Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo!!

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 68
    1. #1
      chikakatata's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 132
      Rep Power : 391
      Likes Received
      61
      Likes Given
      64

      Default Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo!!

      Nimepata taarifa za kiuchunguzi kwamba Mbunge wa Nzega Hamisi Kigwangallah amepigwa stop na chama chake wilayani Nzega kutokufanya maandamano yake akiambatana na wananchi na viongozi mbalimbali yaliyopangwa kufanyika kule Nzega tarehe 16/06/12.

      Nimewasiliana na mbunge huyo kwenye facebook muda si mrefu na amesema kuwa ataendelea na maandamano kama yalivyopangwa kwa kuwa mpaka sasa polisi hawajamzuia kisheria na kwa kuwa ni ya amani hakuna haja ya chama chake kuwa na mashaka kwa kuwa anafanya kazi waliyomtuma kufanya ya kuwawakilisha wananchi na kudai maslahi yao.

      Mbunge huyo anasema chama hakina sababu ya kumzuia na wala hakina uwezo huo maana kitakuwa kinamuingilia katika utekelezaji wa majukumu yake na hakuna kanuni hata moja ya kimaadili anayovunja kufanya kazi hiyo bega kwa bega na wananchi na viongozi wenzake. anaendelea kusema kwamba katibu wa CCM wilayani pale amekurupuka kuandika barua ile (ambayo nimeiamabatanisha hapa) maana haina nguvu yoyote ile kisheria na wala kikatiba ya CCM.

      Anawaalika wananchi, viongozi na wapenda haki pote nchini kwenda Nzega kuhudhuria maandamano yale. Asema mpaka sasa wabunge wafuatao waahidi kuwepo na kuhutubia mkutano huo unaotarajiwa kuwa mkubwa wa aina yake; mhe. Seleman Zeddy (CCM, Bukene), mhe. Kangi Alphaxard Lugola (CCM, Mwibara), mhe. James Lembeli (CCM, Kahama), mhe. Nyambari Nyangwine (Tarime) na anaendelea kualika wengine.

      Chikaka.


      Attached Thumbnails    
      Invisible, Hofstede, Pasco and 3 others like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,672
      Rep Power : 977
      Likes Received
      584
      Likes Given
      10

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      Anatishia nyau?! Hakuna maandamano,Kigwa ataingia mitini kama kawaida yake!

    4. #3
      mansakankanmusa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 871
      Rep Power : 529
      Likes Received
      169
      Likes Given
      160

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      magamba tu
      I only offer an opinion someone don't f**k with me . It's important to be a good listener, and that means you shut your mouth and let other jf member talk.

    5. #4
      chikakatata's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 132
      Rep Power : 391
      Likes Received
      61
      Likes Given
      64

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      Quote By timbilimu
      Anatishia nyau?! Hakuna maandamano,Kigwa ataingia mitini kama kawaida yake!
      tusimkatishe tamaa maana inaonyesha safari hii ameamua kufanya kweli nimechat naye kwa muda mrefu na ametoa sababu za msingi sana. anasema anapigwa vita na viongozi wake wa ccm wilayani nzega kwa kuwa wanahofia akifanikisha kupata faida atapata umaarufu kisiasa na itakuwa ngumu kumuondoa kwenye nafasi hiyo 2015
      Pasco likes this.

    6. #5
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,696
      Rep Power : 1915
      Likes Received
      1594
      Likes Given
      677

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      Kigwagallah kasha chuja hafai kabisa bora asipoteze muda kwenye siasa aendelee na phd yake na Hilo jina la mtu analotumia
      Kiherehere and Nyakwec's Bro like this.
      Miaka 50style="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="template/JamiV1/default/misc/progress.gif" alt="" /> Reply With Quote

    7. Miaka 50

    8. #6
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,737
      Rep Power : 10180
      Likes Received
      5676
      Likes Given
      12666

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      nguvu ya soda?
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    9. #7
      chikakatata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2012
      Posts : 325
      Rep Power : 427
      Likes Received
      66
      Likes Given
      265

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      Quote By Precise pangolin
      Kigwagallah kasha chuja hafai kabisa bora asipoteze muda kwenye siasa aendelee na phd yake na Hilo jina la mtu analotumia
      mbona una chuki sana na kigwangallah wewe? hii ni mara ya pili na-post hapa habari zinazomhusu huyu jamaa na wewe huibuka na negativity zako, una nini?
      HKigwangalla likes this.

    10. #9
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,696
      Rep Power : 1915
      Likes Received
      1594
      Likes Given
      677

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      Quote By chikakatata
      mbona una chuki sana na kigwangallah wewe? hii ni mara ya pili na-post hapa habari zinazomhusu huyu jamaa na wewe huibuka na negativity zako, una nini?
      Wewe kigwagallah nimekushtukia Ngoja ghasia au Mzee Gombe wa wasikie hayo maandamano umkome nyani

    11. #10
      Nteko Vano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Location : Dar es salaam
      Posts : 428
      Rep Power : 450
      Likes Received
      90
      Likes Given
      26

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      Kingwalangwala unatakiwa kusimamia maamuzi yako kama unaona yana manufaa kwa wananchi wako na nchi kwa ujumla. Najua unasoma uzi huu na umeona watu hapo juu wasivyokuamini wakiamini wewe ni kunguru mwoga. Sasa kazi kwako kutuonesha kuwa hautushiwi nyau. Nakutakia kilalakheri katika hili suala. Ukishindwa omba msaada kwa CDM
      HKigwangalla, Pasco and Kiherehere like this.

    12. #11
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,187
      Rep Power : 41583
      Likes Received
      6077
      Likes Given
      1063

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      Number four, I know you heard this before
      Never get high on your own supply

      -Notorious B.I.G- Ten Crack Commandments
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    13. #12
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,340
      Rep Power : 872
      Likes Received
      382
      Likes Given
      309

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      hadi hapa ubunge 2015 hana
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    14. #13
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,696
      Rep Power : 1915
      Likes Received
      1594
      Likes Given
      677

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      Wakuu kigwagallah alitudaganya atakuja na hoja binafsi kuhusu ajira kwa vijana akazunguka kwenye vyombo vya habari akapata umaarufu miongoni mwa vijana halafu akaingia mitini akajidai anakaa upande wa madaktari kwenye mgomo wao ghasia akataka amlambe vibao akafyta Mkia Kama mbwa muoga ikaja issue ya zitto na karatasi la kusaini akapotea akiwa anafikiri ataupata uwaziri sasa kaukosa anatuletea maandamano ambayo siku zote yanapigwa na Chama chake anataka kushare machungu yake ya kukosa uwaziri na sisi. Kwa taarifa yake hatuandamani mpaka apate ridhaa ya Chama chake tena barua iwe imesainiwa na nape au mukama
      Mkono and muonamambo like this.

    15. #14
      Mkulima wa Kuku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 711
      Rep Power : 566
      Likes Received
      242
      Likes Given
      208

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      Wana JF kwani nini hoja za mh.Kigwa kwenye maandamano hayo? Ukiwa ndani ya Ccm unapaswa u-behave na ku-act kama chizi vile, ukiwasikiliza tu basi umekwisha. Unatakiwa uwe na misimamo ya nguvu na kusimamia hoja zenye maana kwa nchi na wananchi hata wakikupiga chini unakuwa na following...ukiwa kinyonga utakosa kwa ccm na kwa wananchi na hata ukienda upinzani utakosa heshima...kazi kwako mh!

    16. #15
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 526
      Rep Power : 10615
      Likes Received
      153
      Likes Given
      119

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      Quote By Precise pangolin
      Wakuu kigwagallah alitudaganya atakuja na hoja binafsi kuhusu ajira kwa vijana akazunguka kwenye vyombo vya habari akapata umaarufu miongoni mwa vijana halafu akaingia mitini akajidai anakaa upande wa madaktari kwenye mgomo wao ghasia akataka amlambe vibao akafyta Mkia Kama mbwa muoga ikaja issue ya zitto na karatasi la kusaini akapotea akiwa anafikiri ataupata uwaziri sasa kaukosa anatuletea maandamano ambayo siku zote yanapigwa na Chama chake anataka kushare machungu yake ya kukosa uwaziri na sisi. Kwa taarifa yake hatuandamani mpaka apate ridhaa ya Chama chake tena barua iwe imesainiwa na nape au mukama
      Unachokisema kipo sahihi sana kwani huyu jamaa bado tunamkumbuka sakata la saini la kumwondoa waziri mkuu. Alifika hapa hapa na kutoa hoja ambazo alipingwa na members wengi tu.Leo anaonekana anataka kugaini popularity, kwani chama chake na wasira wameshasema maandamano si sera yao.Hata huyo katibu tayari anaonesha kugomea maandamano hayo kwa hoja hizo hizo.Simuungi mkono na hayo.
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle

    17. #16
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6154
      Likes Given
      22277

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      Quote By chikakatata
      Nimepata taarifa za kiuchunguzi kwamba Mbunge wa nzega hamisi kigwangallah amepigwa stop na chama chake wilayani nzega kutokufanya maandamano yake akiambatana na wananchi na viongozi mbalimbali yaliyopangwa kufanyika kule nzega tarehe 16/06/12... Alisema mpaka sasa wabunge wafuatao waahidi kuwepo na kuhutubia mkutano huo unaotarajiwa kuwa mkubwa wa aina yake; mhe. Seleman Zeddy (ccm, Bukene), mhe. Kangi Alphaxard Lugola (ccm, Mwibara), mhe. James Lembeli (ccm, kahama), mhe. Nyambari Nyangwine (Tarime) na anaendelea kualika wengine.
      Mkuu Chikatata, kuna mambo mawili hapo,
      1. Maandamano
      2. Mkutano wa hadhara.

      1.Kwa vile Dr. Kigwa ni mbunge kupitia CCM, jambo lolote atakalofanya jimboni kwake lazima kipate baraka za chama chake. Maadam CCM haijatoa baraka kwa maadamano yale, then maandamamo hayatakuwepo!. Hata kama umechat na Dr kule fb akakuhakikishia maandamano yapo, amekudanganya na kujidanganya!.

      2. Kama ni kweli amekuambia kuwa "chama hakina sababu ya kumzuia na wala hakina uwezo huo" pia atakuwa amekudanganya na kujidanya kwa sababu tayari chama kimeshamzuia na sababu za kumzuia kimezitoa ila ni kweli chama hakina uwezo wa kumzuia, ila chama kimewaandikia jeshi la polisi ambao ndio wenye uwezo wa kumzuia na watatumia uwezo huo kuyazuia maandamano yake, hivyo hayatakuwepo!.

      3. Hilo la kusema kwamba katibu wa ccm wilayani pale amekurupuka kuandika barua ile pia amekudanganya wewe, japo ni kweli barua ile haina nguvu yoyote kisheria, ila imeandikwa kufuatia vikao halali vya ccm wilaya ambavyo Dr. Kigwa ni mjumbe halali wa vikao hivyo!, vinginevyo aseme huyo katibu amejiandikia tuu na vikao hivyo havikuwepo wala havikujadili kuhusu maandamano yake!.

      4. Hata hivyo naomba nikiri wazi Dr. Kigwa ameonyesha ujasiri mkubwa wa kuwatumikia wananchi wake bila kujali chama chake kinataka nini, mgombea ubunge huwa ni mgombea wa chama na anawajibika kwa chama, lakini akishachaguliwa kuwa mbunge ni mtumishi wa wananchi na anawajibika kwa wananchi na sio kwa chama tena, hivyo anachokifanya Dr. Kigwa ndicho sahihi kabisa kinavhopaswa kufanywa na wabunge wote wa kuchaguliwa kwa kuweka mbele maslahi ya wananchi na sio ya chama!.

      5. Kwa mkutano huu, naomba nikiri wazi kuwa Dr. Kigwa anajiunga na timu ya kina Deo Filikunjombe kusimama kuhesabiwa na 2015 ataendelea kuwa mbunge wa Nzega kwa sababu ameweza kuona mbali!. Bashe ndie aliyekuwa kipenzi cha wana Nzega, baada ya kupigwa zengwe, na baadaye kusafishwa, Dr. Kigwa ameshaona picha ya 2015 na kujua there is no way CCM itamsimamisha kwa sababu kipenzi chao Bashe ameshakuwa cleared, hivyo dawa pekee ya kusurvive ni kuachana na CCM na kuivest kwenye wananchi ndio maana barua yake ya maandalizi ya mkutano hakuipitishia CCM I doubt kama hata vikao vya CCM wilaya anahudhuria!.

      Wabunge wenye akili ni wale wanaojua kutazama mbali, 2015 jahazi la CCM linazama, wabunge wa CCM ambao wanaitegemea CCM kuwaokoa, watazama nayo, na wale wenye akili, wana invest on people na ndio watakao waokoa kiukweli, not CCM anymore!.

      Wish you all the best Dr. Kigwa!.

      Pasco.

    18. #17
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,696
      Rep Power : 1915
      Likes Received
      1594
      Likes Given
      677

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      Mkuu pasco umesahau kigwagallah ali invest ccm kwenye saini za zitto kwa kutegemea uwaziri huwezi kumlinganisha na deo filikunjombe hata Mara moja na pale ndio dr alikosea vibaya mno sasa hivi kurudisha Imani kwa wananchi lazima bungeni atete vitu vizito na avisimamie kiasi cha kufukuzwaa na bi kiroboto ili ahit tittle za magazeti vinywa vya watu Pamoja na hapa jf
      HKigwangalla and Pasco like this.

    19. #18
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,253
      Rep Power : 1542
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By chikakatata
      mbona una chuki sana na kigwangallah wewe? hii ni mara ya pili na-post hapa habari zinazomhusu huyu jamaa na wewe huibuka na negativity zako, una nini?
      mbona unatumia nguvu nyingi, umelipwa? Yeye ni member si aje?

    20. #19
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,481
      Rep Power : 1116
      Likes Received
      469
      Likes Given
      958

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      hawezi kufanya maandamano bila baraka za chama chake atakuwa anaudanganya umma.Tusubiri tuone maana naye ni ngamba lililo ng'ang'ania

    21. #20
      TIQO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 4,614
      Rep Power : 6855
      Likes Received
      1039
      Likes Given
      131

      Default Re: Kigwangalla aitwa na kamati ya maadili na maandamano yake kusitishwa na CCM, yeye asisitiza yapo

      Anacheza na magamba watamtoa kafara
      Mwisho wa Ubaya Aibu.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...