Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sheikh Ponda yuko sahihi

    Report Post
    Page 5 of 16 FirstFirst ... 3456715 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 313
    1. #1
      mwongozo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th October 2011
      Posts : 45
      Rep Power : 391
      Likes Received
      9
      Likes Given
      21

      Default Sheikh Ponda yuko sahihi

      Juzi Sheikh Ponda Issa ambaye ni katibu wa Jumuiya ya Kutetea Haki za Waislamu alitanabahisha kuwa iwapo serikali haitoweka kipengele cha dini katika fomu za sensa ya mwaka, jumuiya yao itahamasisha Waislamu wasishiriki katika zoezi la sensa.Alisema kuwa nchi hii siyo ya Kikristo lakini INATAWALIWA NA MFUMO KRISTO.

      Alisema kutokana na mazoea, Waislamu wanabaguliwa katika mgawanyo wa keki ya taifa khasa upande wa ajira. ofisi na idara za serikali zinaongozwa na Wakristo kwa asilimia kubwa kulinganishwa na waislamu. alitoa mfano wa TRA, NECTA, Wizara ya Eimu, Wizara ya Ujenzi, Afya, Mahakama nk........... kwa mujibu wa Sheikh Ponda, wastani wa ajira ni karibu Wakristo 77% na Waisalmu siyo zaidi ya asilimia 20%. Licha ya hoja inayojengwa kuwa Waislamu hawajasoma lakini akasema waliosoma wapo.

      Akatanabahisha kuwa kwa maslahi na umoja wa kitaifa, kupuuza watu ambao ni sehemu ya jamii ktk keki ya taifa ni jambo hatari sana! Kwa kuwa wtu wanadai waislamu ni chini ya 20% katika nchi hii, akapendekeza sensa ya mwaka huu kiwekwe kipengele cha dini ili idadi ya watanzania kidini ijulikane. Kwa mujibu wa Sheihk Ponda, anaamini kuwa waislamu ni takriban 64% ya rais wa Tanzania.

      "SIYO SAHIHI WATU WENYE IDADI HII KUPUUZWA KATIKA UWIANO WA AJIRA SERIKALINI", alisema Sheikh Ponda.Alitoa mifano wa nchi karibia zote za Ulaya, Marekani, asia pamoja na Afrika, kipengele cha dili kipo kwenye fomu za sensa zao. "Ukisoma country profile au fact file uingiapo katika nchi mbalimbali, utakuta wameandika wastani wa idada ya raia kidini" alisisitiza Ponda. "Mbona mnajifanya kama hamtembei au hamjui kinacho endelea ulimwengunu jamani!" alilalama Ponda.

      HOJA YANGU Ndugu znaguni Watanzania, tufike sehemu tuache ukweli udhihiri. kama Waislamu wanalalamika kuwa wanabaguliwa katika ajira labda kutokana na uchache wao, kwa nini suala la dini lisiwekwe wazi? au utakua udini? au uchochezi? au uvunjifu wa amani? Kama ni hivyo, mbona karibu 98% ya sensa zote duniani zina kipengele cha dini!? je huko wameuana kutoakana na kipengele hicho? TUBADILIKE!!!

      Naomba kuwasilisha!
      takashi, Ally Kombo, NIMO and 2 others like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #81
      NIMO's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Posts : 35
      Rep Power : 430
      Likes Received
      3
      Likes Given
      33

      Default Re: Sheikh Ponda yuko sahihi

      Quote By nundaz
      mwaka 2005 wakat kikwete anagombea askof mmoja alisema kik ete ni chaguo la mungu hawakulalamika! mwaka juz bakwata wakasema docta slaa hawez kuwa rais kisa mkristo! uchaguz igunga bakwata wakatoa tamko kuwa waislam kutopigia kura chadema! mwaka jana vuguvugu la maandamano ya chadema waislam wakasewa serikali inaandamwa sababu rais ni muislamu...! wametoka hapo wameandamana bla kbali, sasa wanakuja na ajenda za ajira na sensa...? ivii wao tu wanamatizo? wakristo hawana?
      Nundaz unaweza kuwa sahihi kabisa kuhusu matamko ya waislam uliyo yasema na uwenda kwa mtazamo wangu hayo madai au matamshi hayakuwa na mashiko kihivyo lakini kwa hili la shekh ponda ebu angalia ukweli uliyopo na utoe maoni kulingana na kauli yake ya kutambua idadi ya watu kwa kuzingatia mambo mabali mbali ikiwemo dini kwa ustawi wa nchi na maendeleo kwa watu wote bila kubaguana.

    4. #82
      kweleakwelea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2010
      Posts : 1,293
      Rep Power : 704
      Likes Received
      233
      Likes Given
      489

      Default Re: Sheikh Ponda yuko sahihi

      Quote By Barubaru
      Alonena ni suala zuri sana. vipengele muhimu va kuzingatiwa katika sensa ni pamoja na Umri, Dini, jinsia, hali za watu (ulemavu n.k) kwa ajili ya mipango ya nchi kwa maendeleo na ustawi wa jamii.

      Ni vizuri kulijadili kwa kina kwa mustakabali bora wa nchi yenu katika mipango ya baadae.
      barubaru, juzi nilisoma post yako juu ya bob makani nikagundua uko high profile....but i am worried you can use your position to become very lethal...

      tulifundishwa darasani maana ya sensa........ni zoezi la kidemographia kwa ajili ya kupanga mipango ya maendeleo...

      hili la ulemavu, jinsia...umri ,,,....e.tc.. sawa....this are potentia variables to consider......

      je kuwa muislamu au mkristo au mpagani kunahusiana nini na mambo tunayotaka kuyafanyia projections.....eg matibabu, elimu, uzalishaji etc? kwani watu hawa hutumia ART tofauti? huvaa kondomu tofauti? husoma shule tofauti.....

      je mara baada ya sensa nikiamua kuwa mkristo what are the effects?

    5. #83
      Omulangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2008
      Posts : 726
      Rep Power : 720
      Likes Received
      132
      Likes Given
      8

      Default Re: Sheikh Ponda yuko sahihi

      Quote By Mtanzania1
      Nadhani hii ni busara kwani muanisho huu wa kipengele cha dini ni muhimu hasa kukiwa na mipango inayohusu dini.. kama kujua tunahitaji kutenga ardhi kiasi gani kwa ajili ya misikiti/makanisa... au makaburi
      Je kama sheikh Ponda atakuta waislamu ni asilimia 30 na wakristo 37 atasemaje? Hata hivyo kuna watu wengi wana majina ya kiislamu lakini walishaingia ukristo mioyoni mwao siku nyingi. wengine wana majina ya kikristo lakini tayari walishalambishwa vijisenti wakasilimu kama kigogo fulani. Wengine hawajui dini zao maana hawajaamua kufuata dini yoyote mbali na kuwa wazazi wao walioingiza katika dini zao (yaani dini za wazazi) lakini watoto hawajiamini wala hawazifuati. Haya mambo ya dini tuache makanisani na misikitini yashughulikiwe huko. Mfumo unaodaiwa ni wa kikristo kwanza ni sehemu ya historia na kwa upande mwingine kile waislamu wanachoita mfumo wa kikristo ni ule mfumo na tamaduni za ki magharibi. Katika ukweli wake sehemu kubwa ya kile wanachoita waislamu mfumo kristo ni upagani wa kimagahribi usio kuwa na uhusiano wowote na ukristo. Au hamjui kuwa Ulaya na Marekani sasa ukristo umeisha huko ni upagani tu unaendelea? Mfumo wa elimu ya magharibi hauna umekataa kabisa ukristo na wanaendeleza upagani tu na humanism. Tanzania sehemu kubwa ya uendeshaji wake naona ni upagani tu!! Ukristo haufanani na hali ya serkali ya Tanzania.

    6. #84
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1254
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default Re: Sheikh Ponda yuko sahihi

      Quote By Elli
      Hahahaaa mmesahau yule Mkurugenzi alivywajibu? Kuwa maendeleo ya nchi hayapimwi kwa kigezo cha dini wala kabila la mtu. sensa inatumika katika planning ya mambo muhimu ya kimaendeleo na sio dini, tusiwe so narrow minded, hata hivyo nawashauri mtumie utaratibu kama wa kwetu wa kuandikishana, kwa mfano mimi bahasha yangu ya usharika ni No.963, that means mimi ni mkristo wa 963 katika usharika wangu kwa hio kkupata idadi ya Wakristo wote katika CCT ambapo ndipo nasali, unachukua idadi ya waliojiandikisha mara idadi ya makanisa uliyonayo katika huo mkoa, wilaya au taifa. Na kwa taarifa yako hata tunapojiandikisha tunaandika kiasi unachotegenea kumtolea MUNGU kwa mwaka huo na hii husaidia kufahamu Kanisa litakusanya kiasi gani, litumie kiasi gani na libakishe kiasi gani, kwa mfano wakati namaliza Mlimani CCT-Chaplaincy kwa kipindi hichoo tulikua na milion mia mbili na kidogo ila sifahamu ndugu zangu pale msikitini walikua na bei gani, na sisi hatuna wafadhili pia.
      Hakuna kitu...watakuambia hizo hela zinaenda kwa maskini kumbe wanazila wenyewe...unacheza na kuzaa watoto wengi bila kuwa na mipango ya maana ya maisha.

    7. #85
      matumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 2,328
      Rep Power : 1443
      Likes Received
      647
      Likes Given
      491

      Default

      Quote By zomba
      Naunga mkono hoja na Waislaam wote tususe sensa, kwani itakuwa nini? Amma waweke hicho kipengele halafu wakachezee kompyuta kama walivyofanya mitihani wa Waislaam amma sensa tuisusie.
      waislamu wote wasusie au unamaanisha waislamu wa gerezani?

    8. Miaka 50

    9. #86
      Kikwebo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2006
      Posts : 323
      Rep Power : 716
      Likes Received
      42
      Likes Given
      20

      Default

      Quote By Ngongo
      Step II.

      Bado naendelea kumsaidia Sheikh Ponda.

      Tanzania mikoa ya kanda ya ziwa ndiyo yenye idadi kubwa ya watu Tanzania ikufuatiwa na mikoa ya kanda ya kaskazini.Ukanda wa Pwani ukiondoa [Dar es Salaam] ni mikoa yenye idadi ndogo ya watu.
      aliokuambia kanda ya ziwa wote ni wagala ni nani? Kumbuka huko kuna watu wanaofuata dini za asili kwa idadi kubwa tu.

    10. #87
      matumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 2,328
      Rep Power : 1443
      Likes Received
      647
      Likes Given
      491

      Default

      Quote By Gwalihenzi
      Mkuu Barubaru, kwa akili yako na elimu yako ya PhD bado unaamini misaada ni njia ya kujiletea maendeleo!
      hawa watu ata wasome vipi,uwezo wao wa kureason unabakia vilevile ki uhamsho uhamsho.
      sister likes this.

    11. oba
      #88
      oba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : nchi ya kusadikika
      Posts : 273
      Rep Power : 488
      Likes Received
      51
      Likes Given
      88

      Default Re: Sheikh Ponda yuko sahihi

      Quote By mwongozo
      juzi Sheikh Ponda Issa ambaye ni katibu wa Jumuiya ya Kutetea Haki za Waislamu alitanabahisha kuwa iwapo serikali haitoweka kipengele cha dini katika fomu za sensa ya mwaka, jumuiya yao itahamasisha Waislamu wasishiriki katika zoezi la sensa.Alisema kuwa nchi hii siyo ya Kikristo lakini INATAWALIWA NA MFUMO KRISTO. alisema kutokana na mazoea, Waislamu wanabaguliwa katika mgawanyo wa keki ya taifa khasa upande wa ajira. ofisi na idara za serikali zinaongozwa na Wakristo kwa asilimia kubwa kulinganishwa na waislamu. alitoa mfano wa TRA, NECTA, Wizara ya Eimu, Wizara ya Ujenzi, Afya, Mahakama nk........... kwa mujibu wa Sheikh Ponda, wastani wa ajira ni karibu Wakristo 77% na Waisalmu siyo zaidi ya asilimia 20%. Licha ya hoja inayojengwa kuwa Waislamu hawajasoma lakini akasema waliosoma wapo. akatanabahisha kuwa kwa maslahi na umoja wa kitaifa, kupuuza watu ambao ni sehemu ya jamii ktk keki ya taifa ni jambo hatari sana! kwa kuwa wtu wanadai waislamu ni chini ya 20% katika nchi hii, akapendekeza sensa ya mwaka huu kiwekwe kipengele cha dini ili idadi ya watanzania kidini ijulikane. Kwa mujibu wa Sheihk Ponda, anaamini kuwa waislamu ni takriban 64% ya rais wa Tanzania. "SIYO SAHIHI WATU WENYE IDADI HII KUPUUZWA KATIKA UWIANO WA AJIRA SERIKALINI", alisema Sheikh Ponda.Alitoa mifano wa nchi karibia zote za Ulaya, Marekani, asia pamoja na Afrika, kipengele cha dili kipo kwenye fomu za sensa zao. "Ukisoma country profile au fact file uingiapo katika nchi mbalimbali, utakuta wameandika wastani wa idada ya raia kidini" alisisitiza Ponda. "Mbona mnajifanya kama hamtembei au hamjui kinacho endelea ulimwengunu jamani!" alilalama Ponda.HOJA YANGUNdugu znaguni Watanzania, tufike sehemu tuache ukweli udhihiri. kama Waislamu wanalalamika kuwa wanabaguliwa katika ajira labda kutokana na uchache wao, kwa nini suala la dini lisiwekwe wazi? au utakua udini? au uchochezi? au uvunjifu wa amani? kama ni hivyo, mbona karibu 98% ya sensa zote duniani zina kipengele cha dini!? je huko wameuana kutoakana na kipengele hicho? TUBADILIKE!!!!!!!!naomba kuwasilisha!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!!
      Aliyekwambia waislamu wanabaguliwa kwenye ajira ni nani? mwajiri mkuu, mheshimiwa jakaya ni mkristo?je makamu wake, ni mkristo? waziri wa fedha aliyeshindwa kazi, mkullo, Zakhia, hao nao ni wakristo?mnajimu mkuu wa jeshi, bwana shimbo ni mkristo? said mwema je? Mecky sadick?, Hussen Mwinyi?n.k .n.k......jamani acheni uchokonozi, kwa nini tusikubali ajira na mgawanyo wa raslimali uendane na uwezo na uhitaji badala ya dini? hivi uislamu lazima utenganishwe na ukristo kwa kiwango hicho?....kama hatuwezi kujifunza kwa wenzetu kama nigeria wanakobaguana kwa mfumo wa dini na kuishia kuwindana kama wanyama mwitu basi, mnaoleta chokochoko hizo mtajionea wenyewe kitakachofuata ama sivyo watoto wenu na wajukuu zenu watalionja joto la utengano mnaloanzisha.
      sister likes this.
      "If you don't stand for something you will fall down for anything"- usiposhiriki kuikomboa nchi yako utatawaliwa na mashetani!

    12. #89
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,500
      Rep Power : 2079
      Likes Received
      1065
      Likes Given
      1569

      Default Re: Sheikh Ponda yuko sahihi

      Kuna watu wameumbwa kulalama tu!!!!!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    13. #90
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,341
      Rep Power : 715
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Re: Sheikh Ponda yuko sahihi

      Quote By mwongozo
      juzi Sheikh Ponda Issa ambaye ni katibu wa Jumuiya ya Kutetea Haki za Waislamu alitanabahisha kuwa iwapo serikali haitoweka kipengele cha dini katika fomu za sensa ya mwaka, jumuiya yao itahamasisha Waislamu wasishiriki katika zoezi la sensa.Alisema kuwa nchi hii siyo ya Kikristo lakini INATAWALIWA NA MFUMO KRISTO. alisema kutokana na mazoea, Waislamu wanabaguliwa katika mgawanyo wa keki ya taifa khasa upande wa ajira. ofisi na idara za serikali zinaongozwa na Wakristo kwa asilimia kubwa kulinganishwa na waislamu. alitoa mfano wa TRA, NECTA, Wizara ya Eimu, Wizara ya Ujenzi, Afya, Mahakama nk........... kwa mujibu wa Sheikh Ponda, wastani wa ajira ni karibu Wakristo 77% na Waisalmu siyo zaidi ya asilimia 20%. Licha ya hoja inayojengwa kuwa Waislamu hawajasoma lakini akasema waliosoma wapo. akatanabahisha kuwa kwa maslahi na umoja wa kitaifa, kupuuza watu ambao ni sehemu ya jamii ktk keki ya taifa ni jambo hatari sana! kwa kuwa wtu wanadai waislamu ni chini ya 20% katika nchi hii, akapendekeza sensa ya mwaka huu kiwekwe kipengele cha dini ili idadi ya watanzania kidini ijulikane. Kwa mujibu wa Sheihk Ponda, anaamini kuwa waislamu ni takriban 64% ya rais wa Tanzania. "SIYO SAHIHI WATU WENYE IDADI HII KUPUUZWA KATIKA UWIANO WA AJIRA SERIKALINI", alisema Sheikh Ponda.Alitoa mifano wa nchi karibia zote za Ulaya, Marekani, asia pamoja na Afrika, kipengele cha dili kipo kwenye fomu za sensa zao. "Ukisoma country profile au fact file uingiapo katika nchi mbalimbali, utakuta wameandika wastani wa idada ya raia kidini" alisisitiza Ponda. "Mbona mnajifanya kama hamtembei au hamjui kinacho endelea ulimwengunu jamani!" alilalama Ponda.HOJA YANGUNdugu znaguni Watanzania, tufike sehemu tuache ukweli udhihiri. kama Waislamu wanalalamika kuwa wanabaguliwa katika ajira labda kutokana na uchache wao, kwa nini suala la dini lisiwekwe wazi? au utakua udini? au uchochezi? au uvunjifu wa amani? kama ni hivyo, mbona karibu 98% ya sensa zote duniani zina kipengele cha dini!? je huko wameuana kutoakana na kipengele hicho? TUBADILIKE!!!!!!!!naomba kuwasilisha!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!!
      Unajua huyu Mponada anashindwa kufikiria... Kwa Utamaduni wa Kiislamu mtu moja ambaye hata uhaki wa kula vizuri hana ana wake watatu na watoto kumi na tano au zaidi... Badala yake watoto wpte wanaishia kuwa Vibaka tu badala ya kusoma..

      Sasa katika mazingira kama haya utafanyaje tuseme unataka kumwajiri mwalimu wa Primary???? Vigezo ni Shule sasa wao shule hawajaenda itakuwaje???? Unajua kutokusoma siyo kilema ni Uzembe ambao hauondoki kwa kuseama waislamu wanabaguliwa.

      Mfano mimi niko jirani na Mpemba fulani... Yeye ana watoto kama saba hivi lakini wote wameishia la nne kwa kuacha shule bila sababu kesho wakiwa mashehe ndiyo wanayaongea haya...

      Narudia tena Kuna makabila ambayo yamejitahidi sana kwenda shule Mfano wahaya, Wachaga etc ni kutokana hali ngumu na utamaduni waliojengewa... Nasema hivi kwa sababu mimi shule ya msingi niliyosoma miaka ya tisini mwanzoni Waalimu karibu wote walikuwa Wachaga, sasa utasema kwa nini wachaga..

      Mimi nafikiri Waislamu waboreshe mambo ya Msingi kama kuzaa watoto unaoweza kuwasomesha na kuwa tunza na si kuwazaa alafu unawatelekeza hawatoki Mkuu

      Elimu ni Funguo wa maisha.
      sister likes this.
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    14. #91
      indoor's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th March 2012
      Posts : 11
      Rep Power : 366
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Sheikh Ponda yuko sahihi

      huyu shekhe kuna wakati aliwahi kusema anataka waislam watibiwe na waislam na waislam wanawake watibiwe na madaktari wa kike bila kujua idadi ya madaktari kwa uwiano wa dini na idadi ya madaktari wa kike. pia hakujua idadi ya hospitali zinazomilikiwa na wakristo na zile zinazomilikiwa na waislam. Mi nafikiri si mzima sana kiakili.

    15. #92
      CHEMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : A TOWN
      Posts : 369
      Rep Power : 1932
      Likes Received
      58
      Likes Given
      19

      Default Re: Sheikh Ponda yuko sahihi

      Kukosa hoja bwana,,,,

    16. #93
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1254
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default Re: Sheikh Ponda yuko sahihi

      Quote By indoor
      huyu shekhe kuna wakati aliwahi kusema anataka waislam watibiwe na waislam na waislam wanawake watibiwe na madaktari wa kike bila kujua idadi ya madaktari kwa uwiano wa dini na idadi ya madaktari wa kike. pia hakujua idadi ya hospitali zinazomilikiwa na wakristo na zile zinazomilikiwa na waislam. Mi nafikiri si mzima sana kiakili.
      Mhhhh...huyu shehe Ponda noma, yaani hata chabo ya daktari kafiri anaogopa? akawatibu yeye akina mama wa kiislam kama anaweza...!

    17. #94
      Mkulima wa Kuku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 707
      Rep Power : 564
      Likes Received
      240
      Likes Given
      207

      Default Re: Sheikh Ponda yuko sahihi

      Mimi namsapoti huyu bwana kwenye kipengele cha dini, nisichokubaliana nacho toka kwake ni motive ya yeye kufany sensa, eti ajira ziwe na uwiano. Mimi sitaajiri mtu kwa sababu tu ni wa dini fulani hata kama hawezi kazi... Hii itaua taifa kabisa kwani dini ndizo zitaongoza sehemu nyeti za profession badala ya taaluuma na competence

    18. #95
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,005
      Rep Power : 2559
      Likes Received
      782
      Likes Given
      28

      Default Re: Sheikh Ponda yuko sahihi

      Quote By FJM
      Sheikh Ponda amejipa kazi ya kuenesha shari nchi hii. Pengine ni kwa sababu ya tatizo la ajira, lakini sioni ni kwa vipi waislam watakaa chini na kumsikiliza huyu semi-illiterate!<BR><BR>Week chache zilizopita alikuwa anapiga debe kuwaunga UAMSHO, sasa makanisha yamechomwa kakimbilia kwenye sensa! UAMSHO kawaacha kwenye mataa! Ni aina ya ma-sheikh kama hawa wanaoudhalilisha uislam. Hana la maana alilofanyia hii nchi zaidi ya kugawa watu.
      Ponda ni kinyago kilaza wa nguvu anaongozwa nguvu za shetwani .Shekhe wa tumbo na fitina hana uislam wowote .Waislam wenye ufinyu wa kuelewa Duniani kote ndiyo zao kila siku kuzusha jambo .Wamesha zoeleka ila wakija hovyo mnawachapa na kuwafungia magerezani hakuna zaidi .
      N-handsome, Ndahani and sweke34 like this.
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    19. #96
      Ibambasi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th July 2007
      Location : Iponyamakalai - Isungang'holo
      Posts : 724
      Rep Power : 753
      Likes Received
      118
      Likes Given
      762

      Default Re: Sheikh Ponda yuko sahihi

      Quote By mwongozo
      juzi Sheikh Ponda Issa ambaye ni katibu wa Jumuiya ya Kutetea Haki za Waislamu alitanabahisha kuwa iwapo serikali haitoweka kipengele cha dini katika fomu za sensa ya mwaka, jumuiya yao itahamasisha Waislamu wasishiriki katika zoezi la sensa.Alisema kuwa nchi hii siyo ya Kikristo lakini INATAWALIWA NA MFUMO KRISTO. alisema kutokana na mazoea, Waislamu wanabaguliwa katika mgawanyo wa keki ya taifa khasa upande wa ajira. ofisi na idara za serikali zinaongozwa na Wakristo kwa asilimia kubwa kulinganishwa na waislamu. alitoa mfano wa TRA, NECTA, Wizara ya Eimu, Wizara ya Ujenzi, Afya, Mahakama nk........... kwa mujibu wa Sheikh Ponda, wastani wa ajira ni karibu Wakristo 77% na Waisalmu siyo zaidi ya asilimia 20%. Licha ya hoja inayojengwa kuwa Waislamu hawajasoma lakini akasema waliosoma wapo. akatanabahisha kuwa kwa maslahi na umoja wa kitaifa, kupuuza watu ambao ni sehemu ya jamii ktk keki ya taifa ni jambo hatari sana! kwa kuwa wtu wanadai waislamu ni chini ya 20% katika nchi hii, akapendekeza sensa ya mwaka huu kiwekwe kipengele cha dini ili idadi ya watanzania kidini ijulikane. Kwa mujibu wa Sheihk Ponda, anaamini kuwa waislamu ni takriban 64% ya rais wa Tanzania. "SIYO SAHIHI WATU WENYE IDADI HII KUPUUZWA KATIKA UWIANO WA AJIRA SERIKALINI", alisema Sheikh Ponda.Alitoa mifano wa nchi karibia zote za Ulaya, Marekani, asia pamoja na Afrika, kipengele cha dili kipo kwenye fomu za sensa zao. "Ukisoma country profile au fact file uingiapo katika nchi mbalimbali, utakuta wameandika wastani wa idada ya raia kidini" alisisitiza Ponda. "Mbona mnajifanya kama hamtembei au hamjui kinacho endelea ulimwengunu jamani!" alilalama Ponda.HOJA YANGUNdugu znaguni Watanzania, tufike sehemu tuache ukweli udhihiri. kama Waislamu wanalalamika kuwa wanabaguliwa katika ajira labda kutokana na uchache wao, kwa nini suala la dini lisiwekwe wazi? au utakua udini? au uchochezi? au uvunjifu wa amani? kama ni hivyo, mbona karibu 98% ya sensa zote duniani zina kipengele cha dini!? je huko wameuana kutoakana na kipengele hicho? TUBADILIKE!!!!!!!!naomba kuwasilisha!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!!
      Waswahili bana, yaani dini za wakoloni zimewatawala sana. Watu watauana tu kwa sababu ya kuwatetea Mungu Allah, Mungu wa Israel, Mungu Papa, Mungu Anglican...ilhali hata hivyo vitabu vya Mungu hao haviwataji kabisa waswahili hawa!

    20. #97
      sanga malua's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th December 2011
      Posts : 226
      Rep Power : 420
      Likes Received
      46
      Likes Given
      54

      Default Re: Sheikh Ponda yuko sahihi

      MIMI nadhani siyo lazima wasubiri serikali iwafanyie sensa,watumie rasilimali zao wafanye sensa yao kujua waislamu wako wangapi lakini siyo kigezo cha wao kupewa kazi.muhimu ni kusoma na kuwa na sifa sitahiki.SI DHANI KAMA KUNA MWISLAMU ALIYE SOMA AKANYIMWA KAZI KWASABABU YA UISLAMU WAKE.

    21. #98
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,175
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default

      An empty head is devil's workshop.

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
      N-handsome likes this.

    22. #99
      Ukana Shilungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2012
      Posts : 251
      Rep Power : 407
      Likes Received
      30
      Likes Given
      8

      Default Re: Sheikh Ponda yuko sahihi

      Quote By Barubaru
      Alonena ni suala zuri sana. vipengele muhimu va kuzingatiwa katika sensa ni pamoja na Umri, Dini, jinsia, hali za watu (ulemavu n.k) kwa ajili ya mipango ya nchi kwa maendeleo na ustawi wa jamii.

      Ni vizuri kulijadili kwa kina kwa mustakabali bora wa nchi yenu katika mipango ya baadae.
      ukishaweka kipengele cha dini unanufaika vipi,au taifa linanufaika vipi?mmeshiba amani na kuvimbiwa?

    23. #100
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,302
      Rep Power : 1006
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      522

      Default Re: Sheikh Ponda yuko sahihi

      Quote By Ngongo
      Step II.

      Bado naendelea kumsaidia Sheikh Ponda.

      Tanzania mikoa ya kanda ya ziwa ndiyo yenye idadi kubwa ya watu Tanzania ikufuatiwa na mikoa ya kanda ya kaskazini.Ukanda wa Pwani ukiondoa [Dar es Salaam] ni mikoa yenye idadi ndogo ya watu.
      STEP X:

      Hebu ongeza hapo na Iringa, Njombe, Songea, Mbeya, Rukwa, na Mpanda.

      Hivyo, wakristo wengi (kwa maana ya kuwazidi wengine kwa idadi yoyote) most likely wako mikoa ifuatayo:
      Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita, Mara, Kagera, Arusha, Kilimanjaro, Iringa, Njombe, Ruvuma, Mbeya, Rukwa, na Mpanda. Kwa pamoja mikoa hii ina over 60% population ya nchi.

      Mikoa hii angalau idadi inaweza kuwa sawa:
      Kigoma, Singida, Dodoma, Dar es Salaam, Tabora, na Morogoro.

      Mikoa hii waislamu most likely ni wengi:
      Tanga, Pwani, Lindi, Mtwara, na Zanzibar (ukitaka chukua hata Dar es Salaam ya wahamiaji).

      Hivyo basi, kwa kuwa Muungano utavunjika soon waislamu Tanganyika wata-dominate Tanga, Lindi, na Mtwara halafu pia Bungeni tutakuwa automatically tumepungaza angalau wabunge waislamu kama 60 hivi ambao wanatoka Znz. Mimi huwa nawashangaa wanaolaumu Mwl. eti kwa kuudhoofisha Uislamu kupitia Muungano!
      Ngongo, ZionTZ, matungusha and 1 others like this.

    Page 5 of 16 FirstFirst ... 3456715 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...