Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 45
    1. #1
      Tumaini Makene's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2012
      Posts : 1,061
      Rep Power : 8907
      Likes Received
      2231
      Likes Given
      768

      Default MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      Wakuu

      Kesho Juni 13, 2012, Mpambanaji Kamanda Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, atawekwa katika nyumba na makazi yake ya milele, katika Kijiji cha Negezi huko Kishapu, Shinyanga.

      Atazikwa katika kiunga ambacho baba yake, Ali Makani alizikwa. Ni katika eneo hilo hilo pia, ndugu zake wengine kama Zwalo Makani walilazwa wapumzike milele. Atawekwa pembeni yao.

      Heshima za mwisho kwa wakazi wa Mji wa Shinyanga na vitongoji vyake zilizoanza tangu saa 8 mchana hadi saa 11 jioni, zilihudhuriwa na maelfu ya watu. Wanashinyanga wamemuaga mpendwa wao, ambaye naye aliwapenda sana wakati wa uhai wake.

      Kwa kweli njia nzima wakati tukitoka Uwanja wa Ndege wa Ibadakuli baada ya msafara uliosindikiza mwili wa Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani ukijumuisha wanafamilia, ndugu, jamaa, marafiki na viongozi na watendaji wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kutua, ungeweza kuona wananchi kandokando ya barabara walivyokuwa wakishuhudia safari ya mwisho ya mpendwa Bob.

      Msafara wa CHADEMA uliongozwa na Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara, Said Arfi (MB), pamoja naye walikuwa ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Hamad Musa Yusuf, Mkurugenzi wa Habari na Uenezi, John Mnyika, Katibu Mkuu wa BAVICHA, Deogratias Siale, Ofisa wa Habari Tumaini Makene.

      Viongozi wengine, wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti Tanzania Visiwani, Said Issa Mohamed, Mbunge wa Maswa Mashariki, Sylivester Kasulumbayi, Ofisa wa Uenezi, Erasto Tumbo walifika baadae wakati tayari mwili wa marehemu ukiwa Uwanja wa Shycom ambako kabla ya heshima kutolewa, zilitangulia dua kwa marehemu kutoka dini za madhehebu mbalimbali, ambapo Shehe wa Mkoa wa Shinyanga alitangulia kuwafungulia mlango wenzake wa dini zingine.

      Kesho viongozi wakuu wa CHADEMA, akiwemo Mwenyekiti Kamanda Freeman Mbowe (MB na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni), Katibu Mkuu, Dkt. Wilibrod Slaa, Naibu Katibu Mkuu Bara (Naibu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni), wajumbe wa Kamati Kuu, Grace Kiwelu, Ezekia Wenje, Peter Msigwa na wengine watajumuika na wnaanchi wa Shinyanga katika maziko ya Bob.
      "Nothing in the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity." Martin Luther King

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Chuma Chakavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : where i am
      Posts : 1,197
      Rep Power : 649
      Likes Received
      383
      Likes Given
      292

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      Shukran kwa taarifa na endelea kutujuza kwa yanayojiri

    4. #3
      samirnasri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 1,210
      Rep Power : 674
      Likes Received
      169
      Likes Given
      50

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      bwana alitoa...bwana ametwaa................

    5. #4
      MNYISANZU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,304
      Rep Power : 2017
      Likes Received
      589
      Likes Given
      76

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      Ahsante kwa taarifa kamanda. Tumwombee pumziko jema
      " Ni fahari sana kuwa Mkristo "

    6. #5
      hoyce's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 478
      Rep Power : 529
      Likes Received
      106
      Likes Given
      1

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      Sijamuona Shibuda

    7. Miaka 50

    8. #6
      kipinduka's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Posts : 130
      Rep Power : 406
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      he! Huyu makamu mwenyekit wa CHADEMA anasubir misiba 2

    9. #7
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,410
      Rep Power : 5037
      Likes Received
      780
      Likes Given
      1779

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      Ahsante kwa taarifa mkuu, Negezi (Ukenyenge) ni nyumbani kama ID yangu ilivyo ukiuliza wenyeji watakupa zaidi!! sikujua kama kamanda Bob alikuwa wa nyumbani!! RIP kamanda Bob. We will miss you!
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    10. #8
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,170
      Rep Power : 12559
      Likes Received
      5739
      Likes Given
      748

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      Tunashukukuru kwa taarifa hizi ni vizuri pia hawa wanabodi wenzetu wazipate pia. VUTA-NKUVUTE, Ng'wanangwa, Kiganyi, sain Ivuga, SMU, Matola, Bazazi, zaleo, zomba, Barubaru.

    11. #9
      mgeni wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 1,157
      Rep Power : 890
      Likes Received
      578
      Likes Given
      0

      Default

      mIe huwa najua kwenu morogoro
      Quote By WA-UKENYENGE
      Ahsante kwa taarifa mkuu, Negezi (Ukenyenge) ni nyumbani kama ID yangu ilivyo ukiuliza wenyeji watakupa zaidi!! sikujua kama kamanda Bob alikuwa wa nyumbani!! RIP kamanda Bob. We will miss you!
      WA-UKENYENGE likes this.

    12. #10
      zaleo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 791
      Rep Power : 534
      Likes Received
      234
      Likes Given
      528

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      Rip bob!
      “Mtu anaweza kuzini kwa siri lakini hawezi kuugua ukimwi kwa siri” by Hon Lema, MP - Arusha

    13. #11
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,154
      Rep Power : 24267
      Likes Received
      4668
      Likes Given
      2294

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      Apate punziko la milele
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    14. #12
      andrewk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2010
      Posts : 2,220
      Rep Power : 906
      Likes Received
      283
      Likes Given
      59

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      wazee wetu walitujenga kujua tu wewe ni mtanzania, hakukuwa na sababu ya kujuana kwa babila, RIP Bob

      Quote By WA-UKENYENGE
      Ahsante kwa taarifa mkuu, Negezi (Ukenyenge) ni nyumbani kama ID yangu ilivyo ukiuliza wenyeji watakupa zaidi!! sikujua kama kamanda Bob alikuwa wa nyumbani!! RIP kamanda Bob. We will miss you!

    15. #13
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1360
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      rip bob.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    16. #14
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      Bob umetutangulia, Tunaendelea kupambana, Tutaikamilisha ndoto yako... Bob Pumzika kwa Aman Bob, na mwanga wa milele ukuangazie

    17. #15
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      RIP Bob

    18. #16
      Sheshejr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 433
      Rep Power : 457
      Likes Received
      63
      Likes Given
      1

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      Rip bob.

    19. #17
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,444
      Rep Power : 19776
      Likes Received
      4282
      Likes Given
      1187

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      Asante kwa taarifa .

    20. #18
      kaeso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 551
      Rep Power : 523
      Likes Received
      91
      Likes Given
      158

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      R.I.P Bob Makani.

    21. #19
      Buswelu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th August 2007
      Location : Lake Victora Gold Field.
      Posts : 1,929
      Rep Power : 990
      Likes Received
      174
      Likes Given
      142

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      Kumbe alikuwa na ni muislam...Never knew this...tukutane paradiso Bob.
      The Magnificent likes this.
      Live Life so Well That even Death Loves to see you Alive.

    22. #20
      Bourgeois's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 54
      Rep Power : 390
      Likes Received
      1
      Likes Given
      16

      Default Re: MAZISHI ya Hayati Mohamed Ali (Bob) Nyanga Makani, Juni 13,2012

      Mungu amlaze mhali pepa peponi Kamanda wetu Mohamed Ali (Bob) Makani.
      Kumuenzi yafaa tuungane na makamanda waliobakia kupitia M4C katika ukombozi wa nchi yetu mkoloni mweusi.

    23. Study Abroad
    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...