Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

    Report Post
    Page 1 of 9 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 180
    1. #1
      Bagram Army's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 48
      Rep Power : 367
      Likes Received
      7
      Likes Given
      19

      Default Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Leo nimemsikia aliepata kuwa waziri wa Mambo ya ndani Lawrence Masha akihojiwa na EATV akasema anafanya kazi ya kukusanya/kusomba taka toka ktk makazi ya watu, alikana kuwa alikuwa anafanyia kazi zake ROSE GARDEN ila alikubali kuna wakati alikuwa anashinda pale na akasema alikuwa anaenda pale na chupa yake ya chai anakaa hadi usiku mnene.
      Lakini pia kuna tetesi toka Mwanza kuwa alikuwa akienda club anasindikizwa na Defender mbili za polisi na zinalinda club mpaka atakapoondoka, bado ana ndoto za kutumikia umma kama watu watamuomba.

      My take: Sikio la kufa...
      QUALITY likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,341
      Rep Power : 715
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Nasikia bado analilia ule Mradi wa Vitambulisho vya Taifa.
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    4. #3
      grandpa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th August 2008
      Posts : 168
      Rep Power : 581
      Likes Received
      1
      Likes Given
      30

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Duhhh!

    5. #4
      Mzalendo Mkuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 547
      Rep Power : 547
      Likes Received
      91
      Likes Given
      285

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Dawa ya kimeo ni kukata. Hicho ni kimeo hivyo kikatwe.

    6. FJM
      #5
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,168
      Rep Power : 2567
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Masha anaweza kuwa na mapungufu yake kama mwanadamu, lakini nimependa jitahada zake za kuleta magari ya kisasa kuzoa taka. Tumechoka na malori yanayomwaga matakataka njiani. Kazi nzuri kijana Lau, ukisafiri iga mazuri.
      Ogah, Jasusi, Kakalende and 13 others like this.

    7. FemaTV & Radio

    8. UKI
      #6
      UKI's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Location : Mali
      Posts : 681
      Rep Power : 485
      Likes Received
      149
      Likes Given
      176

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Maisha ni safari kuna kupanda na kushuka.
      Mantisa likes this.

    9. Awo
      #7
      Awo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2010
      Posts : 430
      Rep Power : 549
      Likes Received
      146
      Likes Given
      36

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Hata mimi nakubali ujasiri wa kuendelea kula maisha bila kutegemea ubunge, uwaziri au kuhemea vyeo vya mezani vinavyogawiwa kama njugu siku hizi.

    10. #8
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,081
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6847

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      You guys have failed to understand Lau... he is a great success businesswise

      Kampuni yake ni kubwa, bado ni lawyer (sio ganga njaa), na majibu aliokua akitoa kama ulimsikiliza vyema alikua anakebehi wauliza maswali zaidi ya kuweka vitu wazi

      Ati anatoka na chupa ya chai home kwenda kushinda rose garden hadi usiku mnene!!

      He is way too ahead of the game

      kazi kwenu
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    11. #9
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,669
      Rep Power : 1908
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By UKI
      Maisha ni safari kuna kupanda na kushuka.
      Karibu Jamvini

    12. #10
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,654
      Rep Power : 715
      Likes Received
      289
      Likes Given
      36

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Cheo ni dhamana,

    13. #11
      Tusker Bariiiidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Location : Sinza Dar es Salaam.
      Posts : 3,231
      Rep Power : 1253
      Likes Received
      375
      Likes Given
      51

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Kauli ya Masha kwenda na Chai Rose Garden,Ilimfanya Mama Watoto wangu,asisitize kuwa kwenda Bar sio lazima kwenda KUNYWA! duh itabidi aniombe RADHI!
      Kigogo, TIMING, Bigbro and 4 others like this.

    14. #12
      ghwanga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th November 2011
      Posts : 163
      Rep Power : 413
      Likes Received
      11
      Likes Given
      26

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Nawashangaa mnaokubaliana na dhihaka ya Masha,he is still smart economically!
      BULOLE BUKOMBE likes this.

    15. #13
      Gaspery Lasway's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 1,141
      Rep Power : 619
      Likes Received
      240
      Likes Given
      22

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Usimdharau mtu na kazi yake,anaokota taka for special mission ya upelelezi

    16. #14
      Freema Agyeman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Posts : 1,705
      Rep Power : 4178
      Likes Received
      1074
      Likes Given
      892

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By UKI
      Maisha ni safari kuna kupanda na kushuka.
      hapo kashuka?

      Nadhani kazi anayoifanya kwa sasa tunahitaji aifanye kuliko kazi ya waziri (ambayo nadhani wewe ndo unaiona ilimpandisha).

      Go Masha, kuwatumikia wananchi sio lazima uwe head wa wizara au mbunge.
      "The louder the protester, the more there is in their closet"

    17. #15
      Noti mpya tz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2011
      Posts : 629
      Rep Power : 601
      Likes Received
      105
      Likes Given
      255

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Makubwa..... kwenda bar na chai yako???? sijui niseme yuko ki town zaidi.
      kinubi likes this.
      Tanganyika ya are my mamaland no matter where ya are I believe ya'll comeback home very soon.

    18. #16
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,081
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6847

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Freema Agyeman
      hapo kashuka?

      Nadhani kazi anayoifanya kwa sasa tunahitaji aifanye kuliko kazi ya waziri (ambayo nadhani wewe ndo unaiona ilimpandisha).

      Go Masha, kuwatumikia wananchi sio lazima uwe head wa wizara au mbunge.
      watanzania tuna very poor indicators za kupima success

      sijui nijivunie uanasiasa au biashara yangu mwenyewe??? wasio na vision watasema uanasiasa...

      tuna matatizo makubwa sana aisee
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    19. #17
      mmbangifingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 2,568
      Rep Power : 857
      Likes Received
      452
      Likes Given
      2906

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Gaspery lasway
      Usimdharau mtu na kazi yake,anaokota taka for special mission ya upelelezi
      Masha kimeo tu ampeleleze nani, kwa maslahi ya nani? Usiogope mkuu
      Who Jah bless, No one Curse!

    20. #18
      Noti mpya tz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2011
      Posts : 629
      Rep Power : 601
      Likes Received
      105
      Likes Given
      255

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By TIMING
      You guys have failed to understand Lau... he is a great success businesswise

      Kampuni yake ni kubwa, bado ni lawyer (sio ganga njaa), na majibu aliokua akitoa kama ulimsikiliza vyema alikua anakebehi wauliza maswali zaidi ya kuweka vitu wazi

      Ati anatoka na chupa ya chai home kwenda kushinda rose garden hadi usiku mnene!!

      He is way too ahead of the game

      kazi kwenu

      We Ulimwelewaje?? Fafanua... Kampuni kubwa kwani nani kauliza?
      Tanganyika ya are my mamaland no matter where ya are I believe ya'll comeback home very soon.

    21. #19
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,121
      Rep Power : 41569
      Likes Received
      6027
      Likes Given
      1054

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Uwaziri ni umungu mtu kiasi kwamba mtu ukiwahi kuwa waziri huwezi kufanya kazi nyingine?

      Kuzoa takataka ni kazi ya shetani kiasi kwamba binadamu hatakiwi kuifanya?

      Unachotaka kusema ni nini kuhusu huyu mzee wa "irregardless"?
      Banda lishavunjika, jogoo kaondoka. Vifaranga hangaika, kumtoa nyoka.


    22. #20
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      lawyers lawyers IMMA advocates..hela ipo hamna njaa..

    Page 1 of 9 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...