Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA ondoeni aibu

    Report Post
    Page 3 of 3 FirstFirst 123
    Results 41 to 55 of 55
    1. #1
      MAFILILI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2011
      Posts : 1,417
      Rep Power : 451
      Likes Received
      296
      Likes Given
      60

      Default CHADEMA ondoeni aibu

      Chama ambacho kinashika namba 2 kwa kupata ruzuku, kimeshindwa kupata ofisi yenye hadhi katika manispaa ya Temeke. Ofisi ya wilaya ni fedheha tupu ipo mkabala na Kisuma Bar Mwenbe Yanga hivyo inakuwa ni kero kwa wanachama kutembelea ofisi.
      CHADEMA badilikeni!! Ruzuku mnapata, mnamalizia katika maandamano??
      TIMING and Kibada like this.

    2. Miaka 50

    3. #41
      Sir R's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2009
      Location : Moshi
      Posts : 1,139
      Rep Power : 714
      Likes Received
      99
      Likes Given
      24

      Default Re: CHADEMA ondoeni aibu

      Kuwa na ofisi nzuri kunasaidia nini katika kuletea mabadiliko. CCM wana ofisi kila mkoa lakini ufisadi ndio wanaongoza.

    4. #42
      Suzie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Posts : 1,085
      Rep Power : 0
      Likes Received
      339
      Likes Given
      309

      Default

      Quote By Tume ya katiba
      SABODO, alituahidi na tuna uhakika hatatuangusha!
      Hayakuhusu ondoa ukuda

    5. #43
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By BMT
      hakuna cha upinzani hapa tanzania wote wahemea matumbo na kuropoka tu majukwaani,,hao ndo wanataka kutawala kwl?miaka 20 si kidogo mjipange mnatia aibu!!HARAFU HAPA JF KUNA WATU SIJUI WAKOJE YAANI IKITOKEA UKAIKOSOA CDM UNAANDAMWA SANA,,HIVI MBOWE NA SLAA WAO NI MALAIKA??CHAMA HAKIWEZI KUJENGWA KWA KUSIFIWA TU BILA KUKOSOLEWA,mtaua chama kwa mtindo huu wa kipuuz na kijinga
      Mbona unatokwa povu bila sababu?
      CCM yenye office imekufanyia nini mpaka sasa?
      Jitahidi kufikiria kabla ya kupost zuzu we.

    6. #44
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By Mzee
      Chadema kimejaa ukiritimba wa hali ya juu. Ruzuku inaishia kugawana posho za maandamano.
      Mazuzu kama nyie ndio mtaji wa CCM,huna lolote zaidi ya kuvizia posho kwa katibu mwenezi wa majungu na kuropoka.

    7. #45
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,558
      Rep Power : 943
      Likes Received
      677
      Likes Given
      131

      Default Re: CHADEMA ondoeni aibu

      Ukifikiri kwa kutumia viungo vya kutolea hewa chafu lazima utoe post za kimbeya na kipuuzi kama hizi.
      Pole, moto ulioanza hauzimiki hata kama ofisi ni za makuti. Kwani TANU walipoanza kudai uhuru mlikuwa na jengo la vijana, na ofisi kila mkoa?

    8. FemaTV & Radio

    9. #46
      mbmb's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Posts : 27
      Rep Power : 365
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By MAFILILI
      Chama ambacho kinashika namba 2 kwa kupata ruzuku, kimeshindwa kupata ofisi yenye hadhi katika manispaa ya Temeke. Ofisi ya wilaya ni fedheha tupu ipo mkabala na Kisuma Bar Mwenbe Yanga hivyo inakuwa ni kero kwa wanachama kutembelea ofisi.
      CHADEMA badilikeni!! Ruzuku mnapata, mnamalizia katika maandamano??
      Mkuu nimekumbuka kumbe ndiyo maana mmeenda Ikulu kujenga historia ambayo haijawahi kutokea. MMEKWENDA KUTAFUTA WATOTO IKULU MAHALI PATAKATIFU? Kweli ukisema ofisi zenye viyoyozi sikushangai. Haijawahi tokea raisi wa nchi akaenda kudu ikulu hadi kupatikana machild poleni

    10. #47
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,836
      Rep Power : 30208
      Likes Received
      4672
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By MAFILILI
      Chama ambacho kinashika namba 2 kwa kupata ruzuku, kimeshindwa kupata ofisi yenye hadhi katika manispaa ya Temeke. Ofisi ya wilaya ni fedheha tupu ipo mkabala na Kisuma Bar Mwenbe Yanga hivyo inakuwa ni kero kwa wanachama kutembelea ofisi.
      CHADEMA badilikeni!! Ruzuku mnapata, mnamalizia katika maandamano??
      Uzuri wa paka sio rangi ya manyoya,ni kukamata panya.Hatuna fedha za kifisadi kama nyinyiem, na kiofs chetu hcho hicho tunapiga kazi

    11. #48
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,507
      Rep Power : 2080
      Likes Received
      1068
      Likes Given
      1569

      Default Re: Chadema ondoeni aibu

      Inahusu????
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    12. #49
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,106
      Rep Power : 14285
      Likes Received
      3990
      Likes Given
      3258

      Default Re: CHADEMA ondoeni aibu

      chademani makamanda viti vya nini?...M4C mwaka itawapa ugonjwa wa moyo..
      genekai likes this.

    13. #50
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,873
      Rep Power : 1690
      Likes Received
      1348
      Likes Given
      277

      Default Re: CHADEMA ondoeni aibu

      mtasema yote lakini 2015 lazima muondoke!

    14. bdo
      #51
      bdo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2006
      Posts : 892
      Rep Power : 886
      Likes Received
      140
      Likes Given
      73

      Default Re: CHADEMA ondoeni aibu

      ofisi ya CDM ipo miyoni mwa wanachama na wanaoipenda nchi ya Tanzania

    15. #52
      mzeelapa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 542
      Rep Power : 557
      Likes Received
      71
      Likes Given
      70

      Default Re: Chadema ondoeni aibu

      "...unajiumauma tu!are real great thinker?kwanini cdm ikikosolewa mnakuwa wakal?watu kama nyie ndo waua chama"

      BMT umesema kweli isitoshe wakishindwa hoja wanatoa matusi!!!

    16. #53
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: CHADEMA ondoeni aibu

      tunakujua filifili wewe zao la mafisadi tuacheni na chadema yetu jiandaeni kuwa chama pinzani 2015 chama cha mafisadi kwisha kazi

    17. #54
      Tangopori's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2012
      Posts : 336
      Rep Power : 421
      Likes Received
      72
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By Tume ya katiba
      SABODO, alituahidi na tuna uhakika hatatuangusha!
      mkuu inaelekea sasa yo seem to move in the right direction

    18. #55
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: CHADEMA ondoeni aibu

      Waache bado wadogo, wakikuwa wataacha!
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    Page 3 of 3 FirstFirst 123

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...