Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

    Report Post
    Page 4 of 9 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 180
    1. #1
      Bagram Army's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 48
      Rep Power : 371
      Likes Received
      7
      Likes Given
      19

      Default Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Leo nimemsikia aliepata kuwa waziri wa Mambo ya ndani Lawrence Masha akihojiwa na EATV akasema anafanya kazi ya kukusanya/kusomba taka toka ktk makazi ya watu, alikana kuwa alikuwa anafanyia kazi zake ROSE GARDEN ila alikubali kuna wakati alikuwa anashinda pale na akasema alikuwa anaenda pale na chupa yake ya chai anakaa hadi usiku mnene.
      Lakini pia kuna tetesi toka Mwanza kuwa alikuwa akienda club anasindikizwa na Defender mbili za polisi na zinalinda club mpaka atakapoondoka, bado ana ndoto za kutumikia umma kama watu watamuomba.

      My take: Sikio la kufa...
      QUALITY likes this.


    2. #61
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,515
      Rep Power : 41652
      Likes Received
      6283
      Likes Given
      1089

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Candid Scope View Post
      Masha ni raia mwenye haki ya kupata tenda hiyo. Kama tenda hiyo angegawiwa mgeni wa kutoka nje ya nchi tungelalama kwamba wazawa wananyang'anywa haki zao. Sasa nini tunalalama?
      Completely off topic. Swali halikuwa kwamba Masha si raia, wala Masha hana haki ya kupata tenda. Swali lilikuwa kwamba anaweza kuuthibitishia umma kwamba hakutumia influence yake kama Waziri wa Zamani kupata biashara hii? Mpaka hapa hujajibu swali.

      Kwa vyo vyote halmashauri au viwanda anakochukua uchafu na kuutupa wanamlipa na ni haki yeke.
      Hili hapa hata sijui linahusikaje katika mjadala. Mjadala ulioibuliwa na post uliyoinukuu si kwamba Masha analipwa au halipwi. Bali kama anaweza kuithibitishia jamii kwamba hakutumia influence yake kama Waziri wa Zamani vibaya.

      Tenda nyingi zinatangwazwa wengi wetu hatuna uwezo. Mfano nimeona wanaofyeka kando ya barabara kuu hutumia tengo badala ya matrecta ya kufyekea. Barabara mail zote ataimaliza lini?
      Kwamba watu wana uwezo au hawana uwezo kwa kiasi gani huwezi kujua mpaka utangaze tenda. All the more reason vitu vifanywe kwa kutumia tenda iliyo wazi.

      Masha amejitahidi kuwa na magari ya kisasa ya kusomba takataka, nini tatizo?
      Tatizo mpaka sasa hujajibu swali langu, kwamba biashara hii ilikuwa na tenda iliyotangazwa peupe na watu wakapata nafasi ya kushindanisha proposals zao, Masha akashinda bila kutumia influence ya "Waziri wa Zamani" ?

      Sio tunaona oligarchy inachanua kwa kutumia shortcat utafikiri Putin's Russia hapa halafu tukae kimya. Mara Kingunge ambaye hana historia wala uzoefu wa kuendesha kituo cha daladala anapewa Dar Bus terminal, Mara Marsha ambaye hana uzoefu wa kusomba taka- wait a minute- Masha na kusomba taka? Hili si deal la mshkaji wake William Malecela jamani? Maana William Malecela ndiye mwenye uzoefu na kazi ya kusomba taka, na huyu Swahiba wake mkubwa, wamesuka deal wote hawa au vipi? But that is no crime, let me not digress.

      My point is, was this deal tranparent? Was it adhering the rules of free trade? Or was Masha using his oligarchs passport to gain a shortcut to this business?

      Hujajibu swali.

      Hata kama amepata tenda kwa uzito wa kivuli cha hadhi aliyo kuwa nayo, lakini je, uwezo anao?
      Mwenye uwezo hahitaji kupata tenda kwa uzito wala kivuli cha hadhi aliyowahi kuwa nayo kisiasa. Akishafanya hivyo tu huyu mtu hana uwezo, ametumia "kubebwa" kwa sababu ya jina na connections.

      vinginevyo asingekuwa nao asingekuwa na magari ya kusombea uchafu, angetumia mikokoteni kama wanaofyeka barabara kwa tengo badala ya mashine za grass eater.
      Uwezo ni zaidi ya mitambo. Unaweza kuwa na mitambo ukashindwa kuitumia.

      Masha ameacha shughuli za siasa na kuamua kujiajiri, tumpe moyo kuliko kuipa pesa za walipa kodi kama mawazili walifukuzwa.
      Tatizo lako unaangalia graft - kuiba pesa za walipa kodi- katika upana mdogo.

      Lazima nchi iheshimu business culture, fairness, free trade ili nchi ipate maendeleo katika biashara.

      Sasa kama Masha hawezi kututhibitishia kwamba hakutumia influence vibaya katika kupata biashara hii anakuwa hana tofauti na yule anayeiba pesa za walipa kodi.kwa sababu anaweza kuwa si mtu halisi anayeweza kuifanya biashara hii kwa ufanisi kabisa, anaweza kuwa anawagharimu walipa kodi hao hao hela nyingi zaidi ya yule anayeiba fedha za walipa kodi moja kwa moja.

      Lazima tuyaangalie mambo kwa undani zaidi ya kushabikia tu "Masha anafanya biashara badala ya siasa, therefore tumpe moyo" tumpe moyo bila kujua biashara kaipata vipi? ili iweje?
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    3. #62
      Nyani Ngabu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,521
      Rep Power : 0
      Likes Received
      9766
      Likes Given
      696

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Kiranga View Post
      Masha anaweza kuthibitisha kwamba kapata hii biashara bila ya kutumia influence yake ya "Waziri wa zamani" ?

      Hii kazi inaendaje? Analipwa na nani? Ilitakiwa kutangazwa tenda? Kama ilitakiwa ilitangazwa?
      Sasa hayo maswali Masha ndiyo anatakiwa kuyajibu....au?

    4. #63
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,712
      Rep Power : 15286
      Likes Received
      3768
      Likes Given
      2906

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Kiranga View Post
      Completely off topic. Swali halikuwa kwamba Masha si raia, wala Masha hana haki ya kupata tenda. Swali lilikuwa kwamba anaweza kuuthibitishia umma kwamba hakutumia influence yake kama Waziri wa Zamani kupata biashara hii? Mpaka hapa hujajibu swali.


      Hili hapa hata sijui linahusikaje katika mjadala. Mjadala ulioibuliwa na post uliyoinukuu si kwamba Masha analipwa au halipwi. Bali kama anaweza kuithibitishia jamii kwamba hakutumia influence yake kama Waziri wa Zamani vibaya.



      Kwamba watu wana uwezo au hawana uwezo kwa kiasi gani huwezi kujua mpaka utangaze tenda. All the more reason vitu vifanywe kwa kutumia tenda iliyo wazi.



      Tatizo mpaka sasa hujajibu swali langu, kwamba biashara hii ilikuwa na tenda iliyotangazwa peupe na watu wakapata nafasi ya kushindanisha proposals zao, Masha akashinda bila kutumia influence ya "Waziri wa Zamani" ?

      Sio tunaona oligarchy inachanua kwa kutumia shortcat utafikiri Putin's Russia hapa halafu tukae kimya. Mara Kingunge ambaye hana historia wala uzoefu wa kuendesha kituo cha daladala anapewa Dar Bus terminal, Mara Marsha ambaye hana uzoefu wa kusomba taka- wait a minute- Masha na kusomba taka? Hili si deal la mshkaji wake William Malecela jamani? Maana William Malecela ndiye mwenye uzoefu na kazi ya kusomba taka, na huyu Swahiba wake mkubwa, wamesuka deal wote hawa au vipi? But that is no crime, let me not digress.

      My point is, was this deal tranparent? Was it adhering the rules of free trade? Or was Masha using his oligarchs passport to gain a shortcut to this business?

      Hujajibu swali.



      Mwenye uwezo hahitaji kupata tenda kwa uzito wala kivuli cha hadhi aliyowahi kuwa nayo kisiasa. Akishafanya hivyo tu huyu mtu hana uwezo, ametumia "kubebwa" kwa sababu ya jina na connections.



      Uwezo ni zaidi ya mitambo. Unaweza kuwa na mitambo ukashindwa kuitumia.



      Tatizo lako unaangalia graft - kuiba pesa za walipa kodi- katika upana mdogo.

      Lazima nchi iheshimu business culture, fairness, free trade ili nchi ipate maendeleo katika biashara.

      Sasa kama Masha hawezi kututhibitishia kwamba hakutumia influence vibaya katika kupata biashara hii anakuwa hana tofauti na yule anayeiba pesa za walipa kodi.kwa sababu anaweza kuwa si mtu halisi anayeweza kuifanya biashara hii kwa ufanisi kabisa, anaweza kuwa anawagharimu walipa kodi hao hao hela nyingi zaidi ya yule anayeiba fedha za walipa kodi moja kwa moja.

      Lazima tuyaangalie mambo kwa undani zaidi ya kushabikia tu "Masha anafanya biashara badala ya siasa, therefore tumpe moyo" tumpe moyo bila kujua biashara kaipata vipi? ili iweje?
      Pole sana, kiwango chako cha kujibu hoja bado kinahitaji ile inaitwa back to school. Kujibu hoja mstari kwa mstari au sentensi kwa sentensi hutumika kwa watafsiri wa lugha mikutanoni au kwa kumtafsiria mtu maana ya kilichozungumzwa na mtu ambaye hatumii lugha iliyotumiwa na mzungumzaji.

      Unapowasilisha ujumbe iwe mwasilishaji au wanaojibu kuna mengi yanayoongelewa kujenga dhamira au kuleta ufafanuzi, mifano au kuleta ufafanuzi wa falsafa husika. Kama umesoma fasihi ya kiswahili unaelewa naongelea nini. Ukianza kujibu mstari kwa mstari wengi hapa wanajibu mengi kinyume cha unavyotegemea naona itakuchosha sana.

      Swali lako limejibika kwamba Masha kama raia mwenye haki za kiraia ana haki ya kupata tenda. Kwa msisitizo zaidi Masha ametuonyesha mfano wa ujasirimali kwani kutoka siasa na kuingia kwenye ujasirimali ambao wasomi wanaukimbia kwa kutaka njia za mkato amefanikiwa, na wengi tujifunze toka kwake.

      Mradi alio nao kwa vile ni huduma ya umma kuna utaratibu wa tenda, kama una shaka kama alipata tenda kwa njia ya mlango wa nyuma, jaribu kwenda kwa wahusika watakusaidia kupata majibu sahihi na hapo utakuwa umejibiwa sawia na utatuletea hapa majibu yake. Mambo mengine unatakiwa uyafanyie utafiti kwanza badala ya kutuletea kitu ambacho unataka sisi wasomaji tukufanyie utafiti wakati we ndiye mwenye njaa ya kutaka kujua?
      • Umeshaenda maeneo anayosomba uchafu na kukutana na mamlaka husika kuuliza kama tenda aliipata kwa mlango wa nyuma au kwa kupambanishwa na wengine?
      • Umeona kuna anayelalamika kwamba hakutendewa haki kukataliwa tenda na hivyo tenda hiyo wakai-wave kwa Masha?

      Fanya utafiti huo kisha rudi utuletee majibu tuyajadili, hapo utakuwa umefanya jambo lenye bongo la kweli.

      Siasa si chuki, kama Masha alishindwa Kule Nyamagana ubunge, haina maana maisha yamemshinda. Wengine tunafikiri kama alishindwa ubunge basi maisha yameshamshinda, la hasha, Masha katembea, kabadilika kimtazamo na ubunifu. Hapa hata mie nimejifunza kitu muhimu toka kwake, kwani katulia tulii na miradi yake, ameona siasa mchezo mchafu unaweza kukuharibia hata future yako. Hongera Masha.

    5. #64
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,515
      Rep Power : 41652
      Likes Received
      6283
      Likes Given
      1089

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Nyani Ngabu View Post
      Sasa hayo maswali Masha ndiyo anatakiwa kuyajibu....au?
      Haya maswali yameletwa hapa kuwaonyesha watu kwamba tabia ya kupigia vigelegele ngoma wasiyoijua si nzuri. Kwamba hili swala zima lina utatanishi mwingi ambao mtu mwenye kufikiri kwa kina hawezi kusheherekea kirahisi rahisi Masha kuibuka na biashara bila uhakika wa kanuni za biashara huru kuzingatiwa, hususan kwa sababu rekodi ya uongozi na biashara nchini mwetu si nzuri kutuhakikishia kwamba tunaweza kuamini tu maswala yameenda murua.

      Hayo maswali Masha angeyajibu ingekuwa swafi kabisa katika kuweka rekodi vizuri. Lakini zaidi ya hapo yanaibua mjadala wa kufikiria vitu kwa kina zaidi na kutoridhika kirahisi.

      Mie mwenyewe nasema kila siku kwamba tunahitaji viongozi wenye fikra za kibiashara. Kwamba siku hizi mpaka diplomasia inabeba biashara. Kwa hiyo kama nitahakikishiwa kwamba Masha kazingatia misingi ya biashara huru, nitasema huyu ni mtu wa kupigiwa mfano. Sio tu anafanya biashara, anafanya biashara inayotatua tatizo la kweli tulilo nalo. Na kaonyesha kwamba kufanya kazi si lazima uwe mwanasiasa.

      Ninawasifu Wakenya, pamoja na matatizo yao yote, wao walianza kuchanganya uongozi na biashara siku nyingi. Bila mtu kuwa mfanyabiashara mashuhuri unaonekana hata uongozi huwezi. Kenyatta kashawahi kumuumbua Waziri wake waziwazi kwenye hotuba, with his typical Kenyatta tacky boastfulness, kwamba Waziri mbona hata kishamba cha chai tu huna? So I am far from being anti-business.Especially now that Masha is no longer in governmental leadership. Lakini lazima tuweke standards za juu ili hawa viongozi wetu wasitumie influence vibaya.
      Last edited by Kiranga; 13th June 2012 at 02:50.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    6. #65
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,712
      Rep Power : 15286
      Likes Received
      3768
      Likes Given
      2906

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Kiranga View Post
      Haya maswali yameletwa hapa kuwaonyesha watu kwamba tabia ya kupigia vigelegele ngoma wasiyoijua si nzuri. Kwamba hili swala zima lina utatanishi mwingi ambao mtu mwenye kufikiri kwa kina hawezi kusheherekea kirahisi rahisi Masha kuibuka na biashara bila uhakika wa kanuni za biashara huru kuzingatiwa, hususan kwa sababu rekodi ya uongozi na biashara nchini mwetu si nzuri kutuhakikishia kwamba tunaweza kuamini tu maswala yameenda murua.

      Hayo maswali Masha angeyajibu ingekuwa swafi kabisa katika kuweka rekodi vizuri. Lakini zaidi ya hapo yanaibua mjadala wa kufikiria vitu kwa kina zaidi na kutoridhika kirahisi.

      Mie mwenyewe nasema kila siku kwamba tunahitaji viongozi wenye fikra za kibiashara. Kwamba siku hizi mpaka diplomasia inabeba biashara. Kwa hiyo kama nitahakikishiwa kwamba Masha kazingatia misingi ya biashara huru, nitasema huyu ni mtu wa kupigiwa mfano. Sio tu anafanya biashara, anafanya biashara inayotatua tatizo la kweli tulilo nalo. Na kaonyesha kwamba kufanya kazi si lazima uwe mwanasiasa.

      Ninawasifu Wakenya, pamoja na matatizo yao yote, wao walianza kuchanganya uongozi na biashara siku nyingi. Bila mtu kuwa mfanyabiashara mashuhuri unaonekana hata uongozi huwezi. Kenyatta kashawahi kumuumbua Waziri wake waziwazi kwenye hotuba, with his typical Kenyatta tacky boastfulness, kwamba Waziri mbona hata kishamba cha chai tu huna? So I am far from being anti-business.Especially now that Masha is no longer in governmental leadership. Lakini lazima tuweke standards za juu ili hawa viongozi wetu wasitumie influence vibaya.

      Lakini hapo hapo
      Watanzania wengi tumefikia kiongozi wa umma akishajenga nyumba tu ni fisadi. Kama alishashika madaraka fulani serikalini mafanikio yo yote watamwona ametumia mlango wa nyuma kufanikisha. Jamani, tuwe na upeo wa kuchambua. Sijaona lalamiko lo lote kwa ye yote ambaye anasema alinyimwa tenda na Masha kapewa. Tenda hizi hutangazwa, na mwenye kufikia vigezo atapata. Sisi tunataka mwenye tengo ndiye apate tenda ya kufyeka barabara na mwenye trekta la eat grass anyimwe tena, matokea mwaka mzima anafyeka km 10 wakati ana tenda ya kufyaka km 200, hapo ndio waswahili tumezoea.


    7. #66
      Nyani Ngabu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,521
      Rep Power : 0
      Likes Received
      9766
      Likes Given
      696

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Candid Scope View Post
      Watanzania wengi tumefikia kiongozi wa umma akishajenga nyumba tu ni fisadi. Kama alishashika madaraka fulani serikalini mafanikio yo yote watamwona ametumia mlango wa nyuma kufanikisha. Jamani, tuwe na upeo wa kuchambua. Sijaona lalamiko lo lote kwa ye yote ambaye anasema alinyimwa tenda na Masha kapewa. Tenda hizi hutangazwa, na mwenye kufikia vigezo atapata. Sisi tunataka mwenye tengo ndiye apate tenda ya kufyeka barabara na mwenye trekta la eat grass anyimwe tena, matokea mwaka mzima anafyeka km 10 wakati ana tenda ya kufyaka km 200, hapo ndio waswahili tumezoea.
      Kwa hiyo unachosema ni kwamba kuna ubaya kuhoji kama taratibu zote zilifuatwa ama?
      Kiranga likes this.

    8. #67
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,515
      Rep Power : 41652
      Likes Received
      6283
      Likes Given
      1089

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Candid Scope View Post
      Pole sana, kiwango chako cha kujibu hoja bado kinahitaji ile inaitwa back to school. Kujibu hoja mstari kwa mstari au sentensi kwa sentensi hutumika kwa watafsiri wa lugha mikutanoni au kwa kumtafsiria mtu maana ya kilichozungumzwa na mtu ambaye hatumii lugha iliyotumiwa na mzungumzaji.
      Very mechanical thinking.

      Wewe inaonekana unakariri a la "rote learning". Nani kakwambia hayo? Nani anaweza kuipinga signature style yangu ya "toe to toe"? Mimi naweza kukwambia anayejibu kwa mpigo anaweza kuruka kitu au kukwepa, anayeenda kipengeie kwa kipengele anahakikisha na cover kila kitu. Ndicho ninachofanya hapa.

      Sema tu huna umakini wala fortitude ya kujibu kipengele kwa kipengele, na hivyo nina ku frustrate kiasi cha kusema "sizitaki mbichi hizi".

      Halafu kuhusu kwenda "back to school" wajanja wote wanajua hilo ndilo jambo la muhimu. Mie kila siku naenda back to school, tena nimeihamishia school nyumbani hapa juzi kaja profesa mmoja hapa anasema "you have a small college's library in here, I carried books to read but I will not need them because you have so many wonderful books". Kwa hiyo mie back to school kila siku, si kitu cha kuniambia. Kama wewe huendi back to school on the regular imekula kwako kwani elimu haina mwisho.

      Unapowasilisha ujumbe iwe mwasilishaji au wanaojibu kuna mengi yanayoongelewa kujenga dhamira au kuleta ufafanuzi, mifano au kuleta ufafanuzi wa falsafa husika. Kama umesoma fasihi ya kiswahili unaelewa naongelea nini. Ukianza kujibu mstari kwa mstari wengi hapa wanajibu mengi kinyume cha unavyotegemea naona itakuchosha sana.
      Hapa una force king. Hata hao watu wa fasihi wanatofautiana, wengine wanasema mashairi lazima yawe na vina na mizani, wengine wanasema si lazima. Sasa wewe sheria zako za wapi hizo zinazosema siwezi kutumia signature style yangu ya toe to toe kama Chama na Mogella?

      Swali lako limejibika kwamba Masha kama raia mwenye haki za kiraia ana haki ya kupata tenda.
      Ama u mgumu wa kuelewa au mbishi kama mshipa, nimekuambia swali si kwamba Masha ana haki ya kupata tenda. tena unakosea unaposema kupata tenda ni haki ya kiraia kwa sababu anaweza kuja mwekezaji wa nje ambaye si raia akapata tenda vile vile.

      Talk about going back to school. It seems you also need to go back to school kujua "haki za kiraia" ni nini.

      Kwa msisitizo zaidi Masha ametuonyesha mfano wa ujasirimali kwani kutoka siasa na kuingia kwenye ujasirimali ambao wasomi wanaukimbia kwa kutaka njia za mkato amefanikiwa, na wengi tujifunze toka kwake.
      Nimeongea kuhusu umuhimu wa culture ya biashara hapo juu. Sipingi culture ya biashara. Ninachofanya hapa ni kupalilia culture ya biashara yenye standards za juu zaidi.

      Wewe unayekandia "njia za mkato" hujatuonyesha kwamba kwa Masha hii si njia ya mkato. Hujatuonyesha kwamba kulikuwa na open tender. Hujatuonyesha kwamba Masha hakutumia influence yake kupata biashara kinyume cha taratibu. Unaposema kwamba hutaki njia za mkato wakati unayemtetea, kwa culture ya biashara ya Tanzania, anaweza kuwa amepata biashara kwa njia ya mkato, nashindwa kukuchukulia seriously.

      Mradi alio nao kwa vile ni huduma ya umma kuna utaratibu wa tenda, kama una shaka kama alipata tenda kwa njia ya mlango wa nyuma, jaribu kwenda kwa wahusika watakusaidia kupata majibu sahihi na hapo utakuwa umejibiwa sawia na utatuletea hapa majibu yake.


      Basically ulichosema hapa ni kwamba huna jibu.Hujui kitu. Kama hujui kitu kaa kimya, waache wanaojua wajibu.

      Mambo mengine unatakiwa uyafanyie utafiti kwanza badala ya kutuletea kitu ambacho unataka sisi wasomaji tukufanyie utafiti wakati we ndiye mwenye njaa ya kutaka kujua?
      Hakuna aliyekutaka kufanya utafiti. Utafiti unaujua hata mwanzo wake wewe? Hii forum ina watu wengi, wa kila rika, kutoka kila kona ya nchi wenye access na info tofauti.

      Last time I checked, kuuliza swali si kosa. Mie sijatoa hata statement hapa kusema Masha kapata biashara kinyume na tenda. Nimeuliza swali. Huna jibu kaa kimya. Una jibu lilete. Unataka libeneke, lilete. Wewe naona katika makundi haya unaangukia kwenye libeneke, maana huna jibu halafu unataka kuleta longolongo nyingi.

      • Umeshaenda maeneo anayosomba uchafu na kukutana na mamlaka husika kuuliza kama tenda aliipata kwa mlango wa nyuma au kwa kupambanishwa na wengine?
      • Umeona kuna anayelalamika kwamba hakutendewa haki kukataliwa tenda na hivyo tenda hiyo wakai-wave kwa Masha?


      Sihitaji kufanya lolote kati ya hayo kuwaonyesha cheerleaders wanaomshangilia Masha kwamba ni mfano kuwa hatuwezi kupiga makofi wakati hatujui deal limefikwaje.


      Fanya utafiti huo kisha rudi utuletee majibu tuyajadili, hapo utakuwa umefanya jambo lenye bongo la kweli.
      Hata ukiwekewa sinia la utafiti unaonukia chini ya pua zako huwezi kuujua wewe.

      Siasa si chuki,
      Ni tabia ya waliokosa hoja wakibanwa kukimbilia kutaja chuki. Mie nina chuki na nani wakati nakula bata zangu viwanja? Huyo Masha atanizuia nini mambo yangu mpaka niwe na chuki naye?

      kama Masha alishindwa Kule Nyamagana ubunge, haina maana maisha yamemshinda.
      Hapa ndipo unajionyesha kabisa kwamba bingwa wa tangential wandering, nani kasema Masha maisha yamemshinda?

      Wengine tunafikiri kama alishindwa ubunge basi maisha yameshamshinda,
      Unaposema "wengine tunafikiri" umejiweka wewe na wenzako, wewe na nani mnafikiri hivyo?

      la hasha,
      Stick to one thing already, mara wengine tunafikiri, mara la hasha. Which is which?

      Masha katembea,

      Kutembea si hoja, Hata Wiliam MAlecela katembea na probably kaka viwanja kuliko most of us since yeye mkubwa halafu kakanyaga viwanja na meli enzi hizo, lakini angalia uozo unaomtoka hata wadogo zangu wa Mkuranga ambao meli sanasana wanapanda kwenda Mafia, na ndege ndio sahau, wamemzidi kipimo kwa fikra. Kwa hiyo kutembea si tija kama akili haijatulia.

      kabadilika kimtazamo na ubunifu.
      Wewe unamjua Masha personally?

      Hapa hata mie nimejifunza kitu muhimu toka kwake, kwani katulia tulii na miradi yake, ameona siasa mchezo mchafu unaweza kukuharibia hata future yako. Hongera Masha.
      Kama hilo ndilo unaona la kujifunza basi una mengi saaana ya kujifunza, na pengine ndio maana huwezi kuelewa this "Securities and Exchange Commission" level of scrutiny I am bringing down here.

      We have a long way to go kama hawa ndio vijana wenyewe wanaotegemewa kuleta mabadiliko nchini. Hata kimawazo tu hawajachamgamka bado.
      Last edited by Kiranga; 13th June 2012 at 02:56.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    9. #68
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,712
      Rep Power : 15286
      Likes Received
      3768
      Likes Given
      2906

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Kiranga View Post
      Very mechanical thinking.

      Wewe inaonekana unakariri a la "rote learning". Nani kakwambia hayo? Nani anaweza kuipinga signature style yangu ya "toe to toe"? Mimi naweza kukwambia anayejibu kwa mpigo anaweza kuruka kitu au kukwepa, anayeenda kipengeie kwa kipengele anahakikisha na cover kila kitu. Ndicho ninachofanya hapa.

      Sema tu huna umakini wala fortitude ya kujibu kipengele kwa kipengele, na hivyo nina ku frustrate kiasi cha kusema "sizitaki mbichi hizi".

      Halafu kuhusu kwenda "back to school" wajanja wote wanajua hilo ndilo jambo la muhimu. Mie kila siku naenda back to school, tena nimeihamishia school nyumbani hapa juzi kaja profesa mmoja hapa anasema "you have a small college's library in here, I carried books to read but I will not need them because you have so many wonderful books". Kwa hiyo mie back to school kila siku, si kitu cha kuniambia. Kama wewe huendi back to school on the regular imekula kwako kwani elimu haina mwisho.



      Hapa una force king. Hata hao watu wa fasihi wanatofautiana, wengine wanasema mashairi lazima yawe na vina na mizani, wengine wanasema si lazima. Sasa wewe sheria zako za wapi hizo zinazosema siwezi kutumia signature style yangu ya toe to toe kama Chama na Mogella?



      Ama u mgumu wa kuelewa au mbishi kama mshipa, nimekuambia swali si kwamba Masha ana haki ya kupata tenda. tena unakosea unaposema kupata tenda ni haki ya kiraia kwa sababu anaweza kuja mwekezaji wa nje ambaye si raia akapata tenda vile vile.

      Talk about going back to school. It seems you also need to go back to school kujua "haki za kiraia" ni nini.



      Nimeongea kuhusu umuhimu wa culture ya biashara hapo juu. Sipingi culture ya biashara. Ninachofanya hapa ni kupalilia culture ya biashara yenye standards za juu zaidi.

      Wewe unayekandia "njia za mkato" hujatuonyesha kwamba kwa Masha hii si njia ya mkato. Hujatuonyesha kwamba kulikuwa na open tender. Hujatuonyesha kwamba Masha hakutumia influence yake kupata biashara kinyume cha taratibu. Unaposema kwamba hutaki njia za mkato wakati unayemtetea, kwa culture ya biashara ya Tanzania, anaweza kuwa amepata biashara kwa njia ya mkato, nashindwa kukuchukulia seriously.



      Basically ulichosema hapa ni kwamba huna jibu.Hujui kitu. Kama hujui kitu kaa kimya, waache wanaojua wajibu.



      Hakuna aliyekutaka kufanya utafiti. Utafiti unaujua hata mwanzo wake wewe? Hii forum ina watu wengi, wa kila rika, kutoka kila kona ya nchi wenye access na info tofauti.

      Last time I checked, kuuliza swali si kosa. Mie sijatoa hata statement hapa kusema Masha kapata biashara kinyume na tenda. Nimeuliza swali. Huna jibu kaa kimya. Una jibu lilete. Unataka libeneke, lilete. Wewe naona katika makundi haya unaangukia kwenye libeneke, maana huna jibu halafu unataka kuleta longolongo nyingi.

      Sihitaji kufanya lolote kati ya hayo kuwaonyesha cheerleaders wanaomshangilia Masha kwamba ni mfano kuwa hatuwezi kupiga makofi wakati hatujui deal limefikwaje.



      Hata ukiwekewa sinia la utafiti unaonukia chini ya pua zako huwezi kuujua wewe.



      Ni tabia ya waliokosa hoja wakibanwa kukimbilia kutaja chuki. Mie nina chuki na nani wakati nakula bata zangu viwanja? Huyo Masha atanizuia nini mambo yangu mpaka niwe na chuki naye?



      Hapa ndipo unajionyesha kabisa kwamba bingwa wa tangential wandering, nani kasema Masha maisha yamemshinda?



      Unaposema "wengine tunafikiri" umejiweka wewe na wenzako, wewe na nani mnafikiri hivyo?



      Stick to one thing already, mara wengine tunafikiri, mara la hasha. Which is which?


      Kutembea si hoja, Hata Wiliam MAlecela katembea na probably kaka viwanja kuliko most of us since yeye mkubwa halafu kakanyaga viwanja na meli enzi hizo, lakini angalia uozo unaomtoka hata wadogo zangu wa Mkuranga ambao meli sanasana wanapanda kwenda Mafia, na ndege ndio sahau, wamemzidi kipimo kwa fikra. Kwa hiyo kutembea si tija kama akili haijatulia.



      Wewe unamjua Masha personally?



      Kama hilo ndilo unaona la kujifunza basi una mengi saaana ya kujifunza, na pengine ndio maana huwezi kuelewa this "Securities and Exchange Commission" level of scrutiny I am bringing down here.

      We have a long way to go kama hawa ndio vijana wenyewe wanaotegemewa kuleta mabadiliko nchini. Hata kimawazo tu hawajachamgamka bado.
      Can you sum up your list? You are very interesting guy. Let me get you to know you better. Hahahahaha.William Malecela hapa anahusika vipi kama huchanganyi sukari na mchanga?

      Kama una vitabu na kila kitabu utakipitia mstari kwa mstari bila kusoma mwandishi wa kitabu ana maudhui gani itakuwa ni sawa na kulima migunda ambayo ni mlima mzima utavunia kwenye bakuli tofauti na mwenzako mwenye kulima kwa kilimo cha kisasa ambaye ekari moja tu itajaza ghala.

      Vigumu kumwelimisha anayejiona kaelimika, bora mwache na
      cub yake na sisi wengine tujifunze kutokana na yatokanayo. Stay blessed.

      Wasomi tuwe tayari kuchimba mitaro kuongoza maji yasiharibu barabara badala ya kufikiria viyoyozini ndiko kwenye kujenga nchi, nani sasa asafishe mitaro wakati maji ndo yanazidi kutuzingira hakuna pa kutokea.

      Ukweli unauma jamani, lakini hatuwezi kuukwepa kwani kila tuendako utatufuata tu na ipo siku kuukwepa itashindikana hadi utakapotuumbua.

    10. #69
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,215
      Rep Power : 12282
      Likes Received
      6067
      Likes Given
      6932

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      I think some of us decided to be emotional na kusahau mleta hoja

      mleta hoja anasema sikio la kufa.... to me this was a person lost in traslation,
      Candid Scope likes this.
      ....Time is the wisest counselor !!!

    11. #70
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,515
      Rep Power : 41652
      Likes Received
      6283
      Likes Given
      1089

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By Candid Scope View Post
      Can you sum up your list? You are very interesting guy. Let me get you to know you better. Hahahahaha.
      I don't to lists, I elucidate and separate the English from the Dutch.

      Let me get you to know you better? What are you smoking son?

      William Malecela hapa anahusika vipi kama huchanganyi sukari na mchanga?
      Read. I am connecting the dots and drawing possible relationships. William Malecela na Lawrence Masha ni marafiki waliokuwa pamoja NY for the longest, William Malecela amefanya kazi ya kuzoa taka NY for the longest, it is not unfathomable to passingly entertain the likelihood of a Malecela connection somewhere here.So this is not exactly sukari and mchanga if one is in the know.Tatizo you are not.

      Kama una vitabu na kila kitabu utakipitia mstari kwa mstari bila kusoma mwandishi wa kitabu ana maudhui gani itakuwa ni sawa na kulima migunda ambayo ni mlima mzima utavunia kwenye bakuli tofauti na mwenzako mwenye kulima kwa kilimo cha kisasa ambaye ekari moja tu itajaza ghala.
      You confess your penchant for skimming, no wonder.

      Vigumu kumwelimisha anayejiona kaelimika, bora mwache na cub yake na sisi wengine tujifunze kutokana na yatokanayo.


      Mie sijaelimika ndiyo maana nishakwambia kila siku naenda back to school. Wewe uliyeniambia niende back to school labda ndiye unajiona umeelimika.

      Stay blessed.
      I can cut through the left handed blessing like a neutrino through a pound of Swiss cheese.

      Wasomi tuwe tayari kuchimba mitaro kuongoza maji yasiharibu barabara badala ya kufikiria viyoyozini ndiko kwenye kujenga nchi, nani sasa asafishe mitaro wakati maji ndo yanazidi kutuzingira hakuna pa kutokea.
      Ungesoma post yangu ya kwanza kabisa katika thread hii ungeona hakuna haja ya kurudia kuniambia kitu ambacho nishakisema mwanzo kabla yako. Umekurupuka.

      Ukweli unauma jamani, lakini hatuwezi kuukwepa kwani kila tuendako utatufuata tu na ipo siku kuukwepa itashindikana hadi utakapotuumbua.
      ukweli gani? Ukweli kwamba Masha hayuko above the rules of fair trade? Kwamba mnapotaka tuimbe chorus ya kumtukuza Masha kama mtu wa kupigiwa mfano tukianza kuwauliza kama kulikuwa na a fair tender that was open to the public, na iliyomtaka asifanye influence peddling, mnashindwa kutuonyesha hivyo?

      Ndio ukweli huo unaouma?

      Au unaongelea ukweli gani zaidi?

      Ukweli ninaouona hapa ni kwamba swali langu la kuhusu uwazi wa hili deal halijajibiwa.

      Naona ukweli huu ndio unaokuuma kwa sababu bado hujaweza kuja na hoja za kuupangua zaidi ya kupiga talalila zisizo kichwa wala mguu.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    12. #71
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,515
      Rep Power : 41652
      Likes Received
      6283
      Likes Given
      1089

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Nyani Ngabu summed it up succinctly.

      Kwa hiyo unachosema ni kwamba kuna ubaya kuhoji kama taratibu zote zilifuatwa ama?
      Hajajibiwa. Maswali mepesi na yasiyo na somersaults za Kiranga yana uwezo mkubwa sana wa kuonyesha mchele uko wapi na chuya ziko wapi.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    13. #72
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,520
      Rep Power : 1128
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1065

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      upelelezi kwa tanzania???? sikweli ni iliyo patupu kabisa hakuna mashushu ni uhuni tu itaingiaje ndege ya kijeshi ichukue wanyama bila wao kujua? mashushu njaa hao hawana jipya. na masha ndio thawabu ya malipo ya duniani hapa kabla ya mbinguni

    14. #73
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By TIMING View Post
      ni kweli mkuu, lakini ina maana hujui ujamaa ulikufa na babake??

      My bro, i tried kulima na watu nilikoma.... net profit ilikua zero.... i bough machines, i picked three committed kids, one with good education, i had 300% profit.... utaniambia nirudi kule kwa jamaa mnagawana kazi halafu kila siku yuko msibani huku kazi zimelala??

      Tutawachukia sana wanaomodernize business, halafu badae tutawalamba miguu

      sipendi mafisadi lakini namheshimu sana entrepreneur
      point TAKEN.........

    15. #74
      Kashaijabutege's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th October 2010
      Location : Kabuteigi
      Posts : 1,953
      Rep Power : 834
      Likes Received
      382
      Likes Given
      241

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Masha hana njaa hata kidogo. He is well educated and coming from a well doing family. Kuzoa taka ni kazi inayoweza kulipa vizuri kuliko hata uwaziri.
      NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA

    16. #75
      Nono's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2008
      Location : Bulyanhulu
      Posts : 970
      Rep Power : 774
      Likes Received
      107
      Likes Given
      63

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Nampongeza Lau kwa kuanzisha kampuni hii muhimu sana hapa bongo. Laiti angekuwa alianzisha hata kabla ya kuupata huo ubunge na uwaziri kwani usafi wa jiji letu ungeweza kuwa bora kuliko ilivyo leo. Uchafu na matumizi mabaya ya mazingira imekuwa ker kubwa sana Dar. Ustaarabu hakuna kabisa watu wanatupa taka hovyo tu kutokea kila mahali. Elimu na sheria ndogondogo zinatakiwa kusisitizwa ili siku moja nasi tuwe na miji misafi.

      Hongera Masha!

    17. #76
      tindikalikali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,115
      Rep Power : 1225
      Likes Received
      400
      Likes Given
      89

      Default

      Quote By UKI View Post
      Maisha ni safari kuna kupanda na kushuka.
      yameshuka kivipi?

    18. #77
      EmeraldEme's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th March 2012
      Posts : 116
      Rep Power : 390
      Likes Received
      19
      Likes Given
      38

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Let's discuss issues and not people.

      Masha kukusanya taka from kuwa waziri ni immaterial, he is a lawyer (An Advocate of the High Court and courts subordinate thereto save for Primary Court)...Just for the record.

      Being an ex member of the Parliament does not disqualify him from doing other works, let him struggle for his life.

      Anavyozoa taka taka huko mjini huwa anatukana watu? Anaiba mali za watu? Jibu ni hapana. Anavyoshinda Rose garden, anaomba beer kwa watu? jibu ni hapana, haombi ombi beer, that means maisha yake yanaendelea kama ilivyokua zamani.

      Fact kuwa anazoa taka taka, any1 can do that,na havunji sheria za nchi, anazoa Yes, na nimesikia kaleta magari ya kisasa, mtu akifanya jambo zuri tusimkosoe, panapofaa sifa tumpe. Au mlipenda msikie kuwa sasa hivi hali yake ni mbaya kiuchumi ili muanze kusema kuwa kafulia? Wonders will never seize to amaze!!!!!

      Kwa hiyo tuache majungu, tuongee vitu vya maana.
      ''If you don't stand for something you will fall for anything" -Malcolm X

    19. #78
      Sajenti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Posts : 3,564
      Rep Power : 1351
      Likes Received
      309
      Likes Given
      95

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      Quote By UKI View Post
      Maisha ni safari kuna kupanda na kushuka.
      ...mbona ni mradi wa kawaida tu huo. Kwani ukishakuwa waziri unakuwa umekamilisha kila tarajio lako katika maisha?......Lau we zoa taka bhana kama chapaa inaingia chapa mwendo!!
      To get something you never had, you need to do something you never did

    20. #79
      sambestman's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 38
      Rep Power : 384
      Likes Received
      16
      Likes Given
      2

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      anadanganya uma ubunge alikuwa anautaka sana ndo maana hakukabidhi ofc kizalendo....what happened ni kwamba aliondolewa na peoplezzzzzzzzzzzzzz poweeeeeeeeeeeeeeeeeer chezea Chadema???

    21. #80
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,897
      Rep Power : 948
      Likes Received
      473
      Likes Given
      440

      Default Re: Lawrence Masha: Kutoka Uwaziri hadi kukusanya takataka Dar

      mmmhhh,kazi ipo!

    Page 4 of 9 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...