nk, nk, nk

      Ndimi Bazazi!
      Tatizo nyie ni wasahaulifu sana.

      Hili tatizo la msongamamo Dar lilitabiriwa tokea dikedi 3 zilizopita ndio maana mchakato wa kuifanya Dodoma makao makuu ya serikali ukaanza. Dar kwa sasa haipangiki tena.

      Suluhisho ya la kupunguza msongamano Dar ni serikali kuhamishia makao yake dodoma. Dodoma serikali imetumia pesa nyingi katika kupanga mji lakini cha ajabu serikali hiyohiyo inaendelea kujenga majengo mengine ya wizara Dar kwenye msongamano. Kama ofisi za serikali zitahamia Dodoma basi hata misheni town wataenda kule nina uhakika Dar itabaki imetosha, maji ya bomba tutapata, gharama za maisha zitapungua (mfano usafiri kutoka 17,000/- hadi 10,000/- kwa siku) hata umri wa kuishi utaongezeka!!!!

      Sababu nilisozisikia lakini sina uhakika nazo juu ya serikali kutohamia Dodoma ni hizi
      1. Mawaziri na maofisa wengine wa serikali watosa marupuru ya "night" hasa kipindi cha Bunge kwani bado watakuwa wapo katika vituo vyao vya kazi.
      2. Dodoma hakuna Beach.
      3. Bagamoyo itakuwa mbali kama wakihitaji kurichaji hirizi zao.
      luvcyna likes this.
      Lakum diinukum waliyadiin!!!!

    18. #35
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,348
      Rep Power : 12594
      Likes Received
      5866
      Likes Given
      778

      Default Re: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      Swala la foleni linafanyiwa kazi na serikali wameanza na mradi wa mabasi tunaona ujenzi unaendelea kwa kasi ya ajabu...Slaa hawezi kukusaidia atakusaidia vipi wakati yeye mwenyewe anasema atafanya Tanzania isitawalike.

    19. #36
      GALIMA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th June 2011
      Posts : 134
      Rep Power : 426
      Likes Received
      20
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By ritz
      Swala la foleni linafanyiwa kazi na serikali wameanza na mradi wa mabasi tunaona ujenzi unaendelea kwa kasi ya ajabu...Slaa hawezi kukusaidia atakusaidia vipi wakati yeye mwenyewe anasema atafanya Tanzania isitawalike.
      hakuna jipya ww

    20. #37
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By Starn
      Hawezi kukusaidia kwasababu akiingia ikulu hapo itabidi uongeze saa lingine la kusubiri msafara wake upite
      mambo yatakuwa ni yale yale.
      Majibu ya kimagamba haya.

    21. #38
      SAMRICH1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 1,236
      Rep Power : 643
      Likes Received
      206
      Likes Given
      129

      Default Re: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      ntamfikishia hizi habari
      Ritz wewe kama mtoto wa rais umeisaidia nini nchi yko usibishe kuwa si wewe mi nakujua vema kaka we jibu swali! Iv hata ushaur unampaga kwel

    22. #39
      SAMRICH1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 1,236
      Rep Power : 643
      Likes Received
      206
      Likes Given
      129

      Default

      Quote By ritz
      Swala la foleni linafanyiwa kazi na serikali wameanza na mradi wa mabasi tunaona ujenzi unaendelea kwa kasi ya ajabu...Slaa hawezi kukusaidia atakusaidia vipi wakati yeye mwenyewe anasema atafanya Tanzania isitawalike.
      Kweli bnadamu tko tofaut wewe unaskia raha t kula bata eh na kutetea ujinga eh

    23. #40
      Jamboleo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 43
      Rep Power : 359
      Likes Received
      3
      Likes Given
      2

      Default Re: Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?

      Kumaliza /dawa ya foleni DSM ni kuhamisha makao makuu ya serikari yaani ikulu na ofisi zote za wizara ikiwemo hazina kuukwenda Dodoma au kwingineko watakakoona kunafaa. waalah! hutaona foleni tena DSM, lkn kuendelea kukumbatia maofisi yote makubwa hapa, Mtajenga na kupanua barabara kila mwaka bila mafanikio, Ahsanteni kwa kunisikilizaa!!!!!!
      Ni mimi Jamboleo TZ.

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...