Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 56
    1. #1
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Post Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Nimechunguza kila chama na nikagundua haya katika vyama hivi viwili:-
      1. Chadema ni walalamikaji sanaaaa-CCM ni sakivu na wanajari kile wanacho lalamika.
      2. Chadema kunamagamba mabichi - CCM kunamagamba yaliyooza
      3. Chadema hawataki kusemwa - CCM ni wavumilivu wako tayari kusemwa na kujirekebisha.
      4. Chadema sio wazalendo (Wakiudhiwa kidogo bungeni wanazira) - CCM hata ukiwaudhi watakusikiliza na kufikiri na kutoa jibu

      5. CHADEMA wanadhani wao Tanzania ni yao - CCM wanachulia Tanzania ni ya watanzania.

      Kunautofauti mkubwa sana katika vyama hivi viwili lakini watu wa CDM watakataa. Hebu jaribu kufikiria hata wewe
      Last edited by Annael; 12th June 2012 at 18:27. Reason: speling
      Timtim and MziziMkavu like this.
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    2. Miaka 50

    3. #21
      fered mbataa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th February 2012
      Posts : 240
      Rep Power : 414
      Likes Received
      34
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Comi
      wachangiaji wangapi?
      Ni yeye na mtoa mada na magamba mawili

    4. #22
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Comi
      wachangiaji wangapi?
      Kama sijaongea ukweli, toa maelezo kinyume na hayo niliyosema. Nasijaona hata mmoja akiuliza ushahidi ili nitoe. Wote wanasema sio pointi. Sasa tutathibitisha vipi kama ni chama makini ambacho hata mambo madogo wanakwepa?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    5. #23
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By fered mbataa
      Ni yeye na mtoa mada na magamba mawili
      Toa point to prove me wrong sio kutoa maelezo ambayo hayaendani
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    6. #24
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,269
      Rep Power : 3044
      Likes Received
      3057
      Likes Given
      4144

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Annael
      Nimechunguza kila chama na nikagundua haya katika vyama hivi viwili:-
      1. Chadema ni walalamikaji sanaaaa-CCM ni sakivu na wanajari kile wanacho lalamika.
      2. Chadema kunamagamba mabichi - CCM kunamagamba yaliyooza
      3. Chadema hawataki kusemwa - CCM ni wavumilivu wako tayari kusemwa na kujirekebisha.
      4. Chadema sio wazalendo (Wakiudhiwa kidogo bungeni wanazira) - CCM hata ukiwaudhi watakusikiliza na kufikiri na kutoa jibu

      5. CHADEMA wanadhani wao Tanzania ni yao - CCM wanachulia Tanzania ni ya watanzania.
      NAPE: Nchi hii ina wenyewe, na wenyewe ndio sisi
      Kunautofauti mkubwa sana katika vyama hivi viwili lakini watu wa CDM watakataa. Hebu jaribu kufikiria hata wewe
      Pumpkin head,....

      Kiboko yenu huyu hapa.....mtahangaika sana lakini hamna ujanja wa kumgusa!!!!

      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    7. #25
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,269
      Rep Power : 3044
      Likes Received
      3057
      Likes Given
      4144

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Annael
      Hivi unanijua mimi? au unasema tu? si kilakitu uchangie. Na kuna mambo yanayo nikera lazima tukae pamoja kama jamii tuyazungumze na mwisho wake maisha yaende mbele.
      Tikiti maji jingine hili!!
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      Lidaku's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 71
      Rep Power : 365
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Unantafutia ban ww..

    10. #27
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Bigirita
      Pumpkin head,....

      Kiboko yenu huyu hapa.....mtahangaika sana lakini hamna ujanja wa kumgusa!!!!

      Huu ni ufinyu wa kimawazo wa WANACHADEMA. Hawana hoja za kujitetea hivi kweli nyie ndio mnataka kuchukua nchi yetu. No way haitokaa itokee. Mmeshindwa kutoa point yeyote!! Shame on you CHADEMA
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    11. #28
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Bigirita
      Tikiti maji jingine hili!!
      CHADEMA yenu matusi tunawajua hamna point yeyote.
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    12. #29
      mharakati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 931
      Rep Power : 573
      Likes Received
      258
      Likes Given
      243

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Kaitampunu
      Sidhani kama wewe ni great thinker kwa hiki kinyesi ulichoandika, kabla huja post jitahidi kupitia ulichoandika.
      na wewe hautakua great thinker, great thinker na mtu makini humsahihisha au kuelimisha na kukosoa kimantiki makosa yaliyopo, siyo shutuma tu na kejeli, mwisho wa siku watu makini wanawaona wote ni wapumba..

    13. #30
      Babuu Rogger's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 234
      Rep Power : 426
      Likes Received
      35
      Likes Given
      2

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Haina mashiko.
      THERE AIN'T NO HIDING PLACE FROM THE FATHER OF CREATION.

    14. #31
      Kakulwa P's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th February 2012
      Posts : 201
      Rep Power : 408
      Likes Received
      69
      Likes Given
      10

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Annael
      Nimechunguza kila chama na nikagundua haya katika vyama hivi viwili:-
      1. Chadema ni walalamikaji sanaaaa-CCM ni sakivu na wanajari kile wanacho lalamika.
      2. Chadema kunamagamba mabichi - CCM kunamagamba yaliyooza
      3. Chadema hawataki kusemwa - CCM ni wavumilivu wako tayari kusemwa na kujirekebisha.
      4. Chadema sio wazalendo (Wakiudhiwa kidogo bungeni wanazira) - CCM hata ukiwaudhi watakusikiliza na kufikiri na kutoa jibu

      5. CHADEMA wanadhani wao Tanzania ni yao - CCM wanachulia Tanzania ni ya watanzania.

      Kunautofauti mkubwa sana katika vyama hivi viwili lakini watu wa CDM watakataa. Hebu jaribu kufikiria hata wewe

      Hujamalizia tofauti nyingine zinazogusa jamii.
      1. CCM na Mikataba mibovu Richmond, Dowans, Buzwagi nk CHADEMA wanaipinga kwa nguvu zote
      2. CCM imewakumbatia mafisadi PAPA CHADEMA inapinga ufisadi na inataka wafikishwe mahakamani
      3. CCM imeshindwa kusema nani wamepewa fedha za kufufua uchumi CHADEMA inataka wananchi waambiwe
      4. CCM imeshundwa kurekebisha mfumuko wa bei ya vyakula CHADEMA wanaitaka itoe majibu juu ya hili
      5. CCM wamefadhili wizi wa wanyama hai kusafirishwa nje ya nchi kama Twiga nk CHADEMA inataka wahusika wote wafikishwa mahakamani ingawa mmoja alishatoroshwa
      MENGINE WADAU WAONGEZE kweli vyama hivi vina tofauti kubwa na nyingi.


    15. #32
      Technician's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2010
      Posts : 796
      Rep Power : 624
      Likes Received
      191
      Likes Given
      163

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Annael
      Huu ni ufinyu wa kimawazo wa WANACHADEMA. Hawana hoja za kujitetea hivi kweli nyie ndio mnataka kuchukua nchi yetu. No way haitokaa itokee. Mmeshindwa kutoa point yeyote!! Shame on you CHADEMA
      Hii nchi itabidi tuwaachie wendawazimu labda ndio watakaoweza kuiendesha
      maana tumejaribu hawa maprofessor na ma-Dokta kwa miaka 50 umasikini
      bado uko pale pale na CHINA haina maprofessor na madokta wengi kama
      Tanzania lakini inamendeleo makubwa tuliyopaswa kuwa nayo leo.
      Mtaji wa kujenga China na Japan,Marekani umetoka Tanzania
      .

      Tena usirudie tena kuwasema vibaya hawa CHADEMA kidogo wanasaidia kuwaamsha watanzania
      Tuwaunge mkono na tuhakikishe tunaisambaratisha CCM kabla ya 2015

      Mungu Ibariki Tanzania
      Mungu Ibariki Afrika
      The best lovers are those with well developed sensitivity and a wide imagination.

    16. #33
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,269
      Rep Power : 3044
      Likes Received
      3057
      Likes Given
      4144

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Annael
      CHADEMA yenu matusi tunawajua hamna point yeyote.
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    17. #34
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Kakulwa P

      Hujamalizia tofauti nyingine zinazogusa jamii.
      1. CCM na Mikataba mibovu Richmond, Dowans, Buzwagi nk CHADEMA wanaipinga kwa nguvu zote
      2. CCM imewakumbatia mafisadi PAPA CHADEMA inapinga ufisadi na inataka wafikishwe mahakamani
      3. CCM imeshindwa kusema nani wamepewa fedha za kufufua uchumi CHADEMA inataka wananchi waambiwe
      4. CCM imeshundwa kurekebisha mfumuko wa bei ya vyakula CHADEMA wanaitaka itoe majibu juu ya hili
      5. CCM wamefadhili wizi wa wanyama hai kusafirishwa nje ya nchi Twiga nk CHADEMA inataka wahusika wote wafikishwa mahakamani ingawa mmoja alishatoroshwa
      MENGINE WADAU WAONGEZE kweli vyama huvi vina tofauti kubwa na nyingi.

      Nadhani kwanza umekubaliana na mimi ndio ukaongezea sio?

      Okey ngoja nikutolee maelezo: Sikatai kuwa kuna matatizo yaliyojitokeza kwenye CCM. Uko sawa kabisa.

      LAKINI
      CCM sasa inajirekebisa na ukiona sasa kila kitu kinaenda sawia. CHADEMA wameanza kuwa na magamba mapya kabisaa.

      1. Utunzaji wa pesa ndani ya chama haueleweki.
      2. Hawana process za kufundisha viongozi yaani ni fungulia dog
      3. Wanadai wako na wanasheria but hawasolve mambo kisheria wanakurupuka tu. Mfano mikataba hiyo uliyosema wamesolve vipi kisheria? kama kweli ni makini zaidi ya kupiga kelele kwa watanzania ili wawahurumie.
      4. Viongozi wake hawana experience ya uongozi zaidi ya ujuzi wa biashara na hiyo inakipelekea chama kuwa kama kampuni.
      5. Mmepata kitu kidogo tu sasa mnaanza kufanya ufisadi (kula rushwa mfano MOSHI)
      6. Mnataka kujitafutia sifa ambazo haziwahusu. Mfano katiba ya TANZANIA mnataka kujifanya nyie ndio mliopigia kelele wakati CUF ndio chama pekee kilicho anzisha suara hili.


      Kuna yapo mengi sana ila nashukuru kwa KUUNGA MKONO HOJA YANGU.
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    18. #35
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Technician
      Hii nchi itabidi tuwaachie wendawazimu labda ndio watakaoweza kuiendesha
      maana tumejaribu hawa maprofessor na ma-Dokta kwa miaka 50 umasikini
      bado uko pale pale na CHINA haina maprofessor na madokta wengi kama
      Tanzania lakini inamendeleo makubwa tuliyopaswa kuwa nayo leo.
      Mtaji wa kujenga China na Japan,Marekani umetoka Tanzania
      .

      Tena usirudie tena kuwasema vibaya hawa CHADEMA kidogo wanasaidia kuwaamsha watanzania
      Tuwaunge mkono na tuhakikishe tunaisambaratisha CCM kabla ya 2015

      Mungu Ibariki Tanzania
      Mungu Ibariki Afrika
      Wewe huwezi ukawa mwamuzi wa mawazo yangu mimi ni mimi na wewe ni wewe. Wewe chadema mimi sio chadema. So niwaunge mkono kwa sera zao mbovu?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    19. #36
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Bigirita
      Ndio nini sasa hayo ndio mawazo ya wanaCDM
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    20. #37
      sk2000's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 120
      Rep Power : 378
      Likes Received
      18
      Likes Given
      16

      Post Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Annael
      Prove me wrong by point sio kwa matusi sawa?
      Toa uzuzu wako hapa. hakuna muda wa kubishana na mazuzu.. na si bure umetumwa wewe. mnanunulika kwa kilo ya mchele.

    21. #38
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,269
      Rep Power : 3044
      Likes Received
      3057
      Likes Given
      4144

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Annael
      Ndio nini sasa hayo ndio mawazo ya wanaCDM
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    22. #39
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By sk2000
      Toa uzuzu wako hapa. hakuna muda wa kubishana na mazuzu.. na si bure umetumwa wewe. mnanunulika kwa kilo ya mchele.
      Tunawajua nyie CHADEMA hamna pointi mmejaa matusi tu.
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    23. #40
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Tofauti ya CHADEMA na CCM hii hapa

      Quote By Bigirita
      Huna point. Tuna wajua nyie kichwani hamna nyie CDM hamuwezi kusoma alama za nyakati
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...