Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

    Report Post
    Page 5 of 9 FirstFirst ... 34567 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 180
    1. #1
      Bagram Army's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 48
      Rep Power : 371
      Likes Received
      7
      Likes Given
      19

      Default Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Leo nimemsikia aliepata kuwa waziri wa Mambo ya ndani Lawrence Masha akihojiwa na EATV akasema anafanya kazi ya kukusanya/kusomba taka toka ktk makazi ya watu, alikana kuwa alikuwa anafanyia kazi zake ROSE GARDEN ila alikubali kuna wakati alikuwa anashinda pale na akasema alikuwa anaenda pale na chupa yake ya chai anakaa hadi usiku mnene.
      Lakini pia kuna tetesi toka Mwanza kuwa alikuwa akienda club anasindikizwa na Defender mbili za polisi na zinalinda club mpaka atakapoondoka, bado ana ndoto za kutumikia umma kama watu watamuomba.

      My take: Sikio la kufa...
      QUALITY likes this.


    2. #81
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3261
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By nngu007 View Post
      Mashirika ya Jiji ni Labor intensive ili ipatie Ajira wengi kuondoa Unemployment, hapo ndio tuna capitalize kila kitu
      Kama Chuo Kikuu, eneo lote hilo la Mjani watu walikuwa wanafyeka na mafyekeo sasa wakiprivatize ni watu 4 wanalimaliza eneo hilo kuwa na matrekta ya kukata Majani na Wafanyakazi Wafyekaji 200 kazi hakuna

      Hapo Mmeua na kumaliza Siasa ya Ujamaa na kujitegemea; Mjue wapi kwa kupeleka watu wa Elimu ndogo Msichekelee
      Unatisha Mkuu! Ili kulinda Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea na kupata ajira kwa wingi, tuendelee kulima kwa jembe la mkono, tukate majani kwa panga, tuzoe taka kwa toroli, tuchote maji kwa mzegazega.....
      "Pesa ni matokeo, si msingi wa maendeleo." [Nyerere]
      "Msongamano wa magari (mabovu) ni kiashiria cha maendeleo" [JK]
      "Ukosefu wa maji ya bomba umetoa ajira nyingi kwa vijana wetu" [Karume mwana]

      Hii ndiyo Tanzania tunayoitaka.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    3. #82
      Sun Tzu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd March 2010
      Posts : 75
      Rep Power : 597
      Likes Received
      20
      Likes Given
      10

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Go Lau Go, That is the way to go. Usisikilize vimeo vya hapa JF. Ukiachana na siasa fanya shughuli mbadala na unachokifanya kianongeza thamani na kuboresha maisha ya Mtanzania. Fanya mazuri na natumaini kama kila sehemu Tanzania kungekuwa na wabunifu kama wewe, Tanzania ingekuwa sehemu bora zaidi. Hawa wanaokuponda hapa JF wengine wamezungukwa na mitaro ya maji taka ambayo inavuja hawadiriki kufanya chochote na wanasubiri serikali iwasafishie.

      Bravo
      "In time of war, when truth is so precious, it must be protected by a bodyguard of lies." Winston Churchill

    4. #83
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 587
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By stein View Post
      nasikia bado analilia ule mradi wa vitambulisho vya taifa.
      kweli kabisa.

    5. #84
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,692
      Rep Power : 3657
      Likes Received
      3218
      Likes Given
      473

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By MAMMAMIA View Post
      Unatisha Mkuu! Ili kulinda Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea na kupata ajira kwa wingi, tuendelee kulima kwa jembe la mkono, tukate majani kwa panga, tuzoe taka kwa toroli, tuchote maji kwa mzegazega.....
      "Pesa ni matokeo, si msingi wa maendeleo." [Nyerere]
      "Msongamano wa magari (mabovu) ni kiashiria cha maendeleo" [JK]
      "Ukosefu wa maji ya bomba umetoa ajira nyingi kwa vijana wetu" [Karume mwana]

      Hii ndiyo Tanzania tunayoitaka.
      Oh yeah Pesa sio Matokea kwa Mabepari Uchwara waliokuja baada ya Azimio la Zanzibar

      Angalia China, Mabepari wake ndio hao Nyerere aliokuwa anawaongelea

      Sio waliokuja kwa mkumbo baada ya Azimio la Arusha kuvunja wakaoni ni wakati wao wa kugombea Ubunge
      Sio Mmoja tu ni wengi tu... Hao Hawajali Uchungu wa Nchi. Subiri Siku Moja utaniambia

      Kwa kifupi ninamjua sana toka zamani... Namfuatila sana... Utajua kweli hii ndio Tanzania tunayoitaka

    6. #85
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,875
      Rep Power : 4227
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      429

      Default

      Quote By Kiranga View Post
      Masha anaweza kuthibitisha kwamba kapata hii biashara bila ya kutumia influence yake ya "Waziri wa zamani" ?

      Hii kazi inaendaje? Analipwa na nani? Ilitakiwa kutangazwa tenda? Kama ilitakiwa ilitangazwa?
      Watanzania huwa mnashangaza sana.
      Hivi baada ya uwaziri ulitegemea angefanya nini?

      Kuna watu wasio na roho njema wanapata faraja sana wakiona mwanasiasa aliyeenguliwa akipata taabu ya kimaisha, kama mwelekeo wa hii posti.
      Hiyo ni roho mbaya na kupenda mabaya yamfike mtu usiye kubaliana naye.

      Kwa hakika unachoulizia juu ya wateja wa Masha ni kile kinaitwa Trade Secrets- siri za biashara. Humwagi mchele mbele ya washindani ili na wewe uache JF na kwenda kuzoa taka.
      Hii posti ni dalili tosha kuwa mtoa posti hana idea na biashara.
      Mfano mzuri sana Masha.
      Last edited by masopakyindi; 13th June 2012 at 15:39.


    7. #86
      chuki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 520
      Rep Power : 523
      Likes Received
      49
      Likes Given
      36

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Masha kila la kheri kaka, we ni mfano wa kuigwa.
      CHADEMA NI FREEMASON.
      WAMEANZISHA MTANDAO WA KIGAIDI.

    8. #87
      ocampo four's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 249
      Rep Power : 380
      Likes Received
      32
      Likes Given
      6

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Kwani apati ela from dat.,na nina uhakika we hauna hata kibanda cha kuku..

    9. #88
      joe peters's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th December 2010
      Posts : 81
      Rep Power : 447
      Likes Received
      12
      Likes Given
      11

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Lau ---Learned brother with multidiscpline capabilities

    10. #89
      thereitis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Location : Arusha
      Posts : 237
      Rep Power : 484
      Likes Received
      24
      Likes Given
      60

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Candid Scope View Post
      Watanzania wengi tumefikia kiongozi wa umma akishajenga nyumba tu ni fisadi. Kama alishashika madaraka fulani serikalini mafanikio yo yote watamwona ametumia mlango wa nyuma kufanikisha. Jamani, tuwe na upeo wa kuchambua. Sijaona lalamiko lo lote kwa ye yote ambaye anasema alinyimwa tenda na Masha kapewa. Tenda hizi hutangazwa, na mwenye kufikia vigezo atapata. Sisi tunataka mwenye tengo ndiye apate tenda ya kufyeka barabara na mwenye trekta la eat grass anyimwe tena, matokea mwaka mzima anafyeka km 10 wakati ana tenda ya kufyaka km 200, hapo ndio waswahili tumezoea.
      Kwa nini unamtetea masha kiasi hicho? Je, na wewe ni mmoja wao mafisadi?

    11. #90
      sawabho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Location : Miyakojima
      Posts : 1,835
      Rep Power : 788
      Likes Received
      430
      Likes Given
      121

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By KVM View Post
      Takataka is big business!!!!
      Mkuu watu hawajui kuwa kazi zinadhaulika ndizo zinazilopa !!! Tena kazi yenyewe inatolewa kwa Tenda !!! Halafu hizo taka Masha hazoi yeye ni Kampuni ambayo ina wasimamizi. Michakato ya kulipa Tenda ni ile ile ambayo mtu anaweza kuwa hajafanya kazi ya kuridhisha lakini akalipwa 100 % - 10% na kulipa wafanyakazi 0.000001% !!!! Ukiona magorofu yananyanyuka kule Mbezi, unashangaa na kuuliza hivi watu wanatoa wapi pesa !!!! Acha kudharau kazi za watu, hakuna mtu anayeweza kufanya kazi ambayo haimlipi !!!
      INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO

    12. #91
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,511
      Rep Power : 41651
      Likes Received
      6281
      Likes Given
      1089

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By masopakyindi View Post
      Watanzania huwa mnashangaza sana.
      Hivi baada ya uwaziri ulitegemea angefanya nini?
      Swali hapa si anachokifanya, bali, anavyokifanya. Tunaangalia kama hili deal limefanywa bila mushkeli. Ushaelewa issue?

      Kuna watu wasio na roho njema wanapata faraja sana wakiona mwanasiasa aliyeenguliwa akipata taabu ya kimaisha, kama mwelekeo wa hii posti.
      Ukiwa mzinzi uta project uzinzi wako kwa kitakachopitia macho yako. Ukiwa na roho mbaya, hata mtu anayesimamia standards utamuona anafanya hivyo kwa sababu ya roho mbaya. Huna exposure ya kuelewa core principles za fre trade zinasemaje.Hujui "oligopoly" ni nini. Huelewi kwa nini Wa Rusi wanaandamana kuipinga oligarchy ya Vladimir Putin na wenzake. Hata sie tukiwa tunaelekea huko huko pole pole utashangilia tu. Halafu kesho utarudi hapahapa kupinga ufisadi.

      Mie siwezi kupinga ufisadi superficially halafu ikija nafasi ya kuuliza some core principles za free trade (transparency, open tenders etc) unasema roho mbaya. Kitu kibaya ninachokiona hapa ni exposure ndogo ya watu kuhusu free trade na precepts zake.

      Hiyo ni roho mbaya na kupenda mabaya yamfike mtu usiye kubaliana naye.
      Kwanza sijasema nakubaliana au sikubaliani na Masha. My issue is solely about making sure that standards are followed. Nimesema hapo juu napenda viongozi wanaojua biashara, lakini hili halimaanishi hata wakijikwapulia biashara bila kufuata sheria tukubali tu. Si tumemsema sana Mkapa na Kiwira hapa? Mimi nataka kuhakikishiwa tu kwamba hii biashara si a mini-Kiwira for a mini-Mkapa. What's wrong with that? Nataka uthibitisho tu kwamba mambo yameenda sawa, hata sija mu accuse kwamba kafanya vibaya, ni swala la due diligence tu.Kwamba kabla hatujaanza kumsifia Masha, tujue kwamba anafaa kusifiwa.

      But I am sure some of y'all hata due diligence hamjui ni nini, by the looks of your posts at least I am justified to say so.

      Kwa hakika unachoulizia juu ya wateja wa Masha ni kile kinaitwa Trade Secrets- siri za biashara. Humwagi mchele mbele ya washindani ili na wewe uache JF na kwenda kuzoa taka.
      Trade secrets zinahusika na jinsi gani unafanya kazi yako, mitambo unayotumia, client list, etc.

      Mimi nauliza biashara ilivyopatikana.Ilitakiwa kuwa na open tender, ilitakiwa kuwa na open and fair competition to all.Hakuna trade secret katika kuniambia ndiyo, tender ilitangazwa, kampuni fulani na fulani zilishindania, Masha hakutumia influence peddling na kwa kweli ndiye aliyeibuka mshindi kihalali, nikiridhika sitakawia kumsifu.

      Lakini hatujajua hata kama tender ilikuwapo? Kwamba inawezekana Masha kapewa biashara mezani bila ya tender kushindaniwa? Unataka nione huyu ni enterpreneur? Huyu ni robber baron tu, kitu ambacho wenzetu wanakip[iga vita kila siku.

      Hii posti ni dalili tosha kuwa mtoa posti hana idea na biashara.
      Mfano mzuri sana Masha.
      Biashara gani unayoongelea wewe? Biashara ya kinamama kuuza vitafunio Maandazi Road?

      Unafahamu rules of free trade? Unafahamu free market ni nini? Unafahamu oligopoly ni nini? Unafahamu fair access to market ni nini? Unafahamu role of competition in free trade ni nini? Unafahamu influence peddling ni nini? Unafahamu open tender ni nini?
      Sangarara likes this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    13. #92
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,511
      Rep Power : 41651
      Likes Received
      6281
      Likes Given
      1089

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Sun Tzu View Post
      Go Lau Go, That is the way to go. Usisikilize vimeo vya hapa JF. Ukiachana na siasa fanya shughuli mbadala na unachokifanya kianongeza thamani na kuboresha maisha ya Mtanzania. Fanya mazuri na natumaini kama kila sehemu Tanzania kungekuwa na wabunifu kama wewe, Tanzania ingekuwa sehemu bora zaidi. Hawa wanaokuponda hapa JF wengine wamezungukwa na mitaro ya maji taka ambayo inavuja hawadiriki kufanya chochote na wanasubiri serikali iwasafishie.

      Bravo
      Kuna commentator mmoja alikuwa anaongelea matatizo ya ufisadi Nigeria.

      Akasema, moja ya matatizo makubwa ni kwamba wananchi wa kawaida hawataki kukemea na kupigana dhidi ya rushwa na kuziba mianya ya rushwa.

      Hawa ni wananchi wa kawaida tu, ambao hawana hata access na position ya kufaidika sana na rushwa.

      Rationale yao ni kwamba, waacheni wakubwa wale, msiwazibie, labda siku moja na mimi naweza kuwa mkubwa nikala, sasa tukiwazibia leo, mie ikifika zamu yangu nitakula vipi?

      Whether consciously or subconsciously I think this mentality is active in bongo. Msisumbue sumbue sana "wakubwa". Msiwasemeseme. Ukiuliza maswali relevant tu, una chuki binafsi. Mie nakula USD kwa kazi zangu on that famous kindergarten between the river and the graveyard, chuki na mtu nisiyemjua niitoe wapi wakati na happy tu kila siku?

      Either that or people do not know even the basics of a tendering process.

      Otherwise nimweleweje mtu anayetetea deal ambalo hata hatujui kama limepita kwa a fair and square process?

      Ukiulizia unaambiwa "chuki" wakati dunia yote watu wanaojua biashara wanajua usipokuwa na an open tendering process unaalika rushwa na influence peddling, kwa sababu watu wanafanya madudu hata kwenye hizo open tender - to a less degree-, sembuse usipokuwa na tender kabisa.

      Kuna maswali muhimu hayajajibiwa.

      Moja ya matatizo yetu makubwa kabisa kama nchi ni hili la kuridhika kirahisi na kukubali kirahisi.

      Ndio maana watu masikini kabisa lakini wanaendelea kumpigia kura mbunge yule yule wa chama kile kile miaka nenda miaka rudi.

      Moja ya sababu sisi ni masikini ni hii ya kukosa criticality, ukileta critical review unaambiwa una chuki. Ukiwa against the fray unaonekana mtu wa ajabu.Tunataka convention, mtu akianzisha chorus ya "Masha is a good enterpreneur" wengine tujibu "aye aye sir" bila hata kujua kama jambazi au mfanyabiashara kweli.

      No sir, mtakubaliana wenyewe huko. Wengine tunataka ushahidi zaidi.
      Sangarara likes this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    14. #93
      Nyani Ngabu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,521
      Rep Power : 0
      Likes Received
      9766
      Likes Given
      696

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Waste management ni biashara nzuri tu na kwa mnaoijua kampuni ya Waste Management, Inc. basi mtakuwa na idea walau ni jinsi gani hii shughuli ilivyo nzuri.

    15. #94
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,669
      Rep Power : 1274
      Likes Received
      1313
      Likes Given
      1709

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By TIMING View Post
      You guys have failed to understand Lau... he is a great success businesswise

      Kampuni yake ni kubwa, bado ni lawyer (sio ganga njaa), na majibu aliokua akitoa kama ulimsikiliza vyema alikua anakebehi wauliza maswali zaidi ya kuweka vitu wazi

      Ati anatoka na chupa ya chai home kwenda kushinda rose garden hadi usiku mnene!!

      He is way too ahead of the game

      kazi kwenu
      Poor Tanzania. You are calling Masha a great success businesswise, have you forgotten where he got the seed money??
      TIMING likes this.

    16. #95
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,511
      Rep Power : 41651
      Likes Received
      6281
      Likes Given
      1089

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By EmeraldEme View Post
      Let's discuss issues and not people.

      Masha kukusanya taka from kuwa waziri ni immaterial, he is a lawyer (An Advocate of the High Court and courts subordinate thereto save for Primary Court)...Just for the record.

      Being an ex member of the Parliament does not disqualify him from doing other works, let him struggle for his life.

      Anavyozoa taka taka huko mjini huwa anatukana watu? Anaiba mali za watu? Jibu ni hapana. Anavyoshinda Rose garden, anaomba beer kwa watu? jibu ni hapana, haombi ombi beer, that means maisha yake yanaendelea kama ilivyokua zamani.

      Fact kuwa anazoa taka taka, any1 can do that,na havunji sheria za nchi, anazoa Yes, na nimesikia kaleta magari ya kisasa, mtu akifanya jambo zuri tusimkosoe, panapofaa sifa tumpe. Au mlipenda msikie kuwa sasa hivi hali yake ni mbaya kiuchumi ili muanze kusema kuwa kafulia? Wonders will never seize to amaze!!!!!

      Kwa hiyo tuache majungu, tuongee vitu vya maana.
      Swala la uwazi wa hili deal halijajibiwa.ilihitajika tenda? Kama ndiyo, ilikuwepo? Hakukuwa na influence peddling? This has been a trend in our country, business is done by political connections rather than the rules of free trade, we don't want to turn a blind eye to this threat.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    17. #96
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,511
      Rep Power : 41651
      Likes Received
      6281
      Likes Given
      1089

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Sangarara View Post
      Poor Tanzania. You are calling Masha a great success businesswise, have you forgotten where he got the seed money??
      Hahaha, kumbe kuna utata kuhusu seed money mwanawane? Weka live basi tujue wote.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    18. #97
      Nyani Ngabu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,521
      Rep Power : 0
      Likes Received
      9766
      Likes Given
      696

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By EmeraldEme View Post
      Masha kukusanya taka from kuwa waziri ni immaterial, he is a lawyer (An Advocate of the High Court and courts subordinate thereto save for Primary Court)...Just for the record.
      Hawa ma-lawyer si ndiyo tunaambiwa wanajua sana Kiingereza...? Sasa iweje huyu jamaa anukuliwe akisema "there's a lot of works"?

      Or that was just a slip of the tongue?

    19. #98
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,669
      Rep Power : 1274
      Likes Received
      1313
      Likes Given
      1709

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Kiranga View Post
      Swali hapa si anachokifanya, bali, anavyokifanya. Tunaangalia kama hili deal limefanywa bila mushkeli. Ushaelewa issue?



      Ukiwa mzinzi uta project uzinzi wako kwa kitakachopitia macho yako. Ukiwa na roho mbaya, hata mtu anayesimamia standards utamuona anafanya hivyo kwa sababu ya roho mbaya. Huna exposure ya kuelewa core principles za fre trade zinasemaje.Hujui "oligopoly" ni nini. Huelewi kwa nini Wa Rusi wanaandamana kuipinga oligarchy ya Vladimir Putin na wenzake. Hata sie tukiwa tunaelekea huko huko pole pole utashangilia tu. Halafu kesho utarudi hapahapa kupinga ufisadi.

      Mie siwezi kupinga ufisadi superficially halafu ikija nafasi ya kuuliza some core principles za free trade (transparency, open tenders etc) unasema roho mbaya. Kitu kibaya ninachokiona hapa ni exposure ndogo ya watu kuhusu free trade na precepts zake.



      Kwanza sijasema nakubaliana au sikubaliani na Masha. My issue is solely about making sure that standards are followed. Nimesema hapo juu napenda viongozi wanaojua biashara, lakini hili halimaanishi hata wakijikwapulia biashara bila kufuata sheria tukubali tu. Si tumemsema sana Mkapa na Kiwira hapa? Mimi nataka kuhakikishiwa tu kwamba hii biashara si a mini-Kiwira for a mini-Mkapa. What's wrong with that? Nataka uthibitisho tu kwamba mambo yameenda sawa, hata sija mu accuse kwamba kafanya vibaya, ni swala la due diligence tu.Kwamba kabla hatujaanza kumsifia Masha, tujue kwamba anafaa kusifiwa.

      But I am sure some of y'all hata due diligence hamjui ni nini, by the looks of your posts at least I am justified to say so.



      Trade secrets zinahusika na jinsi gani unafanya kazi yako, mitambo unayotumia, client list, etc.

      Mimi nauliza biashara ilivyopatikana.Ilitakiwa kuwa na open tender, ilitakiwa kuwa na open and fair competition to all.Hakuna trade secret katika kuniambia ndiyo, tender ilitangazwa, kampuni fulani na fulani zilishindania, Masha hakutumia influence peddling na kwa kweli ndiye aliyeibuka mshindi kihalali, nikiridhika sitakawia kumsifu.

      Lakini hatujajua hata kama tender ilikuwapo? Kwamba inawezekana Masha kapewa biashara mezani bila ya tender kushindaniwa? Unataka nione huyu ni enterpreneur? Huyu ni robber baron tu, kitu ambacho wenzetu wanakip[iga vita kila siku.



      Biashara gani unayoongelea wewe? Biashara ya kinamama kuuza vitafunio Maandazi Road?

      Unafahamu rules of free trade? Unafahamu free market ni nini? Unafahamu oligopoly ni nini? Unafahamu fair access to market ni nini? Unafahamu role of competition in free trade ni nini? Unafahamu influence peddling ni nini? Unafahamu open tender ni nini?
      Kiranga, niseme nini kingine mimi sangarara.

    20. #99
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,511
      Rep Power : 41651
      Likes Received
      6281
      Likes Given
      1089

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Nyani Ngabu View Post
      Waste management ni biashara nzuri tu na kwa mnaoijua kampuni ya Waste Management, Inc. basi mtakuwa na idea walau ni jinsi gani hii shughuli ilivyo nzuri.
      Hapa some comments utafikiri kuna simpletons wanafikiri Masha anazama kwenye majalala anaokota takataka kwa mikono bila gloves, halafu analipwa thumni kwa kila pipa.

      Hizi habari za kujifanya uungwana usio na tija ndizo zinazokosesha watu deals. tai shingoni, njaa tumboni.

      Mie sina beef na ukweli kwamba kazi anayofanya ni nzuri. Hata kama isingekuwa nzuri, social statement tu ya mtu anayesafisha mji ni kazi ya heshima. Ndiyo maana mie hata vile vibibi vya City vilivyokuwa vinafagia barabara bila gear nilikuwa naona wanafanya kazi ya heshima sana iliyotusetiri.

      Lakini watetezi wa Masha bado hawajaweza kutupa imani kwamba hakuna some oligarchy moves zilizotembea ku secure deal.

      Yaani Masha is on the brink of being exemplary, except for this one troubling aspect which remains murky.

      Kama yeye ni msafisha takataka kweli akiweza kusafisha na hili atakuwa kacheza.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    21. #100
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,203
      Rep Power : 12279
      Likes Received
      6063
      Likes Given
      6927

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Sangarara View Post
      Poor Tanzania. You are calling Masha a great success businesswise, have you forgotten where he got the seed money??
      thanks, nijuavyo mimi jamaa alifanikiwa.... sasa mengine naomba unijuze ili nielimike
      ....Time is the wisest counselor !!!

    Page 5 of 9 FirstFirst ... 34567 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...