Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 56
    1. #1
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Post Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Nimechunguza kila chama na nikagundua haya katika vyama hivi viwili:-
      1. Chadema ni walalamikaji sanaaaa-CCM ni sakivu na wanajari kile wanacho lalamika.
      2. Chadema kunamagamba mabichi - CCM kunamagamba yaliyooza
      3. Chadema hawataki kusemwa - CCM ni wavumilivu wako tayari kusemwa na kujirekebisha.
      4. Chadema sio wazalendo (Wakiudhiwa kidogo bungeni wanazira) - CCM hata ukiwaudhi watakusikiliza na kufikiri na kutoa jibu

      5. CHADEMA wanadhani wao Tanzania ni yao - CCM wanachulia Tanzania ni ya watanzania.

      Kunautofauti mkubwa sana katika vyama hivi viwili lakini watu wa CDM watakataa. Hebu jaribu kufikiria hata wewe
      Last edited by Annael; 12th June 2012 at 18:27. Reason: speling
      Timtim and MziziMkavu like this.
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    2. Miaka 50

    3. #2
      mashami's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 168
      Rep Power : 388
      Likes Received
      23
      Likes Given
      1

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa.

      m4c inaumaaaaa eeeeh

    4. BMT
      #3
      BMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 311
      Rep Power : 459
      Likes Received
      32
      Likes Given
      23

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa.

      mtoa mada nakuunga mkono kwa points zote ulizotaja,wanacdm jirekebishen jamani mnatha aibu,ndo maana kinaitwa chama cha wanaharakati,,
      Annael likes this.

    5. JJB
      #4
      JJB's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 202
      Rep Power : 397
      Likes Received
      96
      Likes Given
      4

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Una haki ya kutoa mawazo yako na kusikilizwa kama raia wa nchi hii. Naona umefikia kikomo cha kufikiri.
      Jamani Chadema wanatafuta haki, wanawafumbua macho watanzania, wana jaribu kurudisha tumaini lililo potea, alafu wewe unakurupuka nakuandika huu muwasho??... Plz give me a break, jipange.

    6. #5
      Nyetk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 1,028
      Rep Power : 682
      Likes Received
      574
      Likes Given
      593

      Default

      Quote By Annael
      Nimechunguza kila chama na nikagundua haya katika vyama hivi viwili:-
      1. Chadema ni walalamikaji sanaaaa-CCM ni sakivu na wanajari kile wanacho lalamika.
      2. Chadema kunamagamba mabichi - CCM kunamagamba yaliyooza
      3. Chadema hawataki kusemwa - CCM ni wavumilivu wako tayari kusemwa na kujirekebisha.
      4. Chadema sio wazalendo (Wakiudhiwa kidogo bungeni wanazira) - CCM hata ukiwaudhi watakusikiliza na kufikiri na kutoa jibu

      5. CHADEMA wanadhani wao Tanzania ni yao - CCM wanachulia Tanzania ni ya watanzania.

      Kunautofauti mkubwa sana katika vyama hivi viwili lakini watu wa CDM watakataa. Hebu jaribu kufikiria hata wewe
      Unadhani bado unatumia akili kufikiri?

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Mlitika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 411
      Rep Power : 519
      Likes Received
      223
      Likes Given
      319

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Unatafutia watu ban wewe!

    9. #7
      Dumelang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 311
      Rep Power : 456
      Likes Received
      179
      Likes Given
      144

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Unatafuta attention ya watu, jamii forum!

      au unahisi upo FACEBOOK, hakuna picha hapa
      Never say more than is necessary.

    10. #8
      Kaitampunu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : Kwenye Corner
      Posts : 663
      Rep Power : 511
      Likes Received
      138
      Likes Given
      198

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Annael
      Nimechunguza kila chama na nikagundua haya katika vyama hivi viwili:-
      1. Chadema ni walalamikaji sanaaaa-CCM ni sakivu na wanajari kile wanacho lalamika.
      2. Chadema kunamagamba mabichi - CCM kunamagamba yaliyooza
      3. Chadema hawataki kusemwa - CCM ni wavumilivu wako tayari kusemwa na kujirekebisha.
      4. Chadema sio wazalendo (Wakiudhiwa kidogo bungeni wanazira) - CCM hata ukiwaudhi watakusikiliza na kufikiri na kutoa jibu

      5. CHADEMA wanadhani wao Tanzania ni yao - CCM wanachulia Tanzania ni ya watanzania.

      Kunautofauti mkubwa sana katika vyama hivi viwili lakini watu wa CDM watakataa. Hebu jaribu kufikiria hata wewe
      Sidhani kama wewe ni great thinker kwa hiki kinyesi ulichoandika, kabla huja post jitahidi kupitia ulichoandika.

    11. #9
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By JJB
      Una haki ya kutoa mawazo yako na kusikilizwa kama raia wa nchi hii. Naona umefikia kikomo cha kufikiri.
      Jamani Chadema wanatafuta haki, wanawafumbua macho watanzania, wana jaribu kurudisha tumaini lililo potea, alafu wewe unakurupuka nakuandika huu muwasho??... Plz give me a break, jipange.
      Tatizo nyie washabiki wa vyama hamna data kamili jaribu kuproove kama mimi ni wrong kwa pointi sio kusema nijipange tena kwa kigezo kipi?
      MziziMkavu likes this.
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    12. #10
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Kaitampunu
      Sidhani kama wewe ni great thinker kwa hiki kinyesi ulichoandika, kabla huja post jitahidi kupitia ulichoandika.
      Prove me wrong by point sio kwa matusi sawa?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    13. #11
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,184
      Rep Power : 24274
      Likes Received
      4680
      Likes Given
      2300

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Annael
      Nimechunguza kila chama na nikagundua haya katika vyama hivi viwili:-
      1. Chadema ni walalamikaji sanaaaa-CCM ni sakivu na wanajari kile wanacho lalamika.
      2. Chadema kunamagamba mabichi - CCM kunamagamba yaliyooza
      3. Chadema hawataki kusemwa - CCM ni wavumilivu wako tayari kusemwa na kujirekebisha.
      4. Chadema sio wazalendo (Wakiudhiwa kidogo bungeni wanazira) - CCM hata ukiwaudhi watakusikiliza na kufikiri na kutoa jibu

      5. CHADEMA wanadhani wao Tanzania ni yao - CCM wanachulia Tanzania ni ya watanzania.

      Kunautofauti mkubwa sana katika vyama hivi viwili lakini watu wa CDM watakataa. Hebu jaribu kufikiria hata wewe
      Annael hayo maneno ni ya lugha gani? hayo mengine uliyoyataja ni pumba tupu. we nenda kachukue mshiko wako!

      Halafu unapost thread nyingi sana hutaki kuchangia Jf.

      "CHANGIA JF MKONO MTUPU HAULAMBWI"

      zamani ulikuwa unabonya hapa ili upate maelezo ya jinsi ya kulipa:
      CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi


      Lakini siku hizi unalipa kwa M-Pesa kama vile unalipa bili ya Luku au Dawasco.
      jinsi ya kulipa:

      1. Namba ya Jf (Namba ya kampuni) ni 888 888
      2. Jinsi ya Kutuma

        1. *150#
        2. Bonyeza 4 (Pay Bill)
        3. Bonyeza 1 (Enter Business Number)
        4. Weka 888888
        5. Enter Reference No. (Hapa andika jina lako la JF unalotaka liwekewe premium subscription
        6. Enter Amount (Weka kiasi unachotaka kutuma
        7. Weka password yako na kisha utume.


      ​UNAJAZA SANA SERVER HUTAKI KUCHANGIA WE NAMNA GANI MKUU?
      escober likes this.
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    14. #12
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Mungi
      Annael hayo maneno ni ya lugha gani? hayo mengine uliyoyataja ni pumba tupu. we nenda kachukue mshiko wako!

      Halafu unapost thread nyingi sana hutaki kuchangia Jf.

      "CHANGIA JF MKONO MTUPU HAULAMBWI"

      zamani ulikuwa unabonya hapa ili upate maelezo ya jinsi ya kulipa:
      CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi


      Lakini siku hizi unalipa kwa M-Pesa kama vile unalipa bili ya Luku au Dawasco.
      jinsi ya kulipa:

      1. Namba ya Jf (Namba ya kampuni) ni 888 888
      2. Jinsi ya Kutuma

        1. *150#
        2. Bonyeza 4 (Pay Bill)
        3. Bonyeza 1 (Enter Business Number)
        4. Weka 888888
        5. Enter Reference No. (Hapa andika jina lako la JF unalotaka liwekewe premium subscription
        6. Enter Amount (Weka kiasi unachotaka kutuma
        7. Weka password yako na kisha utume.


      ​UNAJAZA SANA SERVER HUTAKI KUCHANGIA WE NAMNA GANI MKUU?

      Hivi unanijua mimi? au unasema tu? si kilakitu uchangie. Na kuna mambo yanayo nikera lazima tukae pamoja kama jamii tuyazungumze na mwisho wake maisha yaende mbele.
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    15. #13
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,203
      Rep Power : 5040
      Likes Received
      2438
      Likes Given
      2227

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Wachangiaji wamethibitisha kuwa mleta mada ameongea ukweli!!!
      "To greed, all nature is insufficient"

    16. #14
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,184
      Rep Power : 24274
      Likes Received
      4680
      Likes Given
      2300

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Annael
      Hivi unanijua mimi? au unasema tu? si kilakitu uchangie. Na kuna
      mambo yanayo nikera lazima tukae pamoja kama jamii tuyazungumze na mwisho wake maisha yaende mbele.
      Sihitaji kukujua wewe kama wewe, nahitaji kukujua wewe kama member wa jf. na unapokuwa member unakuwa judged na rules za hapa.
      unless kama hujapitia rules umekurupuka kujiunga.
      vinginevyo niliyoyasema hapo juu yanahitaji ushirikiano wako that's all my br/sis

      stand to be corrected!
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    17. #15
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,497
      Rep Power : 19788
      Likes Received
      4312
      Likes Given
      1263

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Nadhani wewe umekosa cha kuandika ukaona ukurupuke kama ulivyo fanya kwa kuleta uchambuzi wa kizushi. Jipangeeeeeeeee,tena jipange sana.
      Hatuto yumbishwa na maneno ya watu wepesi kama wewe

      M4C itaendelea kusonga mbele na umeanza kuona matunda yake.

    18. #16
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 776
      Rep Power : 515
      Likes Received
      156
      Likes Given
      60

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Umelaaniwa na aliyekulaani alifariki na kaburi lake limepotea! Vinginevyo ungeenda kuomba radhi kwa kulala juu ya kaburi hilo. Na ulaaniwe zaidi kwa vile wewe ni mshari!?

    19. #17
      Goodrich's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 621
      Likes Received
      217
      Likes Given
      29

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Nchi ni ya Watanzania ukiwamo wewe. Badala ya kukaa pembeni na kupima vyama kama timu za mpira, nakushauri nawe ushiriki maana mchango wako unahitajika.
      Hao unaowakosoa ujue wamejitolea na wanajitolea kwa kiwango chao.
      Mchango wako na ushiriki wako unahitajika kwa ajili ya vizazi vijavyo!!!!!
      Usikae pembeni kama mtazamaji na mkosoaji tu !
      Dar_Millionaire likes this.
      ... our Conflict has never been about the establishment of a Palestinian state, it's always been about the existence of the Jewish state. - Benjamin Netanyahu.

    20. #18
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Mungi
      Sihitaji kukujua wewe kama wewe, nahitaji kukujua wewe kama member wa jf. na unapokuwa member unakuwa judged na rules za hapa.
      unless kama hujapitia rules umekurupuka kujiunga.
      vinginevyo niliyoyasema hapo juu yanahitaji ushirikiano wako that's all my br/sis

      stand to be corrected!
      Basi hiyo ndio tofauti ya CCM na Chadema
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    21. #19
      fikrapevu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th October 2011
      Posts : 99
      Rep Power : 402
      Likes Received
      9
      Likes Given
      12

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Ofcoz hata mimi nimeliona hilo japo sio muumini wa ccm lakini Chadema kama chama hawapendi kusahihishwa hata wanapokosea, rejea kauli ya Mbunge Nassari.

    22. #20
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 963
      Rep Power : 578
      Likes Received
      156
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By ZeMarcopolo
      Wachangiaji wamethibitisha kuwa mleta mada ameongea ukweli!!!
      wachangiaji wangapi?

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...