Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 70
    1. #1
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,859
      Rep Power : 6968
      Likes Received
      2014
      Likes Given
      1551

      Default Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      Nimesoma gazeti la Tanzania daima ambapo nimeona kati ya majina yaliyotajwa ya waasisi wa CHADEMA mmojawapo ni Stephen Wassira. Sijaamini! Au kuna Wasira mwingine tofauti na huyu tunayemfahamu?

      Katika kuonesha kukerwa na kauli hiyo, Mbowe alilazimika kuwataja waasisi na mikoa yao kuwa ni Edwin Mtei (Arusha), Makani (Shinyanga), Marehemu Brown Ngwilupipi (Iringa), Edward Barongo (Kagera), Mary Kabigi (Mbeya), Menrad Mtungi (Kagera), Costa Shinganya (Kigoma), Evalist Maembe (Morogoro) na Steven Wassira (Mara).
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      He is the one.

    4. #3
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,061
      Rep Power : 1081
      Likes Received
      667
      Likes Given
      465

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      Wamekosea, muasisi ni mdogo wake Steven aitwaye George Wasira.
      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    5. #4
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,705
      Rep Power : 10173
      Likes Received
      5667
      Likes Given
      12666

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      offcourse..
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    6. #5
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,065
      Rep Power : 922
      Likes Received
      835
      Likes Given
      0

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      Hapana kumetolewa ufafanunzi somewhere kwamba ni typos mwanzilishi wa CDM ni GEORGE WASSIRA mdogo wake na STEVEN WASSIRA.
      Jasusi and Lukolo like this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Kalumbesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Location : Shamba
      Posts : 864
      Rep Power : 603
      Likes Received
      266
      Likes Given
      120

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      Kwani ulikuwa haujui kwamba back then Mzee wa Gombe alikuwa mpinzani?

    9. #7
      Capt Tamar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2011
      Posts : 1,702
      Rep Power : 1034
      Likes Received
      414
      Likes Given
      1

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      Inawezekana! Nimewahi kusikia kuwa ukiwa muumini mzuri wa dini ya haki,then ukaja kuasi na kurudia uchafu,akili yako haitakaa sawasawa,I mean utakuwa kama vile umechanganyikiwa hivi.

    10. #8
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,410
      Rep Power : 993
      Likes Received
      774
      Likes Given
      259

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      Ni wakati ule alipokuwa akitafuta pa kujificha baada ya kumkimbia warioba ccm, akaishia kutua nccr ambako nako njaa ilimtengeneza akaamua kurudi kujisalimisha ccm. Namshangaa sana huyu mnafiki anavyowaponda wapinzani na kujifanya yeye ni ccm damu damu kumbe njaa tu.
      KOMBESANA and Lukolo like this.
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    11. #9
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,315
      Rep Power : 1200
      Likes Received
      1184
      Likes Given
      1560

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      Hata Mwalimu Yesu alieleza kwamba mtu akitokwa na pepo mchafu alafu pepo hilo likamrudia hali yake inakuwa mbaya zaidi ya ile ya mwanzo.
      Lukolo and QUALITY like this.

    12. #10
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,170
      Rep Power : 24271
      Likes Received
      4677
      Likes Given
      2296

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      Ni mwasisi wa CDM, baadaye akaenda kuiasisi NCCR
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    13. #11
      AMARIDONG's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2010
      Posts : 2,488
      Rep Power : 949
      Likes Received
      53
      Likes Given
      47

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      NDIO HUYO HUYO AMEASISI PIA NCCR KAMA SIKOSEI HUYO NI KAMA WALE WANAWAKE WA OHIO WANAITWAJE???AU KAMA ILE SPANA INAYOFUNGUA NAT ZOTE hahahahaaa SURA YAKE SIJUI KINA MZEE MTEI WALIMPENDEA NINI
      MAKAH likes this.
      ONLY WISE MAN CAN PLAY THE MELODY OF LIFE

    14. #12
      DALLAI LAMA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 8th March 2012
      Posts : 2,831
      Rep Power : 0
      Likes Received
      697
      Likes Given
      0

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      Ni mmoja wa waanzilishi na kazi yake kubwa ktk vikao ni kukaa mlangoni/getini kulinda dhidi ya usalama wa taifa coz enzi hizo vikao vya siasa dhidi ya serikali ni wahaini
      Mkono likes this.

    15. #13
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,974
      Rep Power : 1217
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      Labda kipindi hicho alikuwa zimetimia kichwani.Ila nimeamini mtu akihamia dini nyingine anakuwa na msimamo mkali kuliko aliowakuta
      KOMBESANA and Sunday Ngakama like this.

    16. #14
      TUNTUUU's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 19
      Rep Power : 399
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Bobuk
      Hapana kumetolewa ufafanunzi somewhere kwamba ni typos mwanzilishi wa CDM ni GEORGE WASSIRA mdogo wake na STEVEN WASSIRA.
      For my knwledge Steven Wassira ni muasisis wa NCCR

    17. #15
      kaeso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 551
      Rep Power : 524
      Likes Received
      91
      Likes Given
      158

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      Quote By Mtanzania Imara
      Kwani ulikuwa haujui kwamba back then Mzee wa Gombe alikuwa mpinzani?
      Mimi ninavyojua alikuwa NCCR.

    18. #16
      WildCard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2008
      Posts : 6,453
      Rep Power : 1979
      Likes Received
      1797
      Likes Given
      59

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      Quote By Mungi
      Ni mwasisi wa CDM, baadaye akaenda kuiasisi NCCR
      Stephen Wassira hajawahi kuwa muasisi wa chama chochote nchi hii. Alionyesha nia ya kuanzisha chama wakati fulani lakini ukata ukawa umemkwida kwelikweli. Baadae CCM-MTANDAO wakamwokota kwa bei nafuu sana akiwa mchezaji huru. Rostam akasimamia zoezi zima la kumsajili upya CCM. Sasa hivi hajambo kabisa. Yuko CC ya CCM na ni Cabinet Member wa serikali ya JMK. Hatakaa amsahau Rostam.
      Lukolo likes this.

    19. #17
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,794
      Rep Power : 2148
      Likes Received
      1221
      Likes Given
      545

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      duh zee la gombe, maskini njaa inamsumbua si arudi tu home sweet home Gombe reserve

    20. #18
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,264
      Rep Power : 12577
      Likes Received
      5809
      Likes Given
      768

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      Kumbe Wassira ndio kati ya waasisi wa Chadema..

    21. #19
      Shardcole's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By ritz
      Kumbe Wassira ndio kati ya waasisi wa Chadema..
      hayo ni maoni yako ama mshangao?!

    22. #20
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,859
      Rep Power : 6968
      Likes Received
      2014
      Likes Given
      1551

      Default Re: Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

      Quote By Mtanzania Imara
      Kwani ulikuwa haujui kwamba back then Mzee wa Gombe alikuwa mpinzani?
      Yah, but najua alikuwa NCCR mageuzi. Hata hivyo nashukuru kwa ufafanuzi wa baadhi ya watu kwamba mhusika halisi ni George Wassira na si Stephen Wassira.
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...