Kwa majonzi makubwa tumemwaga kitaifa mpendwa wetu Bob Makani (rip). Ameagwa kitaifa kwa sababu amelitumikia taifa letu kwa uzalendo wa hali ya juu.
Nimesikitishwa sana kwa kitendo cha CHADEMA kutanguliza mbele maslahi ya kichama badala ya maslahi mapana ya kitaifa pale walipopamba jeneza la mpendwa wetu na bendera ya chama badala ya Bendera ya Taifa.
Kwa kitendo hicho, wamejenga taswira kuwa Bob ameagwa kichama zaidi na si kitaifa. Mmetuangusha Watz.
Yani wewe hujaridhika kwa heshima hii, mbona CDM ina heshima ya kitaifa?. Kama msiba ungekuwa ni wa kiserikali, watu wa protokali wangefanikisha hilo. Nafikiri umejiamulia kulalamika na kupotosha watu wasioelewa.
Kuna mdau mwingine analalamika kuwa CHADEMA walimtelekeza Bob Makani, sasa hapa anakuja mtu anasema CHADEMA hawajazingatia utaifa! Damn if you do, damn if you dont!
Kwa majonzi makubwa tumemwaga kitaifa mpendwa wetu Bob Makani (rip). Ameagwa kitaifa kwa sababu amelitumikia taifa letu kwa uzalendo wa hali ya juu.
Nimesikitishwa sana kwa kitendo cha CHADEMA kutanguliza mbele maslahi ya kichama badala ya maslahi mapana ya kitaifa pale walipopamba jeneza la mpendwa wetu na bendera ya chama badala ya Bendera ya Taifa.
Kwa kitendo hicho, wamejenga taswira kuwa Bob ameagwa kichama zaidi na si kitaifa. Mmetuangusha Watz.
kwenye red...sema kwa nafsi yako na si kutusemea wengine. Pia Chadema ndo WATANZANIA WENYEWE...peopleeeees........p owerrrrrr
Kwa majonzi makubwa tumemwaga kitaifa mpendwa wetu Bob Makani (rip). Ameagwa kitaifa kwa sababu amelitumikia taifa letu kwa uzalendo wa hali ya juu.
Nimesikitishwa sana kwa kitendo cha CHADEMA kutanguliza mbele maslahi ya kichama badala ya maslahi mapana ya kitaifa pale walipopamba jeneza la mpendwa wetu na bendera ya chama badala ya Bendera ya Taifa.
Kwa kitendo hicho, wamejenga taswira kuwa Bob ameagwa kichama zaidi na si kitaifa. Mmetuangusha Watz.
Kwa majonzi makubwa tumemwaga kitaifa mpendwa wetu Bob Makani (rip). Ameagwa kitaifa kwa sababu amelitumikia taifa letu kwa uzalendo wa hali ya juu.
Nimesikitishwa sana kwa kitendo cha CHADEMA kutanguliza mbele maslahi ya kichama badala ya maslahi mapana ya kitaifa pale walipopamba jeneza la mpendwa wetu na bendera ya chama badala ya Bendera ya Taifa.
Kwa kitendo hicho, wamejenga taswira kuwa Bob ameagwa kichama zaidi na si kitaifa. Mmetuangusha Watz.
Duh, hizi sigara mnazovuta wenzetu mbona hamtuambii zinaitwaje. Maana naona zinabangua ubongo kisawasawa.
Kwa majonzi makubwa tumemwaga kitaifa mpendwa wetu Bob Makani (rip). Ameagwa kitaifa kwa sababu amelitumikia taifa letu kwa uzalendo wa hali ya juu.
Nimesikitishwa sana kwa kitendo cha CHADEMA kutanguliza mbele maslahi ya kichama badala ya maslahi mapana ya kitaifa pale walipopamba jeneza la mpendwa wetu na bendera ya chama badala ya Bendera ya Taifa.
Kwa kitendo hicho, wamejenga taswira kuwa Bob ameagwa kichama zaidi na si kitaifa. Mmetuangusha Watz.
msiba wa gavana wa BOT Balali mlizingatia utaifa?maana hata mwili wake mpaka leo hamjaurudisha nyumbani
Kuna mdau mwingine analalamika kuwa CHADEMA walimtelekeza Bob Makani, sasa hapa anakuja mtu anasema CHADEMA hawajazingatia utaifa! Damn if you do, damn if you dont!
Mambo ya damn damn ni nje ya mada.
Wewe unaona ni sahihi kushusha heshma ya Bob iwe ya kichama badala ya kitaifa?
Viongozi wengi wa kitaifa walifika kumuaga, CDM wanang'ang'ana na kila kitu mpaka wanalazimisha bendera la chama ndo litumike badala ya ile ya taifa.......*^&*... Hivi akina Prof Baregu na yule Dr wa kuteua wabunge wa viti maalum walikuwa wapi?
Utaifa upi unautaka Serikali yote ilikuwepo pale, na CHADEMA ni chama cha Kitaifa, na Bendera ile ni alama Rasmi ya Dola tarajiwa 2015, na Makani alikuwa mwenyekiti wa CHADEMA na Mwasisi wake na katibu mkuu wa Kwanza wa CDM. Hakuwai kuwa Polisi au Mwanajeshi ili afunikwe Bendera ya Tanganyika. ACHA MALALAMIKO YASIYO NA TIJA. R.I.P Bob Makani.
Kwa majonzi makubwa tumemwaga kitaifa mpendwa wetu Bob Makani (rip). Ameagwa kitaifa kwa sababu amelitumikia taifa letu kwa uzalendo wa hali ya juu.
Nimesikitishwa sana kwa kitendo cha CHADEMA kutanguliza mbele maslahi ya kichama badala ya maslahi mapana ya kitaifa pale walipopamba jeneza la mpendwa wetu na bendera ya chama badala ya Bendera ya Taifa.
Kwa kitendo hicho, wamejenga taswira kuwa Bob ameagwa kichama zaidi na si kitaifa. Mmetuangusha Watz.
Ngoromiko, umechanganyikiwa...shuhudia mazishi ya Balozi Edward Athumani Mhina aliyefariki mwaka 2008. Nyadhifa alizowahi kushika;
Balozi wetu nchini Sweden kwa kipindi cha miaka 10.
The true sign of intelligence is not knowledge but imagination.
Education is what remains after one has forgotten what one has learned in School
-Albert Einstein.
Kwa majonzi makubwa tumemwaga kitaifa mpendwa wetu Bob Makani (rip). Ameagwa kitaifa kwa sababu amelitumikia taifa letu kwa uzalendo wa hali ya juu.
Nimesikitishwa sana kwa kitendo cha CHADEMA kutanguliza mbele maslahi ya kichama badala ya maslahi mapana ya kitaifa pale walipopamba jeneza la mpendwa wetu na bendera ya chama badala ya Bendera ya Taifa.
Kwa kitendo hicho, wamejenga taswira kuwa Bob ameagwa kichama zaidi na si kitaifa. Mmetuangusha Watz.
Watanzania kwa kulalamika; kitu kidogo mnakifanya Ulimwengu usimame usifanye kazi angalia picha hapo chini
Inatosha kuonyesha utaifa kuliko bendera...
Rais Dkt.Jakaya Kikwete, Makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal na
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe wakibeba jeneza la marehemu Bob
Makani
Utaifa upi unautaka Serikali yote ilikuwepo pale, na CHADEMA ni chama cha Kitaifa, na Bendera ile ni alama Rasmi ya Dola tarajiwa 2015, na Makani alikuwa mwenyekiti wa CHADEMA na Mwasisi wake na katibu mkuu wa Kwanza wa CDM. Hakuwai kuwa Polisi au Mwanajeshi ili afunikwe Bendera ya Tanganyika. ACHA MALALAMIKO YASIYO NA TIJA. R.I.P Bob Makani.
Pamoja na kuwa kiongozi wa kichama, alikuwa kiongozi wa kitaifa.
Kwa uelewa wako, yafaa kuzingatia maslahi gani; ya kichama au ya Kitaifa?......mwenye busara na akili safi atasema: 'TUZINGATIE MASLAHI MAPANA YA KITAIFA'....period!
Kumbe ni kweli mtu ukiwa mwanachama,mpenzi na mshabiki wa CCM uwezo wa kufikiri unaondoka na kuwa taahira. Kwa nini mnalalamikia mambo yasiyokuwa na mashiko kama machangudoa vile? Yaani mnakera na kutia kinyaa hapa jamvini.
Follow Us Here