Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 60
    1. #1
      rosemarie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,732
      Rep Power : 1366
      Likes Received
      280
      Likes Given
      142

      Default Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru) mkoa wa Kilimanjaro imeingia katika malumbano na Mbunge wa Jimbo la Moshi mjini, Philemon Ndesamburo.

      Malumbano hayo yanatokana na taarifa zilizozagaa kuwa Takukuru wamepelekewa majina ya madiwani watano wa Chadema wanaotuhumiwa kujihusisha na vitendo vya rushwa.

      Habari hizo zinadai kuwa madiwani hao wamekuwa wakishinikiza kutolewa kwa vibali vya ujenzi na kuruhusu ujenzi holela na ukarabati wa majengo chakavu ndani ya mji huo.

      Hata hivyo Katibu wa mbunge huyo, Basil Lema alipoulizwa jana, alikiri kupewa taarifa ya Takukuru kupelekewa majina lakini anashangaa taasisi hiyo kutochukua hatua.

      “Mimi na mheshimiwa Ndesamburo tulikwenda kuonana na kamanda wa Takukuru juu ya jambo hilo ambalo kimsingi linakipaka matope chama bila sababu,” alisema Lema.

      Lema alisema katika mazungumzo yao, Lema alimkariri Kamanda huyo akikiri kuwa na majina ya madiwani hao na kwamba wanatuhumiwa kushinikiza utoaji wa vibali vya ujenzi.

      “Hoja ya Ndesamburo ni kuwa mwenye mamlaka kisheria kutoa vibali ni mkurugenzi kwa hiyo mwisho wa siku kama vipo vibali jambo hilo linarudi kwa mkurugenzi,” alisema.

      Lema alisema anaongea kwa niaba ya mbunge huyo, alisema kama wapo madiwani wanaotuhumiwa katika kashfa hiyo washtakiwe kama watu binafsi bila kuhusisha chama.

      Hata hivyo kamanda wa Takukuru, Lawrence Swema alipohojiwa jana alisema hajawahi kupokea majina ya madiwani hao licha ya kumtaka Ndesamburo ampelekee majina hayo.

      Swema alisema tangu Ndesamburo na Lema wafike ofisini kwake na kuwataka walete ushahidi wa majengo yaliyotolewa vibali, hadi jana walikuwa hawajarudi ofisini kwake.

      Lema alipoulizwa kwa mara ya pili kuhusu msimamo huo wa Takukuru, alisema wao hawakwenda kupeleka majina bali kupata ufafanuzi wa kuwapo kwa majina hayo.


      CHANZO: Mwananchi
      ccm inakufa,asante mungu umesikia kilio chetu!!!!!!!

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default re: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      Mlitegemea nini kutoka kwa wachagga? tazama TRA ilivyo, wanakula rushwa waziwazi, lakini kwa kuwa majority ni wao kwa wao, wanalindana.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    4. #3
      Kimbito nyama's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2012
      Posts : 156
      Rep Power : 390
      Likes Received
      38
      Likes Given
      19

      Default re: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      Quote By zomba
      Mlitegemea nini kutoka kwa wachagga? tazama TRA ilivyo, wanakula rushwa waziwazi, lakini kwa kuwa majority ni wao kwa wao, wanalindana.
      Mzoga! unadhani madiwani wa Moshi mjini ni wachaga wote? Jitahidi kutumia akili angalau 10%.
      ngokowalwa and PORIKWAPORI like this.

    5. #4
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,349
      Rep Power : 18614
      Likes Received
      3508
      Likes Given
      1663

      Default Re: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      Mbona habari inasema takukuru wanamajina ya hao madiwani, kamanda wao amehojiwa anasema anasubiri majina kutoka kwa mbunge! Hapo pana kaudaku flani. Inaonekana kuna habari za zilizomfikia mbunge kuhusisha madiwani na alipoenda kuuliza takukuru wakawa hawana habari. Hence the story is not valid!

    6. #5
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,710
      Rep Power : 22526
      Likes Received
      6361
      Likes Given
      2842

      Default Re: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      Kama wamekula rushwa au kupindisha haki kwa namna yoyote, TAKUKURU panawastahili!
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    7. Miaka 50

    8. #6
      Imany John's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 2977
      Likes Received
      471
      Likes Given
      4

      Default Re: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      halaf mods muache mambo ya ajabu,nimekuwa mtu wakwanza kukomenti hapa,lakini cha ajabu post yangu mmeiondoa kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu.
      Na hii sio mara yakwanza,kiukweli mnazingua.

    9. #7
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,349
      Rep Power : 18614
      Likes Received
      3508
      Likes Given
      1663

      Default

      Quote By zomba
      Mlitegemea nini kutoka kwa wachagga? tazama TRA ilivyo, wanakula rushwa waziwazi, lakini kwa kuwa majority ni wao kwa wao, wanalindana.
      wewe ndiye zomba kweli. Ukabila unahusiana nini na habari hii? Au ukisikia Moshi tu moto unakuunguza!
      PORIKWAPORI likes this.

    10. #8
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,349
      Rep Power : 18614
      Likes Received
      3508
      Likes Given
      1663

      Default

      Quote By Imany John
      halaf mods muache mambo ya ajabu,nimekuwa mtu wakwanza kukomenti hapa,lakini cha ajabu post yangu mmeiondoa kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu.
      Na hii sio mara yakwanza,kiukweli mnazingua.
      Mkuu, mbona hata thread haioneshi kwamba kuna post iliyofutwa!? Na kama imefutwa si uipost tena? Au ulitaka tu uonekane ni wakwanza ku post?

    11. #9
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      Quote By Filipo
      wewe ndiye zomba kweli. Ukabila unahusiana nini na habari hii? Au ukisikia Moshi tu moto unakuunguza!
      Hujui sifa kuu ya Wachagga ni nini?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    12. #10
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      Quote By Kimbito nyama
      Mzoga! unadhani madiwani wa Moshi mjini ni wachaga wote? Jitahidi kutumia akili angalau 10%.
      Hao wenye shutuma wote Wachagga. Udiwani tu mmeshaanza, Jee mkipewa nchi nzima?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    13. #11
      Imany John's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 2977
      Likes Received
      471
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By zomba
      Mlitegemea nini kutoka kwa wachagga? tazama TRA ilivyo, wanakula rushwa waziwazi, lakini kwa kuwa majority ni wao kwa wao, wanalindana.
      Faizafoxy

    14. #12
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      Quote By Imany John
      Faizafoxy
      Msalimie ukikutana nae.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    15. #13
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,725
      Rep Power : 10177
      Likes Received
      5673
      Likes Given
      12666

      Default Re: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      Quote By Kimbito nyama
      Mzoga! unadhani madiwani wa Moshi mjini ni wachaga wote? Jitahidi kutumia akili angalau 10%.
      hujui kuwa huyu analipwa na Nape? hapo keshachukua posho tayari na kofia ya ccm
      PORIKWAPORI likes this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    16. #14
      Jotojiwe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th March 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 141
      Rep Power : 389
      Likes Received
      30
      Likes Given
      8

      Default Re: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      Hivi kama sio kuchafuana mbona mbunge wenu juz alikamatwa na sio kuzushiwa kashfa, mi'najua mtuhumiwa wa rushwa anakamatwa na kuwepo chini ya ulinzi mpaka mashtaka yake yanaposomwa, na nyiemalimbuken hii nchi mpaka sasa ishauzwa kwa wekezaji tena kwa bei ya kutupa je ni wachaga wameiuza?, tena kuna fununu mkepa anamiliki migodi kibao hapa nchini jaman huko sindio kujilimbikizia mali.

    17. #15
      Mapi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 571
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      141

      Default Re: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      mkuu zomba unamajina yao?? Hebu tuwekee maana mwananchi hawajataja.

    18. #16
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      Quote By Mapi
      mkuu zomba unamajina yao?? Hebu tuwekee maana mwananchi hawajataja.
      Muulize Ndesamburo.

      Kuna zaidi ya Mchagga diwani wa Moshi? kwi kwi kwi teh teh teh.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    19. #17
      Malata Junior's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th November 2011
      Posts : 134
      Rep Power : 404
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      Quote By zomba
      Muulize Ndesamburo.

      Kuna zaidi ya Mchagga diwani wa Moshi
      ? kwi kwi kwi teh teh teh.
      Meya wa manispaa ya Moshi diwani wa kata ya Bomambuzi Mh.Jaffery Michael (chadema) ni mpare,Diwani wa kata ya Pasua Mh.Mkalakala (chadema) ni msambaa,diwani wa kata ya Bondeni Mh.Abdulrahaman Sharriff (chadema) ana asili ya Asia,diwani wa kata ya Kaloleni Mh.Michael Mwita (ccm) ni Mkurya,kwa nini unatuandama sana wachagga,hujui tukigoma kufanya biashara nchi wote mtakufa kwa njaa na serikali itakosa kodi?
      mkizungo and PORIKWAPORI like this.

    20. #18
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      Quote By Malata Junior
      Meya wa manispaa ya Moshi diwani wa kata ya Bomambuzi Mh.Jaffery Michael (chadema) ni mpare,Diwani wa kata ya Pasua Mh.Mkalakala (chadema) ni msambaa,diwani wa kata ya Bondeni Mh.Abdulrahaman Sharriff (chadema) ana asili ya Asia,diwani wa kata ya Kaloleni Mh.Michael Mwita (ccm) ni Mkurya,kwa nini unatuandama sana wachagga,hujui tukigoma kufanya biashara nchi wote mtakufa kwa njaa na serikali itakosa kodi?
      Na wale wanatuhumiwa kuchukuwa rushwa, mbona huwataji? Labda walevi na wala nguruwe wa nchi nzima wataacha, biashara yenu kubwa ni pombe na nguruwe.

      Tufe njaa kwani nyie ndio miungu mnaotoa rizki za watu?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    21. #19
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,602
      Rep Power : 819
      Likes Received
      278
      Likes Given
      52

      Default Re: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      Quote By zomba
      Na wale wanatuhumiwa kuchukuwa rushwa, mbona huwataji? Labda walevi na wala nguruwe wa nchi nzima wataacha, biashara yenu kubwa ni pombe na nguruwe.

      Tufe njaa kwani nyie ndio miungu mnaotoa rizki za watu?
      mkuu huo si mtiririko wa hoja wewe umesema hakuna diwani wa cdm manispaa ya moshi ambaye si mchaga,umetajiwa hapo meya wa moshi ambaye pia ni diwani ni mpare,sasa basi ungetueleza hii inakuwaje wakati wewe umeshatueleza awali, zaidi ya hapo na wewe ni mpiga mipasho tu kama nape
      Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.


    22. #20
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

      Quote By democratic
      mkuu huo si mtiririko wa hoja wewe umesema hakuna diwani wa cdm manispaa ya moshi ambaye si mchaga,umetajiwa hapo meya wa moshi ambaye pia ni diwani ni mpare,sasa basi ungetueleza hii inakuwaje wakati wewe umeshatueleza awali, zaidi ya hapo na wewe ni mpiga mipasho tu kama nape
      Mie nakwambia hakuna, ukiona hao unaowasema wote wana mzazi mmoja wa kichagga kama si hivyo na wao wameshakuwa zaidi ya wachagga. Hiyo ya kuwa hao wote sijui wapare sijui wahindi, mimi hainiingii akilini kabisa. Kitaifa tu, mmeshasema mnataka Nchi yenu ya Kaskazini, sasa hapo hapo kwenu aje mgeni awe kiongozi wenu? hunambii hata kidogo.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...