Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

    Report Post
    Page 5 of 6 FirstFirst ... 3456 LastLast
    Results 81 to 100 of 104
    1. #1
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,140
      Rep Power : 12552
      Likes Received
      5721
      Likes Given
      739

      Default Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Wanabodi.

      Ninapenda sana hatua ya viongozi wa Chadema kuzunguka mikoani kuimarisha chama chao, ni hatua nzuri ambayo wananchi watapata nafasi kuijua vizuri Chadema ili kufanya maamuzi kama kujitoa ama kubaki ndani ya chama hicho.

      Kila kikundi, chama au taasisi yeyote inapofanya mambo yake bila kuwepo na utaratibu, kuna hatari kubwa ya kutokea fujo.

      Ni hatari kwa kiongozi wa chama kutofuata utaratibu wiki iliyopita Chadema walifanya mkutano wao kule Mtwara, Mbowe alimgomea (OCD) wa Nanyumbu, Mohamed Said, alipokuwa akihutubia eneo la Mangaka, OCD alimtaka Mbowe ashuke jukwaani kwa kuwa muda wa kuhutubia ulikuwa umemalizika saa 12 jioni.

      Mbowe akaanza kusema Jamani OCD anataka niache kuhutubia, sasa nasema wewe OCD mimi ni mbunge na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, hebu sikiliza usitutishe sisi, mimi simuogopi mtu yoyote awe Rais Kikwete, au Waziri Mkuu Pinda, hao nawaheshimu nao wananiheshimu, usitake kujifunzia kazi kwangu, ngoja kwanza niwaulize wananchi, mnasemaje nifunge mkutano nisifunge? Wananchi waliitikia, usifunge.

      Mbowe alichotaka wananchi wamshambule OCD ili fujo itokee watu wapigwe mabomu kisha aseme kuwa polisi wanaonea wananchi, wametumia nguvu nyingi, OCD alikuwa na uwezo wa kuwaamrisha vijana wake kumshusha kwa nguvu.

      Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa.
      Annael and Mzee Kijana like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #81
      Dawa ya Mjinga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Location : Magubike
      Posts : 160
      Rep Power : 538
      Likes Received
      34
      Likes Given
      76

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By ritz
      Naona umekasirika kweli mpaka akili imehama! Mkuu kwa hiyo wewe umetumwa na Mbowe au Slaa? Kwa hiyo Chadema wakichukuwa nchi Watanzania wote watakuwa na maisha mazuri watakula vya halali tupu... mkuu wangu mie siwezi kuingiza mambo ya wazazi wako kuwavunjia heshima sijafundishwa hivyo, mie nimekuachia wewe mkuu ukijisikia kuwavunjia tena heshima tena kama unavyofanya ruksa mie sina kinyongo...

      JF Daima.

      Jazba, munkari na hasira zote za nini? Kwani kitu gani kimeharibika? Mmefarijika na usahaulifu, Fisi Wenu ndio hodari kabisa katika kupitisha muda wa mikutano yao na hakuna, narudia, hakuna polisi yeyote ambaye anaweza kumshusha kiongozi wa Fisi Wenu. Hakika kupitisha muda hakujawahi kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani bila polisi kuingilia. Unabisha? Wapi imetokea?
      Yote tisa, kumi ni kuwa huo ulikuwa mfano wa kuigwa katika kutekeleza dhana halisi ya "ulinzi shirikishi". Angeachiwa polisi (OCD) peke yake angeharibu mambo - hakika amani ingevunjika bila sababu ya maana. Lakini kwa kushirikisha mwananchi (kwa maana hii Mbowe) yote yalienda vema. Ulinzi shirikishi si kwa kulinda mali tu bali pia amani na maisha ya watu.
      "ULINZI SHIRIKISHI" hoyee!

    4. #82
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,140
      Rep Power : 12552
      Likes Received
      5721
      Likes Given
      739

      Default

      Quote By Dawa ya Mjinga
      Jazba, munkari na hasira zote za nini? Kwani kitu gani kimeharibika? Mmefarijika na usahaulifu, Fisi Wenu ndio hodari kabisa katika kupitisha muda wa mikutano yao na hakuna, narudia, hakuna polisi yeyote ambaye anaweza kumshusha kiongozi wa Fisi Wenu. Hakika kupitisha muda hakujawahi kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani bila polisi kuingilia. Unabisha? Wapi imetokea?
      Yote tisa, kumi ni kuwa huo ulikuwa mfano wa kuigwa katika kutekeleza dhana halisi ya "ulinzi shirikishi". Angeachiwa polisi (OCD) peke yake angeharibu mambo - hakika amani ingevunjika bila sababu ya maana. Lakini kwa kushirikisha mwananchi (kwa maana hii Mbowe) yote yalienda vema. Ulinzi shirikishi si kwa kulinda mali tu bali pia amani na maisha ya watu.
      "ULINZI SHIRIKISHI" hoyee!
      Kweli JF kiboko inaibua vipaji mchanganyiko kama huyu nae wanamuita Great Thinkers Chadema-Kata

    5. #83
      Pendael laizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 945
      Rep Power : 559
      Likes Received
      90
      Likes Given
      5

      Default

      Quote By ritz
      Wki iliyopita ndio hili sakata limetokea kule Mtwara, mwezi haujafika mkuu...tukemee hizi tabia za viongozi wa Chadema.
      na nyie magamba nani awakemee?mbona hao polisi hawafkagi katika mikutano ya magamba?

    6. #84
      Dawa ya Mjinga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Location : Magubike
      Posts : 160
      Rep Power : 538
      Likes Received
      34
      Likes Given
      76

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By ritz
      Kweli JF kiboko inaibua vipaji mchanganyiko kama huyu nae wanamuita Great Thinkers Chadema-Kata

      Ukiona Fisi wenu anaikimbia hoja na kuleta viroja ujue maji yamezidi unga, hata afanyeje anaishia kupata uji badala ya ugali. Hivi ulinzi shirikishi si sera yenu Fisi wenu au mmebadili? Mlidhani ushirikishi lazima wa kutumia sungusungu au kuwapa polisi taarifa ili wao walale? Hata wakilala kiakili wanaamshwa. Siwezi kusubiri siku sera hii shirikishi itakapokuwa inatekelezwa upande wa elimu na tiba. Fikiria unamkuta ritz ni daktari shirikishi pale Muhimbili au mwalimu wa zamu shirikishi Tambaza wa somo la "elimu shirikishi", itakuwa shughuli!
      Mtu huanzisha jambo, jambo likawa kubwa, likamshinda, likamwangusha! Amini usiamini huo ndio utekelezaji wa vitendo wa ulinzi shirikishi. Mwisho wa siku kila mmoja anakuwa salama (kwa amani na utulivu). Usisahau kibwagizo hiki muhimu cha Fisi Wenu!

    7. LAT
      #85
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1498
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      ujinga ni kitu kibaya sana

    8. Study Abroad

    9. #86
      KISAKA MORIS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 367
      Rep Power : 429
      Likes Received
      30
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By ritz
      Wanabodi.

      Ninapenda sana hatua ya viongozi wa Chadema kuzunguka mikoani kuimarisha chama chao, ni hatua nzuri ambayo wananchi watapata nafasi kuijua vizuri Chadema ili kufanya maamuzi kama kujitoa ama kubaki ndani ya chama hicho.

      Kila kikundi, chama au taasisi yeyote inapofanya mambo yake bila kuwepo na utaratibu, kuna hatari kubwa ya kutokea fujo.

      Ni hatari kwa kiongozi wa chama kutofuata utaratibu wiki iliyopita Chadema walifanya mkutano wao kule Mtwara, Mbowe alimgomea (OCD) wa Nanyumbu, Mohamed Said, alipokuwa akihutubia eneo la Mangaka, OCD alimtaka Mbowe ashuke jukwaani kwa kuwa muda wa kuhutubia ulikuwa umemalizika saa 12 jioni.

      Mbowe akaanza kusema Jamani OCD anataka niache kuhutubia, sasa nasema wewe OCD mimi ni mbunge na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, hebu sikiliza usitutishe sisi, mimi simuogopi mtu yoyote awe Rais Kikwete, au Waziri Mkuu Pinda, hao nawaheshimu nao wananiheshimu, usitake kujifunzia kazi kwangu, ngoja kwanza niwaulize wananchi, mnasemaje nifunge mkutano nisifunge? Wananchi waliitikia, usifunge.

      Mbowe alichotaka wananchi wamshambule OCD ili fujo itokee watu wapigwe mabomu kisha aseme kuwa polisi wanaonea wananchi, wametumia nguvu nyingi, OCD alikuwa na uwezo wa kuwaamrisha vijana wake kumshusha kwa nguvu.

      Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa.
      Yote uliyoandika mbona tunayasikia kwako, huu ni unaa wa hali ya juu, majungu hayatakusaidia okoa chama chako cha magamba.

    10. #87
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,140
      Rep Power : 12552
      Likes Received
      5721
      Likes Given
      739

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Kwa kawaida mikutano yote ya hadhara hutakiwa kumalizika saa 12 jioni, na si zaidi ya hapo, kuzingatia mambo mengi ikiwa ni pamoja na kwa kutoa nafasi kwa watu wanaotoka mbali kurejea makwao mapema, sababu nyingine ikiwa ni urahisi wa kudhibiti endapo itatokea vurugu kwani ni vigumu kuzuia au kupambana na watu wanaoleta fujo nyakati za usiku...sasa Mbowe anataka kuhutubia mpaka usiku fujo zitokee malengo yake yafanikiwe.

    11. #88
      tabu kuishi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 211
      Rep Power : 393
      Likes Received
      12
      Likes Given
      10

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By ritz
      Wanabodi.

      Ninapenda sana hatua ya viongozi wa Chadema kuzunguka mikoani kuimarisha chama chao, ni hatua nzuri ambayo wananchi watapata nafasi kuijua vizuri Chadema ili kufanya maamuzi kama kujitoa ama kubaki ndani ya chama hicho.

      Kila kikundi, chama au taasisi yeyote inapofanya mambo yake bila kuwepo na utaratibu, kuna hatari kubwa ya kutokea fujo.

      Ni hatari kwa kiongozi wa chama kutofuata utaratibu wiki iliyopita Chadema walifanya mkutano wao kule Mtwara, Mbowe alimgomea (OCD) wa Nanyumbu, Mohamed Said, alipokuwa akihutubia eneo la Mangaka, OCD alimtaka Mbowe ashuke jukwaani kwa kuwa muda wa kuhutubia ulikuwa umemalizika saa 12 jioni.

      Mbowe akaanza kusema Jamani OCD anataka niache kuhutubia, sasa nasema wewe OCD mimi ni mbunge na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, hebu sikiliza usitutishe sisi, mimi simuogopi mtu yoyote awe Rais Kikwete, au Waziri Mkuu Pinda, hao nawaheshimu nao wananiheshimu, usitake kujifunzia kazi kwangu, ngoja kwanza niwaulize wananchi, mnasemaje nifunge mkutano nisifunge? Wananchi waliitikia, usifunge.

      Mbowe alichotaka wananchi wamshambule OCD ili fujo itokee watu wapigwe mabomu kisha aseme kuwa polisi wanaonea wananchi, wametumia nguvu nyingi, OCD alikuwa na uwezo wa kuwaamrisha vijana wake kumshusha kwa nguvu.

      Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa.
      Amani ya kifisadi ndo amani?kwa taarifa yako Tz hakuna amani ila kuna utulivu,watu wamechoka kuliko unavyofikiria wewe,hao polisi wenyewe wangekuwa wanafuata sheria wangekuwa wanaua watu kila kukicha?au mnaona uvumilivu wa watz ni ujinga?mnachukulia mambo kirahisi2 sana mnachukulia poa kwa sababu una uhakika wa kwenda choo.Acha ujinga wewe na magamba wenzako angalieni cha kupost

    12. #89
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,140
      Rep Power : 12552
      Likes Received
      5721
      Likes Given
      739

      Default

      Quote By Pendael laizer
      na nyie magamba nani awakemee?mbona hao polisi hawafkagi katika mikutano ya magamba?
      Chadema jaribuni kuheshimu na kutii sheria za nchi, na msichezee vyombo vya dola kwa kisingizio cha nguvu ya umma.

    13. #90
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,140
      Rep Power : 12552
      Likes Received
      5721
      Likes Given
      739

      Default

      Quote By tabu kuishi
      Amani ya kifisadi ndo amani?kwa taarifa yako Tz hakuna amani ila kuna utulivu,watu wamechoka kuliko unavyofikiria wewe,hao polisi wenyewe wangekuwa wanafuata sheria wangekuwa wanaua watu kila kukicha?au mnaona uvumilivu wa watz ni ujinga?mnachukulia mambo kirahisi2 sana mnachukulia poa kwa sababu una uhakika wa kwenda choo.Acha ujinga wewe na magamba wenzako angalieni cha kupost
      Mkuu ukiwa kiongozi yeyote au raia wanapaswa kuzingatia taratibu na kuheshimu sheria za nchi bila kujali muhusika anacheo gani mbele ya jamii iliyomzunguka.

    14. #91
      tabu kuishi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 211
      Rep Power : 393
      Likes Received
      12
      Likes Given
      10

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By MNAMBOWA
      cdm hata wakitawala cjuwi watafanya kazi na nani maana hawa polisi wamewa2ukana mn6
      Kwa akili yako ya kijinga unafikiri hao polisi wanafurahia utawala uliopo au ni huo utii na sheria zilizopo ndo zinawabana,laiti ungejua wanatamani leo kesho magamba ipigwe chini

    15. #92
      Ibrah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2007
      Location : TZ
      Posts : 2,883
      Rep Power : 1198
      Likes Received
      402
      Likes Given
      46

      Default

      Quote By ritz
      Hivi kama OCD Said, angetoa amri kwa... polisi ...kumshusha kwa nguvu Mbowe ...mtakuwa wa kwanza kulalamika kuwa polisi wametumia...
      Ritz acha ujinga, CCM ndio walioanza na kulea tabia ya kuvunja sheria. Kama CCM wangekuwa watii wa sheria Mbowe asingekuwa jasiri wa kumvimbia OCD.
      Kwenye kampeni wa JK 2010 Arusha. JK alifika saa 12 jioni na kumaliza saa 1 usiku. CDM walipolalamika Tendwa akawatetea CCM kipuuzi. Mnatumia Dola kulea upuzi halafu CDM wakiidharau mnalalamika.

    16. #93
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1507
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By Ibrah
      Ritz acha ujinga, CCM ndio walioanza na kulea tabia ya kuvunja sheria. Kama CCM wangekuwa watii wa sheria Mbowe asingekuwa jasiri wa kumvimbia OCD.
      Kwenye kampeni wa JK 2010 Arusha. JK alifika saa 12 jioni na kumaliza saa 1 usiku. CDM walipolalamika Tendwa akawatetea CCM kipuuzi. Mnatumia Dola kulea upuzi halafu CDM wakiidharau mnalalamika.
      Hivi nyie CHADEMA mnajifanya mko makini kwa lipi? mbona hata hiki kidogo mmeshindwa? Umeshindwa kidogo utaweza kikubwa? no way CHADEMA haifai itatupeleka pabaya.
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    17. #94
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,140
      Rep Power : 12552
      Likes Received
      5721
      Likes Given
      739

      Default

      Quote By Ibrah
      Ritz acha ujinga, CCM ndio walioanza na kulea tabia ya kuvunja sheria. Kama CCM wangekuwa watii wa sheria Mbowe asingekuwa jasiri wa kumvimbia OCD.
      Kwenye kampeni wa JK 2010 Arusha. JK alifika saa 12 jioni na kumaliza saa 1 usiku. CDM walipolalamika Tendwa akawatetea CCM kipuuzi. Mnatumia Dola kulea upuzi halafu CDM wakiidharau mnalalamika.
      Ibrah
      Kulikuwa na umuhimu gani Mbowe kutaja vyeo vyote, kuwa ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni? Kwani OCD hajui kuwa Mbowe ni Mbunge wa Hai na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni au alikuwa akimtangazia nani vyeo vyake hivyo?

    18. #95
      mukama talemwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Posts : 84
      Rep Power : 417
      Likes Received
      9
      Likes Given
      4

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By ritz
      TOWNSEND.
      Ebu tujiulize Mbowe anasema hamuogopi Kikwete, sawa hamuogopi kwa lipi? Kwani kuna mtu alimwambia kuwa anamuogopa Kikwete, au Waziri Mkuu Mizengo Pinda?

      Kama hakuna kwa nini basi Mbowe afikie hatua ya kutamka hadharani kuwa hawagopi viongozi hao wa taifa? Kuna nini.
      Kwani wewe viongozi wako uanawaogopa au ua waheshimu?Suala la busara ni HESHIMA na siyo KOGOPA

    19. #96
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,140
      Rep Power : 12552
      Likes Received
      5721
      Likes Given
      739

      Default

      Quote By Annael
      Hivi nyie CHADEMA mnajifanya mko makini kwa lipi? mbona hata hiki kidogo mmeshindwa? Umeshindwa kidogo utaweza kikubwa? no way CHADEMA haifai itatupeleka pabaya.
      Mkuu wangu mpenda amani Annael.

      Kama unakumbuka mwaka 2005 Augustine Mrema alishushwa jukwaani kwa nguvu na kunyang'anjwa kipaza sauti na OCD wa Moshi kipindi hicho Mwakyoma, kwenye soko la Himo...baadae Mrema aliomba radhi kwa kufanya mkutano wakati muda umeisha na kusisitiza wampigie kura hawezi kurudia tena.

    20. #97
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,140
      Rep Power : 12552
      Likes Received
      5721
      Likes Given
      739

      Default

      Quote By mukama talemwa
      Kwani wewe viongozi wako uanawaogopa au ua waheshimu?Suala la busara ni HESHIMA na siyo KOGOPA
      Mukama.
      Kwani kuna mtu alimwambia Mbowe kuwa anamuogopa Kikwete, au Waziri Mkuu Pinda?

    21. #98
      Imany John's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,963
      Rep Power : 2975
      Likes Received
      470
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By ritz
      Mbowe ndio Mwenyekiti wa Chadema kamtolea kauli ya vitisho OCD, sijui ulitaka nimzungumzie nani? sasa sijui wapi nimekichafua chama..

      Mie ni Mtanzania mpenda amani napambana na wote wanaotaka kuleta machafuko nchini.
      Kaka unapambana na nini katika tz?

    22. #99
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,140
      Rep Power : 12552
      Likes Received
      5721
      Likes Given
      739

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By Imany John
      Kaka unapambana na nini katika tz?
      Napambana na matapeli wa siasa..
      "Kuna kontena la futi 40 lilobeba karatasi za kupigia kura limekamatwa Tunduma" Dk W. Slaa

    23. #100
      SALOK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2011
      Location : Some where!!
      Posts : 1,167
      Rep Power : 620
      Likes Received
      222
      Likes Given
      207

      Default

      Quote By tabu kuishi
      kwa akili yako ya kijinga unafikiri hao polisi wanafurahia utawala uliopo au ni huo utii na sheria zilizopo ndo zinawabana,laiti ungejua wanatamani leo kesho magamba ipigwe chini
      punguza ukali wa maneno mkuu

    24. Miaka 50
    Page 5 of 6 FirstFirst ... 3456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...