Jambo ambalo CCM na CHADEMA kimsingi wanakubaliana ni kuwa Magamba yapo na sharti yavuliwe vyma vyote vinakiri hili suala. Muda wote napata taabu sana kwa nini CCM hawajawavua magamba hawa watu hadi sasa ?
ona wanavyo wabembeleza kwa gharama za T- shirts
frustration is given by expectationdivide by
outcome
ie frustration = expectation/outcome
CCM inapocheza mziki huo ni Kama Kobe anapojiambia ' we Gamba nitoke!!' of which yeye Na gamba lake wamegandamana..
But Kwa tafsiri ya ndani ya viongozi wa CCM, wanamaanisha ''WANANCHI MAGAMBA TUNAYO HATUWEZI KUJITOA EMBU MTUSAIDIE KUTUONDOLEA'' wakimaanisha wananchi waing'oe serikali ya CCM, Na CCM yenyewe..
CCM inapocheza mziki huo ni Kama Kobe anapojiambia ' we Gamba nitoke!!' of which yeye Na gamba lake wamegandamana..
But Kwa tafsiri ya ndani ya viongozi wa CCM, wanamaanisha ''WANANCHI MAGAMBA TUNAYO HATUWEZI KUJITOA EMBU MTUSAIDIE KUTUONDOLEA'' wakimaanisha wananchi waing'oe serikali ya CCM, Na CCM yenyewe..
Mkiambiwa CHADEMA kazi yao ni kurukia hoja za CCM huwa hamtaki, hoja ya kuvuwa gamba ni ya CCM, magwanda ya khaki wakairukia, hawana ubunifu hata chembe.
System At Work
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
Mkiambiwa chadema kazi yao ni kurukia hoja za CCM huwa hamtaki, hoja ya kuvuwa gamba ni ya CCM, magwanda ya khaki wakairukia, hawana ubunifu hata chembe.
mkuu jaribu kufikiri upya kwa ulicho kisema maana hata mtoto anatambua ukweli ni upi.
CCM inapocheza mziki huo ni Kama Kobe anapojiambia ' we Gamba nitoke!!' of which yeye Na gamba lake wamegandamana..
But Kwa tafsiri ya ndani ya viongozi wa CCM, wanamaanisha ''WANANCHI MAGAMBA TUNAYO HATUWEZI KUJITOA EMBU MTUSAIDIE KUTUONDOLEA'' wakimaanisha wananchi waing'oe serikali ya CCM, Na CCM yenyewe..
Mkuu umenena vema, kwa tafsiri isiyo rasmi magamba ni wezi wa mali ya umma, mafisadi, wala rushwa & na wote hawa wapo ndani ya CCM kuanzia shina hadi taifa
wakuu wanawafahamu hata kwa majina, sasa kwa nini wasichue uamuzi mgumu kama NCCR dhidi ya David hata kama walimuonea lakini walionyesha kuwa hawajali.
frustration is given by expectationdivide by
outcome
ie frustration = expectation/outcome
Acheni ushabiki CCM wanabadilika. Hivi unadhani CHADEMA hawana magamba? Wewe ukiwanje hujui tu. Na kuvua magamba sio kufanya wewe unavyotaka. "KAMA WEWE NI MKRISTO:- TESU ALISEMA YAACHENI MAGUGU YAMEE NA NGANO"
Hii inamanisha ukiyang'oa hayo magugu kwa wakati huu yatatoka na ngano. Na mwisho wake utapata hasara. CCM nahisi wako makini. Si kama vyama vingine wanakurupuka kuyatoa magamba. Unatakiwa uwe makini sana katika swala hili.
MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI
Acheni ushabiki CCM wanabadilika. Hivi unadhani CHADEMA hawana magamba? Wewe ukiwanje hujui tu. Na kuvua magamba sio kufanya wewe unavyotaka. "KAMA WEWE NI MKRISTO:- TESU ALISEMA YAACHENI MAGUGU YAMEE NA NGANO"
Hii inamanisha ukiyang'oa hayo magugu kwa wakati huu yatatoka na ngano. Na mwisho wake utapata hasara. CCM nahisi wako makini. Si kama vyama vingine wanakurupuka kuyatoa magamba. Unatakiwa uwe makini sana katika swala hili.
Na huyo TESU yuko chama gani tena?
Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwagharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.
Actions always speaks louder than words, lakini ccm wameshindwa kutekeleza uvuaji gamba kwa vitendo. they just copy from CHADEMA and paste
"Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."
CCM inapocheza mziki huo ni Kama Kobe anapojiambia ' we Gamba nitoke!!' of which yeye Na gamba lake wamegandamana..
But Kwa tafsiri ya ndani ya viongozi wa CCM, wanamaanisha ''WANANCHI MAGAMBA TUNAYO HATUWEZI KUJITOA EMBU MTUSAIDIE KUTUONDOLEA'' wakimaanisha wananchi waing'oe serikali ya CCM, Na CCM yenyewe..
Acheni ushabiki CCM wanabadilika. Hivi unadhani CHADEMA hawana magamba? Wewe ukiwanje hujui tu. Na kuvua magamba sio kufanya wewe unavyotaka. "KAMA WEWE NI MKRISTO:- TESU ALISEMA YAACHENI MAGUGU YAMEE NA NGANO"
Hii inamanisha ukiyang'oa hayo magugu kwa wakati huu yatatoka na ngano. Na mwisho wake utapata hasara. CCM nahisi wako makini. Si kama vyama vingine wanakurupuka kuyatoa magamba. Unatakiwa uwe makini sana katika swala hili.
Mkuu Tesu ninani?ni hapo ndani ya ccm wakiwang'oa hao ambao tunawaona ni mafsadi watajiaribia manake wote ni mafsadi kwa hiyo wanaogopa kutajwa na hao watakaong'olewa.
Acheni ushabiki CCM wanabadilika. Hivi unadhani CHADEMA hawana magamba? Wewe ukiwanje hujui tu. Na kuvua magamba sio kufanya wewe unavyotaka. "KAMA WEWE NI MKRISTO:- TESU ALISEMA YAACHENI MAGUGU YAMEE NA NGANO"
Hii inamanisha ukiyang'oa hayo magugu kwa wakati huu yatatoka na ngano. Na mwisho wake utapata hasara. CCM nahisi wako makini. Si kama vyama vingine wanakurupuka kuyatoa magamba. Unatakiwa uwe makini sana katika swala hili.
Follow Us Here