Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

    Report Post
    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast
    Results 61 to 80 of 104
    1. #1
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,152
      Rep Power : 12555
      Likes Received
      5732
      Likes Given
      742

      Default Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Wanabodi.

      Ninapenda sana hatua ya viongozi wa Chadema kuzunguka mikoani kuimarisha chama chao, ni hatua nzuri ambayo wananchi watapata nafasi kuijua vizuri Chadema ili kufanya maamuzi kama kujitoa ama kubaki ndani ya chama hicho.

      Kila kikundi, chama au taasisi yeyote inapofanya mambo yake bila kuwepo na utaratibu, kuna hatari kubwa ya kutokea fujo.

      Ni hatari kwa kiongozi wa chama kutofuata utaratibu wiki iliyopita Chadema walifanya mkutano wao kule Mtwara, Mbowe alimgomea (OCD) wa Nanyumbu, Mohamed Said, alipokuwa akihutubia eneo la Mangaka, OCD alimtaka Mbowe ashuke jukwaani kwa kuwa muda wa kuhutubia ulikuwa umemalizika saa 12 jioni.

      Mbowe akaanza kusema Jamani OCD anataka niache kuhutubia, sasa nasema wewe OCD mimi ni mbunge na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, hebu sikiliza usitutishe sisi, mimi simuogopi mtu yoyote awe Rais Kikwete, au Waziri Mkuu Pinda, hao nawaheshimu nao wananiheshimu, usitake kujifunzia kazi kwangu, ngoja kwanza niwaulize wananchi, mnasemaje nifunge mkutano nisifunge? Wananchi waliitikia, usifunge.

      Mbowe alichotaka wananchi wamshambule OCD ili fujo itokee watu wapigwe mabomu kisha aseme kuwa polisi wanaonea wananchi, wametumia nguvu nyingi, OCD alikuwa na uwezo wa kuwaamrisha vijana wake kumshusha kwa nguvu.

      Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa.
      Annael and Mzee Kijana like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #61
      Tukundane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2012
      Posts : 867
      Rep Power : 803
      Likes Received
      130
      Likes Given
      0

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Sasa kama mbowe alikataa kusitisha mkutano kuna uvunjifu wa amani wowote uliotokea?.kama hakuna uvunjifu wa amani uliotokea basi mbowe alikuwa yuko sahihi.

    4. #62
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,152
      Rep Power : 12555
      Likes Received
      5732
      Likes Given
      742

      Default

      Quote By Gwalihenzi
      Wewe hukuwepo huko Mangaka kwenye tukio, sasa haya majungu ya nini? unatumika kama kondom mwishowe utaishia choo cha shimo!
      Afadhali kuchakaa nguo unaweza kununua zingine kuliko kuchakaa akili utanunua wapi? Sasa wewe umechakaa akili sina cha kukusaidia zaidi ya kukuombea kwa Mungu.

    5. #63
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1507
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By Biohazard
      Mamlaka ni nn?
      Je ukiulizwa leo mamlaka ya tanzania ni ipi utajibu nn?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    6. #64
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,405
      Rep Power : 991
      Likes Received
      773
      Likes Given
      259

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By ritz
      POMPO.
      Baada ya kauli hiyo ya Mbowe OCD Said alihama kutoka eneo hilo na kusogea eneo lingine na kuondoka kabisa eneo hilo kuepusha shari.
      Kwa hiyo unakiri kwamba wanaoleta shari siku zote ni policeccm kwa kutotumia akili?
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    7. #65
      rasmanyara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th September 2011
      Location : Arusha
      Posts : 150
      Rep Power : 418
      Likes Received
      8
      Likes Given
      8

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Mbona waujumi Uchumi wetu,i.e Viongozi chama tawala hawana limit ya kiasi cha Pesa wanazo jichumia kimagendo?? Mbowe yuko sahihi na ameruhusiwa kuendelea na wenye mamlaka ya kuruhusu,hao ni Umma!

    8. Miaka 50

    9. #66
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,365
      Rep Power : 990
      Likes Received
      308
      Likes Given
      210

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By Annael
      Je ukiulizwa leo mamlaka ya tanzania ni ipi utajibu nn?
      M a i n i

    10. #67
      kitenuly's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 302
      Rep Power : 419
      Likes Received
      48
      Likes Given
      182

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By ritz
      Wanabodi.

      Ninapenda sana hatua ya viongozi wa Chadema kuzunguka mikoani kuimarisha chama chao, ni hatua nzuri ambayo wananchi watapata nafasi kuijua vizuri Chadema ili kufanya maamuzi kama kujitoa ama kubaki ndani ya chama hicho.

      Kila kikundi, chama au taasisi yeyote inapofanya mambo yake bila kuwepo na utaratibu, kuna hatari kubwa ya kutokea fujo.

      Ni hatari kwa kiongozi wa chama kutofuata utaratibu wiki iliyopita Chadema walifanya mkutano wao kule Mtwara, Mbowe alimgomea (OCD) wa Nanyumbu, Mohamed Said, alipokuwa akihutubia eneo la Mangaka, OCD alimtaka Mbowe ashuke jukwaani kwa kuwa muda wa kuhutubia ulikuwa umemalizika saa 12 jioni.

      Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa.
      Je serikali ya ccm inafuata utaratibu wa sheria? basi mafisadi, na wabadhilifu kila mahali wangekuwa wamechukuliwa hatua, hilo vipi hulioni ? matumizi mabaya ya serikali hilo hulioni? yote hayo hayafuati utaratibu unaoutaka wewe. mikutano ya chadema ina madhumuni ya kudai haki kwa amani. naona wewe unamdu milo 3 kwa siku, ndo sababu unasema amani inataka chezewa, hiyvo mnatetea hiyo amani kwa kugandamiza democracy, kumekucha usivute shuka.

    11. #68
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1507
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By Biohazard
      M a i n i
      Basi huo ndio mwisho wa upeo wako. Bali mamlaka ya Tanzania ni serikali iliyopo madarakani ambayo ni:-
      1. Chama tawala
      2. Vyombo vya usalama
      3. Vyombo vya utendaji

      Pokea elimu ya bure hiyo!
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    12. #69
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,589
      Rep Power : 1745
      Likes Received
      698
      Likes Given
      386

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Chadema ni janga la kitaifa. Wananchi wanalikumbatia.

    13. #70
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,152
      Rep Power : 12555
      Likes Received
      5732
      Likes Given
      742

      Default

      Quote By Power
      Kwa hiyo unakiri kwamba wanaoleta shari siku zote ni policeccm kwa kutotumia akili?
      Hivi kama OCD Said, angetoa amri kwa vijana wake polisi walikuwa wakilinda mkutano huo kumshusha kwa nguvu Mbowe kutoka jukwaani leo tungeongea mengine, nyie ndio mtakuwa wa kwanza kulalamika kuwa polisi wametumia nguvu nyingi kuvunja mkutano.

    14. #71
      WAHEED SUDAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 2,842
      Rep Power : 2970
      Likes Received
      479
      Likes Given
      315

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      amani ipi wananchi waliyonayo? Au unamaanisha uvumilivu walionao watanzania?

    15. #72
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,066
      Rep Power : 1433
      Likes Received
      478
      Likes Given
      72

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Ritz,

      Wanaowatumia raia wema ni CCM watoa T-shirt na chakula ili waendelee kutawala. Siyo CDM wanaowambia wananchi ukweli!!!
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    16. #73
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By ritz
      Afadhali kuchakaa nguo unaweza kununua zingine kuliko kuchakaa akili utanunua wapi? Sasa wewe umechakaa akili sina cha kukusaidia zaidi ya kukuombea kwa Mungu.
      Mkuu ritz, usinionee huruma mimi, wala usiniombee kwa Mungu, jionee huruma wewe mwenyewe kwanza unayetumiwa kama kondomu na mafisadi wanaohujumu nchi hii na kutuumiza watanzania wote bila huruma pamoja na wazazi wako. Najua malipo haramu unayolipwa na mashetani una warushia hata wazazi wako, lakini je, wanastahili kula makombo kwa gharama ya watanzania wenzao?

    17. #74
      kula kwa tindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 416
      Rep Power : 462
      Likes Received
      70
      Likes Given
      40

      Default

      Quote By Hingi Jr
      Ni kweli kabisa!unajua viongozi wa CDM wanajifanya wako juu ya sheria lakini cha moto waliisha kiona hata wenyewe wana kumbukumbu ya yaliyotokea Arusha kwa mbwembwe hizohizo.Sisi wananchi tunajua ni CCM pekee nchi hii inayopenda kudumisha Amani na upendo kwa watanzania.
      Wewe ni MBIGA... Hivi CCM na CDM nani yuko juu ya sheria? Uhamiaji ninyi,ulinzi n usalama ninyi,Mahakama nk zote numezicmamia kichwani, nani hayajui hayo? Kama huna lakuchangia soma then sepa....

    18. #75
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,152
      Rep Power : 12555
      Likes Received
      5732
      Likes Given
      742

      Default

      Quote By Gwalihenzi
      Mkuu ritz, usinionee huruma mimi, wala usiniombee kwa Mungu, jionee huruma wewe mwenyewe kwanza unayetumiwa kama kondomu na mafisadi wanaohujumu nchi hii na kutuumiza watanzania wote bila huruma pamoja na wazazi wako. Najua malipo haramu unayolipwa na mashetani una warushia hata wazazi wako, lakini je, wanastahili kula makombo kwa gharama ya watanzania wenzao?
      Naona umekasirika kweli mpaka akili imehama! Mkuu kwa hiyo wewe umetumwa na Mbowe au Slaa? Kwa hiyo Chadema wakichukuwa nchi Watanzania wote watakuwa na maisha mazuri watakula vya halali tupu... mkuu wangu mie siwezi kuingiza mambo ya wazazi wako kuwavunjia heshima sijafundishwa hivyo, mie nimekuachia wewe mkuu ukijisikia kuwavunjia tena heshima tena kama unavyofanya ruksa mie sina kinyongo...

      JF Daima.

    19. #76
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,496
      Rep Power : 2078
      Likes Received
      1059
      Likes Given
      1568

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By Hingi Jr
      Ni kweli kabisa!unajua viongozi wa CDM wanajifanya wako juu ya sheria lakini cha moto waliisha kiona hata wenyewe wana kumbukumbu ya yaliyotokea Arusha kwa mbwembwe hizohizo.Sisi wananchi tunajua ni CCM pekee nchi hii inayopenda kudumisha Amani na upendo kwa watanzania.
      Umeelewa topic au ndo kudandia gari wakati hujui laelekea wapi? Tatizo lenu ni kupenda kuchangia sana wakati mada hujui!!!! Hata sielewi amani unayoiongelea nilishasema kuwa peace is not only the absence of guns and bomb blasts, its more than that!!!!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    20. #77
      Expedito Mduda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2009
      Posts : 251
      Rep Power : 541
      Likes Received
      30
      Likes Given
      33

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Mnyalu gani wewe?

    21. #78
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      Quote By ritz
      Naona umekasirika kweli mpaka akili imehama! Mkuu kwa hiyo wewe umetumwa na Mbowe au Slaa? Kwa hiyo Chadema wakichukuwa nchi Watanzania wote watakuwa na maisha mazuri watakula vya halali tupu... mkuu wangu mie siwezi kuingiza mambo ya wazazi wako kuwavunjia heshima sijafundishwa hivyo, mie nimekuachia wewe mkuu ukijisikia kuwavunjia tena heshima tena kama unavyofanya ruksa mie sina kinyongo...

      JF Daima.
      Mkuu wangu ritz, bahati mbaya sana kwako ni kuwa huna ulichowahi kufundishwa zaidi ya kujipendekeza kwa watawala na kuwakashifu watu wanaopambana udhalimu. Ni ndani ya ulimbukeni huo ndio maana una thubutu kumwaga mitusi kama hii kwa wengine!

      Quote By ritz
      Afadhali kuchakaa nguo unaweza kununua zingine kuliko kuchakaa akili utanunua wapi? Sasa wewe umechakaa akili sina cha kukusaidia zaidi ya kukuombea kwa Mungu.

    22. #79
      KOMBESANA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2009
      Posts : 525
      Rep Power : 610
      Likes Received
      114
      Likes Given
      1460

      Default Re: Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa

      kwa wenye akili kidogo mleta mada alihitaji msimame kufikiri badala ya kuwafikirisha .mimi mwisho wa kuchangia mada za Ritz ni hapa ,hana hoja wala kitu cha kusumbua akili, pia hasaidiki,

    23. #80
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4279
      Likes Given
      906

      Default

      Quote By Mzee
      Chadema ni janga la kitaifa. Wananchi wanalikumbatia.
      wewe siyo mzee bali mtoto

    24. Study Abroad
    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...