Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 104
    1. #1
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,275
      Rep Power : 12580
      Likes Received
      5814
      Likes Given
      768

      Default Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Wanabodi.

      Ninapenda sana hatua ya viongozi wa Chadema kuzunguka mikoani kuimarisha chama chao, ni hatua nzuri ambayo wananchi watapata nafasi kuijua vizuri Chadema ili kufanya maamuzi kama kujitoa ama kubaki ndani ya chama hicho.

      Kila kikundi, chama au taasisi yeyote inapofanya mambo yake bila kuwepo na utaratibu, kuna hatari kubwa ya kutokea fujo.

      Ni hatari kwa kiongozi wa chama kutofuata utaratibu wiki iliyopita Chadema walifanya mkutano wao kule Mtwara, Mbowe alimgomea (OCD) wa Nanyumbu, Mohamed Said, alipokuwa akihutubia eneo la Mangaka, OCD alimtaka Mbowe ashuke jukwaani kwa kuwa muda wa kuhutubia ulikuwa umemalizika saa 12 jioni.

      Mbowe akaanza kusema Jamani OCD anataka niache kuhutubia, sasa nasema wewe OCD mimi ni mbunge na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, hebu sikiliza usitutishe sisi, mimi simuogopi mtu yoyote awe Rais Kikwete, au Waziri Mkuu Pinda, hao nawaheshimu nao wananiheshimu, usitake kujifunzia kazi kwangu, ngoja kwanza niwaulize wananchi, mnasemaje nifunge mkutano nisifunge? Wananchi waliitikia, usifunge.

      Mbowe alichotaka wananchi wamshambule OCD ili fujo itokee watu wapigwe mabomu kisha aseme kuwa polisi wanaonea wananchi, wametumia nguvu nyingi, OCD alikuwa na uwezo wa kuwaamrisha vijana wake kumshusha kwa nguvu.

      Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa.
      Annael and Mzee Kijana like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Hingi Jr's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 374
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Ni kweli kabisa!unajua viongozi wa CDM wanajifanya wako juu ya sheria lakini cha moto waliisha kiona hata wenyewe wana kumbukumbu ya yaliyotokea Arusha kwa mbwembwe hizohizo.Sisi wananchi tunajua ni CCM pekee nchi hii inayopenda kudumisha Amani na upendo kwa watanzania.

    4. #3
      POMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,964
      Rep Power : 1176
      Likes Received
      1093
      Likes Given
      628

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By ritz
      Mbowe alichotaka wananchi wamshambule OCD ili fujo itokee watu wapigwe mabomu kisha aseme kuwa polisi wanaonea wananchi, wametumia nguvu nyingi, OCD alikuwa na uwezo wa kuwaamrisha vijana wake kumshusha kwa nguvu...
      Mbowe hakushoka na wananchi waliendelea kumsikiliza hicho ulichokisema kwenye RED mbona hakikutokea? Ama unaota? Riz dont be cheap!
      "Tumefika hapa kutokana na UDHAIFU wa Rais Jakaya Kikwete.." J.J. Mnyika, Bungeni,June,2012.

    5. #4
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,744
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      720
      Likes Given
      147

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Kwa kubadilisha mada Ritz unafahamu kuliko mtu mwingine yeyote tunasema Mukama kavuliwa nguo jana kwenye msiba wa Mzee Bob kwa kuongea uongo unatuletea mada ya mwezi mmoja ulio pita au hujapewa mshiko karibuni duh
      Jasusi and Mboko like this.

    6. #5
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,275
      Rep Power : 12580
      Likes Received
      5814
      Likes Given
      768

      Default

      Quote By POMPO
      Mbowe hakushoka na wananchi waliendelea kumsikiliza hicho ulichokisema kwenye RED mbona hakikutokea? ama unaota? Riz dont be cheap!
      POMPO.
      Baada ya kauli hiyo ya Mbowe OCD Said alihama kutoka eneo hilo na kusogea eneo lingine na kuondoka kabisa eneo hilo kuepusha shari.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,275
      Rep Power : 12580
      Likes Received
      5814
      Likes Given
      768

      Default

      Quote By Froida
      Kwa kubadilisha mada Ritz unafahamu kuliko mtu mwingine yeyote tunasema Mukama kavuliwa nguo jana kwenye msiba wa Mzee Bob kwa kuongea uongo unatuletea mada ya mwezi mmoja ulio pita au hujapewa mshiko karibuni duh
      Wki iliyopita ndio hili sakata limetokea kule Mtwara, mwezi haujafika mkuu...tukemee hizi tabia za viongozi wa Chadema.

    9. #7
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,480
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1248

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Huo ni uongo,mbowe ni kiongozi makini na hawezi kuwaruhusu wananchi kuvunja amani,ndio maana amani haikuvunjika,.

      Nahiyo imethibitisha kuwa yeye hupenda amani,lakn polisi wa nyinyie ndio huwa chanzo cha uvunjifu wa amani.

      Kweli M4C ni noma inamfanya ritz aweke kambi mtwara na kufuatili mikutano yetu.

    10. #8
      POMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,964
      Rep Power : 1176
      Likes Received
      1093
      Likes Given
      628

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By ritz
      POMPO.
      Baada ya kauli hiyo ya Mbowe OCD Said alihama kutoka eneo hilo na kusogea eneo lingine na kuondoka kabisa eneo hilo kuepusha shari.
      RiZ1 jamaa aliogopa nguvu ya Umma, kumbe wakati mwngine maafande wanakuwa na Busara,
      pamoja na kauli hyo ya mbowe kumbe hakuna Aman iliyovungika tufauti na uluvyothan ingekuwa
      "Tumefika hapa kutokana na UDHAIFU wa Rais Jakaya Kikwete.." J.J. Mnyika, Bungeni,June,2012.

    11. #9
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,602
      Rep Power : 819
      Likes Received
      278
      Likes Given
      52

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      kwa hiyo umekosa habari ya kukuingizia chochote mfukoni toka kwa nape unaona uirejee hii zilipendwa
      Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.


    12. #10
      TOWNSEND's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Location : kwa ngulelo
      Posts : 1,113
      Rep Power : 629
      Likes Received
      196
      Likes Given
      31

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By ritz
      Wki iliyopita ndio hili sakata limetokea kule Mtwara, mwezi haujafika mkuu...tukemee hizi tabia za viongozi wa Chadema.
      ritz mbona unazungumzia hisia badala ya uhalisia mbona huhusishi police hao kuwaacha watuhumiwa wa uwizi wa wazi katika halimashauri zetu kama kule sengerema ambao wamekula pesa za dawa watu wanakufa hospitalini kwa kukosa dawa una leta umbea usio na kichwa wala miguu ...yule kakutwa na pesa nyingi kule kwenye kile kisiwa aaa kwako wewe sawa tu au unataka tumchome moto kama wanavyofanyiwa vibaka na police watasema wamechomwa na wananchi wenye hasira kali?
      wacha hizo fikiri kabla ya kuleta hoja sio kwa vile unaweza kuandika.....eti fujo ingtokea umekuwa shehe yahaya wewe

      For tommorow belonging to those people who prepared fo it

    13. #11
      ibange's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 1,358
      Rep Power : 1107
      Likes Received
      403
      Likes Given
      23

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Ni afadhali huyo Mbowe nyie mnapandikiza udini na ukabila usiokuwepo ambao in the long run utaisumbua sana Tanzania

    14. #12
      mashami's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 168
      Rep Power : 388
      Likes Received
      23
      Likes Given
      1

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      movement for changes "Msiogope! msiogope! ukombozi wa nchi umekaribia hakuna nguvu duniani iliyowahi na itakayo shinda NGUVU YA UMMA "MBUNGE WA ARUSHA MJINI GOBLESS LEMA

    15. #13
      MNAMBOWA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 711
      Rep Power : 526
      Likes Received
      73
      Likes Given
      30

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      cdm hata wakitawala cjuwi watafanya kazi na nani maana hawa polisi wamewa2ukana mn6

    16. #14
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,275
      Rep Power : 12580
      Likes Received
      5814
      Likes Given
      768

      Default

      Quote By democratic
      kwa hiyo umekosa habari ya kukuingizia chochote mfukoni toka kwa nape unaona uirejee hii zilipendwa
      Wewe kila post yako lazima umtaje Nape...ndio hoja yako kubwa JF.

    17. #15
      Shardcole's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Hingi Jr
      Ni kweli kabisa!unajua viongozi wa CDM wanajifanya wako juu ya sheria lakini cha moto waliisha kiona hata wenyewe wana kumbukumbu ya yaliyotokea Arusha kwa mbwembwe hizohizo.Sisi wananchi tunajua ni CCM pekee nchi hii inayopenda kudumisha Amani na upendo kwa watanzania.
      unasema sisi wananchi! Yani una maana ww na nan? Kwani mlishindiwa nini kumbeba tena na ndege za kivita kama kipindi kile? Mnawaacha malaya wakijiuza usiku kucha pale uwanja wa fisi lakini makamanda saa 12 tu mnataka wakalale? Ebooo...!

    18. #16
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,275
      Rep Power : 12580
      Likes Received
      5814
      Likes Given
      768

      Default

      Quote By TOWNSEND
      ritz mbona unazungumzia hisia badala ya uhalisia mbona huhusishi police hao kuwaacha watuhumiwa wa uwizi wa wazi katika halimashauri zetu kama kule sengerema ambao wamekula pesa za dawa watu wanakufa hospitalini kwa kukosa dawa una leta umbea usio na kichwa wala miguu ...yule kakutwa na pesa nyingi kule kwenye kile kisiwa aaa kwako wewe sawa tu au unataka tumchome moto kama wanavyofanyiwa vibaka na police watasema wamechomwa na wananchi wenye hasira kali?
      wacha hizo fikiri kabla ya kuleta hoja sio kwa vile unaweza kuandika.....eti fujo ingtokea umekuwa shehe yahaya wewe

      TOWNSEND.
      Ebu tujiulize Mbowe anasema hamuogopi Kikwete, sawa hamuogopi kwa lipi? Kwani kuna mtu alimwambia kuwa anamuogopa Kikwete, au Waziri Mkuu Mizengo Pinda?

      Kama hakuna kwa nini basi Mbowe afikie hatua ya kutamka hadharani kuwa hawagopi viongozi hao wa taifa? Kuna nini.

    19. #17
      Bra-joe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 584
      Rep Power : 476
      Likes Received
      182
      Likes Given
      0

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Amani ipi iliyopo Tz? Au hujui kama Tz kuna vita kali kati serikali dhidi ya wananchi wake? Au hujui kama watoto na wajawazito wengi wanavyokufa kutokana na Maralia ugonjwa ambao serikali inaweza kuuzuia? watu wangapi hupoteza maisha kwa kukosa huduma ya kwanza pindi ajali zinapotokea kwani hakuna Ems wakati serikali inao uwezo huo? Hujui watu wangapi hupoteza maisha hospitalini kwa kutokuwa na madawa au uzembe wa madaktari? Au hujui jinsi gani mkulima hawezi safirisha mazao yake kutokana na miundombinu duni au pindi anapo cheleweshewa pembejeo na kwa bei ya juu zaidi? Au hujui milipuko ya bei za vitu hapa Tz? Au hujui bila kutoa kitu kidogo a.k.a Rushwa huwezi kushughulikiwa ktk ofisi za serikali? Tz hakuna amani wananchi tunaburuzwa sana.
      Dingswayo and kitenuly like this.

    20. #18
      TOWNSEND's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Location : kwa ngulelo
      Posts : 1,113
      Rep Power : 629
      Likes Received
      196
      Likes Given
      31

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By ritz
      TOWNSEND.
      Ebu tujiulize Mbowe anasema hamuogopi Kikwete, sawa hamuogopi kwa lipi? Kwani kuna mtu alimwambia kuwa anamuogopa Kikwete, au Waziri Mkuu Mizengo Pinda?

      Kama hakuna kwa nini basi Mbowe afikie hatua ya kutamka hadharani kuwa hawagopi viongozi hao wa taifa? Kuna nini.
      mbowe anajuwa police wanatumiwa na viongozi waliopo madarakani ..kumbuka kule kigoma jk alihutubia mpaka saa moja hakuna aliemshusha

      For tommorow belonging to those people who prepared fo it

    21. #19
      Mimibaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Posts : 3,171
      Rep Power : 1533
      Likes Received
      760
      Likes Given
      592

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By ritz
      POMPO.
      Baada ya kauli hiyo ya Mbowe OCD Said alihama kutoka eneo hilo na kusogea eneo lingine na kuondoka kabisa eneo hilo kuepusha shari.
      Toka lini umekuwa msemaji wa umma? OCD alijua alichotakiwa kufanya. ni matokeo ya M4C somo linaeleweka
      Ukweli utakuweka huru daima

    22. #20
      MNAMBOWA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 711
      Rep Power : 526
      Likes Received
      73
      Likes Given
      30

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      cdm hata wakitawala cjuwi watafanya kazi na nani maana hawa polisi wamewa2ukana mn6

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...