Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kikwete na Mbowe wakutana tena faragha

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 77
    1. #1
      Calipso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2009
      Posts : 285
      Rep Power : 574
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Kikwete na Mbowe wakutana tena faragha

      Jamani kuna nini huko,mbona nimepata hizi tetesi kwa watu wazito au si kweli maana Tz kwa majungu HATARItunaomba wenye data mtupe na sisi habari..
      Lkn napata wasi wasi Mwenyekiti wa CCM na Mwenyekiti wa Chadema kukutana siri mara kwa mara,hizi siri mimi ndio naziogopa,chupu chupu niachane na Cuf na siasa kabisa, wakati Maalim seif na Nyerere walipokutana na halafu akakutana na salmin...
      TUJUZENI WENYE TAARIFA
      IFUNYA likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 880
      Likes Received
      243
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By Calipso
      Jamani kuna nini huko,mbona nimepata hizi tetesi kwa watu wazito au si kweli maana Tz kwa majungu HATARItunaomba wenye data mtupe na sisi habari..
      Lkn napata wasi wasi Mwenyekiti wa CCM na Mwenyekiti wa Chadema kukutana siri mara kwa mara,hizi siri mimi ndio naziogopa,chupu chupu niachane na Cuf na siasa kabisa, wakati Maalim seif na Nyerere walipokutana na halafu akakutana na salmin...
      TUJUZENI WENYE TAARIFA
      Wenye taarifa kamili Kama wapo watakuja kutoa data zao,Ila kwa sasa ziendelee tu kubaki Kama tetesi na tusizipeleke ktk hisia.Nnapita tu hapa_____

    4. BMT
      #3
      BMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 305
      Rep Power : 458
      Likes Received
      32
      Likes Given
      19

      Default Re: Tetesi: Kikwete na mbowe wakutana tena faragha

      hatuna chama cha upinzani hapa tanzania!,wanacheza na jk hawa,atawaliza mpaka mtachoka,

    5. #4
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: Tetesi: Kikwete na mbowe wakutana tena faragha

      ​uwanasisa si uhasama uhasama ni kwa wajinga kama wewe na mkama

    6. #5
      Ngoromiko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2011
      Posts : 452
      Rep Power : 437
      Likes Received
      85
      Likes Given
      114

      Default Re: Tetesi: Kikwete na mbowe wakutana tena faragha

      'Watasusa weee, Watazunguka weee lakini mwishowe watarudi, mimi ndo Rais wao' .... JM Kikwete.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Kaitampunu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : Kwenye Corner
      Posts : 660
      Rep Power : 510
      Likes Received
      137
      Likes Given
      196

      Default Re: Tetesi: Kikwete na mbowe wakutana tena faragha

      Quote By BMT
      hatuna chama cha upinzani hapa tanzania!,wanacheza na jk hawa,atawaliza mpaka mtachoka,
      Mbona keshalizwa yeye kwa wanachama kumkimbia asubuhi na jioni? Kuna kulizwa zaidi huko?

    9. #7
      Calipso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2009
      Posts : 285
      Rep Power : 574
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Tetesi: Kikwete na mbowe wakutana tena faragha

      Quote By andrews
      ​uwanasisa si uhasama uhasama ni kwa wajinga kama wewe na mkama
      Dogo nitake Radhi,sasa matusi ya nini,hizi ni tetesi hebu tuache wenye taarifa watatupa. Inaonekana Huyo MUkama na wewe hamna tofauti... kama huna hoja nyamaza usiwe kama wajinga

    10. #8
      kapotolo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th September 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 2,407
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      392

      Default Re: Tetesi: Kikwete na mbowe wakutana tena faragha

      Taarifa zilizopo ni kwamba JK anajua 2015 Chadema wakichukua nchi ataishia Lupango, hivyo ameanza kujiweka karibu na mbowe ili asifikishwe Jela kwa ufisadi anaoufanya kupitia mwanawe Riz1.
      Papizo, Njowepo, Manumbu and 5 others like this.
      Kiongozi shupavu hawezi kutumia mabavu kuongoza, ni kiongozi dhaifu tu ndio atatumia mabavu kuficha udhaifu wake - Jenerali Ulimwengu

    11. #9
      MARCKO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th June 2011
      Posts : 1,406
      Rep Power : 683
      Likes Received
      153
      Likes Given
      0

      Default Re: Tetesi: Kikwete na mbowe wakutana tena faragha

      Jf ni noma

    12. #10
      rosemarie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,732
      Rep Power : 1366
      Likes Received
      280
      Likes Given
      142

      Default Re: Tetesi: Kikwete na mbowe wakutana tena faragha

      mbowe hata haaminiki yule
      ccm inakufa,asante mungu umesikia kilio chetu!!!!!!!

    13. #11
      tindikalikali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,080
      Rep Power : 1214
      Likes Received
      392
      Likes Given
      89

      Default

      Quote By episodes
      mbowe hata haaminiki yule
      wewe unaaminika?
      WA-UKENYENGE likes this.

    14. #12
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,342
      Rep Power : 715
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Re: Tetesi: Kikwete na mbowe wakutana tena faragha

      Quote By BMT
      hatuna chama cha upinzani hapa tanzania!,wanacheza na jk hawa,atawaliza mpaka mtachoka,
      Hivi wewe hujui kama CDM ndiyo wanaongoza nchi????, Maana ilani inayotekelezwa ni ya CDM kwa hiyo hata wakikutana mimi sishangai...

      JK labda kaona CDM ndiyo inayoweza kumsaidia akamaliza kipindi chake cha miaka mitatu na nusu iliyobaki....
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    15. #13
      Mawaiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2011
      Posts : 328
      Rep Power : 441
      Likes Received
      136
      Likes Given
      25

      Default

      Quote By BMT
      hatuna chama cha upinzani hapa tanzania!,wanacheza na jk hawa,atawaliza mpaka mtachoka,
      Kwa akili yako unafikiri Mbowe kajipeleka? Kama hii habari ni ya kweli basi ujue Mbowe kaitwa, na hii ndio ishara kwamba mlipuko wa CDM unamchanganya JK.
      Kikarara78 likes this.

    16. #14
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,677
      Rep Power : 0
      Likes Received
      538
      Likes Given
      273

      Default Re: Tetesi: Kikwete na mbowe wakutana tena faragha

      Mbowe kasaliti chama chetu.Wapenzi na wadau wa chadema tumuundieni TUME huyu mtu

    17. #15
      TOWNSEND's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Location : kwa ngulelo
      Posts : 1,111
      Rep Power : 629
      Likes Received
      196
      Likes Given
      31

      Default Re: Tetesi: Kikwete na mbowe wakutana tena faragha

      Quote By Tume ya katiba
      Mbowe kasaliti chama chetu.Wapenzi na wadau wa chadema tumuundieni TUME huyu mtu
      uuunde tume ya nini wakati hujui alichoitiwa huko ,hao ni marafiki toka enzi zile jk anaennda mziki pale billss
      mie najuwa mbowe anaelekea kwenye maishi ya mzee bob m hata bungeni hawapo...
      leo kub nimemuona silinde na yule mdada
      For tommorow belonging to those people who prepared fo it

    18. #16
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,602
      Rep Power : 819
      Likes Received
      278
      Likes Given
      52

      Default Re: Tetesi: Kikwete na mbowe wakutana tena faragha

      huyu mwanaasha atakuwa ameanza kujisogeza sasa
      Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.


    19. #17
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,580
      Rep Power : 3330
      Likes Received
      1219
      Likes Given
      458

      Default

      Quote By episodes
      mbowe hata haaminiki yule
      bora zitto.?

    20. #18
      Nteko Vano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Location : Dar es salaam
      Posts : 428
      Rep Power : 450
      Likes Received
      90
      Likes Given
      26

      Default Re: Tetesi: Kikwete na mbowe wakutana tena faragha

      Kuna mambo yafuatayo hapo
      1. Kuomba ushauri juu ya anini afanye akomboe jahazi ili la umasikini
      2. Kuomba kama seif na karume walivyokuwa wanakutana ili chama kisimfie yeye
      3. Wapunguze kasi ya M4C
      4. Anataka amteue Slaa kuwa mbunge
      5. Anaomba amtulize Lema asiendelee kumwaga siri za mkutano wake naye. Atamrejeshea ubunge
      Kikarara78 and IFUNYA like this.

    21. #19
      Nyakageni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,246
      Rep Power : 0
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: Tetesi: Kikwete na mbowe wakutana tena faragha

      time will tell

    22. #20
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Tetesi: Kikwete na mbowe wakutana tena faragha

      mwacheni mwenyekiti adese,hamjui maji yapo shingoni?
      amejua akihangaika na mwenezi kuanza kurudisha oil chafu kwenye engine gari haitawaka hivyo ameamua kudesa ili aongezewe ilani kwani hizi anaendelea nazo vizuri
      1.chuo kikuu udom
      2.katiba mpya

      sasa hivi anataka kudesa tena kuhusu serikali ya majimbo na bunge dogo.
      Kikarara78 likes this.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...